Nitakwenda Mimi Mwenyewe | Sauti Tamu Melodies | wimbo wa Matoleo (Skiza 7482440)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2020
  • Nitakwenda Mimi mwenyewe nikatoe sadaka kwa Bwana
    Aliyeniumba mimi hadi nikapendeza
    Kaniumba kwa mfano wake kuliko viumbe vingine na sasa nikatoe shukrani
    Mtunzi: I Myaga
    Mtayarishaji: Martin Mutua Munywoki
    Tazama pia Anayekula Mwili wako, Twimbe kwa shangwe na furaha, Nijaposema kwa Lugha, pamoja na Nimeahidi Yesu. Sasa zimo humu
    #SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipendwa
    Nyimbo nyingine za sadaka maarufu ni pamoja na Wanameremeta (Bernard Mukasa) Nikupe Nini Mungu wangu cha kukupendeza, Sasa wakati umefika, Tazama Bwana tunakuja kwako, Vipaji hivi ni kama dhabihu, sadaka yangu kwako ee Mungu, Utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe, Mungu Baba pokea sadaka yetu leo, nitakwenda mimi mwenyewe na Sala yangu na ipae mbele yako
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @amanichristopher719
    @amanichristopher719 3 года назад +64

    Ninautazama huu wimbo kutoka Dar es Salaam Tanzania muda huu na ninajiskia ninayebarikiwa moyoni mwangu kwa maneno matamu ya mtunzi I Myaga na waimbaji wazuri wa Kwaya hii. More likes for the singers. I love you all.

  • @AnisiaKarimi-rv4ml
    @AnisiaKarimi-rv4ml 3 месяца назад +4

    Catholic never disappoints

  • @mutheriannah2562
    @mutheriannah2562 Месяц назад +1

    ❤❤ very nice,,,, 👍👍 catholic forever🎉🎉🎉🎉

  • @winniebecker1297
    @winniebecker1297 Год назад +16

    Hello Sauti tamu. Please don't stop producing this beautiful songs. No matter how the change of taste of gospel music is. Believe me , original is un replaceable. I danced this songs as a small kid. And liste all of the them alot . All the time Especially when I am.on Holidays. ❤

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад +1

      Thank you so much, we will

  • @BeatriceKavira
    @BeatriceKavira 2 месяца назад +3

    Napenda sana nyimbo zenu❤❤❤ naishi RDC à goma

  • @pasilisajerono7409
    @pasilisajerono7409 3 года назад +16

    O God strengthen my catholic believes.

  • @phoneuser1852
    @phoneuser1852 Год назад +2

    I really like that song" be blessed

  • @kirinyetjanet3294
    @kirinyetjanet3294 3 года назад +12

    sauti tamu!! Indeed. Am blessed

  • @lucymuga3849
    @lucymuga3849 2 года назад +14

    Catholic songs are the best I'm so proud to be a Catholic

  • @rebeccakanyerere7725
    @rebeccakanyerere7725 3 года назад +53

    I play this everyday. Thanks for the blend of voices. Ooooh 😍 how I love my church. The holy Catholic Church.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +5

      Thank you. God bless you

  • @josephkintu5006
    @josephkintu5006 Месяц назад +1

    Am proud to be a catholic

  • @user-um9hk6sx9b
    @user-um9hk6sx9b 4 месяца назад +1

    Nitakwenda Mimi mwenyewe,nabarikiwa Sana na wimbo huu moyoni mwangu.asanten Sana sauti tamu nawapenda sana

  • @kimanijohn9529
    @kimanijohn9529 3 года назад +6

    Aliyeniumba mimi mungu wangu,,,,, asanteni Sana, tunawaombea, proud to be a Catholic

  • @dorothyanyango4142
    @dorothyanyango4142 3 года назад +44

    Catholic songs never get old, never bore, never tire. They are smooth, nice to listen to. Both the beats and the rhythm are sweet...❤❤❤❤
    I love being a catholic.

  • @winfredwayua21
    @winfredwayua21 Месяц назад

    Naona neighbor wangu Michael, amen I'm blessed 🙏

  • @paschaldamian4597
    @paschaldamian4597 3 года назад +2

    Sauti nzr ujumbe mzr hogereni sanaaaaaaa

  • @edwardsimiyu7239
    @edwardsimiyu7239 3 года назад +9

    Catholic is always in hearts and young blood never left it even if I joined protestant. I love Christ to bits.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      🙏🙏🙏 Asante Edward

    • @georgeasalla8542
      @georgeasalla8542 3 года назад +3

      Rudi mtumishi utaharibu masikio na spika kubwakubwa

  • @makayagajude6743
    @makayagajude6743 Год назад +7

    Am in Uganda we love this song keepit up sauti tamu

  • @BERTHERALEX
    @BERTHERALEX 11 месяцев назад +2

    Naamini nabarikiwa na huu wimbo, naskiliza huu wimbo kutoka Musoma.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  9 месяцев назад

      Shukrani Berther

  • @musyoniruth
    @musyoniruth 2 месяца назад +1

    Very sweet nasikiza nikiwa St combining utawala

  • @oleshira
    @oleshira 2 месяца назад +6

    Nashukuru Mungu kwa Kuniumba hadi nikapendezaa. Na sasa Natoa Shukrani

  • @georgeasalla8542
    @georgeasalla8542 3 года назад +48

    Ukitaka kuamini kuwa hii ndo kanisa aliloacha Bw Yesu,soma bibilia,""Petro wewe ndiye mwamba wangu na juu yako nitalijenga kanisa langu takatifu""

  • @muthomindumba5225
    @muthomindumba5225 Год назад +2

    A beautiful catholic wife is here ❤waiting

  • @TheAmbassedor
    @TheAmbassedor 2 года назад +1

    Mwalimu Tom Daktari made me camp here. 🏕

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Awesome, welcome to Sauti Tamu fraternity

  • @waruikaguongo8211
    @waruikaguongo8211 2 года назад +4

    So so nice,mimi siwezi toka hapa

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Asante sana Warui, ubarikiwe

  • @lucymunyao8034
    @lucymunyao8034 3 года назад +4

    Aliyeniumba mm mungu wangu🥰😘

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Beautiful song, blessings

  • @josephkaranjakuria5371
    @josephkaranjakuria5371 Год назад +2

    Rwimbo mtamu kweli. Umepangwa ukapangika..... Sauti nyororo kabisa.... Nauenzi❤

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад +1

      Shukrani sana Joseph, ubarikiwe

  • @josphatbayyo1926
    @josphatbayyo1926 3 года назад +2

    Aliyeniumba mm, Mungu wangu kwa kuniumba mm nikapendezaaa, Ee, Mungu Wangu neno langu moja kwako "unirehemu" kwa njia ya mwanao Yesu Kristu,,, Amina daima!!!

  • @BenardOdhiambo
    @BenardOdhiambo 3 года назад +34

    Heavenly angelic voices. Wimbo mtamu and soothing to the soul. Isn't it just beautiful and a blessing being Catholic!

  • @iankiduduukidushtm5334
    @iankiduduukidushtm5334 3 года назад +13

    Catholic is just Catholic filled with Acumen ' really, the song has a very strong Melody infact melodious I agree that it's one in every church the best & considered, perhaps. We should only but therefore embrace this huge & effective songs with quite a good motive for it is our pillar of 🔥fire to keep us warm. As for that it's fair as the 🌕 moon , bright as the 🌞 sun & terrible as an arming set in battle array, Shallom🤍🙏🤍

  • @emmanuelsenge4672
    @emmanuelsenge4672 11 месяцев назад +1

    NAUPENDA SANA HUU WIMBO

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  9 месяцев назад

      Shukrani sana, ubarikiwe

  • @philyskasaya7317
    @philyskasaya7317 2 года назад +2

    Amen napenda catholic songs wimbo mtamu

  • @joankayemba6798
    @joankayemba6798 Год назад +4

    Am addicted to this song, however much I don't understand Swahili that much

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад

      Thank you so much Joan.
      Be blessed

  • @danielopala2212
    @danielopala2212 2 года назад +7

    Much love from 🇺🇬🇺🇬 thanks alot for smooth voices, every day it sounds new

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Thank you Daniel, be blessed

  • @NgirenteAphrodiss
    @NgirenteAphrodiss 5 месяцев назад +1

    Ndabakunda cyane nyagasani abahe umugisha from rwanda

  • @charlesowuorganda5752
    @charlesowuorganda5752 Год назад +2

    ❤ I'm proudly catholic

  • @mathildemwangaza109
    @mathildemwangaza109 3 года назад +3

    So sweet proud to be a Catholic

  • @jonesonchonga6910
    @jonesonchonga6910 3 года назад +3

    AMINA MBARIKIWE SANA KWA WIMBO MTAMU 100%

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 3 года назад +2

    Hizo sauti zimejichuja hadi raha. Zote zinazikima vema. Hongeren sana kwa utume

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Shukrani, be blessed

  • @enockmabulls
    @enockmabulls 3 года назад +2

    Baraka za Mungu baba ziwashukie daima na milele kwa kazi njema mnayoifanya nyimbo na sauti zenu zaniinua kiroho🔥🔥🔥🔥🙏

  • @yassinirashidi2955
    @yassinirashidi2955 3 года назад +3

    Safi mung awabaliki

  • @kuleadolf3304
    @kuleadolf3304 Год назад +3

    May the name of God be magnified. Am pleased

  • @rosebeauty700
    @rosebeauty700 3 года назад +2

    Mungu wangu wakuniumba ili nikapendeza 😂😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥😍😍😍🙏

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      🙏🙏🙏

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 3 года назад +1

      karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
      ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html

  • @ownlaboratory4817
    @ownlaboratory4817 3 года назад +1

    Mungu awabariki kwa kuimba vizuri sana

  • @janeoturi1707
    @janeoturi1707 Год назад +3

    It inspires me a great deal .

  • @okongostephenv5421
    @okongostephenv5421 3 года назад +3

    Thanks to God who created me

  • @msmumbua-6855
    @msmumbua-6855 3 года назад +2

    sauti tamu kweli...nyuso zapendezaaaaaaa

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Shukrani, ubarikiwe

  • @anotamaggie4590
    @anotamaggie4590 3 года назад +1

    So nice song, huwa inanibless Sana , mubarikiwe sana wanakwaya

  • @corneliusmuteti6454
    @corneliusmuteti6454 3 года назад +3

    Kazi nzuri.. Baraka tele...

  • @muyamacatherinemuyama3190
    @muyamacatherinemuyama3190 2 года назад +4

    Am proud of being a Catholic 🙏🙏🙏

  • @ezekielmatinya8314
    @ezekielmatinya8314 3 года назад +1

    Nyimbo nzuri mnoo yaani na inahamasisha kumtolea Mungu wangu sadaka

  • @speciozamethod6554
    @speciozamethod6554 3 года назад +1

    Nanyimbo za shukrani kama ninenojema kumshukuru bwana za ngurumo tunazingonja kwa hamu

  • @gilbertmwancha2777
    @gilbertmwancha2777 3 года назад +3

    Hakika Roho mtakatifu awaongoze

  • @kafulyawilson8567
    @kafulyawilson8567 3 года назад +3

    Aliyegusa kinanda Mungu anamuona........ Haki imatendeka pia kwa sauti zote zinasikika.... Well done!!! Nimekuwa nafuatilia Sana kazi zenu.... Kuna kitu mmefanikiwa kimuziki..... Hongereni saaaaaana

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Woow Asante sana Wilson. Mungu akubariki

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 3 года назад

      karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
      ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html

  • @johnochan6175
    @johnochan6175 3 года назад +1

    Nyimbo huu hutoa ujumbe bora sana.

  • @salomenyongesa215
    @salomenyongesa215 3 года назад +1

    What a nyc song,woou

  • @simonkarega2714
    @simonkarega2714 3 года назад +4

    Sauti nzuri Sana . Hongera. Naipata kwa njia Safi hapa Afghanistan.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Asante Simon🙏🙏🙏

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 3 года назад +6

    Wooow, best song with best choir
    Love you and may God bless you
    Hope mtatoa pia Twende wote tukatoe sadaka,naipenda pia
    Much blessings

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Much blessings to you too Belinda

  • @shemsamselem6857
    @shemsamselem6857 3 года назад +1

    Nawapenda sana.sauti zenu zinavutia Mno.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Asante Shemsa, ubarikiwe

  • @ijueimanikatoliki980
    @ijueimanikatoliki980 3 года назад +2

    Jamani msije mkabadilika mkaanza kutuletea nyimbo za masebene! Endeleeni hivihivi!
    This song remind me 1998 hakika!
    ALIYE NIUMBA MIMI MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA HADI NIKAPENDEZA.. BE BLESSED
    NO ONE LIKE CATHOLICS🙏🌹

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Shukrani, Ubarikiwe

    • @LydiaWangari
      @LydiaWangari 3 года назад +1

      🤣🤣🤣🤣 masebene

    • @ijueimanikatoliki980
      @ijueimanikatoliki980 3 года назад +1

      @@LydiaWangari for sure nachukia nyimbo za Fujo hasa za watu wa Arusha

  • @indiremoses8979
    @indiremoses8979 3 года назад +4

    Kazi nzuri hii..,

  • @annahouko447
    @annahouko447 3 года назад +3

    Mashalla watching from Saudi Arabia

  • @mugoshilinet587
    @mugoshilinet587 3 года назад +1

    Nashukuru Mungu kwa kuniumba🙏🙏

  • @josephnyangoya2492
    @josephnyangoya2492 3 года назад +1

    Napenda huu wimbo sana

  • @kiggbrianvimm7485
    @kiggbrianvimm7485 3 года назад +5

    You don.t know the times i.ve played this song. I love this alot

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Woow, blessings to you

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 3 года назад +4

    I like Catholic church choirs it touches my heart 🎹🎼💃💃💃

  • @elliasampa8866
    @elliasampa8866 3 года назад +1

    Wimbo mzuli sana mbalikiwe sana

  • @catherinekimani3962
    @catherinekimani3962 10 месяцев назад +2

    This is so good 😊 🎉

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  9 месяцев назад

      Thank you Catherine

  • @lucasmwaurafama9349
    @lucasmwaurafama9349 3 года назад +4

    One of the best of the best.🙏🙏🙏👏👏👏

  • @catherinewanja7402
    @catherinewanja7402 3 года назад +4

    Well done!!!!sweet and melodious.

  • @danielnjoroge4684
    @danielnjoroge4684 3 года назад +1

    Wao a nice sadaka song sweet voice kwanza altor be blessed chiromo campus choir na DJ tuko pamoja some catho

  • @johnmuthini2775
    @johnmuthini2775 3 года назад +1

    Jameni na mungu awambariki Kwa sauti zuri yakupendeza watching from vihiga county

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Shukrani, nawe ukabarikiwe

  • @Hubi10__X
    @Hubi10__X 2 года назад +4

    God Bless you! Same the best to the Kenyan people! Greetings from Poland

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Thank you so much Hubert, be blessed

  • @esthermakau8106
    @esthermakau8106 2 года назад +1

    Sauti ya pili sauti yangu.
    Gud song

  • @pateljuma1993
    @pateljuma1993 2 года назад +2

    Oyeeeeeeeeee, Salaam Kutoka West Africa Liberia, Monrovia Mungu wabariki wote

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад +1

      Thank you Patel, pass our regards to Liberian community

    • @joycewanjiru176
      @joycewanjiru176 Год назад

      Patel nialike Liberia nitembee huko

  • @edtanneddie9330
    @edtanneddie9330 3 года назад +4

    J like that song, thanks alot choir

  • @harrsonwood5550
    @harrsonwood5550 3 года назад +5

    I have been looking for audio, video of this song finally it is there,my phone ringtone

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Awesome, be blessed

  • @mcagangocollins4297
    @mcagangocollins4297 3 года назад +1

    Aherooo

  • @annkanini9858
    @annkanini9858 3 года назад +1

    Waoh! Love this..Mungu awabariki.

  • @barrackotieno9974
    @barrackotieno9974 3 года назад +4

    Well done

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Thank you Barrack

    • @barrackotieno9974
      @barrackotieno9974 3 года назад

      @@SautiTamu kindly do " Twende soto nyumbani mwake "

  • @alicemwangi6238
    @alicemwangi6238 3 года назад +3

    Great choir UON

  • @donarsene
    @donarsene Год назад +1

    Nitakwenda 🙏🙏🙏

  • @mwendwamjukuu0027
    @mwendwamjukuu0027 3 года назад +1

    Hii nyimbo ni nzuri sana mubarikiwe🙏🙏🙏

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Asante. Ubarikiwe pia

  • @kodetjohnmark3267
    @kodetjohnmark3267 3 года назад +3

    Tamu Sana

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Asante Kodet, ubarikiwe

  • @moseswaweru5773
    @moseswaweru5773 3 года назад +4

    My favorite, av been looking for it all over!

  • @user-hv7tn9vy3u
    @user-hv7tn9vy3u 2 месяца назад

    Niko arusha Wimbo mzuri sanaaa

  • @brigidharrietmunayi8917
    @brigidharrietmunayi8917 Год назад +1

    MY SWEAT WAS NOT DISCLUDING THOSE AT THE HADGE BUT MOSTLY FAVOURING THEM AND DEFENDING THE RIGHTS AND WORK OF THE SISTERS OF MARY THST BROUGHT US UP IN MAYNY WAYS AND CONTINUE TO GIVE JOBS TO ALL THAT WORK AND COLLABORATE WITH THEM AS TO SEE OUR AREAS A HEAD WITH TIME.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад

      🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @rachaelkim7052
    @rachaelkim7052 3 года назад +4

    Wow............ Voices well blended especially soprano. Good work and smart . May God bless you.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Thank you Rachel.
      God bless you

  • @veromugo3481
    @veromugo3481 3 года назад +3

    Tamu sana kazi nzuri Sana😍😍😍

  • @elizabethmartine6277
    @elizabethmartine6277 2 месяца назад

    Mungu asante kwakuniumba mm hadi nikapendeza

  • @emilyoteri2492
    @emilyoteri2492 3 года назад +1

    Weuh lovely young ladies and gents...baraka tele

  • @mtegayuster9574
    @mtegayuster9574 3 года назад +3

    Good song .Hongera sana kwa uimbaji big up keep it up...really you blessed my heart

  • @carolinekirumba6700
    @carolinekirumba6700 3 года назад +10

    Indoors somewhere in gulf but the catholic in me is very much alive......
    Be blessed like I am blessed by this song....
    🙏🙏🙏🙏
    Merry Christmas in advance

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Be blessed Caroline, and Merry Christmas to you too

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 3 года назад

      karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
      ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Месяц назад

    Sweet, soft and natural voices, no exaggerations. So great!

  • @PhilomenaThadei
    @PhilomenaThadei 3 месяца назад

    Alyeniumba mm jamn kaniumba Kwa mfano wake Asante mungu

  • @veronkanini3556
    @veronkanini3556 3 года назад +3

    Woow amazing 👏👏👏a proud to a Catholic✌️

  • @kimanijohn9529
    @kimanijohn9529 3 года назад +7

    Words aren't enough to thank you guys, but I would say we serve a miracle working God, may he "lord" see you thru, be blessed all thru, proud to be a Catholic, watching from Maryland,

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Amen, be blessed

    • @neemaluisa
      @neemaluisa Год назад

      Goodmorning! How to use this song to be a ringtune to my phone always i fail

  • @johnkwanda632
    @johnkwanda632 Год назад +1

    Sauti tamu kweli na umaarufu wa hali ya juu Mungu awajalie muendelee kutunga nyimbo nzuri

  • @elizabethwanyonyi609
    @elizabethwanyonyi609 3 года назад +2

    Ah! Utamu gani huu? Asante kwa zilizopendwa hizi.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Asante🙏🙏🙏 ubarikiwe

  • @iamnkirote
    @iamnkirote 2 года назад +4

    I can never get enough of you Sauti Tamu, you are the best . Your producer too is just exceptional. Well done guys 👏👏❤

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Amen. Be blessed too