MFAHAMU PIUS MSEKWA, MTANZANIA WA KWANZA KUONGOZA BUNGE, INASOMWA NA CHENGE l BUNGENI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 янв 2020
  • MFAHAMU PIUS MSEKWA, MTANZANIA WAKWANZA KUONGOZA BUNGE, INASOMWA NA CHENGE l BUNGENI
    Bunge la Tanzania leo limeweka historia mpya baada ya kuwapa mavazi ya Uspika, Maspika Wastaafu wa Bunge la Muungano.
    Na huu ndio wasifu wa Spika Mstaafu Pius Msekwa kama ulivyosomwa na Adrew Chenge Bungeni leo.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:ruclips.net/user/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:ruclips.net/user/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:ruclips.net/user/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:ruclips.net/user/playlist?list...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania Subscribe bit.ly/globaltvonline

Комментарии • 24

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 4 года назад +1

    Hongera mzee mungu akupe afya njema msekwa🤲🤲

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu910 3 года назад

    Mzee Pius Msekwa,( Mheshimiwa Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania)
    Ana Historia yake nzuri Sana nchini kwetu,
    Lakini pia Huwa anaandika makala nzuri Sana za Masuala ya kiuongozi na siasa nchini kwetu ( Katika Gazeti la Daily News)
    Mzee wetu , Nakuombea Afya njema kutoka kwa Mwenyezi Mungu 🙏🙏🙏

  • @kimolaking1005
    @kimolaking1005 4 года назад

    Hongera sana mzee wetu mungu akuongezee nguvu za kuishi miaka 2095

    • @stedimwashiuya7873
      @stedimwashiuya7873 4 года назад

      mungu akutangulie sana mzee wetu msekwa kwa kazi kubwa ulio ifanya kweny uongozi wako, amen

    • @stedimwashiuya7873
      @stedimwashiuya7873 4 года назад

      ongera kwa kazi kubwa ulizo fanya mungu akuongezee nguvu na kuishi miaka mingi, Amen. wakerew wanajivunia sana kuwa na mtu kama wewe mpenda haki na mtetea wanyonge mzee pius msekwa mungu akujalie sana.

  • @karumunajulianus3471
    @karumunajulianus3471 4 года назад

    Kweli mzee kalitumikia taifa

  • @raymanmwangosi5041
    @raymanmwangosi5041 4 года назад +6

    1:55 kama umemwona Msekwa anamcheka chenge baada ya kusema walifanya kazi wote mwaka 2095 gonga like. Hawa watakua time travellers mbona walianza kufanya kazi miaka ya mbele kurudi nyuma🤣🤣🤣

  • @maheralmuayqily1900
    @maheralmuayqily1900 4 года назад

    hivi kwa nn mh Spika amemtaja Mh chenge kwa jina la mtemi

  • @azizaj776
    @azizaj776 4 года назад +1

    Ikiwa P . Msekwa ni spika wa kwanza Mtanzania , je , Mtwa Adam sapi mkwawa alikiwa sipka wa ngapi au hakuwa Mtanzania ???????

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 3 года назад

    Adam sapi mkwawa unamweka wapi!!!???

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад

    Duh yani adam sapi mkwawa hawamtaji?

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 4 года назад +2

    Wa kwanza ni Adam Sapi Mkwawa

    • @richardmollel8655
      @richardmollel8655 4 года назад +1

      Sawa Sawa kabisa adam sapi mkwawa ndie spika wa kwanza

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar1271 4 года назад

    kwani nyie mkafiri mnajua kuwa kuna kitu kinaitwa haki?basi kwa mnayoyafanya jiandaeni

  • @localityftv7201
    @localityftv7201 4 года назад

    Pumbavu sana nyie Adam mkwawa Sapi ,ndio wa kwanza sio huyo, au mnafikiri wote humu hawajaenda shule

  • @emmanuelthomas7345
    @emmanuelthomas7345 4 года назад +3

    Hao ndiyo wanatakiwa kuogea hata mitaani siyo wakina lissu jaman

  • @mumewangu2937
    @mumewangu2937 4 года назад

    Huyu chenge cio wa mchezo mchezo

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 4 года назад +2

    Kwanini mmeandika msekwa ni
    Mtanzania wa kwanza kuongoza bunge ikiwa kuna Adam Sapi

    • @adammlonganile7921
      @adammlonganile7921 3 года назад

      Waandishi wengine hudhani kila mtanzania hajui historia,