Msichana Mjasiriamali Tanzania kupitia kilimo
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2018
- Alianzia kilimo kwa kutegemea soko la nchi yake, lakini baadaye akakitanua kilimo chake na kuyalenga masoko ya kimataifa. Kwa sasa anauza mazao kama maharagwe na njegere hadi Ulaya. Ujumbe wake kwa vijana ni kwamba kuna fursa kila mahali
Kwamba the Target one day Ni kumvuka Aliko dangote ,this is a great thought 😍😍😍 hongera saana
Hongera sana Hadija kwa kuweza kuthubutu , Umenitia moyo sana Mdada mwezio
This lady is doing amazing i am a farmer from Kenya and i must say shes doing amazing
Hongera sana. You are my idol.. hata Mimi nimefikiria sana kufanya kazi hii.
Sawa Dada hongera sana
All the best Khadija. God bless you!
Mungu akubariki Khadija
Nakubali,,,
U deserve congratulations,
Hongera
Hongera,
Congrats madam
Hivi vitu no rahic sana kuviongea ila kutenda ni habari nyingine
Abdallah Juma ndomana kasema changamoto zipo na anakabiliana nazo hajakwambia ni rahisi
Kikimo hakitumii akili nyingi kama kazi nyingine, tujielekeze huko
Goood perfomance
Watu bana😂😂😂 sasa hizo namba zitawasaidia na nn...amewafungua macho na ww azisha kama waweza. Biashara yingi sio lazima kilimo jamn... akili ni nywele kila mmoja ana zake.
Mbona kama wivu sasa wanawake kwa wanawake😊
Hongera sana
Jabil Hongera
Kwangu tatizo ni masoko nahitaji msaada sana tafadhali dada hasa kwa mazao hayo mawili
Unalima niini na unabuna kiasi ganin
Unani inspire sana my mentor thanks
Ahsante sana
Nakupenda
ongera sana bi Fatuma iyo ndio maana ya elimu.
very encouraging
Mashallah
Habari dada natamani kupata no zako napenda kulima sana nataka
kulima huko ntapaje mawasiliano mi niko tabora
Nimependa hii
Naomba namba zako s star
I'm. nakuru Kenya how can I reach you for.a visit am a young farmer I think big God bres you
Interested
Namnba
Dada naomba nisaidie namba yako tuwasiliane zaidi napenda sana elimu ya kilimo🙏
Iko vizur
Hongera sana …mimi napenda sana ukulima na ufugaji katika pita pita zangu nilikuja nikakutana na post zake .nikamtafta nikapata number zake .soon I’ll bring my testimony inshallah
Habari. Naomba uniambie ulichojifunza kwake ama chochote alichokusaidia
Pambana mama
Kwenye mnyololo wa thaman kuna fursa nyingi ambazo kijana anaweza kuingia na akafanya biashara
Namba Dada
hidaya mvungi
Naweza kujitolea kwenye kampuni yako ?
Naomba kuunganishwa na huyu mudada mjasilia mali
nice
Watoto TZ Tv naomba namba zko plz
Mwenye mawasiliano yake please
Ila nyanya inalipa sanah tena sanah kinaweza kukufanya kuwa bilionea
Uyu mdada umooi 😬😬😬😬😬😬😬😬😬
Naomba namba za Dada Khadija,
Duh
Namba zako mdada
Ziko kwenye matangazo yake ya kingereza mwangalie humuhumu
Umeniinspire sana,kwan namm baada ya kuhitimu masomo nina lengo kuuanzisha kilimo.Npe contact zako tafadhar
Contact zake za nini ?? Huyu ni mke wa mtu , wabongo!!!!kisa wameangalia tako mate bwelele.dada tafadhari usitoe namba.hapa hakuna mkulima hata mmoja.hivi kilimo kisikiage hivi hivi.
Naomba mawasiliano Dada unishauri
Unataka namba
Chukua hii 4😂
tatizo amuweki namba zenu za simu tungalikuwa tumekwisha waletea makampuni makubwa ya kilimo kutoka nje ya inchi.
Can u give your number.......? Mm pia ni mkulima wa nyanya ,tikiti n.k
Naomba namba yako ya sim
Dada umenifulaisha kusema tunaweza kuwa kama dangote tukko pamoja
Maharage huwa yanaoteshwaga na mbolea ya viwandani.?
Jaman mtusaidie si tunamitaj lakin hatuna mashamba
Napenda Sana kilimo ishu mtu wakishilikiana nae
Upo wapi nawewe niwa jinsi gani upo. Mkoa gani
@@user-po8hz7xw9jhello hi
Napataje namba yake
Nini maana ya kilimo
Tatzo ni mtaji mama
Kwa kwel
Mi tatzo sijapata eneo la kulima
Naonba nije kukutembelea nigifunze nataka kurima
Mi Niko Moro naomba mawasiliano ya Dada ili niweze kupata abc's
Yangu in 0658786895
Nataman kufanya kazi na wewe umenvutia kwa juhud zako
Mafunzo
Nahitaji mafunzo
Shikilia hapo hapo utafaulu kabisa
Hongera sana dada.tatizo changamoto zinasumbua sana.namutaji nao ni wasi wasi basi dada
sagi
safi na hongera
Ongera sana Khadija
Mimi pia ni mtanzania, nalima kenya naishi dodoma, khadija hujatoa contact zako bhanaa, 0767434079 nitafute tufanye mambo makubwa zaidi
hadija namba yako samahan sana nitaman sana kilimo
Nami pia kama hutojal tunaweza kubadilishana mawazo tuma no zako tuzungumze
👍
Naomba nitumie namba zako tuwasiliane,my email; kiyumbiyuga@gmail.com
Umbali wa kupana maharagemce hadi mch