Nikupe Nini Mungu Wangu | B A Lukando | Sauti Tamu Melodies |Sadaka/Matoleo ~Skiza 7482438

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Nikupe nini Mungu wangu, nikupe nini we Mwokozi, nikupe nini Bwana wangu cha kukupendeza?
    Ninakuomba Mwokozi, nifanyie msamaha na unipokee
    Mema unayoyatenda, nitafanya nini mimi, nikurudishie.
    Tazama pia Anayekula Mwili wako, Nijaposema kwa Lugha, one of our latest Catholic Music choir songs Kenya and Tanzania.
    Waimbaji - Sauti Tamu Melodies
    wimbo wa sadaka na matoleo /vipaji
    Mtunzi: Basil A Lukando
    Mtayarishaji: Martin Mutua Munywoki
    Nyimbo nyingine za sadaka maarufu ni pamoja na Sasa wakati umefika, Tazama Bwana tunakuja kwako, sadaka yangu kwako ee Mungu, nitakwenda mimi mwenyewe, Utukuzwe ewe Baba Mungu utukuzwe na Sala yangu na ipae mbele yako
    #SautiTamu #SautiZaKuimba #Zilipendwa

Комментарии • 1,3 тыс.

  • @Mzeewainfo
    @Mzeewainfo 4 года назад +130

    Asantee sana ..Kazi zenu nzuri.. hata mkiurudia wimbo wa kale mnaufanyia haki na Audio Quality mnazingatia ndo kitu kilikosekana kwenye nyimbo nyingi za zamani
    ...Mungu awabariki sana

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад +14

      Ubarikiwe nawe pia.

    • @margaritandungemargaritamu9496
      @margaritandungemargaritamu9496 4 года назад +15

      Watching from Spain,very nice voice,may God bless all of you for making this song more colorfull.i like África

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад +1

      Thank you so much @Msigwa

    • @cosmasngolomole6517
      @cosmasngolomole6517 4 года назад +4

      @@margaritandungemargaritamu9496Mungu azidi kuwainua watumishi Cosmas ngolomole wa Dsm

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Amina @Cosmas

  • @angelineomoya3015
    @angelineomoya3015 2 года назад +3

    Mungu awabariki sana wenza wangu

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Shukrani Angeline. Ubarikiwe pia

  • @christianmichael5331
    @christianmichael5331 4 года назад +2

    Aaaah jamani naona mmeamua kutupa raha
    Old is Gold

  • @TomNyongesa
    @TomNyongesa 4 года назад +82

    Lyrics
    { Nikupe nini Mungu wangu, nikupe nini we Mwokozi
    Nikupe nini Bwana wangu cha kukupendeza } *2
    Kila nitakachoshika mbona bado ni kidogo
    Fadhili unazotenda kwangu mimi naogopa
    Ninakuomba Mwokozi, nifanyie msamaha na unipokee
    Mema unayoyatenda, nitafanya nini mimi nikurudishieNakutolea mkate toka mmea wa ngano
    Nakutolea divai ni tunda la mzabibu
    Ninakuomba Mwokozi . . .Mchana hata siku wewe wanisimamia
    Na nikiwa safarini waniepusha ajali
    Ninakuomba Mwokozi . . .Nikiwa na matatizo Bwana wanisaidia
    Nikiwa kwenye majonzi Bwana unanifariji
    Ninakuomba Mwokozi . . .Kama njia siioni Bwana unaniongoza
    Na hata nikipotea kwako unanirudisha
    Nitatoa nini mimi, kitakachokuwa sawa, na fadhili zako
    Nitaimba vipi mimi, niyataje mema yote, utendayo kwangu

  • @mawaggalinoah7359
    @mawaggalinoah7359 3 года назад +19

    Just now came accross "sauti Tamu". Na ni tamu kweli. Beiutiful melodies. Mbarikiwe nyote.

  • @dianamwacha6517
    @dianamwacha6517 4 года назад +16

    Nyimbo zetu za enzi hizooo hazichuji .soo nice lovely voices. Thanks God am a catholic

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Tungo za zamani tamu sana!

  • @castorylai4896
    @castorylai4896 Год назад +8

    Mbarikiwe sana nasikiliza kutoka parokia ya Bikira Maria mpalizwa mbinguni Jimbo la Tunduru_Masasi huu wimbo naupenda tangu nipo mdogo

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад

      Shukrani sana Castory
      Ubarikiwe pia

  • @terrenceomondi5190
    @terrenceomondi5190 2 года назад +7

    Proud to be a Catholic.....ukiskia Malaika huimba usitafute kwingine....Sauti Tamu...

  • @beatricewakio4725
    @beatricewakio4725 4 года назад +1

    Sauti nzuri sana,nimependa

  • @lomindaafedraru2842
    @lomindaafedraru2842 2 года назад +27

    Proud to be a Catholic and a Choir member singing Altor, St Paul Choir Our Lady of Africa Mbuya, Uganda. I enjoy listening to these Angelic voices

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Thanks a lot Lominda, be blessed

    • @wowcheers7488
      @wowcheers7488 2 года назад

      Respecting and expressing one's beliefs is a great harmony among us. We are also a Roman Catholic ever since. Cheers.

  • @karwithakijogi438
    @karwithakijogi438 Месяц назад +1

    Thank you God. For sure iam blessed 🙏. Sijui nikulipe Na Nini mungu wangu. Thank you so much God

  • @doreenandcollins3435
    @doreenandcollins3435 4 года назад +16

    Just what we needed. Hamtuangushi sauti tamu. Tutaendelea kuwaombea faraja za Mwenyezi Mungu ili muende Lee kumtumikia🙏🏽💯💯💯💯👍🏾👏🏽👏🏽❤️

  • @donaldkomba5541
    @donaldkomba5541 3 года назад +1

    mbarikiwe kwa sauti nzuri.hongereni sana

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Shukrani Donald. Nawe ubarikiwe

  • @kimanijohn9529
    @kimanijohn9529 3 года назад +3

    Nikupe nini wewe mwokozi, jameni asanteni saaana, continue uniting the world, much love and much blessings, watching from Maryland U S A

  • @tempochoir
    @tempochoir 6 дней назад

    Amen 💕🙏
    Hongereni kwa huu wimbo mzuri ❤

  • @nesphorysungu4934
    @nesphorysungu4934 4 года назад +5

    Mungu awabariki sana. Zamani hizo tungo zilitendewa haki kweli kweli. Hongereni sana.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Asante. Mababu zetu walikuwa vizuri sana kwa utunzi

  • @dolphinewandede4820
    @dolphinewandede4820 Год назад +7

    Proudly Catholic. The song is inspiring and a good way to thank God for what He has done in my entire life.

    • @adelakisonga9929
      @adelakisonga9929 10 месяцев назад

      Hii nyimbo naipenda tangu utoto wangu🙏🙏🙏🙏🙏

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  10 месяцев назад

      Thank you Dolphine. God bless you

  • @constantineevarist7130
    @constantineevarist7130 4 года назад +20

    Wimbo wa zamani ila mmeurudia na mmeimba vizuri sana. Hongereni sana

  • @josephnzayisenga7357
    @josephnzayisenga7357 2 года назад +1

    Congratulation to you! I don't know KISWAHILI But i hear your songs and Ifeel ok! Mungu Asifiwe

  • @lawrenceomondi3826
    @lawrenceomondi3826 4 года назад +6

    Mie pia niko hapa ..wimbo mzuri mno. Mbarikiwe... Napenda sana KWAYA

  • @CAMTECHCOMMUNICATION
    @CAMTECHCOMMUNICATION 3 года назад +1

    kitu kama hiyo waimbaji!!!roho yangu inafurahi sanaaa!!! weee!! good work

  • @kemuntoangie1859
    @kemuntoangie1859 4 года назад +15

    This choir sings so nicely it's therapheutic to my heart 😭🙏❤️
    Mbarikiwe nyote waimbaji na wasikilizaji/watazamaji

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Asante, nawe pia ubarikiwe

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 3 года назад

      karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
      ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html

    • @wowcheers7488
      @wowcheers7488 2 года назад +1

      I do agree on solemnity and coming within their hearts when they sing. Cheers.

  • @michaelchoma3074
    @michaelchoma3074 2 года назад +1

    Wimbo Mzur sana barikiwa sana waimbaji

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Amina, Ubarikiwe nawe pia

  • @adrienndimurukundo5560
    @adrienndimurukundo5560 Год назад +8

    Very nice song.proud to be a Catholic and enjoy listening to these Catholic songs. Respect to Tanzanian catholic choirs.

  • @kimanijohn9529
    @kimanijohn9529 4 года назад +1

    Nikupe nini mungu wetu, asante

  • @aronkinunda342
    @aronkinunda342 Год назад +6

    Proudly catholic! Wimbo mzuri sana kwa kweli.

  • @elizabethapondi8655
    @elizabethapondi8655 3 года назад +2

    Sauti tamu nawapenda bure...barikiweni mnapotubariki kwa uimbaji wenu

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад +1

      Asante Elizabeth, ubarikiwe

  • @michaelayubu9100
    @michaelayubu9100 4 года назад +3

    Wimbo mzuri sana,hongera mtunzi ubarikie

  • @alexhamiss1441
    @alexhamiss1441 4 года назад +2

    Imekaa poa sana nanimekumbuka mbali sana mwasalipa

  • @rachellarry5803
    @rachellarry5803 4 года назад +6

    I love this song,big up guys

  • @adrolpfinakwimba6009
    @adrolpfinakwimba6009 3 года назад +1

    Mko vizuri,Mungu awabariki

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      🙏🙏🙏Mungu akubariki pia

  • @schefferoderakadu6327
    @schefferoderakadu6327 4 года назад +42

    This song is just too nice,proud of being a Catholic man

  • @annamathayo9984
    @annamathayo9984 4 года назад +1

    Anne, kweli mko vizuri mnanikumbusha mbali enzi za ujana wangu

  • @kisibowarioba456
    @kisibowarioba456 4 года назад +5

    wimbo mzuri umenikumbusha mbali sana wakati naimba Kristu Mfalme Jimbo katoliki la Moshi

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Asante, ubarikiwe

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 3 года назад

      karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
      ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html

  • @jeanmapela
    @jeanmapela 2 года назад +1

    Mungu awabariki sana kwa sauti tamu

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Amina.
      Ubarikiwe nawe pia

  • @muzikimtamumtakatifu897
    @muzikimtamumtakatifu897 4 года назад +5

    Waaaaaaooooh safi sana kazi tamu sana

  • @nyabendadomistien2592
    @nyabendadomistien2592 4 года назад +2

    Saw kabis wimbo muzuri kabisa ndazikinda cane

  • @davidkomba3868
    @davidkomba3868 4 года назад +5

    Kazi nzur sanaa

  • @meresinantibakakazi1722
    @meresinantibakakazi1722 3 года назад +2

    Wanaohama katorik jamani mnapotea.raha hiii

  • @saidmboya5284
    @saidmboya5284 4 года назад +4

    Mbarikiwe wanakwaya wimbo mzuri

  • @calvinakuom9544
    @calvinakuom9544 4 года назад +1

    Upendo wa dhati kweli.. Mungu akubahariki

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 4 года назад +4

    Oh! Hallelujah! Ahsanteni kwa Uinjilishaji Watu wa Mungu. Sauti nzuri na ubunifu wa hali ya juu.

  • @pondapapa8371
    @pondapapa8371 3 года назад +1

    Nyinyi waimbaji wateule! Atsi!

  • @corneliuskipkoech1101
    @corneliuskipkoech1101 4 года назад +5

    Kazi nzuri sana mkuuu🔥🔥🙏

  • @ewardmichael8385
    @ewardmichael8385 3 года назад +1

    Unanikumbusha mbali sana st Joseph sanu seminar mpo

  • @raylaurent4389
    @raylaurent4389 4 года назад +3

    Waaaoh.. Wimbo wa zamani hata sasa unapendeza

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад +1

      Asante🙏🙏 ubarikiwe

  • @antonykaogo7107
    @antonykaogo7107 3 года назад +1

    Nice song,sauti zimeweza

  • @margretnangonzi2344
    @margretnangonzi2344 2 года назад +6

    Uganda we love your music 🎶🎶

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад +2

      Thank you so much. Blessings

  • @emmanuelmwiru2766
    @emmanuelmwiru2766 3 года назад +1

    Hakika mmeimba vizury hongera yenu

  • @richardkatompwa8172
    @richardkatompwa8172 4 года назад +3

    na barikiwa , asante Sauti tamu sana / Richard apa Denmark

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Shukrani🙏🙏🙏

  • @francisomondi3549
    @francisomondi3549 3 года назад +2

    Super indeed.

  • @hilalionhilaliont2324
    @hilalionhilaliont2324 4 года назад +3

    Kwa kweli mmenigusa sana.

  • @francissekandi9521
    @francissekandi9521 3 года назад +1

    nyimbo izi ni nzuri saana

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Asante Francis, ubarikiwe

  • @linetnato4199
    @linetnato4199 4 года назад +3

    Asanteni sana kwa wimbo mzuri 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @NoteSacre493
    @NoteSacre493 Год назад +1

    Huu wimbo wa zamani Ila toka mmeimba umekua mpya na Hadi Leo bado mpya, napenda sana style hii ya uimbaji, imetulia na hakuna fujo za kimuziki, haulazimishi watu kuusikiliza Ila watu wenyewe wanalazimika kuusikiza, hongereni

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад

      Shukrani sana
      We're humbled 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @Annsinger5
    @Annsinger5 4 года назад +13

    Nitampa sifa na shukrani tele.
    Be bkessed guys and keep serving the Lord for great is the reward present and in eternity

  • @victoryshivan3207
    @victoryshivan3207 3 года назад +1

    Sauti tamu kweli 👏🤝

  • @priscaiman2081
    @priscaiman2081 4 года назад +3

    Nawapenda sana hawa wanakwaya

  • @nesphorydeus4581
    @nesphorydeus4581 3 года назад +1

    Hakika mnavipaji mungu awabarik 🙏

  • @SirJames065
    @SirJames065 4 года назад +5

    quality production kama kawaida..

  • @MariaGommans
    @MariaGommans 3 дня назад

    Thank you for all you have done for me dear Lord Jesus.Forgive me of all my sins.

  • @emmanuelbuganga7325
    @emmanuelbuganga7325 4 года назад +4

    Da kwa kweli wimbo mzuri sana, alafu auchujiki jamani mungu awabaliki sana.

  • @OrganistjamesKtZ
    @OrganistjamesKtZ 3 года назад +2

    Ni tamu kweli

  • @layajen1615
    @layajen1615 4 года назад +3

    Sauti nzuri kabixa

  • @jeritahmutimba754
    @jeritahmutimba754 2 года назад +1

    Sauti nzuri za kiupendeza

  • @normanmoriasi49
    @normanmoriasi49 4 года назад +7

    Could not make to church and had to listen to mass songs and i bet you guys made it worthwhile

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Be blessed, thanks for watching

  • @gideonthomas8719
    @gideonthomas8719 3 года назад +1

    Mungu awabariki milele yote

  • @noemipius1574
    @noemipius1574 4 года назад +6

    Bravo from Madrid España. Naskia ssa hivi kwa train. Sweet home kenya

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Thank you, ubarikiwe

    • @sundayssmile2128
      @sundayssmile2128 3 года назад

      karibu pia kutazama Muziki Mtakatifu kupitia link hii! Usisahau kusubscribe tafadhali na kuwashirikisha wengine!
      ruclips.net/video/uU3GrBC4onY/видео.html

  • @lavinmuswa3832
    @lavinmuswa3832 2 года назад +1

    Wema unayonitenda nitafanya nini nikurudishie

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @lampardmotors6514
    @lampardmotors6514 4 года назад +5

    Tunateremka nayooooo zikuje kukuja

  • @festotemba7405
    @festotemba7405 3 года назад +1

    Mnaimba viziri Sana sauti zenu nzur

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Asante Festo, ubarikiwe

  • @mariamsospeter8622
    @mariamsospeter8622 4 года назад +3

    Nikupe Nini MUNGU wang Sina chakukupa MUNGU wang nitakuhimid maisha yang yote

  • @sofiamauwa8979
    @sofiamauwa8979 4 года назад +2

    Barikiwa Sana jamani

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Asante Sofia, nawe ubarikiwe

  • @stephentembo8526
    @stephentembo8526 3 года назад +4

    Mema mengi unayoyafanya kwangu nashindwa nikupe nn Mungu wangu Cha kukupendeza, wimbo mzuri sana

  • @veroniquevee2444
    @veroniquevee2444 3 года назад +1

    Nikupe nini bwana wangu cha kukupendeza🙏

  • @thomasondabu6884
    @thomasondabu6884 4 года назад +3

    Mungu awabariki na awatunze mnapoendelea na uinjilisti kupitia kwa nyimbo na Sauti zenu nzuri

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Amina, nawe ubarikiwe pia

  • @wolfugangtesha5724
    @wolfugangtesha5724 4 года назад +1

    Wimbo mzuri sana

  • @fayamina2560
    @fayamina2560 4 года назад +15

    Sauti tamu, costumes tamu, video tamu, sura nzuri, I love everything about this video, awesome work Munywoki and the team👏👏👏👏👏

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Asante Faith, be blessed

    • @ulbanasmuli
      @ulbanasmuli 4 года назад +1

      Amen god bleess them

  • @goretiOkoth-zz1gm
    @goretiOkoth-zz1gm 22 дня назад

    Yale umenutendea sijuw nikupee nini Mungu wangu

  • @mercymacline658
    @mercymacline658 4 года назад +8

    Blessed of very nice song,vocal keep it up

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Thank you, be blessed as well

  • @marymwachofi7321
    @marymwachofi7321 4 года назад +2

    Napenda hii song hunibariki sana

  • @puritynyarinda3229
    @puritynyarinda3229 3 года назад +3

    I feel near to God nilisikiza huu wimbo love my Catholic faith

  • @deogratiuskisaka1640
    @deogratiuskisaka1640 3 года назад +2

    Wimbo ni mzuri sana mungu awabariki na kazi zenu amina

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Amina. Ubarikiwe sana nawe pia

  • @blessedjaneffer665
    @blessedjaneffer665 4 года назад +7

    Nice song,, thanks to sauti tamu

  • @eliaspatrik8186
    @eliaspatrik8186 4 года назад +2

    hongereni mmeimba vizuri sana cjajua mnapatikana wap

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Asante, tupo Nairobi

  • @stephenkilonzo4930
    @stephenkilonzo4930 4 года назад +30

    This song has never been recorded before! This is so nice.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Thank you Sir

    • @Mutuli
      @Mutuli 4 года назад +1

      Kuna flani ya watoto

    • @felisterligwa
      @felisterligwa 4 года назад +2

      Ilisharekodiwa hii huku Tz,na kwaya ya watoto

    • @lucymushi328
      @lucymushi328 4 года назад +1

      So nice God Bless u.

    • @mollykui1
      @mollykui1 3 года назад +2

      This is an original produced and recorded only in audio cassette by St Mary's Teachers College Taita in the year 2000

  • @michaelmungure5566
    @michaelmungure5566 3 года назад +1

    Safiii sana wanakwaya we2

  • @j.w.k9465
    @j.w.k9465 4 года назад +3

    Well done! Sauti nzuri

  • @Itarusii
    @Itarusii 4 года назад +2

    Ya kale dhahabu.

  • @AnalystTosh
    @AnalystTosh 2 года назад +5

    This song is giving me high school flashbacks inside the school chapel.. St Pius X Seminary - Nkubu

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад +1

      Thank you Clement
      Blessings to you

  • @victormasayu8054
    @victormasayu8054 4 года назад +1

    Big up mungu u miknoni mwenuuuuu

  • @evelyneblessed1673
    @evelyneblessed1673 2 года назад +8

    Am not a catholic but touched with the song

  • @footballgladiator2542
    @footballgladiator2542 2 года назад +1

    mimi sauti zimenimaliza, literarally good song

  • @esthermbithi1128
    @esthermbithi1128 Год назад +3

    Wauh!!!!!!what a song,,,,,hongera kwenu,,,mnazifanya nyimbo zile za kitambo kuwa Tamu Zaidi,,,,I like your melodious voices ,,,,be blessed

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  Год назад +1

      Thank you so much.
      Blessings to you

  • @victoriamutinda6501
    @victoriamutinda6501 3 года назад +2

    Naomba original wa wimbo huu ulivyo imbwa zamani...

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  3 года назад

      Audio yake haipatikani

  • @sauti_za_kuimba
    @sauti_za_kuimba 4 года назад +3

    Sauti Tamu. Sauti nzuri ya kuimbia

  • @jorammugakinjenga5720
    @jorammugakinjenga5720 3 года назад +1

    Yanikumbusha mbali good tbt

  • @Collinscj
    @Collinscj 4 года назад +8

    I miss attending mass in my country.... Be blessed so that song... watching from Doha Qatar.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Be blessed, wherever you are watching from

    • @shafysjhd7430
      @shafysjhd7430 4 года назад

      Miss tu aki niko saudia

  • @garnerafrica1508
    @garnerafrica1508 2 года назад +1

    nimeona walimu wenzangu waili ...munywoki aka mastudio na chris ndollo kazi nzuri

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  2 года назад

      Thank you Garner Africa
      Blessings

  • @patriciajulius4010
    @patriciajulius4010 4 года назад +16

    Am proud to be a Catholic not only Catholic but a singer.

    • @SautiTamu
      @SautiTamu  4 года назад

      Amen God bless you

    • @wowcheers7488
      @wowcheers7488 2 года назад +1

      Nice to meet you, my friend. Cheers.