Nitakwenda Mimi Mwenyewe | Sauti Tamu Melodies | wimbo wa Matoleo (Skiza 7482440)
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2020
- Nitakwenda Mimi mwenyewe nikatoe sadaka kwa Bwana
Aliyeniumba mimi hadi nikapendeza
Kaniumba kwa mfano wake kuliko viumbe vingine na sasa nikatoe shukrani
Mtunzi: I Myaga
Mtayarishaji: Martin Mutua Munywoki
Tazama pia Anayekula Mwili wako, Twimbe kwa shangwe na furaha, Nijaposema kwa Lugha, pamoja na Nimeahidi Yesu. Sasa zimo humu
#SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipendwa
Nyimbo nyingine za sadaka maarufu ni pamoja na Wanameremeta (Bernard Mukasa) Nikupe Nini Mungu wangu cha kukupendeza, Sasa wakati umefika, Tazama Bwana tunakuja kwako, Vipaji hivi ni kama dhabihu, sadaka yangu kwako ee Mungu, Utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe, Mungu Baba pokea sadaka yetu leo, nitakwenda mimi mwenyewe na Sala yangu na ipae mbele yako Видеоклипы
Ninautazama huu wimbo kutoka Dar es Salaam Tanzania muda huu na ninajiskia ninayebarikiwa moyoni mwangu kwa maneno matamu ya mtunzi I Myaga na waimbaji wazuri wa Kwaya hii. More likes for the singers. I love you all.
Asante Amani. Ubarikiwe
Barikiwa sana
wimbo huu huwa unanipa faraja
Blessings
I luv the song,keep it up.
Catholic never disappoints
❤❤ very nice,,,, 👍👍 catholic forever🎉🎉🎉🎉
Hello Sauti tamu. Please don't stop producing this beautiful songs. No matter how the change of taste of gospel music is. Believe me , original is un replaceable. I danced this songs as a small kid. And liste all of the them alot . All the time Especially when I am.on Holidays. ❤
Thank you so much, we will
Napenda sana nyimbo zenu❤❤❤ naishi RDC à goma
Tunashukuru sana. Ubarikiwe
Favourite song
O God strengthen my catholic believes.
Amen
I really like that song" be blessed
Thank you so much
sauti tamu!! Indeed. Am blessed
Thank you
Catholic songs are the best I'm so proud to be a Catholic
Thank you Lucy
I play this everyday. Thanks for the blend of voices. Ooooh 😍 how I love my church. The holy Catholic Church.
Thank you. God bless you
Am proud to be a catholic
Nitakwenda Mimi mwenyewe,nabarikiwa Sana na wimbo huu moyoni mwangu.asanten Sana sauti tamu nawapenda sana
Aliyeniumba mimi mungu wangu,,,,, asanteni Sana, tunawaombea, proud to be a Catholic
Ubarikiwe pia
Catholic songs never get old, never bore, never tire. They are smooth, nice to listen to. Both the beats and the rhythm are sweet...❤❤❤❤
I love being a catholic.
Thank you Dorothy
Wwqwpewp22 2w
Sure
Naona neighbor wangu Michael, amen I'm blessed 🙏
Sauti nzr ujumbe mzr hogereni sanaaaaaaa
Asante Paschal
Catholic is always in hearts and young blood never left it even if I joined protestant. I love Christ to bits.
🙏🙏🙏 Asante Edward
Rudi mtumishi utaharibu masikio na spika kubwakubwa
Am in Uganda we love this song keepit up sauti tamu
Thank you Makayaga
Okitegeera I do love it bannange ❤❤❤❤
Naamini nabarikiwa na huu wimbo, naskiliza huu wimbo kutoka Musoma.
Shukrani Berther
Very sweet nasikiza nikiwa St combining utawala
Nashukuru Mungu kwa Kuniumba hadi nikapendezaa. Na sasa Natoa Shukrani
Ukitaka kuamini kuwa hii ndo kanisa aliloacha Bw Yesu,soma bibilia,""Petro wewe ndiye mwamba wangu na juu yako nitalijenga kanisa langu takatifu""
Amina
🙏🙏🙏🙏
A beautiful catholic wife is here ❤waiting
Yes o
Mwalimu Tom Daktari made me camp here. 🏕
Awesome, welcome to Sauti Tamu fraternity
So so nice,mimi siwezi toka hapa
Asante sana Warui, ubarikiwe
Aliyeniumba mm mungu wangu🥰😘
Beautiful song, blessings
Rwimbo mtamu kweli. Umepangwa ukapangika..... Sauti nyororo kabisa.... Nauenzi❤
Shukrani sana Joseph, ubarikiwe
Aliyeniumba mm, Mungu wangu kwa kuniumba mm nikapendezaaa, Ee, Mungu Wangu neno langu moja kwako "unirehemu" kwa njia ya mwanao Yesu Kristu,,, Amina daima!!!
Amina
Heavenly angelic voices. Wimbo mtamu and soothing to the soul. Isn't it just beautiful and a blessing being Catholic!
Thank you🙏🙏
Catholic is just Catholic filled with Acumen ' really, the song has a very strong Melody infact melodious I agree that it's one in every church the best & considered, perhaps. We should only but therefore embrace this huge & effective songs with quite a good motive for it is our pillar of 🔥fire to keep us warm. As for that it's fair as the 🌕 moon , bright as the 🌞 sun & terrible as an arming set in battle array, Shallom🤍🙏🤍
Thank you
Hw wonderful is the song
.....blessed i am
NAUPENDA SANA HUU WIMBO
Shukrani sana, ubarikiwe
Amen napenda catholic songs wimbo mtamu
Asante Philys
Am addicted to this song, however much I don't understand Swahili that much
Thank you so much Joan.
Be blessed
Much love from 🇺🇬🇺🇬 thanks alot for smooth voices, every day it sounds new
Thank you Daniel, be blessed
Ndabakunda cyane nyagasani abahe umugisha from rwanda
❤ I'm proudly catholic
Amen.
So sweet proud to be a Catholic
Amen
AMINA MBARIKIWE SANA KWA WIMBO MTAMU 100%
Ubarikiwe
Hizo sauti zimejichuja hadi raha. Zote zinazikima vema. Hongeren sana kwa utume
Shukrani, be blessed
Baraka za Mungu baba ziwashukie daima na milele kwa kazi njema mnayoifanya nyimbo na sauti zenu zaniinua kiroho🔥🔥🔥🔥🙏
amina, ubarikiwe
Safi mung awabaliki
Mungu akubariki pia
May the name of God be magnified. Am pleased
Amen
Mungu wangu wakuniumba ili nikapendeza 😂😍🔥🔥🔥🔥🔥🔥😍😍😍🙏
🙏🙏🙏
karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html
Mungu awabariki kwa kuimba vizuri sana
Ubarikiwe nawe pia
It inspires me a great deal .
Thank you, be blessed
Thanks to God who created me
Amen
sauti tamu kweli...nyuso zapendezaaaaaaa
Shukrani, ubarikiwe
So nice song, huwa inanibless Sana , mubarikiwe sana wanakwaya
Nawe ubarikiwe
Kazi nzuri.. Baraka tele...
Asante Cornelius
Am proud of being a Catholic 🙏🙏🙏
Thanks to the Lord 🙏
Amen
Indeed daa Hadi Raha
Shukrani
Nyimbo nzuri mnoo yaani na inahamasisha kumtolea Mungu wangu sadaka
Asante, ubarikiwe
Nanyimbo za shukrani kama ninenojema kumshukuru bwana za ngurumo tunazingonja kwa hamu
Hakika Roho mtakatifu awaongoze
Amina
Aliyegusa kinanda Mungu anamuona........ Haki imatendeka pia kwa sauti zote zinasikika.... Well done!!! Nimekuwa nafuatilia Sana kazi zenu.... Kuna kitu mmefanikiwa kimuziki..... Hongereni saaaaaana
Woow Asante sana Wilson. Mungu akubariki
karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html
Nyimbo huu hutoa ujumbe bora sana.
Shukrani
What a nyc song,woou
Thank you🙏🙏
Sauti nzuri Sana . Hongera. Naipata kwa njia Safi hapa Afghanistan.
Asante Simon🙏🙏🙏
Wooow, best song with best choir
Love you and may God bless you
Hope mtatoa pia Twende wote tukatoe sadaka,naipenda pia
Much blessings
Much blessings to you too Belinda
Nawapenda sana.sauti zenu zinavutia Mno.
Asante Shemsa, ubarikiwe
Jamani msije mkabadilika mkaanza kutuletea nyimbo za masebene! Endeleeni hivihivi!
This song remind me 1998 hakika!
ALIYE NIUMBA MIMI MUNGU WANGU KWA KUNIUMBA HADI NIKAPENDEZA.. BE BLESSED
NO ONE LIKE CATHOLICS🙏🌹
Shukrani, Ubarikiwe
🤣🤣🤣🤣 masebene
@@LydiaWangari for sure nachukia nyimbo za Fujo hasa za watu wa Arusha
Kazi nzuri hii..,
Asante Moses
My favorite song❣️❣️
Mashalla watching from Saudi Arabia
Asante, ubarikiwe
Nashukuru Mungu kwa kuniumba🙏🙏
Amina
Napenda huu wimbo sana
Asante Joseph
You don.t know the times i.ve played this song. I love this alot
Woow, blessings to you
I like Catholic church choirs it touches my heart 🎹🎼💃💃💃
Amen, be blessed
Wimbo mzuli sana mbalikiwe sana
Ubarikiwe nawe pia
This is so good 😊 🎉
Thank you Catherine
One of the best of the best.🙏🙏🙏👏👏👏
Thank you
Well done!!!!sweet and melodious.
Wao a nice sadaka song sweet voice kwanza altor be blessed chiromo campus choir na DJ tuko pamoja some catho
Asante Daniel
Jameni na mungu awambariki Kwa sauti zuri yakupendeza watching from vihiga county
Shukrani, nawe ukabarikiwe
God Bless you! Same the best to the Kenyan people! Greetings from Poland
Thank you so much Hubert, be blessed
Sauti ya pili sauti yangu.
Gud song
🙏🙏🙏
Oyeeeeeeeeee, Salaam Kutoka West Africa Liberia, Monrovia Mungu wabariki wote
Thank you Patel, pass our regards to Liberian community
Patel nialike Liberia nitembee huko
J like that song, thanks alot choir
thank you
I have been looking for audio, video of this song finally it is there,my phone ringtone
Awesome, be blessed
Aherooo
Waoh! Love this..Mungu awabariki.
Asante
Well done
Thank you Barrack
@@SautiTamu kindly do " Twende soto nyumbani mwake "
Great choir UON
Asante Alice
Nitakwenda 🙏🙏🙏
Hii nyimbo ni nzuri sana mubarikiwe🙏🙏🙏
Asante. Ubarikiwe pia
Tamu Sana
Asante Kodet, ubarikiwe
My favorite, av been looking for it all over!
Be blessed Moses
Niko arusha Wimbo mzuri sanaaa
MY SWEAT WAS NOT DISCLUDING THOSE AT THE HADGE BUT MOSTLY FAVOURING THEM AND DEFENDING THE RIGHTS AND WORK OF THE SISTERS OF MARY THST BROUGHT US UP IN MAYNY WAYS AND CONTINUE TO GIVE JOBS TO ALL THAT WORK AND COLLABORATE WITH THEM AS TO SEE OUR AREAS A HEAD WITH TIME.
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Wow............ Voices well blended especially soprano. Good work and smart . May God bless you.
Thank you Rachel.
God bless you
Tamu sana kazi nzuri Sana😍😍😍
Asante Vero
Hii kway inanibarikig xan mwezn be blessed
Asante Laken
Asanti
Mungu asante kwakuniumba mm hadi nikapendeza
Weuh lovely young ladies and gents...baraka tele
Asante Emily
Good song .Hongera sana kwa uimbaji big up keep it up...really you blessed my heart
Be blessed
Indoors somewhere in gulf but the catholic in me is very much alive......
Be blessed like I am blessed by this song....
🙏🙏🙏🙏
Merry Christmas in advance
Be blessed Caroline, and Merry Christmas to you too
karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html
Sweet, soft and natural voices, no exaggerations. So great!
Alyeniumba mm jamn kaniumba Kwa mfano wake Asante mungu
Woow amazing 👏👏👏a proud to a Catholic✌️
Asante Kanini
@@SautiTamu karibu dr
Words aren't enough to thank you guys, but I would say we serve a miracle working God, may he "lord" see you thru, be blessed all thru, proud to be a Catholic, watching from Maryland,
Amen, be blessed
Goodmorning! How to use this song to be a ringtune to my phone always i fail
Sauti tamu kweli na umaarufu wa hali ya juu Mungu awajalie muendelee kutunga nyimbo nzuri
Shukrani sana
Ah! Utamu gani huu? Asante kwa zilizopendwa hizi.
Asante🙏🙏🙏 ubarikiwe
I can never get enough of you Sauti Tamu, you are the best . Your producer too is just exceptional. Well done guys 👏👏❤
Amen. Be blessed too