MAKALA BBT - LIFE UVUVI (AGRF 2023)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2023
  • Wizara ya Mifugo na Uvuvi inatekeleza programu ya 'Jenga Kesho Iliyo Bora' (BBT - LIFE) katika kuwapatia vijana elimu ya vitendo kwenye kilimo cha mwani, unenepeshaji wa kaa na jongoo bahari pamoja na ufugaji wa samaki.
    Makala hii imeandaliwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi na kuoneshwa kwa wageni wakiwemo viongozi wa serikali waliohudhuria mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula katika Bara la Afrika (AGRF 2023) unaofanyika jijini Dar es Salaam (5 - 8 Septemba 2023)
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии •