Eeeeeti anafanya marekebisho katika Tume ya uchaguzi😂😂.Watu wanahitaji vitu vingine wanauliwa ndugu zetu huko kenya,wanalalamika vitu kadhaa wakadhaa weunaenda kuweka tume mpya ya uchaguzi, watu wanataka barabara ya chini weunaenda kununua Ndege.
Kongo inatakiwa itangaze vita na rwanda ichapike Rwanda yan ka inchi kama mkoa wa kagera kanaisumbua kongo kwel .kongo chapa huyo Rwanda. Tanzania tupo nyuma yako ukipigwa tutakusaidia 😅😅😅
Mungu iepushie thahama congo
BBC Hakika mnachimbua mambo hadi najihisi niko studio ya ukweli, asanteni sana. Nawapata nikiwa Tukuyu Mbeya Tanzania
Mbona Rwandan hajapewa vikwazo hat kimmoj na muna uhakik kam wanasapoti M23 ila Iran 🇮🇷 walipewa vikwazo kisa kuisaport Hizbullah na Houth
Kunamataifa makubwa yanayoisapoti m23 Ruanda hainauwezo huo
Eeeeeti anafanya marekebisho katika Tume ya uchaguzi😂😂.Watu wanahitaji vitu vingine wanauliwa ndugu zetu huko kenya,wanalalamika vitu kadhaa wakadhaa weunaenda kuweka tume mpya ya uchaguzi, watu wanataka barabara ya chini weunaenda kununua Ndege.
Kongo inatakiwa itangaze vita na rwanda ichapike Rwanda yan ka inchi kama mkoa wa kagera kanaisumbua kongo kwel .kongo chapa huyo Rwanda. Tanzania tupo nyuma yako ukipigwa tutakusaidia 😅😅😅
Biden ajiuzulu tu maana hakuna namna kutokana na hali halisi ya baadhi ya matukio yake mbele ya kadamnasi mbali mbali.