Utukuzwe ewe Baba Mungu | Sauti Tamu Melodies | wimbo wa Pasaka, shukrani /matoleo (Skiza 7482441)
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe, aleluya
Kwani Bwana mfufuka ametualika, aleluya
aleluya utukuzwe, utukuzwe, Baba mwumba ulimwengu aleluya
Umeandaliwa na Martin Mutua Munywoki
#SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipendwa
Nyimbo nyingine za sadaka maarufu ni pamoja na Sasa wakati umefika, Nikupe nini Mungu wangu cha kukupendeza, Tazama Bwana tunakuja kwako, Mungu Baba pokea sadaka yetu leo, sadaka yangu kwako ee Mungu, nitakwenda mimi mwenyewe na Sala yangu, ee Baba twaleta zawadi zetu na ipae mbele yako
utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe Hallelujah
Kwani Yesu mfufuka ametuchagua
Words are not enogh to explain my joy❤❤sauti tamu you always give us the best .Mungu awazodishie milele milele Amen.ayillllllllllllliiiiiiiiiiilliilliiilliiilliiilliiiilliiu
Wooow, thank you so much Doreen, ubarikiwe
@@SautiTamu mbarikiwe zaidi aliiiilii
Ubarikiwe pia Doreen
@@SautiTamu aaaaaaàa
Hi Doreen, this choir from which county, watching from state, M D
Hii nyimbo naipenda sana😢😢❤❤❤
Kila wakati nikisikiza huu wimbo lazma nitokwe na machozi,namiss babangu 😢😢😢
Wah...what a beautiful song.... Proud to be a Catholic...🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Amen
I'm not a catholic but I love these songs saaana.
Utukuzwe ewe Baba .wimbo mzuri sana .tunabarikiwa kupitia wimbo huu . asante sauti tamu mubarikiwe sana.
Shukrani Alfredy, nawe ubarikiwe
Hongereni Sana nawafatilia Sana nyimbo zenu zinaenz ukatoriki wetu halis
Here from Tanzania Njombe
Twashukuru sana Modestus, ubarikiwe
Proudly Roman Catholic,too beautiful voices oooh naah I love you 🤗🤗
Thank you Rachel
Nyimbo ambayo ipo ktk ubora wake na isyochuja cku zote na mar zote...............****👏👏👏👏👏HAKIKA MWENYEZI MUNGU ATUKUZWE SIKU ZOTE NA KILA MARA
Amina
Mimi napenda wimbaji wenu Sana....kwaza Hawa wanaona dansi heko kabisaaaa.....naomba siku moja niwaone.....barikiweni sna
Shukrani Ndeti
Karibu sana Nairobi,
I first heard this song at Uhuru park during the visit of Pope John Paul to Kenya in the late eighties. I sat there with my late mum just listening during mass.to this day this song brings tears to my eyes just remembering her and that mass. Thank you.
Thank you John, God bless you
For sure it gives me sweet memories when I was in my childhood ealiear 2000s.Lufumbo my parish never missed to play it.
I can't stop listening this wonderful song , God bless you all sauti tamu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
It is absolutely good song
Sorry for the loss. 🙏🙏
Najivunia kuwa mkatoriki mbarikiwe sana
Ubarikiwe pia
I listened to this song like 100 times when my mum passed on last month 😢. It gave me hope during those difficult and stressful moments. Asante sana Sauti tamu 👍👍🙏 . #Utukuzwe ewe Baba.
Thank you, be blessed
Wimbo unarudisha nyuma kumbukumbu zangu, ibada ya watoto siku za jumapili. Parokia ya Mt. Karoli Lwanga - Kahama mjini.
May her soul rest in peace🐔🐔🐔🐔
Great songs from "tumshangilie Bwana", which is actually the National prayers & hymnal book for the Catholic church in Kenya....I actually prefer those than most of the new/current songs, they really bless me!
Old is Gold
They were very nice .
Me too
Wooo oh mi God what a voice and ryhm bigup sauti tamu
making the old songs sound very sweet🥰
pongezi kwa kazi nzuri
Ubarikiwe kwa kutazama
we warmly welcome you for a short meditation via this song titled 'Kilindi cha huruma" ruclips.net/video/i4LLHS0LNBA/видео.html
don't forget to #subscribe please
Ndabakunda cyane imana ibahe umigisha
Nazipenda sana nyimbo zenu. Tumsifu Yesu Kristu
Milele amina, shukrani
Amén , Saludos desde España
🙏🇪🇦❤️🌹
Amina , Salamu kutoka Uhispania.
🙏🇪🇦❤️🌹
Asante, ubarikiwe
Kweli Baba utukuzwe! RIP pope John Paul II. 43rd Eucharistic Congress, Nairobi Kenya, 1985.
🙏🙏🙏
Meaning this song was sang in 1985? Was it composed for thecoming of pope john Paul 2nd?
Let's take this songs to 1m views,the songs are big blessings to me
Thank you, a million we shall hit and beyond
For sure you have made my day
Mungu awabariki Nyimbo nzuri sana🙏🙏 I love you catholic church
Thank you
Mungu awabariki sana kwajili ya uinjilishaji uhu Ameen
Shukrani Pascal
This song brings back memories from my childhood. We used to sing this song at Martyrs of Uganda Catholic Church in Ghana although we never understood the language. Refreshing to hear it again many years later.
I hope someone can translate for me.
Thank you. It says, Be Glorified oh Lord, be Glorified, Alleluia,
@@SautiTamu thank you
Be Grolified oh Lord, Be Grolified oh Lord Alleluia,God father who created the Heaven
❤❤❤❤❤
Wimbo unanikumbusha Sana Nyumbani kwetu. Tukuyu Roman Catholic..... ejoh.....haleluya🎉 Mungu ni Mwema...
Wimbo huu hunibaraki sana proud to be a Catholic 🙏
😃😃😍😍😍mungu awaweke Kila itwayo Leo 😍😍 nakupenda sana huuu wimbo
Shukrani🙏🏻🙏🏻🙏🏻
💕💕 here in Rwanda we say dukuze dukuze Imana imwe benedata Alleluya ! Amazing God around the whole world!
Wooow,
I recall time of offering God is good always proud to a Catholic from Zambia
Soo Amazing song Mungu Awabariki sana
Mungu akubariki pia
Hongera sana st. Paul's chapel nairobi. Feel blessed from Qatar.
Karibu
we warmly welcome you for a short meditation via this song titled 'Kilindi cha huruma" ruclips.net/video/i4LLHS0LNBA/видео.html
don't forget to #subscribe please
Wimbo uko bora sanaaaaa mungu mwema
Amina, ubarikiwe
Memories when i was young....and this song never fades.
Thank you
Absolutely
I tell you. Pure nostalgia indeed.
Oooh proud to be catholic🎉🎉
Amen
During our Childhood.. this was the Favourite Offertory Song We all loved and responded when was Sung.. Quite a Beautiful Praise Song..
Thank you so much
Love from Rwanda 🇷🇼 ❤
Amina. Mungu utukuzwe. Tusamehe dhabi sisi wakosefu. Baraka
Asante, na ubarikiwe
we warmly welcome you for a short meditation via this song titled 'Kilindi cha huruma" ruclips.net/video/i4LLHS0LNBA/видео.html
don't forget to #subscribe please
nabarikiwa sana nikiw daresalam tz
Asante
God our father accept this 🍞 and 🍷, which we offer as a sign of our 😍. What a beautiful melody from my beautiful angelic choir from my neighboring country Kenya. Proud Catholic from South Sudan 💘 u all
Thank you Juma
God bless you in South Sudan
Bless you all my beloved people in Kenya, we the people of South Sudan 💘 all. Continue preparing the Salvation of our creator through singing, I personally don't know hw describe hw much I 😍 u.
Sauti tanu mbarikiweni sana
Asante Esther
MNANIKOSHAAAAAAAAAA nakumbuka wakati nikiwa mwanakipapa wimbo huu uliimbwa wakati wa vipaji mko vizuri daima
Asante Imaculata, ubarikiwe
@@SautiTamu mbarikiwe pia endeleen kupost mnaimba kwa utaratibu wakipekee
🙏🙏🙏🙏 asante
nyimbo nzuri sana pa DRcongo ntwayipenda sana kabisa.
Asante sana
Goosebumps, tears,praise! UTUKUZWE! Thank you for nice songs!
Asante Dorothy, be blessed
Great,A nice song
Songs zenu ziko awesome. Cheers @
Gera
Thank you Philip
baba Mungu utukuzwe RIP fr wanyonyi bungoma parish
Wimbo wamama mariya salami sana mama bikira mwama ndiwe mwombezi wetu
Asante
Nice song Mungu azidi kutubariki wakatoliki
Amina
Mbarikiwe sana mnaimba vizuri mno Mungu azidi kuwainua daima
Asante, Rose, akubariki
Nakumbuka mbali sana kwa hizi sauti. Channel hii NI tamu hasa.
MUNGU awazidisshie ujuzi, maarifa na vitu vizuri muweze kupata nguvu ya kuviweka zaidi. Asanteni Sana
Tumsifu YESU kristu
Milele, Amina
Utukuzwe ni tamu endeleeni❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊😊😊❤😊❤❤❤❤❤❤❤❤😊😊😊😊😊😊😊😊
This sweet song brings back old memories
I was akid and the song was sang during my fathers burial 1992 to date I cannot stop listening to it
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nice songs congratulations alot
Thank you @sevetiatuyate
This is my church. Am enjoying as I sing along. Be blessed
Thank you Martin
Where is it
My favorite melodious
Thank you Joyline💕
I'm almost shedding tears...reminds me of my childhood. That moments as an alterboy
Thabk you John, beautiful memories
Hi John. I was a mass servant too
Utukuzwe Baba mungu siku zote
👏👏👏 Bravooo St paul choir.Sauti tamu kweli 🔥🔥🔥🔥❤️lovely
Asante Izoh
sauti taumu mbarikiwe
Ubarikiwe pia
This reminds me when I was an alter boy at nyeri cathedral, we used to go to mathari for cHC(children helping children).the song used be so loud and clear..representing othaya parish
Thank you Martin. Be blessed
😍😍😍🥰🥰 Bado hua tunachachisha Cathedral Nyeri
nimerikiwa sana aky wana sauti tamu wapewe like
Wee hizo sauti ni tamu Sana Sana hiyo Alto ni more 🔥
Be blessed ni Mr nice njoroo somalia
Be blessed too Daniel
Sauti nzuri. Utukuzwe Baba Mu umba Ulimwengu
Asante Marcus
Woooow I really remember when I was at Ordinary level Studies I was one among the School choir from St.Joseph's Seminary Iterambogo found in Tanzania 🇹🇿 in Kigoma Region,,,Thank you all guys for beautiful song and Dedicated song,,,#We love you all participants of this song and may God bless you and Guard you
Oh wow!
Thank you
Nakuabudu Yesu katika hostya
Amina
Awesome work Martin...
I loved this song ever since..
Thank you Carol, it's the sweetest
Hope am the one
Sauti tamu kweli, blessings all.
Blessings to you too
my best catholic songI always feel blessed onces it rings💖
Thank you
Mungu awabariki sana
Ubarikiwe pia
Hakika huu wimbo umenikumbusha mwaka 2005 napata kipaimara,nabarikiwa sana,🙏🙏
Ubarikiwe
Arusha?
@@wellnaton6013 Nairobi, kenya...
💕sauti Tamu Kweli
Asante Peter
hongereni sana tena sana
Shukrani
Ndio alama yetu ya wema wako mkuu.............Utukuzwe..........aaaleluya 🙏🙏🙏🙏🙏
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
safi sanah👏
Shukrani 🙏🏻🙏🏻
Ahsante kwa wimbo huu 💕🎶🎵🙏 mbalikiwe
Ubarikiwe
Nimefurahi sana moyoni mwangu kwakisikia nyimbo tamu mmeimba. Nina hamu kuwaona live mukiimba katika Misa. Mungu awape baraka, awaongezee bidii kwa kumuimbia.
asante, ubarikiwe
Keep up the good Work!
Thank you Bernard, be blessed
I can’t explain how this song made me feel
Bless you sautitamu
Thank you, be blessed
Nawapata kutoka Mosumbiji Nampula, nimependa sana kwani uku vilevile wanaimba kwa lugha ya kimakua. Hongera sana! Mungu awabariki sanaaaaaa!
Ubarikiwe sana
Song reminds me of my days in Egerton University communing at St. Augustine Chaplaincy then Holy Family Basilica in the early 00s. Thanks for uploading and God bless you all.
Thanks, be blessed
Nyimbo za hii kwaya nazipenda sana
Am Catholic thank God, Am still alive 💖
Amen
Umenipa sauti ili nikuimbie. M'barikiwe kwa kutumia sauti zenu kwa kuhubir injili.
Shukrani, ubarikiwe
My new favourite catholic choir
May God bless y'all
Listening from Bavaria Germany ♡♡♡♡♡♡♡
Thank you, be blessed🙏🙏🙏
Thank you Rose
Nakumbuka enzi hizo nikiwa mwanafunzi kenyaaaaa
Utukuzwe Eeeh Mungu. I love this song it goes deep into my inner soul
Thank you, be blessed
Nimekumbuka mbali sna 😊
Born a Catholic and I will die a Catholic it reminds me when I was young boy
Amen
Ni nziza cyaneeeee!!!!!!!!!!! IMANA Ibahe umugisha! All Rwandans like you! God bless you!
🙏🙏🙏
oooh what a blessing ! angelic voice!!! Following from Abidjan - Ivory Coast. Mko poa kabisa wakenya wenzangu....nawapenda Sana.
Asante
I love the song
Kkk
😭😭😒😘💕😒🐄😭😭😭@@stephenmugendi6129 😭😘💕💕💕iuuuuuuùyiiuuuuuiii8iiiiiiiiiiuiiiiiiiiiiiiiiiiii
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana mbarikiwe Sanaa.
Be blessed, Suzy
Only legends can understand the gravity of this song so I remember a lot of the past #ProudCathoric ❤
True
Only legends would understand
👏👏👏👏u made it
Old is always gold! I cherish and really love old school catholic songs. Mungu utubariki! I remember Fr. Hubert and Anthony from North Horr Parish, Marsabit Diocese.
Amen, be blessed
Mbarikiwe sana jamani kwa wimbo mzuri na sauti nzuri
Ubarikiwe nawe pia
Iam not a Catholic but if I continue listening your lyrics i have no doubt I might become one
Thank you Eliud.
Blessings to you
You are welcome, Eliud.
Welcome
You are much welcomed
Welcom child of God we all have same God. Be blessed 🙌
Utukuzwe baba muumba ulimwengu aleluya Amina.
Amina
Once a Vatican always a a Vatican, am blessed
Thank you. Be blessed
Kazi nzuri Sana, Mwenyezi Mungu awabariki
Shukrani, Mungu akubariki pia
My Catholics this song makes me come to my God coz He is the only one to be praised. I will praise you in my lifetime Holy Father.
Amen
Nabarikiwa sana kila nisikilizapo huu wimbo, Mungu mkubwa
Ubarikiwe pia
I remember this song from the hymn book that came after "Tumshangilie Bwana" in the mid 80's
A Very beautiful piece
Love from Uganda.... I love my catholic faith
We the inhabitants of Chalbi desert pray to God that He relocates each and every one of this choristers to our place....
Wooow asante Katelo
Wewe Katelo 😂😂😂
@@munenex ama namna gani, ndugu? Kazi ipo na tutasifu pamoja..