Nikupe Nini Mungu Wangu | B A Lukando | Sauti Tamu Melodies |Sadaka/Matoleo ~Skiza 7482438
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Nikupe nini Mungu wangu, nikupe nini we Mwokozi, nikupe nini Bwana wangu cha kukupendeza?
Ninakuomba Mwokozi, nifanyie msamaha na unipokee
Mema unayoyatenda, nitafanya nini mimi, nikurudishie.
Tazama pia Anayekula Mwili wako, Nijaposema kwa Lugha, one of our latest Catholic Music choir songs Kenya and Tanzania.
Waimbaji - Sauti Tamu Melodies
wimbo wa sadaka na matoleo /vipaji
Mtunzi: Basil A Lukando
Mtayarishaji: Martin Mutua Munywoki
Nyimbo nyingine za sadaka maarufu ni pamoja na Sasa wakati umefika, Tazama Bwana tunakuja kwako, sadaka yangu kwako ee Mungu, nitakwenda mimi mwenyewe, Utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe na Sala yangu na ipae mbele yako
#SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipendwa
Asantee sana ..Kazi zenu nzuri.. hata mkiurudia wimbo wa kale mnaufanyia haki na Audio Quality mnazingatia ndo kitu kilikosekana kwenye nyimbo nyingi za zamani
...Mungu awabariki sana
Ubarikiwe nawe pia.
Watching from Spain,very nice voice,may God bless all of you for making this song more colorfull.i like África
Thank you so much @Msigwa
@@margaritandungemargaritamu9496Mungu azidi kuwainua watumishi Cosmas ngolomole wa Dsm
Amina @Cosmas
Mungu awabariki sana wenza wangu
Shukrani Angeline. Ubarikiwe pia
Aaaah jamani naona mmeamua kutupa raha
Old is Gold
🙏🙏🙏
Much more coming
Lyrics
{ Nikupe nini Mungu wangu, nikupe nini we Mwokozi
Nikupe nini Bwana wangu cha kukupendeza } *2
Kila nitakachoshika mbona bado ni kidogo
Fadhili unazotenda kwangu mimi naogopa
Ninakuomba Mwokozi, nifanyie msamaha na unipokee
Mema unayoyatenda, nitafanya nini mimi nikurudishieNakutolea mkate toka mmea wa ngano
Nakutolea divai ni tunda la mzabibu
Ninakuomba Mwokozi . . .Mchana hata siku wewe wanisimamia
Na nikiwa safarini waniepusha ajali
Ninakuomba Mwokozi . . .Nikiwa na matatizo Bwana wanisaidia
Nikiwa kwenye majonzi Bwana unanifariji
Ninakuomba Mwokozi . . .Kama njia siioni Bwana unaniongoza
Na hata nikipotea kwako unanirudisha
Nitatoa nini mimi, kitakachokuwa sawa, na fadhili zako
Nitaimba vipi mimi, niyataje mema yote, utendayo kwangu
Nice one.
Awesome
Thanks for the words ❣️
Thanks you ❤❤
Thank you❤
Just now came accross "sauti Tamu". Na ni tamu kweli. Beiutiful melodies. Mbarikiwe nyote.
Thank you so much Mawaggali, be blessed
Ddrt
Nyimbo zetu za enzi hizooo hazichuji .soo nice lovely voices. Thanks God am a catholic
Tungo za zamani tamu sana!
Mbarikiwe sana nasikiliza kutoka parokia ya Bikira Maria mpalizwa mbinguni Jimbo la Tunduru_Masasi huu wimbo naupenda tangu nipo mdogo
Shukrani sana Castory
Ubarikiwe pia
Proud to be a Catholic.....ukiskia Malaika huimba usitafute kwingine....Sauti Tamu...
Shukrani🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Hello
Sauti nzuri sana,nimependa
Asante Beatrice
Proud to be a Catholic and a Choir member singing Altor, St Paul Choir Our Lady of Africa Mbuya, Uganda. I enjoy listening to these Angelic voices
Thanks a lot Lominda, be blessed
Respecting and expressing one's beliefs is a great harmony among us. We are also a Roman Catholic ever since. Cheers.
Thank you God. For sure iam blessed 🙏. Sijui nikulipe Na Nini mungu wangu. Thank you so much God
Just what we needed. Hamtuangushi sauti tamu. Tutaendelea kuwaombea faraja za Mwenyezi Mungu ili muende Lee kumtumikia🙏🏽💯💯💯💯👍🏾👏🏽👏🏽❤️
Asante Doreen
mbarikiwe kwa sauti nzuri.hongereni sana
Shukrani Donald. Nawe ubarikiwe
Nikupe nini wewe mwokozi, jameni asanteni saaana, continue uniting the world, much love and much blessings, watching from Maryland U S A
🙏🙏🙏
Amen 💕🙏
Hongereni kwa huu wimbo mzuri ❤
Mungu awabariki sana. Zamani hizo tungo zilitendewa haki kweli kweli. Hongereni sana.
Asante. Mababu zetu walikuwa vizuri sana kwa utunzi
Proudly Catholic. The song is inspiring and a good way to thank God for what He has done in my entire life.
Hii nyimbo naipenda tangu utoto wangu🙏🙏🙏🙏🙏
Thank you Dolphine. God bless you
Wimbo wa zamani ila mmeurudia na mmeimba vizuri sana. Hongereni sana
Asante na ubarikiwe
@@SautiTamu nawe pia ubarikiwe
Congratulation to you! I don't know KISWAHILI But i hear your songs and Ifeel ok! Mungu Asifiwe
Thank you Joseph
Mie pia niko hapa ..wimbo mzuri mno. Mbarikiwe... Napenda sana KWAYA
Asante ee🙏🙏🙏
@@SautiTamu Karibu sanaa
kitu kama hiyo waimbaji!!!roho yangu inafurahi sanaaa!!! weee!! good work
Thank you Mauritius
This choir sings so nicely it's therapheutic to my heart 😭🙏❤️
Mbarikiwe nyote waimbaji na wasikilizaji/watazamaji
Asante, nawe pia ubarikiwe
karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html
I do agree on solemnity and coming within their hearts when they sing. Cheers.
Wimbo Mzur sana barikiwa sana waimbaji
Amina, Ubarikiwe nawe pia
Very nice song.proud to be a Catholic and enjoy listening to these Catholic songs. Respect to Tanzanian catholic choirs.
Shukrani
Nikupe nini mungu wetu, asante
🙏🙏🙏
Amina
Proudly catholic! Wimbo mzuri sana kwa kweli.
Sauti tamu nawapenda bure...barikiweni mnapotubariki kwa uimbaji wenu
Asante Elizabeth, ubarikiwe
Wimbo mzuri sana,hongera mtunzi ubarikie
Shukrani, ubarikiwe
Imekaa poa sana nanimekumbuka mbali sana mwasalipa
Asante, ubarikiwe
I love this song,big up guys
Thank you Rachel
Mko vizuri,Mungu awabariki
🙏🙏🙏Mungu akubariki pia
This song is just too nice,proud of being a Catholic man
Blessings
Wakatoliki mmebarikiwa sana
Amen 🙏
I'm glad I found this channel. Cheers.
Anne, kweli mko vizuri mnanikumbusha mbali enzi za ujana wangu
Asante, ubarikiwe
wimbo mzuri umenikumbusha mbali sana wakati naimba Kristu Mfalme Jimbo katoliki la Moshi
Asante, ubarikiwe
karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html
Mungu awabariki sana kwa sauti tamu
Amina.
Ubarikiwe nawe pia
Waaaaaaooooh safi sana kazi tamu sana
Asante, 🙏🙏
Saw kabis wimbo muzuri kabisa ndazikinda cane
Ubarikiwe
@@SautiTamu asant
Kazi nzur sanaa
Asante mkuu
Wanaohama katorik jamani mnapotea.raha hiii
Kabisa
Mbarikiwe wanakwaya wimbo mzuri
Asante Said
Upendo wa dhati kweli.. Mungu akubahariki
Ubarikiwe pia
Oh! Hallelujah! Ahsanteni kwa Uinjilishaji Watu wa Mungu. Sauti nzuri na ubunifu wa hali ya juu.
Asante Issack
Nyinyi waimbaji wateule! Atsi!
Shukrani
Asante🙏🙏🙏
Kazi nzuri sana mkuuu🔥🔥🙏
Thank you🙏🙏
Unanikumbusha mbali sana st Joseph sanu seminar mpo
Be blessed
Waaaoh.. Wimbo wa zamani hata sasa unapendeza
Asante🙏🙏 ubarikiwe
Nice song,sauti zimeweza
Asante Antony
Uganda we love your music 🎶🎶
Thank you so much. Blessings
Hakika mmeimba vizury hongera yenu
Asante Emmanuel
na barikiwa , asante Sauti tamu sana / Richard apa Denmark
Shukrani🙏🙏🙏
Super indeed.
Thank you
Kwa kweli mmenigusa sana.
Karibu, ubarikiwe
nyimbo izi ni nzuri saana
Asante Francis, ubarikiwe
Asanteni sana kwa wimbo mzuri 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Asante Linet
Mungu awabarik sana kwanyimbo zenu nzuri
Ubarikiwe nawe
Huu wimbo wa zamani Ila toka mmeimba umekua mpya na Hadi Leo bado mpya, napenda sana style hii ya uimbaji, imetulia na hakuna fujo za kimuziki, haulazimishi watu kuusikiliza Ila watu wenyewe wanalazimika kuusikiza, hongereni
Shukrani sana
We're humbled 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Nitampa sifa na shukrani tele.
Be bkessed guys and keep serving the Lord for great is the reward present and in eternity
Be blessed too
Sauti tamu kweli 👏🤝
🙏🙏🙏🙏
Nawapenda sana hawa wanakwaya
Asante🙏🙏🙏
Hakika mnavipaji mungu awabarik 🙏
Amina
quality production kama kawaida..
Asante Jaymo
Thank you for all you have done for me dear Lord Jesus.Forgive me of all my sins.
Da kwa kweli wimbo mzuri sana, alafu auchujiki jamani mungu awabaliki sana.
Asante ubarikiwe
Ni tamu kweli
Asante sana
Sauti nzuri kabixa
Asante
Sauti nzuri za kiupendeza
Thank you Jerita
Could not make to church and had to listen to mass songs and i bet you guys made it worthwhile
Be blessed, thanks for watching
Mungu awabariki milele yote
Ubarikiwe pia
Bravo from Madrid España. Naskia ssa hivi kwa train. Sweet home kenya
Thank you, ubarikiwe
karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html
Wema unayonitenda nitafanya nini nikurudishie
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Tunateremka nayooooo zikuje kukuja
Asante🙏🙏
Mnaimba viziri Sana sauti zenu nzur
Asante Festo, ubarikiwe
Nikupe Nini MUNGU wang Sina chakukupa MUNGU wang nitakuhimid maisha yang yote
Amina
Barikiwa Sana jamani
Asante Sofia, nawe ubarikiwe
Mema mengi unayoyafanya kwangu nashindwa nikupe nn Mungu wangu Cha kukupendeza, wimbo mzuri sana
Amina
Nikupe nini bwana wangu cha kukupendeza🙏
Amen
Mungu awabariki na awatunze mnapoendelea na uinjilisti kupitia kwa nyimbo na Sauti zenu nzuri
Amina, nawe ubarikiwe pia
Wimbo mzuri sana
Asante Tesha
Sauti tamu, costumes tamu, video tamu, sura nzuri, I love everything about this video, awesome work Munywoki and the team👏👏👏👏👏
Asante Faith, be blessed
Amen god bleess them
Yale umenutendea sijuw nikupee nini Mungu wangu
Blessed of very nice song,vocal keep it up
Thank you, be blessed as well
Napenda hii song hunibariki sana
Asante Mary
I feel near to God nilisikiza huu wimbo love my Catholic faith
Thank you
Wimbo ni mzuri sana mungu awabariki na kazi zenu amina
Amina. Ubarikiwe sana nawe pia
Nice song,, thanks to sauti tamu
Asante, ubarikiwe
Amina
hongereni mmeimba vizuri sana cjajua mnapatikana wap
Asante, tupo Nairobi
This song has never been recorded before! This is so nice.
Thank you Sir
Kuna flani ya watoto
Ilisharekodiwa hii huku Tz,na kwaya ya watoto
So nice God Bless u.
This is an original produced and recorded only in audio cassette by St Mary's Teachers College Taita in the year 2000
Safiii sana wanakwaya we2
Asante Michael
Well done! Sauti nzuri
Thank you
@@SautiTamu Perfect!
Ya kale dhahabu.
Kabisa
This song is giving me high school flashbacks inside the school chapel.. St Pius X Seminary - Nkubu
Thank you Clement
Blessings to you
Big up mungu u miknoni mwenuuuuu
Amina🙏🙏
Am not a catholic but touched with the song
Thank you Evelyne
Kudos to you friend. Cheers.
mimi sauti zimenimaliza, literarally good song
Thank you so much
Wauh!!!!!!what a song,,,,,hongera kwenu,,,mnazifanya nyimbo zile za kitambo kuwa Tamu Zaidi,,,,I like your melodious voices ,,,,be blessed
Thank you so much.
Blessings to you
Naomba original wa wimbo huu ulivyo imbwa zamani...
Audio yake haipatikani
Sauti Tamu. Sauti nzuri ya kuimbia
🙏🙏🙏
Yanikumbusha mbali good tbt
Asante, ubarikiwe
I miss attending mass in my country.... Be blessed so that song... watching from Doha Qatar.
Be blessed, wherever you are watching from
Miss tu aki niko saudia
nimeona walimu wenzangu waili ...munywoki aka mastudio na chris ndollo kazi nzuri
Thank you Garner Africa
Blessings
Am proud to be a Catholic not only Catholic but a singer.
Amen God bless you
Nice to meet you, my friend. Cheers.