Wakazi wa Lamu walazimikia kutembea kwa ukosefu wa magari

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • Wakaazi katika Kisiwa cha Amu kaunti ya Lamu wanalazimika kutembea kwa miguu au kutumia punda katika Kisiwa hicho kutokana na ukosefu wa magari . Ni tamaduni iliyoenziwa na kuhifadhiwa tangu jadi hasa kutokana na vichochoro vya mji huo.

Комментарии • 3

  • @husna34562
    @husna34562 2 года назад

    Mashallah

  • @danohsham4935
    @danohsham4935 2 года назад +1

    Ukosefu wa magari ni njia nzuri ya kuhakikisha hewa safi na kuzuia pia ajali. Pia inalazimisha watu kutumia miguu yao kutembea na hiyo inasaidia kuwa na afya bora.