Wakazi wa Lamu walazimikia kutembea kwa ukosefu wa magari
HTML-код
- Опубликовано: 17 окт 2024
- Wakaazi katika Kisiwa cha Amu kaunti ya Lamu wanalazimika kutembea kwa miguu au kutumia punda katika Kisiwa hicho kutokana na ukosefu wa magari . Ni tamaduni iliyoenziwa na kuhifadhiwa tangu jadi hasa kutokana na vichochoro vya mji huo.
Mashallah
Ukosefu wa magari ni njia nzuri ya kuhakikisha hewa safi na kuzuia pia ajali. Pia inalazimisha watu kutumia miguu yao kutembea na hiyo inasaidia kuwa na afya bora.
Swadakta wewe unajua sdg’s kwelikweli