NAKUKARIBISHA YESU (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 25 июн 2020
- Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu Sombetini Arusha wanakukaribisha kusikiliza na kutazama wimbo wa Ekaristi uitwao Nakukaribisha Yesu utunzi wake Ray Ufunguo.Wimbo huu umerekodiwa katika studio za RAJO Productions.
Tunamshukuru sana Fr. Teilo M Lwande AJ. kwa kufanya English subtittles. Huu ni wimbo ulio bora wenye maneno matamu na tunaalikwa kushiriki ili tuweze kupata Neema za Mungu. Tunapoendelea kutafakari, Mungu aweze ku mimina neema katika maisha yetu na mwisho wa siku tuyaache maisha ya kale na tuwe wapya. Bwana unibadili niweze kuishi kadiri ya njia zako.
Tuatakapoyashuhudia matendo makuu ya Mungu, basi Tumpigie Mungu Kelele za shangwe ili Sifa na Utukufu virudi kwa Mungu.
#miminaneema #bwanaunibadili #rajoproductions #kwayakatoliki #gospelmusic - Видеоклипы
Please support: www.patreon.com/user?u=77044884
Thunk you very good
Qwqq
@@jeanlumbu3434 0
Amn
@@jeanlumbu3434😊😊😊😊
I recently joined catholic church , and I've started receiving the holy eaucharist and I don't think anything will ever take me away from This church
You are most welcome to Christ in the Eucharist. This is is home. God bless you.
Jiishi Nyumbani.
Welcome home
Most welcome dear❤❤❤❤🎉
Ee, mungu ahsante Kwa uinjilishaji huu uliomzuri sanaaaa. Kanisa moja takatifu katoliki
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Everything about being a Catholic is just right. Asanteni waimbaji kwa kutangaza Injili ya Bwana kwa sauti nzuri na maneno matamu. Awabariki Mungu mwenyezi Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
Amina Sana👍🏼
Amina
Amen 🙏
Amina
Amen .
Ninakukaribisha yesu moyoni mwangu ukae Nami daima Amina.najivunia kuwa mkatoriki sana
Sichoki kuusikiliza hongereni sana na Mungu atukuzwe Milele
Asanteni sana kwaujumbe nzuri nawapata vizuri huku rwanda
Napenda kuisikiliza sana hii nyimbo najiona mwenye fahari kuwa mkatorik mmeinjilisha vyema
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Sichokagi kusikiliza wimbo mzuri sana💟💓
Bonface hapa kutoka Kenya. Mimi husikiza huu wimbo kila siku kitu cha kwanza nikiingia ofisini. Kazi safi sana.
Sombetini to the world 💥wimbo mzuri,mavazi mazuri,sauti nzuri, nabarikiwa sana
Ubarikiwe sana Anneh....
Ni mzuri Sana ambao una ujumbe pia unabirudisha ukiwa unauimba hata pia KWa kuusikiliza, nmependa sana
I discovered this song today.And ave listened to it for almost 100times on high rotation.i feel the holy spirit soothing me.I just cant have enough of it.
Ray Ufunguo hongera kwa utunzi mzuri wa wimbo wa Ekaristi unaotukumbusha utukufu na ukuu ulioka katika fumbo hilo takatifu,na pia hongereni sana waimbaji ,mcheza kinanda Swai F.T pamoja na Rajo production kwa uandaaji mzuri mlioufanya Mungu aendelee kuinuliwa na kutukuzwa milele
Asante sana Rafiki yetu, John Mtui. Uzidi kubarikiwa sana
mwenyez mungu wajazie hazina zako hapa dunian na huko mbinguni mt boniphace kwakuitangaza injili kwa njia ya uimbaji asanteni sana nyimbo nzuri
\
Hongereeni sana sana kwa uinjilishaji mwema
Kuimba ni kuomba twice.....wimbo mzuri be Blessed.
Kama Kuna mtu anabarikiwa na huu wimbo adi kutokwa na machozi kama mimi Like hapa tujuane
Wimbo mzuri 😍😍 hongereni
Mungu nakushukuru kwa kuwa mkatoliki najivunia Sana dhehebu langu tuzidi kutupigania mwenyezi!!! Mungu
Usijivunie tu dhehebu endelea kutenda mema I'll siku ifkapo jina lakoliwe limeandikwa ktk kitabu Cha uzima madhehebu na mengine hayatatupeleka mbinguni tukeshe na kuomba
Wimbo Bora mno... Hongereni jamani
Hongera sanaa kwa wanakwaya ya Mt Boniface. Kazi nzuri sana.. nawamis sana nakuzidi kuwaombea baraka tele
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Mpaka kumoyo
So sweet amazing song
Today was my Aunt's burial and I heard this song for the first time during her burial mass and loved it..... rest easy auntie till we meet again on that beautiful shore
It is well my sister.... there's deep therapy in fine choral works that strive to bridge our earthly life with heavenly existence.
Niaibishwe kwa chakula cha uzima uninyweshe kinywaji safi cha roho.
Swafi sana Rey Kwa utunzi kuntu na upigaji wa Swaiba wangu Huyo jamaaaaa aiseeeeee pongezi Rajo production
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Some songs have a way of calming and uplifting one's spirit almost instantly. This right here is one of them. Pongezi
Awesomeness
99
@@naomyopapa9130 pppp l
Waooo ncye one
@@lucychege9250 Thanks Lucy 👍🙏
Kuimba ni kusali mara mbili a choir member forever
Ndo hapa, Mungu anapotukuzwa, na wanadamu tunapata wokovu.
The keyboard guy did a nice job
Kaka Ray asnte sana kwa wimbo huu, unagusa moyo kabisa, Ubarikiwe sana kaka Ray
Huu wimbo unafanya naona kristu. ..hongera kwa uimbaji nzuri...this is so nice
GOD IS REAL
Hongereni kwaya ya mtakatifu bonifanci Kwa uinjilishaji wa nyimbo zenu
Nimebarikiwa sana....wimbo safi sana😚😚
Wimbo mzuri sauti zimepangiliwa vizuri mavazi ya heshima. Mbarikiwe na Bwana Yesu.
Kazi nzuri sana Ray ufunguo... Mungu akujalie neema na Baraka uzidi kumtumikia. 👌👌👌
Wimbo mzuri saaana.....! Hongereni sana waimbaji, mtunzi na RAJO PRODUCTIONS kwa kutusaidia kumkaribisha Bwana Yesu mioyoni mwetu kwa njia ya uimbaji mtakatifu. Mungu awabariki sana
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Hongera sana wimb0 mzuri. Tunamhiji Yesu ktk maisha yetu.
Hakika mungu ni mwema mwili wako unanishibisha sintaweza kuhama dini😍🥰🥰🌹💛🎶🎶🎶🎵
Yesu karbu moyoni mwangu unishibishe
Najivunia kuwa mkatoliki Asante mungu kwa zawad yaukatolik
Pongezi kwa waandaaji , waimbaji na mtunzi pia anastahili pongezi za kutosha,hakika Mungu Atukuzwe
Hamjui tu mnavyonibariki
Inapendeza sana
wimbo bora sana nawa fwata toka drc🇨🇩
Ooh yesu wangu nakukaribisha,Sina lakusema mubarikiwe mukapa mushangae
Dini yangu naipenda roma kutoka moyoni. Naipenda kwaya hiii
Such a Beautiful song!!!!! na bado kuna watu wanadislike! Kweli kuna watu na viatu duniani!
Wimbo mzuri sana......unapaswa kuimbwa dkk mbili kabla ya kwenda kukomunika ili kila mmoja atafakari kisha tujongee mezani.
Keep it up Ray. Mungu azidi kukutumia utuinjilishe zaidi.
Wema na fadhili viwazunguke kwa uinjilishaji huu mzuri
Am always blessed by this song ,huwa sichoki kusikiza wimbo huu
Nimefurahia nyimbo hizi zwa shangwe sana, asante na talaka tele kwa Rajo production, like like like from Germany
The quality of this production is extremely awesome
Mwimbo huu una ujumbe kamili wa fumbo la utatu mtakatifu na juu ya uwepo wa Mungu. Hakuna dhehebu lo lote la Kikiristo ambapo Utatu mtakatifu unafafanuliwa vizuri kama katika Ukatoliki. Uwepo wa Mungu haufananishi na cho chote. Well done!
Nafurahi kuwa mkristo nasikiliza hiii nyimbo npo Congo kwa Sasa
KAZI NZURI SANA SANA SANA KUANZIA UTUNZI MPK UKAMILISHO WAKE.... HONGERENI MNO NA MUNGU ABARIKI SANA MAJITOLEO YENU
Mungu awatangulie kwa kumtukuza mwenyezi mungu
Huu wimbo umeweza.yaani kila sauti inasikika.Congrats waimbaji
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Ray Ufunguo/Rajo kazi zenu zinaztubariki sana. Keep it up! Mara kwa natazama nyimbo zenu pasipo kuchoka! Nyimbo zenu kama vile Wewe Bwana Nguvu Zangu Nakupenda sana, Mawazo ninayowawazia ni tamu sana aisee. Mbarkiwe
Wimbo Mzuri sana, mtamu sana huwezi kuchoka kuusikiliza. Wanakwaya mlipendeza sana wote. Hongera sana mtunzi wa wimbo, big up sana kwa Organist.
i miss the Eucharist, I love the song i can listen it daily it gives me strength of seeing another day.
Go for it my Sister
Please, I need the musical script of this song🙏
Beautiful song
Am proud to be a Catholic
Waoh hongereni sana na Mungu kuwainua kiwango cha juu zaidi
Top notch quality... the voices.. the scenery... the pictures....wow!!!!
hongera sana kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na shahidi, Parokia MoYo Mt wa Yesu. Mbarikiwe sana tunawapata vyema hapa Uganda
Ekaristia takatifu inaleta amani ya roho. Nice singing
Naupeda sana huu wimbo.barikiweni
Mungu ujitwalie Utukufu katika uimbaji wetu...Sisi ni vyombo tuu umetupa neema yakukutumika katika kukuimbia ..Pokea sifa yote. Tunza mioyo yetu tukumbuke thamani ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu tukukaribishe kwa moyo safi.
Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe ruclips.net/video/UWbuppK_p78/видео.html
Proudy to be a catholic, hongereni sana
Ray you gonna kill us one day with this kind of extreme quality... no room for mistake..PERFECT🔥🔥🔥🔥
God is good... Thank you Evans
@@rajopro how can I get the music sheet ..?
@@rajopro naitaji maelezo kiasi kuhusu recording nipo kenya na natamani kurecord roja... 0708488877 what'saap
someone help me say awesome Ray!!!!!🔥🔥🔥🔥🔥
This is the Catholic song of the century.
The more I listen to the song the sweeter it's becoming.
Mwenyezi Mungu awabariki wote walioshiriki katita kuuandaa na kuuimba wimbo huu.
Amen
Shukran kwa nyimbo nzuri Rajo production na wanakwaya. Mimi mkenya nimefurahia wimbo wenu. Mungu awabariki🙏
Kazi yenu sio BURE MBELE ZA MUNGU
I have no more words than to say #RAJO PRODUCTIONS and all singers stay blessed
Thank you Anthony
Barikiwa sana mtuzi wa huu wimbo na waimbaji pia
This is the true meaning of spiritual breakthrough, carefully selected words and tone, sweet to ear and heart. Forever catholic 👏👏
Napenda sana Nyimbo za Catholic si choir moja wanialike niwe part of that group ya kuimba
Mnajituma kwa kiasi ambacho mnastahili kusifiwa kwa kazi zenu nzuri. Hongereni mno.
Nimebarikiwa sana na wimbo huu .waimbaji wametulia mungu awabariki sana mkuze kipaji chenu zaidi na zaidi
Kibao saafi...Mungu awabariki
Hongera ni kwa wimbo mzuri mungu awabariki sana
Nakukaribisha Yesu wangu❤️
Tumain swai🙏🙏🙏
Nimeupenda sana huu wimbo
Nyimbo tamu ajabu.Asanteni kwa kutubariki kupitia uimbaji.Salamu kutoka Ujerumani
Tulizo LA roho watching from kisumu
Wimbo mzuri sana sana sana. Video safi sana. Hongera sana
Perfection at its best, quality of video, song, decency in dress code. Awesome
Joo yesu wangu nakuhitaji....
Amina....Yesu yu pamoja nasi
Hakika weimba vizuri. Mungu awabariki
My all the time favorite and a Blessing Song.. RAJO you're the best producers ever. Congratulations.
Hongera waimbaji mko vizuri
Wimbo mzuri wapendwa
Mpo sawa kwa kutuburudisha
Tunabarikiwa Sana na hii wimbo mzuri uliopangiliwa
Mmeutendea haki huu wimbo, hongera sana
This video ooooh!!! The quality is something else!!! Waaaaaah!!! If PERFECTION and PROFESSIONALISM was a person!
Safi sana kazi nzri sana pongez Kwa mtunzi na waimbaji safi mno organist 👊🙏
Aise wimbo ni Mzuri Mnoooo Mungu asiwapungukie hata Milele
Nafulahi Sana nahisi Kama vile napaa mbinguni amina
A very powerful song with beautiful message.I can't get enough of it.
Such an exceptional and inspirational song. Ray Ufunguo, I thank God for using you to deliver this powerful message. This message is heavenly. 🙏