MPIGIENI MUNGU KELELE ZA SHANGWE (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Wimbo uliotungwa naye Felician Albert Nyundo (FAN) +... Wimbo ulioimbwa na kujulikana na wengi miaka kadhaa iliyopita na hata sasa bado unapendwa na walio wengi. Kwaya ya Mtakatifu Boniface Askofu na Shahidi kutoka Parokia ya Moyo Mtakatifu wa Yesu, Sombetini, Jimbo kuu Katoliki la Arusha, wanatushirikisha wimbo huu na wanatualika tumwimbie Mungu na tumpigie Kelele za shangwe.Ni Maneno Matamu kabisa kwa anayependa kumsifu Mungu. Tumwimbie Mungu wetu, naye ata Mimina neema zake katika maisha yetu. Ni neema ya Mungu inayotufanya tuwe tulivyo hivyo tushiriki kikamilifu katika kumwimbia. Bwana unibadili niweze kuacha yote nikutumikie wewe, niweze kukuimbia wewe wimbo ulio bora, niweze kuwa miongoni mwa wateule wako.Karibuni sasa muweze kusikiliza na kutazama.Kwa watakaopenda kuwasiliana na kwaya hii, tumieni namba +255 754 628 685 au +255 754 759 428#kwayakatoliki #mimina neema #bwanaunibadili #manenomatamu

Комментарии • 668

  • @martinmuthuitito4844
    @martinmuthuitito4844 4 месяца назад +19

    I put this comment here so after a month or a year when someone likes it it reminds me of this beautiful song

  • @KarugabaWilson
    @KarugabaWilson 2 месяца назад +8

    2024 bado tunasikia?

  • @sofialinus8241
    @sofialinus8241 4 года назад +160

    Unyenyekevu100%
    Utulivu100%
    Mavazi100%
    Najivunia kuwa Catholic
    Kazi nzuri, ujumbe mzuri nabarikiwa Sana🙏🙏🙏

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 3 года назад +17

    Mwimbieni Mungu kelele za shangwe nchi yote imbeni utukufu wake,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu......matendo yako yanatisha kama niniiiiiiiii tukuzeni sifa zake Mungu Mkuu.Nyimbi hii ukiimbwa kanisani,kanisa lote linalipuka kwa shangwee hasa watu wazima wa miaka ya nyuma lazima waimbe.Naziomba kwaya zijaribu kuimba nyimbo zinazoweza kuibwa na kanisa lote.Mubarikiwe wanakwaya kwa wimbo huu

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 4 года назад +15

    Naipenda dini yangu Roman Catholic Jimbo la Arusha,parokia ya sombetini😘😘😘

  • @fidelenzambimana6980
    @fidelenzambimana6980 4 года назад +9

    Mimi ni murundi .Nabarikiwa sana nanyimbo nzuri kama hizi .Hongereni sana waTanzania.Tumsifu Yesu Kristu

  • @meresinantibakakazi1722
    @meresinantibakakazi1722 3 года назад +6

    Wakatoriki wote tumsifu yesu kristo

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 5 месяцев назад +2

    Hongereni sana wanakwaya mmeutendea haki na mmependeza sana ❤

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910 3 года назад +89

    I remember attending Mass at St. John the Evangelist Church, Langa'ta Nairobi as a young seminarian. Even in the next life I will still proud to be a Catholic, and a Catholic priest for that matter. God bless your beautiful voices.

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 4 года назад +4

    Hivi kwa nyimbo kama hizi, nzuri namna hii, hivi bado utaniambia shetani bado yupo, kweli? Atakuwa amekimbilia mbali mno hata hataki kuzisikia hizi sauti. Hakika Mungu ametamalaki. Mr.Tumaini, hai Meku, hongera kwa Kinanda murua.

  • @jacklinedavid1549
    @jacklinedavid1549 4 года назад +13

    Was reading the Bible n found out this song is from psalms 66 (zaburi 66) no wonder i love it so much 😇

  • @annehpascal976
    @annehpascal976 4 года назад +20

    Rajo Mungu aendelee kukutumia kueneza injili yake.Ina bariki sana kuona kazi ya mungu inapambwa na kutengenezwa kwa ujuzi mkubwa,hongereni pia familia ya mt. Boniface kwa kazi nzuri hakika mmefanya vizuri mungu awabariki nyote.

  • @janet4real.47
    @janet4real.47 3 года назад +44

    May God Bless everyone who listens to this beautiful song.Amen🙏

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 4 года назад +4

    Utukufu wako Mungu n mkuu ,tukuzeni sifa zake Mungu mkuu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ednadaniel3026
    @ednadaniel3026 4 года назад +4

    Kazi nzuri waimmbajii wazuri hakii najivunia ukatoliki wangu💥💥💥💥

  • @lawrencesilas3050
    @lawrencesilas3050 4 года назад +5

    Hakika kazi nzur hongeren sombetin marafik zangu...hongera rajo production wimbo ni mzur na unanikumbusha mbal sana

  • @yudakitengesondanu808
    @yudakitengesondanu808 4 года назад +4

    hongereni sana watoto wangu kazi nzuri mmno Mungu azidi kuwaimarisha siku hadi siku ili injili yake isonge mbele

  • @WanguiAbigael
    @WanguiAbigael Месяц назад +1

    Asante Kwa wimbo mzuri👍👍❤❤

  • @geraldinabakalalile5325
    @geraldinabakalalile5325 Год назад +3

    Hakika hakuna kama Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo

  • @sophiachaula4825
    @sophiachaula4825 3 года назад +3

    Najivunia kuwa mkatholic nawapenda sana waimbaji mko vizuri utulivu asilimia Mia, Mungu awabariki

  • @qorropeter1359
    @qorropeter1359 4 года назад +12

    Mko juu sana kwaya ya mt boniface sombetini, mungu azidi kuwainua kwenye uimbaji wenu, namwona Hugo akidunda big up, mwambieni Mungu matendo yake yanatisha km nn,
    Rajo ni production ni noma big up

  • @cleophasomondi5475
    @cleophasomondi5475 4 года назад +213

    Likes za Kuwakilisha Kenya zije...

  • @elizabethmwikali7873
    @elizabethmwikali7873 4 года назад +4

    Sauti tamu mafazi nzuri unyenyekevu ...utaratibu mzuri.. MUNGU azindi kuwabariki

  • @cletusmwanauta9798
    @cletusmwanauta9798 Месяц назад

    Pumzika kwa amani mtunzi wa wimbo huu Felician Nyundo,umeendelea kutuinjilisha japo haupo ktk uso wa dunia.
    Wimbo bora kabisa

  • @andrewmsunga9425
    @andrewmsunga9425 4 года назад +3

    kila ninapousikia huu wimbo mwili unanisisimka, Mungu amrehemu mtunzi mwalimu F.A NYUNDO

  • @neemabernad4329
    @neemabernad4329 2 года назад +3

    Inanibariki sana hii nyimbo najikuta namtukuza Mungu na ukuu wake ni MKUU.🥰🙏

  • @nicaschuma9652
    @nicaschuma9652 4 года назад +5

    Woyooooo..Bonge la production.. Big up kijana Swai kwa kupiga Kinanda kizuri cha kikatoliki.

  • @AmosiKalunde
    @AmosiKalunde 8 месяцев назад +2

    SIYO NYIMBO ZA MASEBENE, MAJASHO, HIZI NDIZO NYIMBO ZA IBADA BE BLESSED SAAAANA

  • @emanuelumbe6320
    @emanuelumbe6320 4 года назад +5

    Hongereni sanaaaaa, huu wimbo nimeutafuta mda mrefu sana hatimae nimeupata , asanteni mbarikwe

  • @helenasulesule2163
    @helenasulesule2163 4 года назад +4

    Hongereni sana kwautume wenu mwenyezi mungu awabariki sana

  • @jennifertemba2837
    @jennifertemba2837 4 года назад +9

    Hongeren sana mungu awabarki mmeimba vizur mno

  • @vincentmarvin9210
    @vincentmarvin9210 4 года назад +10

    Maneno matamu sana na wimbo unabariki sana

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 5 месяцев назад +2

    TYK Wimbo huu nimeanza kuusikia mwaka 1996 you can imagine nikiwa mdogo sana lakini hadi leo sichoki kuusikiliza...Hakika Mungu wetu ni mkuu na matendo yake yanatisha.

  • @st.camillusspecializedclin8775
    @st.camillusspecializedclin8775 4 года назад +16

    I had never get tired listening to this song... Sometimes I even shed tears, Matendo ya Mungu Ni makuu daima... Mbarikiwe Sana sana

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 3 года назад +4

    Ninayoweza sema kwa sasa, mungu nimekuona,nimeuona mkono wako. Mama Maria, asante kwa kuniombea. Nimeiona miujiza. Mungu matendo yako yanatisha,Asante,ndio ipo tu moyoni mwangu.Mungu assante.

  • @holydaykitomary9298
    @holydaykitomary9298 Месяц назад

    Hakina kupitia huu wimbo nilipata namna nzuri yakuendelea kutukuza ukuu wa Mungu kwa anayonitendea😊

  • @faustaseki5350
    @faustaseki5350 4 года назад +4

    Kwakweli wimbo mmeutendea haki, Roho wa Mungu awe nanyi daima, na mdumu katika UTUME. Barikiwa nyote

  • @janethmwacha5208
    @janethmwacha5208 4 года назад +4

    jamani kwa kweli mmeimbaaaaa,atukuzwe mungu milele na milele matendo yake yanatisha kama nini hakika ni mkuu

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 3 года назад +3

    Munamuimbia Mungu vizuri sana

  • @remmymuema8871
    @remmymuema8871 4 года назад +16

    Best version of this song ever! My mother in Heaven, Tuzidi kumpigia Mungu kelele za shangwe... May you continue rejoicing and singing for the Lord as you enjoy paradise. St Cecilia patron saint of all singers, be our pillar in praise and worship now and forever more... Ahimidiwe sana Mungu Mkuu!!!

    • @KalekyeMaggie
      @KalekyeMaggie 4 года назад

      Amen..may our mother continue resting with the angels..dearly missed

    • @remmymuema8871
      @remmymuema8871 2 года назад

      @@KalekyeMaggie Amen!

  • @RichardRaphael-d6v
    @RichardRaphael-d6v 26 дней назад

    Nimebalikiwa sana nawimbo huu,wakatoriki tupende vyakwetu nivitamu sana

  • @susanldohlchodo4589
    @susanldohlchodo4589 3 года назад +10

    Matendo Yake yatisha sana..
    I felt the presence of the Holy Spirit when listening to this annointed song..Utukuzwe na Uhimidiwe ee Mungu🙏🏼🙏🏼

  • @victorololo9902
    @victorololo9902 5 месяцев назад +1

    nostalgic inanirudisha Kanisa la Bikira Mama wa shime Makupa.....naskia harufu tamu ya ubani

  • @gloriousnp
    @gloriousnp 4 года назад +72

    Mimi ni msabato naufurahia saana uimbaji huu maana unanibariki na kunifanya ni focus kwenye ujumbe zaidi. Mungu wa mbinguni akawabariki na kuwainua mpaka mshangae 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
    Sauti zote zinasikika
    Grab your earphone , thank me later 🤗
    Mtukuzeni sifa zake Mungu mkuuu🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @anithakisaka6767
    @anithakisaka6767 4 года назад +4

    Hongeren wana Boniface mpo juu sanaaaa

  • @raylaurent4389
    @raylaurent4389 4 года назад +11

    Hakika matendo yako yanatisha kama nini... Tutakutukuza daima Mungu mkuu..
    Asanteee sana kaka Ray Ufunguo..
    Salaam kutoka Berlin Ujerumani....

  • @tempochoir
    @tempochoir 9 месяцев назад

    Nimerudia kuangalia mara nyingi hongereni sana mmefanya vizuri mno.

  • @bbylai3359
    @bbylai3359 4 года назад +2

    Hakika kweli mungu ni mkuu,kazi nzuri sana na nawapenda wote mlioshiriki kwa moyo🥰🥰🥰🥰🥰

  • @sofiamauwa7146
    @sofiamauwa7146 3 года назад +2

    Mungu awabariki kwa wimbo huu nzuri na wenye kumsifu mungu.salamu ziwafikie mlipo.from congo Kinshasa.

  • @berthalyimo6216
    @berthalyimo6216 2 года назад +1

    Hatimae nimeupata huu wimbo baada ya kuutafuta kwa mda mrefu!!!

  • @phoebea8061
    @phoebea8061 4 года назад +2

    Matendo yako yanatisha kama nini Mungu mkuu! Halleluhya

  • @fl11737
    @fl11737 4 года назад +3

    Wimbo mtamu, sauti nyororo hakika
    Mbarikiwe kwa kazi nzuri munayoifanya🙏🙏

  • @mafurufrancis9150
    @mafurufrancis9150 4 года назад +2

    Jamani huu wimbo ni wa motooo!! Kila mtu amefanya sehemu impasayo kwa uzuri. Wimbo unagusa sana huu, Mungu awabariki sana.

    • @olivatheonest9233
      @olivatheonest9233 4 года назад

      Mungu awabariki 🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️🌧️

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 Год назад +1

    Mungu akubariki sana watumishi wako hawa kwa kulitanganza jina lako kwa nyimbo mama bikira maria yesu kristor wangu uwa simamie katika imani

  • @gervasshepi6351
    @gervasshepi6351 4 года назад +2

    Moja ya nyimbo nilizowahi kuzipenda na imedumu kwa muda sana

  • @damianjames320
    @damianjames320 Год назад

    Jamaniii mpiga kinanda ubarkiwe sana pamoja na wanakwaya wote 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 4 года назад +3

    Kweli ukifikiria matendo ya Mungu yanatisha sana!

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 4 года назад +4

    Oyooooo kumekucha 😍😍😍 sauti imetulia uwiiiiii meuwa Sana😘😘😘

    • @jonathankimai8474
      @jonathankimai8474 3 года назад

      A very nice,composed thanksgiving song,Ive never and will never get enough of this song.It cools my spirit.

  • @dennismurage970
    @dennismurage970 4 года назад +4

    Wooow wooooow wooow i just like this, nice creativity @Rajo production 👌👌

  • @enilickmgani1608
    @enilickmgani1608 4 года назад +2

    Radhaa ya mzikiiii kaz nzurii utume wa uimbaji hata mbinguni.

    • @emmanuelalute6835
      @emmanuelalute6835 3 года назад

      Wimbo wa karne zote.....Hauchuji hata kidogo, pongezi sana Wanakwaya wetu mmeimba vizuri sana....Mbarikiwe kwa kazi njema ya uinjilishaji.👍👍

  • @NabuguziEveline
    @NabuguziEveline 3 месяца назад

    ❤ mungu a wabarik sana naniko namiss maombi nakuimba Kwa eklezia

  • @rokizenaufunguo9953
    @rokizenaufunguo9953 4 года назад +4

    Hujawahi Fanya makosa Rajo hongera broo

    • @rajopro
      @rajopro  4 года назад +2

      Asante sana....

    • @gettoboytz4879
      @gettoboytz4879 4 года назад

      KAKA RAJO NAOMBA NAMBA YAKO 0713060003 NAPATIKANA MOSHI ASNTE PLZ

    • @rajopro
      @rajopro  4 года назад

      @@gettoboytz4879 0758988827

  • @naomimuli474
    @naomimuli474 3 года назад +10

    Among my best Catholic hits, God bless your good job&your efforts.

  • @veronicakioko4520
    @veronicakioko4520 10 месяцев назад +1

    Huu wimbo hakika unahifadhi amani katika nyoyo zetu.pongezi Sana.

  • @abelwaf
    @abelwaf 4 года назад +2

    Wimbo mtamu ajabu... Studio nazo mnajua mnachofanya Kongole!

  • @godwinojiambo9764
    @godwinojiambo9764 2 года назад +5

    Thank you for leading us in kumwimbia Bwana kelele za shangwe 😍😍🇰🇪🇰🇪

  • @paulmziba1060
    @paulmziba1060 4 года назад +3

    Kazi nzuri mno hataree....
    .hongera sana kwa waimbaji na studio

  • @fr.Josephat-SharingGodsLove
    @fr.Josephat-SharingGodsLove 2 года назад

    Hongereni..tuendelee kumsifu Mungu kwa Shangwe

  • @flipaclipanimationz6790
    @flipaclipanimationz6790 4 года назад +2

    Hakika matendo yake Mungu yanatishaa! Hongereni mnooo kwa uimbaji mzuri.Mwalimu Nyundo Mungu akutunze.

  • @deogratiusassey8910
    @deogratiusassey8910 4 года назад +4

    Da safi sana kaka! rajo unatisha mzeeeee!

  • @fredfidelis1067
    @fredfidelis1067 4 года назад +3

    Mimi sio wa dunia hii .... I like this song deadly

  • @pascalshiwa8876
    @pascalshiwa8876 4 года назад +6

    Ee mungu wangu. Nibariki nawimbo huu mtakatifu. Proud to be catholic

  • @gaufensiakosmas9962
    @gaufensiakosmas9962 4 года назад +1

    Hongereni sana kwa kuyatumia vizur maarifa mlio pewa na MNGU ujumbe mzir sana MNGU awazidishie zaid najivunia kuwa mkatorc

  • @ryanpaul1948
    @ryanpaul1948 4 года назад +7

    Am proud to be a catholic

    • @genovevashitsama3831
      @genovevashitsama3831 4 года назад

      Am proud to a Catholic nyimbo inanituliza roho yangu asanteni sana sana choir nzima na mtunzi mungu awabariki

  • @msokasgallery8323
    @msokasgallery8323 4 года назад +12

    Safi sana waimbaji, mmeutendea haki wimbo! Hongera na kwenu RAJO PRODUCTIONS, you always do the best Ray. You are simply the best brother, better than all the rest. God bless you more.

  • @pianamkai4620
    @pianamkai4620 7 месяцев назад

    Inanikumbusha xul,, st francis🙏🙏🙏🙏😘😘😍

  • @NkomokomoMedia
    @NkomokomoMedia 4 года назад +3

    Asanten kwa kutukumbusha enzi zileeeeee pongez pia kwa injinia Mpiga Kinanda namkubali kinoumaaaaaa sana
    Saluti Rajo production

  • @PeterMshali
    @PeterMshali Месяц назад

    Nawapata vizuri toka Ngusero, Mungu awabariki

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 3 месяца назад

    🙏Mwambieni Mungu matendo yake yanatisha Kama nini

  • @carolinechitere6948
    @carolinechitere6948 3 года назад +3

    Wimbo mzuri,Sauti tamu na zakupendeza sana.

  • @marymacharia9627
    @marymacharia9627 2 года назад +1

    Waooooo,matendo ya mungu yanatisha kama nini

  • @benjaminwankabaphilipo9762
    @benjaminwankabaphilipo9762 3 года назад +1

    Mungu mnae mtumikia awape nguvu muitangaze injili yake kwa bidii

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki980 3 года назад

    Amen God is greater
    Anaye sema catholic hatuna Prise and worship aendelee kujidanganya hivyohivyo nafsi yake

  • @melkiorymarandu1850
    @melkiorymarandu1850 4 года назад +1

    Dah, nimeishiwa maneno ya kusema, ila hongereni mno. Organist kunywa soda nakuja kulipa.

    • @rajopro
      @rajopro  4 года назад +1

      Tunamshukuru Mungu... Asante kwa comment yako Ndugu yetu Melkiory Marandu.

  • @deusdedithkweka5899
    @deusdedithkweka5899 3 года назад +1

    Mbarikiwe sana wanasombetini kwa kazi nzuri sana. Mungu wa mbinguni azidi kuwainua...hongera sana pia kwa RAJO PRODUCTION a.k.a fundi (mwinue Mungu kwa kipaji chako brother na matunda yake utayaona na kuyafurahia)

  • @dennismlula5019
    @dennismlula5019 Год назад

    Matendo ya MUNGU wetu kweli ni makuu!

  • @petrokapinga2201
    @petrokapinga2201 4 года назад +2

    Piga kelele Mwambieni Mungu Matendo Yako yanatisha kama nini Mbarikiwe sana sna kwa kazi nzuri

  • @fabianmpangala4397
    @fabianmpangala4397 4 года назад +1

    Raymond hongera sana kwa utendaji wenu hapo RAJO Production,

    • @rajopro
      @rajopro  4 года назад

      Asante sana Saimon

  • @johnm.sianturi7225
    @johnm.sianturi7225 3 года назад +7

    Hallelujah... Praise the Lord. Thanks for your choir.
    I am a Catholic from Indonesia. We hope any translation in English.

    • @felisterkokuberwa5783
      @felisterkokuberwa5783 3 года назад +1

      Amen that our almighty God be praised ,honour how grateful his,turned a way in ocean ,so so and so

    • @petervincentk
      @petervincentk Год назад

      Psalm 66

  • @gerrardmselle9466
    @gerrardmselle9466 4 года назад +1

    Woooww nyimbo nzur sana mbarikiwe wanakwaya wa Mt bonifance sombetin

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank1326 4 года назад +4

    Wimbo mzuri, kuna haja pia ya kurudia nyimbo nyingine za zamani

  • @salustianndonye3155
    @salustianndonye3155 2 года назад +2

    I think it is my 100th time to listen to this beautiful song!

  • @sopy3055
    @sopy3055 2 года назад +1

    Matendo yako kwel yanatisha Mungu. Utukuzwe Mungu mkuu♥️ amina

  • @jastinmbinda5926
    @jastinmbinda5926 4 года назад +1

    Rajo mbarikiwe sana kwa kazi zenu zuri sana

  • @sikubwaboJNepo
    @sikubwaboJNepo 9 месяцев назад

    Wimbo muzuri sana .Hongera na sauti zenu nzuri sana. But I beg music sheet .Mshabiki wenu kutoka Rwanda❤

  • @charlesbernard5787
    @charlesbernard5787 4 года назад +2

    Nitaziimba milele na kutukuza sifa zake Mungu. Amina

  • @ScholasticaMayomba
    @ScholasticaMayomba Месяц назад

    Very nice Catholic song listeaning keep it up ❤❤❤❤

  • @martinwachira408
    @martinwachira408 4 года назад +1

    Napenda huu wimbo sana. Bwana Mungu atukuzwe na azidi kupewa sifa kila siku ya maisha yetu.

  • @josephambrose2215
    @josephambrose2215 2 года назад

    Safi sanaa, hongera kwaya na waandaaiji🙏🙏🤔

  • @leonavivian6036
    @leonavivian6036 4 года назад +1

    Aise wimbo umenikumbusha mbali sana .hongereni sana kwaya kwakwutuburudisha na kutupa tafakari ya neno la mungu.mbarikiwe