Mauaji ya Wazee kwa shutuma za uchawi Kilifi,Kenya
HTML-код
- Опубликовано: 6 июл 2024
- Takriban mzee mmoja huuawa kila wiki kwa shutuma za kuitwa mchawi huko pwani ya Kilifi nchini Kenya.
BBC Africa Eye inachunguza sababu halisi za mauaji haya ya kikatili na kufichua kwamba wengi wanafanyiwa ukatili huu na watu hasa ambao wanapaswa kuwalinda ikiwezo watu wa familia zao wenyewe.
Kuna matukio ambayo yanaweza kukuhuzunisha
#bbcswahili #kenya #afrikaeye
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Pole sana😢
Very sad
😢😢😢
😢😢😢wee
P ppl
Hawa vijana wanaomwaga damu ya wazee wanaleta laana kwa hilo eneo, wangejua wangeacha mara moja hayo mauaji sababu hata kama ni wachawi uchawi ni roho mtu hawezi kuuacha kwasababu umemkata mapanga, hata ukimuua anakufa mwili ile roho inabakia na ndo hatari zaidi sbb sasa inakuwa ni jeshi la wafu unapamba nalo bila kuliona