MAZAO 3 YENYE MUDA MFUPI ADI KUVUNWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июн 2020
  • kilimo Cha matango ,bamia na mbogamboga

Комментарии • 86

  • @MkutubyTheboy
    @MkutubyTheboy 21 день назад +1

    Masoko ndiyo kikwazo kaka mimi issa rajab

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  21 день назад

      Ngoja tuzid kutafuta masoko zaid

  • @user-nb1if3dp1s
    @user-nb1if3dp1s 3 месяца назад +2

    Tango likiwa tiyar kulichuma utajuaj mkuu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 месяца назад

      Vipele vidogo vidogo itaanza potea.

  • @francismartin2938
    @francismartin2938 4 года назад +2

    Hongera nimehelea soma

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 года назад

      Thnx kaka utekelezaji mwema

  • @eyksaz3677
    @eyksaz3677 4 года назад +1

    Ahsante kwa video nzuri

  • @kppolice6336
    @kppolice6336 3 года назад +1

    good keep it up dear

  • @lidyanchimbi1466
    @lidyanchimbi1466 2 года назад +1

    Asante maelekezo ni mazuri

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 3 года назад +1

    Asante nashukuru kwa ujumbe

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Barikiwa sana🙏🙏🙏

  • @kassmmohamed2912
    @kassmmohamed2912 3 года назад +1

    Nawezaje kujua kama tango limekomaa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Apo ni kwa kubonyeza tu ukiona gumu ujue limekomaa , pia tango teke lina vinundu kama vipele Ivi lililo komaa inakua soft

  • @user-sd6kd4lx1y
    @user-sd6kd4lx1y 10 месяцев назад +1

    Namba za cm vipi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 месяцев назад

      TUNAKUTUMIA

  • @flozzykenya7018
    @flozzykenya7018 3 года назад +2

    Good work

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Good too🙏🤝

  • @henryallyassani4058
    @henryallyassani4058 2 года назад +1

    Habari

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Nzuri Karibu🙏🙏🙏

  • @chichibabe846
    @chichibabe846 Год назад +2

    Naweza otesha zao gani sehemu kama SAME pls

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Mazao ni mengi ndugu kwani uko hakuna wanaolima ndugu

    • @chichibabe846
      @chichibabe846 Год назад +1

      @@AGALUSTV mimi sikai uko ndo maana sijui ni mazao gani yatakayo vumilia ukame

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Год назад

      Mihogo, mtama, mahindi pia wanalima ndugu

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Год назад +1

    Napenda kulima Sanaa natafuta shamba lakin bdo sijapata

  • @aminamohamed5251
    @aminamohamed5251 3 года назад +1

    Habar kaka nahitaji kuanza kilimo cha matango naomba mawasiliano yako tafadhali

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Год назад +1

    Vipi kama nikiweka mbegu ya chainizi Kwenye tuta moja kwa moja bila kuotesha kitalu?

  • @lidyanchimbi1466
    @lidyanchimbi1466 2 года назад +1

    Changamoto gani unaweza kutana unapolima kipindi cha masika?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Magonjwa y ukungu, mbolea kupotea na soko uweza kua si zur maana mengi yatakua sokoni🙏🤝

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 3 года назад +1

    mbegu .za. bamia. kwa. dar .es. salam. nazipata. maduka. yp

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Mbegu zinapatikana maduka ya Pembe jeo. Aina ya mbegu mchek tu muuza duka

  • @pauloyame5882
    @pauloyame5882 2 года назад +1

    Mimi matango yangu yanashambuliwa na wadudu. Je natakiwa nitumie dawa ngani

    • @pauloyame5882
      @pauloyame5882 2 года назад +1

      Au ni sumu ngani mi bora

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад

      Sumu ZOTE ni bora ndugu. Hutegemea aina ya tatzo lako. Ushauri wetu MUONE mtaalam wa pembejeo umuoneshe aina ya ugonjwa ktk Mimea yako tu naamini atakupa Tia dawa nzuri tu🙏🏿🤝✍️

  • @bonionlinetv6816
    @bonionlinetv6816 4 года назад +1

    Nzuri

  • @jitaJackson
    @jitaJackson 2 года назад +1

    Mbegu nzuri ya Tango na yenye soko ni ipi??

  • @Lukamgidange
    @Lukamgidange 3 года назад +1

    Je Ni kwenye udongo wa Aina gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Tifu tifu unaopitisha maji

  • @mariammadebe6599
    @mariammadebe6599 3 года назад +1

    Asante sana Kwa somo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад +1

      Asante nawe Barikiwa🙏🙏🙏

  • @davidguantai-em4on
    @davidguantai-em4on 11 месяцев назад +1

    Kiswahili ngumu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 месяцев назад

      🤔🙏you may ask by English where you would not understand

  • @carolinebitutu3694
    @carolinebitutu3694 4 года назад +1

    Jamani ningekuwa na shamba.
    Ningekimbia na kuanza kilimo papo hapo.

  • @TEACHER.CLEOPHAS
    @TEACHER.CLEOPHAS 2 года назад +1

    Shwari

  • @aroncharles6548
    @aroncharles6548 2 года назад +1

    Je matango kwenye baridi yanakubali?
    Na daw ya ukungu napaswa kupigia kwa mda gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад +1

      Yana kubali tena vizuri tu. Ukungu hutegemea hali ya hewa yaweza kua mara 1, baada ya wiki 2 pia mara 1 kila wiki na hata mara 2, kwa wiki

    • @aroncharles6548
      @aroncharles6548 2 года назад +1

      @@AGALUSTV asante mkuu npo manyara-mbulu kuna baridi sanaa nkahofu kuw inaweza kuyadhuru je ni mbegu gani itafaa? Kwenye ukanda huu wa manyara mbulu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 года назад +1

      Kaulize mbegu za hybrid f1, za matango zinazouzwa ukanda wa uko

    • @aroncharles6548
      @aroncharles6548 2 года назад

      @@AGALUSTV asante boss
      Je matango yana msimu kama vile eti mda fulan ukipanda yanasumbu kutoa matunda ?

  • @mariamm2724
    @mariamm2724 3 года назад +1

    Ivi masoko Yapo kaka kwa.ajili.ya tango?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Yapo ndugu yategemea mazingira unayoishi

    • @mariamm2724
      @mariamm2724 3 года назад +1

      @@AGALUSTV iringa ndoo home kaka, na ndoo nitalima huko.

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Ok 👌 good mazingira ya iringa yanaruhusu

    • @mariamm2724
      @mariamm2724 3 года назад +1

      @@AGALUSTV na soko pia iringa lipo??

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Matango kila eneo yanaliwa kuna vitu tu utatakiwa kujua ili. Utime soko tutashirikishana ndugu

  • @zakariamalambughi4639
    @zakariamalambughi4639 4 года назад

    Mazingira ya baridi je VP matango yanakubali? Mfano tukuyu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 года назад

      Yanakubali ila zingatia dawa za ukungu

  • @hereethswai4351
    @hereethswai4351 3 года назад +1

    Naomba no yako boss

  • @ernestthomas3866
    @ernestthomas3866 3 года назад +1

    Je mboga za kwenye kitalu ,unafanyaje ili upate kitalu?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Sijakuelewa ndugu ili upate kitalu

    • @ernestthomas3866
      @ernestthomas3866 3 года назад +1

      @@AGALUSTV kwenye video yako ya mazao matatu,kuna mboga zinazopandwa kwanza ili kupata kitalu,hivyo unafanyaje ili kupata kitalu na kwa muda gani unahisi kitalu kiko tayari?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  3 года назад

      Ok mbegu kwenye kitalu mboga nyingi ni wik 3 hadi 4 then miche upelekwa shambani 🙏🙏Pia kuhusu kitalu ni mbegu za mboga husika zinauzwa ndyo unaenda kuotesha kwenye kitalu naomba kama hutaelewa jinsi ya kuwatika kitalu niambie tutaelekezana