MPIGIENI MUNGU KELELE ZA SHANGWE (OFFICIAL VIDEO)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Wimbo uliotungwa naye Felician Albert Nyundo (FAN) +... Wimbo ulioimbwa na kujulikana na wengi miaka kadhaa iliyopita na hata sasa bado unapendwa na walio wengi. Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Sombetini, Jimbo kuu Katoliki la Arusha, wanatushirikisha wimbo huu na wanatualika tumwimbie Mungu na tumpigie Kelele za shangwe.Ni Maneno Matamu kabisa kwa anayependa kumsifu Mungu. Tumwimbie Mungu wetu, naye ata Mimina neema zake katika maisha yetu. Ni neema ya Mungu inayotufanya tuwe tulivyo hivyo tushiriki kikamilifu katika kumwimbia. Bwana unibadili niweze kuacha yote nikutumikie wewe, niweze kukuimbia wewe wimbo ulio bora, niweze kuwa miongoni mwa wateule wako.Karibuni sasa muweze kusikiliza na kutazama.Kwa watakaopenda kuwasiliana na kwaya hii, tumieni namba +255 754 628 685 au +255 754 759 428#kwayakatoliki #mimina neema #bwanaunibadili #manenomatamu
I put this comment here so after a month or a year when someone likes it it reminds me of this beautiful song
😂❤❤
2024 bado tunasikia?
Unyenyekevu100%
Utulivu100%
Mavazi100%
Najivunia kuwa Catholic
Kazi nzuri, ujumbe mzuri nabarikiwa Sana🙏🙏🙏
Asante sana ubarikiwe
@@juniorchilongola2191 Asante pia
Thank you🙏
@@juniorchilongola2191 %
Amina
Mwimbieni Mungu kelele za shangwe nchi yote imbeni utukufu wake,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu......matendo yako yanatisha kama niniiiiiiiii tukuzeni sifa zake Mungu Mkuu.Nyimbi hii ukiimbwa kanisani,kanisa lote linalipuka kwa shangwee hasa watu wazima wa miaka ya nyuma lazima waimbe.Naziomba kwaya zijaribu kuimba nyimbo zinazoweza kuibwa na kanisa lote.Mubarikiwe wanakwaya kwa wimbo huu
Aminaa sana
Naipenda dini yangu Roman Catholic Jimbo la Arusha,parokia ya sombetini😘😘😘
Mimi piaa najivunia kuwa mkatoliki. Representing 254
Barikiwa
Mimi ni murundi .Nabarikiwa sana nanyimbo nzuri kama hizi .Hongereni sana waTanzania.Tumsifu Yesu Kristu
Milele Amina
Milele Amina Nzambimana
Wakatoriki wote tumsifu yesu kristo
Hongereni sana wanakwaya mmeutendea haki na mmependeza sana ❤
I remember attending Mass at St. John the Evangelist Church, Langa'ta Nairobi as a young seminarian. Even in the next life I will still proud to be a Catholic, and a Catholic priest for that matter. God bless your beautiful voices.
Be blessed Fr🙏
@@happymichael3821 thanks. Be blessed too
Amen,🙏🏼❤️
p
Alikba
Hivi kwa nyimbo kama hizi, nzuri namna hii, hivi bado utaniambia shetani bado yupo, kweli? Atakuwa amekimbilia mbali mno hata hataki kuzisikia hizi sauti. Hakika Mungu ametamalaki. Mr.Tumaini, hai Meku, hongera kwa Kinanda murua.
Was reading the Bible n found out this song is from psalms 66 (zaburi 66) no wonder i love it so much 😇
Amen
Rajo Mungu aendelee kukutumia kueneza injili yake.Ina bariki sana kuona kazi ya mungu inapambwa na kutengenezwa kwa ujuzi mkubwa,hongereni pia familia ya mt. Boniface kwa kazi nzuri hakika mmefanya vizuri mungu awabariki nyote.
KAZI NZURI
Mko vizuri sana
May God Bless everyone who listens to this beautiful song.Amen🙏
Utukufu wako Mungu n mkuu ,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏
Kazi nzuri waimmbajii wazuri hakii najivunia ukatoliki wangu💥💥💥💥
Hakika kazi nzur hongeren sombetin marafik zangu...hongera rajo production wimbo ni mzur na unanikumbusha mbal sana
hongereni sana watoto wangu kazi nzuri mmno Mungu azidi kuwaimarisha siku hadi siku ili injili yake isonge mbele
Asante Kwa wimbo mzuri👍👍❤❤
Hakika hakuna kama Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo
Najivunia kuwa mkatholic nawapenda sana waimbaji mko vizuri utulivu asilimia Mia, Mungu awabariki
Mko juu sana kwaya ya mt boniface sombetini, mungu azidi kuwainua kwenye uimbaji wenu, namwona Hugo akidunda big up, mwambieni Mungu matendo yake yanatisha km nn,
Rajo ni production ni noma big up
Likes za Kuwakilisha Kenya zije...
Hakika matendo yake yanatisha
BG and ytnbvn are you ng
Tuko ndani
Mit maratari
From Kisumu,,,,ndaaaani
Sauti tamu mafazi nzuri unyenyekevu ...utaratibu mzuri.. MUNGU azindi kuwabariki
Pumzika kwa amani mtunzi wa wimbo huu Felician Nyundo,umeendelea kutuinjilisha japo haupo ktk uso wa dunia.
Wimbo bora kabisa
kila ninapousikia huu wimbo mwili unanisisimka, Mungu amrehemu mtunzi mwalimu F.A NYUNDO
Inanibariki sana hii nyimbo najikuta namtukuza Mungu na ukuu wake ni MKUU.🥰🙏
Woyooooo..Bonge la production.. Big up kijana Swai kwa kupiga Kinanda kizuri cha kikatoliki.
SIYO NYIMBO ZA MASEBENE, MAJASHO, HIZI NDIZO NYIMBO ZA IBADA BE BLESSED SAAAANA
Hongereni sanaaaaa, huu wimbo nimeutafuta mda mrefu sana hatimae nimeupata , asanteni mbarikwe
Hongereni sana kwautume wenu mwenyezi mungu awabariki sana
Hongeren sana mungu awabarki mmeimba vizur mno
Maneno matamu sana na wimbo unabariki sana
TYK Wimbo huu nimeanza kuusikia mwaka 1996 you can imagine nikiwa mdogo sana lakini hadi leo sichoki kuusikiliza...Hakika Mungu wetu ni mkuu na matendo yake yanatisha.
🎉
I had never get tired listening to this song... Sometimes I even shed tears, Matendo ya Mungu Ni makuu daima... Mbarikiwe Sana sana
Weee nindakuona
Jkii
Your blessed
Ninayoweza sema kwa sasa, mungu nimekuona,nimeuona mkono wako. Mama Maria, asante kwa kuniombea. Nimeiona miujiza. Mungu matendo yako yanatisha,Asante,ndio ipo tu moyoni mwangu.Mungu assante.
Hakina kupitia huu wimbo nilipata namna nzuri yakuendelea kutukuza ukuu wa Mungu kwa anayonitendea😊
Kwakweli wimbo mmeutendea haki, Roho wa Mungu awe nanyi daima, na mdumu katika UTUME. Barikiwa nyote
jamani kwa kweli mmeimbaaaaa,atukuzwe mungu milele na milele matendo yake yanatisha kama nini hakika ni mkuu
Munamuimbia Mungu vizuri sana
Best version of this song ever! My mother in Heaven, Tuzidi kumpigia Mungu kelele za shangwe... May you continue rejoicing and singing for the Lord as you enjoy paradise. St Cecilia patron saint of all singers, be our pillar in praise and worship now and forever more... Ahimidiwe sana Mungu Mkuu!!!
Amen..may our mother continue resting with the angels..dearly missed
@@KalekyeMaggie Amen!
Nimebalikiwa sana nawimbo huu,wakatoriki tupende vyakwetu nivitamu sana
Matendo Yake yatisha sana..
I felt the presence of the Holy Spirit when listening to this annointed song..Utukuzwe na Uhimidiwe ee Mungu🙏🏼🙏🏼
Amen!
nostalgic inanirudisha Kanisa la Bikira Mama wa shime Makupa.....naskia harufu tamu ya ubani
Mimi ni msabato naufurahia saana uimbaji huu maana unanibariki na kunifanya ni focus kwenye ujumbe zaidi. Mungu wa mbinguni akawabariki na kuwainua mpaka mshangae 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Sauti zote zinasikika
Grab your earphone , thank me later 🤗
Mtukuzeni sifa zake Mungu mkuuu🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amen
Amen
Mungu akubariki pia
amen
Amina
Hongeren wana Boniface mpo juu sanaaaa
Hakika matendo yako yanatisha kama nini... Tutakutukuza daima Mungu mkuu..
Asanteee sana kaka Ray Ufunguo..
Salaam kutoka Berlin Ujerumani....
Safi Sanaaa
Nimerudia kuangalia mara nyingi hongereni sana mmefanya vizuri mno.
Hakika kweli mungu ni mkuu,kazi nzuri sana na nawapenda wote mlioshiriki kwa moyo🥰🥰🥰🥰🥰
Mungu awabariki kwa wimbo huu nzuri na wenye kumsifu mungu.salamu ziwafikie mlipo.from congo Kinshasa.
Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya kuutafuta kwa mda mrefu!!!
Matendo yako yanatisha kama nini Mungu mkuu! Halleluhya
Wimbo mtamu, sauti nyororo hakika
Mbarikiwe kwa kazi nzuri munayoifanya🙏🙏
Jamani huu wimbo ni wa motooo!! Kila mtu amefanya sehemu impasayo kwa uzuri. Wimbo unagusa sana huu, Mungu awabariki sana.
Mungu awabariki 🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️
Mungu akubariki sana watumishi wako hawa kwa kulitanganza jina lako kwa nyimbo mama bikira maria yesu kristor wangu uwa simamie katika imani
Moja ya nyimbo nilizowahi kuzipenda na imedumu kwa muda sana
Jamaniii mpiga kinanda ubarkiwe sana pamoja na wanakwaya wote 🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli ukifikiria matendo ya Mungu yanatisha sana!
Oyooooo kumekucha 😍😍😍 sauti imetulia uwiiiiii meuwa Sana😘😘😘
A very nice,composed thanksgiving song,Ive never and will never get enough of this song.It cools my spirit.
Wooow wooooow wooow i just like this, nice creativity @Rajo production 👌👌
Radhaa ya mzikiiii kaz nzurii utume wa uimbaji hata mbinguni.
Wimbo wa karne zote.....Hauchuji hata kidogo, pongezi sana Wanakwaya wetu mmeimba vizuri sana....Mbarikiwe kwa kazi njema ya uinjilishaji.👍👍
❤ mungu a wabarik sana naniko namiss maombi nakuimba Kwa eklezia
Hujawahi Fanya makosa Rajo hongera broo
Asante sana....
KAKA RAJO NAOMBA NAMBA YAKO 0713060003 NAPATIKANA MOSHI ASNTE PLZ
@@gettoboytz4879 0758988827
Among my best Catholic hits, God bless your good job&your efforts.
Listening from Kenya,I like the song Amen.
Huu wimbo hakika unahifadhi amani katika nyoyo zetu.pongezi Sana.
Wimbo mtamu ajabu... Studio nazo mnajua mnachofanya Kongole!
Thank you for leading us in kumwimbia Bwana kelele za shangwe 😍😍🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri mno hataree....
.hongera sana kwa waimbaji na studio
Hongereni..tuendelee kumsifu Mungu kwa Shangwe
Hakika matendo yake Mungu yanatishaa! Hongereni mnooo kwa uimbaji mzuri.Mwalimu Nyundo Mungu akutunze.
Asante
Da safi sana kaka! rajo unatisha mzeeeee!
Mimi sio wa dunia hii .... I like this song deadly
Ee mungu wangu. Nibariki nawimbo huu mtakatifu. Proud to be catholic
Hongereni sana kwa kuyatumia vizur maarifa mlio pewa na MNGU ujumbe mzir sana MNGU awazidishie zaid najivunia kuwa mkatorc
Am proud to be a catholic
Am proud to a Catholic nyimbo inanituliza roho yangu asanteni sana sana choir nzima na mtunzi mungu awabariki
Safi sana waimbaji, mmeutendea haki wimbo! Hongera na kwenu RAJO PRODUCTIONS, you always do the best Ray. You are simply the best brother, better than all the rest. God bless you more.
Inanikumbusha xul,, st francis🙏🙏🙏🙏😘😘😍
Asanten kwa kutukumbusha enzi zileeeeee pongez pia kwa injinia Mpiga Kinanda namkubali kinoumaaaaaa sana
Saluti Rajo production
Nawapata vizuri toka Ngusero, Mungu awabariki
🙏Mwambieni Mungu matendo yake yanatisha Kama nini
Wimbo mzuri,Sauti tamu na zakupendeza sana.
Waooooo,matendo ya mungu yanatisha kama nini
Mungu mnae mtumikia awape nguvu muitangaze injili yake kwa bidii
Amen God is greater
Anaye sema catholic hatuna Prise and worship aendelee kujidanganya hivyohivyo nafsi yake
Dah, nimeishiwa maneno ya kusema, ila hongereni mno. Organist kunywa soda nakuja kulipa.
Tunamshukuru Mungu... Asante kwa comment yako Ndugu yetu Melkiory Marandu.
Mbarikiwe sana wanasombetini kwa kazi nzuri sana. Mungu wa mbinguni azidi kuwainua...hongera sana pia kwa RAJO PRODUCTION a.k.a fundi (mwinue Mungu kwa kipaji chako brother na matunda yake utayaona na kuyafurahia)
Matendo ya MUNGU wetu kweli ni makuu!
Piga kelele Mwambieni Mungu Matendo Yako yanatisha kama nini Mbarikiwe sana sna kwa kazi nzuri
Raymond hongera sana kwa utendaji wenu hapo RAJO Production,
Asante sana Saimon
Hallelujah... Praise the Lord. Thanks for your choir.
I am a Catholic from Indonesia. We hope any translation in English.
Amen that our almighty God be praised ,honour how grateful his,turned a way in ocean ,so so and so
Psalm 66
Woooww nyimbo nzur sana mbarikiwe wanakwaya wa Mt bonifance sombetin
Wimbo mzuri, kuna haja pia ya kurudia nyimbo nyingine za zamani
I think it is my 100th time to listen to this beautiful song!
Matendo yako kwel yanatisha Mungu. Utukuzwe Mungu mkuu♥️ amina
Rajo mbarikiwe sana kwa kazi zenu zuri sana
Wimbo muzuri sana .Hongera na sauti zenu nzuri sana. But I beg music sheet .Mshabiki wenu kutoka Rwanda❤
Nitaziimba milele na kutukuza sifa zake Mungu. Amina
Very nice Catholic song listeaning keep it up ❤❤❤❤
Napenda huu wimbo sana. Bwana Mungu atukuzwe na azidi kupewa sifa kila siku ya maisha yetu.
Safi sanaa, hongera kwaya na waandaaiji🙏🙏🤔
Aise wimbo umenikumbusha mbali sana .hongereni sana kwaya kwakwutuburudisha na kutupa tafakari ya neno la mungu.mbarikiwe