BBC BIASHARA BOMBA: 'Kilimo cha Kaa'

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июн 2019
  • Katika pwani wa Kenya, wavuvi wamekuwa wikivua kaa kwa miaka mingi. Leo idadi ya kaa imeanza kupungua kwa sababu ya ongezeko la hitaji la chakula hicho na uchafuzi wa mazingira. Lakini kuna wawekez aji wanaojaribu kujaza pengo lililopo kwa njia ya kufuga na kulima kaa. Charles Gitonga anatuarifu zaidi.

Комментарии • 5