Wakazi wa Manda kaunti ya Lamu washambulia boti inayofanya uvuvi haramu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 янв 2024
  • Wakazi zaidi ya 200 kutoka wadi ya Shella, kaunti ya Lamu walifika eneo la Ufuo wa bahari ya Kisiwa cha Manda kuondoa boti ya uvuvi iliyotia nanga ikiendeleza kufanya uvuvi haramu Manda .Boti hiyo imebeba mitego ya uvuvi zikiwemo nyavu za kuvua kamba mawe zaidi ya 1000, mitungi minne ya gesi inayoharibu mazingira miongoni mwa vifaa vyengine.

Комментарии • 3

  • @rosemarymungai2415
    @rosemarymungai2415 6 месяцев назад +1

    Take care of what belongs to you this government doesn't care about citizens na sijasema chukua sheria mkononi hapana lakini ukiona chenye sicha harali pita nayo kama hii serikali ndio waliwapea ruhusa na walikua wanajua kabisa hahifai basi ndio maana nasema ni serikali ya wezi tupu na kunyanyaza wakenya.

    • @AnkoLolo-mv5bk
      @AnkoLolo-mv5bk 6 месяцев назад

      Peleka hasira zako kwa mzee wa vitendawili boss wacha mahubiri ya Shaka hola

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 5 месяцев назад

    Hao wapemba waxidi na ring net Yao wwende kwao