Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2018
  • Alianzia kilimo kwa kutegemea soko la nchi yake, lakini baadaye akakitanua kilimo chake na kuyalenga masoko ya kimataifa. Kwa sasa anauza mazao kama maharagwe na njegere hadi Ulaya. Ujumbe wake kwa vijana ni kwamba kuna fursa kila mahali

Комментарии • 95

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 4 года назад +5

    Kwamba the Target one day Ni kumvuka Aliko dangote ,this is a great thought 😍😍😍 hongera saana

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 5 лет назад +4

    Hongera sana Hadija kwa kuweza kuthubutu , Umenitia moyo sana Mdada mwezio

  • @kimsam5506
    @kimsam5506 4 года назад +6

    This lady is doing amazing i am a farmer from Kenya and i must say shes doing amazing

  • @m.mwanga3052
    @m.mwanga3052 2 года назад +1

    Hongera sana. You are my idol.. hata Mimi nimefikiria sana kufanya kazi hii.

  • @doramwakatwila2971
    @doramwakatwila2971 4 года назад

    Sawa Dada hongera sana

  • @amenemhurt8817
    @amenemhurt8817 3 года назад

    All the best Khadija. God bless you!

  • @dominiclengwavi432
    @dominiclengwavi432 4 года назад

    Mungu akubariki Khadija

  • @dismascosmas1441
    @dismascosmas1441 4 года назад

    Nakubali,,,

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi9909 5 лет назад +2

    U deserve congratulations,

  • @ezekiangabo7040
    @ezekiangabo7040 5 лет назад +2

    Hongera

  • @simonkarega2714
    @simonkarega2714 4 года назад

    Hongera,

  • @fredrickfrancis5591
    @fredrickfrancis5591 5 лет назад +3

    Congrats madam

  • @abdallahjuma7516
    @abdallahjuma7516 5 лет назад +11

    Hivi vitu no rahic sana kuviongea ila kutenda ni habari nyingine

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 5 лет назад +1

      Abdallah Juma ndomana kasema changamoto zipo na anakabiliana nazo hajakwambia ni rahisi

    • @kadogorimwinyi1466
      @kadogorimwinyi1466 3 года назад

      Kikimo hakitumii akili nyingi kama kazi nyingine, tujielekeze huko

  • @milimomashini9432
    @milimomashini9432 5 лет назад +2

    Goood perfomance

  • @yumnacute8079
    @yumnacute8079 4 года назад +8

    Watu bana😂😂😂 sasa hizo namba zitawasaidia na nn...amewafungua macho na ww azisha kama waweza. Biashara yingi sio lazima kilimo jamn... akili ni nywele kila mmoja ana zake.

    • @andy_the_great
      @andy_the_great 4 года назад

      Mbona kama wivu sasa wanawake kwa wanawake😊

  • @tatukaratatatukarata753
    @tatukaratatatukarata753 9 месяцев назад

    Hongera sana

  • @phchouse
    @phchouse 4 года назад

    Jabil Hongera

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 4 года назад +5

    Kwangu tatizo ni masoko nahitaji msaada sana tafadhali dada hasa kwa mazao hayo mawili

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 года назад

      Unalima niini na unabuna kiasi ganin

  • @enockkagomba1261
    @enockkagomba1261 4 года назад

    Unani inspire sana my mentor thanks

  • @BarakaMichael-lt3vk
    @BarakaMichael-lt3vk 8 месяцев назад

    Ahsante sana

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 4 года назад

    Nakupenda

  • @jamilmwinge3695
    @jamilmwinge3695 4 года назад +2

    ongera sana bi Fatuma iyo ndio maana ya elimu.

  • @MrGadau
    @MrGadau 2 года назад

    very encouraging

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 4 года назад +1

    Mashallah

  • @LatifaSaidi-dn6wb
    @LatifaSaidi-dn6wb Год назад

    Habari dada natamani kupata no zako napenda kulima sana nataka
    kulima huko ntapaje mawasiliano mi niko tabora

  • @tumainituya6789
    @tumainituya6789 4 года назад

    Nimependa hii

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 4 года назад

    Naomba namba zako s star

  • @JosephGithui-rr4je
    @JosephGithui-rr4je 9 месяцев назад

    I'm. nakuru Kenya how can I reach you for.a visit am a young farmer I think big God bres you

  • @magrethkimaro5140
    @magrethkimaro5140 4 года назад

    Interested

  • @imanimwazembe4703
    @imanimwazembe4703 Год назад

    Namnba

  • @laurentdau753
    @laurentdau753 2 года назад +1

    Dada naomba nisaidie namba yako tuwasiliane zaidi napenda sana elimu ya kilimo🙏

  • @oscarngowi3118
    @oscarngowi3118 2 года назад

    Iko vizur

  • @joharijj2164
    @joharijj2164 Год назад

    Hongera sana …mimi napenda sana ukulima na ufugaji katika pita pita zangu nilikuja nikakutana na post zake .nikamtafta nikapata number zake .soon I’ll bring my testimony inshallah

    • @Naseeha2
      @Naseeha2 Месяц назад

      Habari. Naomba uniambie ulichojifunza kwake ama chochote alichokusaidia

  • @LUKIKOALEX-jm5ev
    @LUKIKOALEX-jm5ev Год назад

    Pambana mama

  • @josephgaitan989
    @josephgaitan989 4 года назад +3

    Kwenye mnyololo wa thaman kuna fursa nyingi ambazo kijana anaweza kuingia na akafanya biashara

  • @hidayamvungi6962
    @hidayamvungi6962 5 лет назад +2

    Namba Dada

  • @user-dq3ck1lv7p
    @user-dq3ck1lv7p Месяц назад

    Naweza kujitolea kwenye kampuni yako ?

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 4 года назад

    Naomba kuunganishwa na huyu mudada mjasilia mali

  • @ireboysgang56
    @ireboysgang56 5 лет назад

    nice

  • @johansenrauben6166
    @johansenrauben6166 4 года назад

    Mwenye mawasiliano yake please

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 года назад

    Ila nyanya inalipa sanah tena sanah kinaweza kukufanya kuwa bilionea

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti6914 5 лет назад +2

    Uyu mdada umooi 😬😬😬😬😬😬😬😬😬

  • @barakayohanasanga3005
    @barakayohanasanga3005 3 года назад

    Naomba namba za Dada Khadija,

  • @CatherineMassawe-pb2jd
    @CatherineMassawe-pb2jd 6 дней назад

    Duh

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 5 лет назад +1

    Namba zako mdada

    • @d.a.t3383
      @d.a.t3383 4 года назад

      Ziko kwenye matangazo yake ya kingereza mwangalie humuhumu

  • @yonafedrick36
    @yonafedrick36 4 года назад

    Umeniinspire sana,kwan namm baada ya kuhitimu masomo nina lengo kuuanzisha kilimo.Npe contact zako tafadhar

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 года назад

      Contact zake za nini ?? Huyu ni mke wa mtu , wabongo!!!!kisa wameangalia tako mate bwelele.dada tafadhari usitoe namba.hapa hakuna mkulima hata mmoja.hivi kilimo kisikiage hivi hivi.

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 года назад

    Naomba mawasiliano Dada unishauri

  • @JajiZakayo-fw9mk
    @JajiZakayo-fw9mk 10 месяцев назад

    tatizo amuweki namba zenu za simu tungalikuwa tumekwisha waletea makampuni makubwa ya kilimo kutoka nje ya inchi.

  • @swabrinyawale8126
    @swabrinyawale8126 5 лет назад +2

    Can u give your number.......? Mm pia ni mkulima wa nyanya ,tikiti n.k

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Год назад

    Naomba namba yako ya sim

  • @zawadishabani2589
    @zawadishabani2589 Год назад

    Dada umenifulaisha kusema tunaweza kuwa kama dangote tukko pamoja

  • @eliadimsaki9754
    @eliadimsaki9754 2 года назад

    Maharage huwa yanaoteshwaga na mbolea ya viwandani.?

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад

    Jaman mtusaidie si tunamitaj lakin hatuna mashamba

  • @hezronmangulamangula9718
    @hezronmangulamangula9718 4 года назад

    Napenda Sana kilimo ishu mtu wakishilikiana nae

  • @redemtamkemwa6067
    @redemtamkemwa6067 2 года назад

    Napataje namba yake

  • @HawaAmour
    @HawaAmour 26 дней назад

    Nini maana ya kilimo

  • @evagasper4772
    @evagasper4772 5 лет назад +3

    Tatzo ni mtaji mama

  • @valentinajoseph5245
    @valentinajoseph5245 Год назад

    Naonba nije kukutembelea nigifunze nataka kurima

  • @vumilialambert398
    @vumilialambert398 4 года назад

    Mi Niko Moro naomba mawasiliano ya Dada ili niweze kupata abc's

  • @editafrancis6154
    @editafrancis6154 3 года назад

    Nataman kufanya kazi na wewe umenvutia kwa juhud zako

  • @rahmahussein9627
    @rahmahussein9627 Год назад

    Mafunzo

  • @rahmahussein9627
    @rahmahussein9627 Год назад

    Nahitaji mafunzo

  • @abdulrahmanabubakarshariff9749
    @abdulrahmanabubakarshariff9749 4 года назад

    Shikilia hapo hapo utafaulu kabisa

    • @maningujohn1169
      @maningujohn1169 4 года назад

      Hongera sana dada.tatizo changamoto zinasumbua sana.namutaji nao ni wasi wasi basi dada

  • @hassannjiku3880
    @hassannjiku3880 5 лет назад

    sagi

  • @alextzmmary5121
    @alextzmmary5121 4 года назад

    Mimi pia ni mtanzania, nalima kenya naishi dodoma, khadija hujatoa contact zako bhanaa, 0767434079 nitafute tufanye mambo makubwa zaidi

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c 5 лет назад

    hadija namba yako samahan sana nitaman sana kilimo

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 5 лет назад

      Nami pia kama hutojal tunaweza kubadilishana mawazo tuma no zako tuzungumze

    • @AfyaScore
      @AfyaScore 4 года назад

      👍

  • @yugakiyumbi9909
    @yugakiyumbi9909 5 лет назад

    Naomba nitumie namba zako tuwasiliane,my email; kiyumbiyuga@gmail.com

  • @AnthonyMrosso
    @AnthonyMrosso 2 месяца назад

    Umbali wa kupana maharagemce hadi mch