MZEE ABDULL AFICHUA TABIA YA SARAH WA DIAMOND, NAMJUA VIZURI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024

Комментарии • 133

  • @MarthaBura-or8fe
    @MarthaBura-or8fe 16 дней назад +17

    Duhuuu umefanana na nasibu

  • @bintimohamed2646
    @bintimohamed2646 15 дней назад +5

    Asante sana baba diamond ❤❤

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 16 дней назад +8

    Uzee Mwisho Msata Umependeza jiweke ivyo ivyo Smat

  • @user-lz1md9ug6m
    @user-lz1md9ug6m 10 дней назад

    mzee babake diamond upo sawa mungu akuzidishe masiku za kuixhi duniani

  • @kijitamfyomi5598
    @kijitamfyomi5598 16 дней назад +26

    Halafu mama diamond anaongopea dunia eti baba wa mzazi wa diamond ni nyange wakati kila kitu kiko wazi jinsi mzee abduli alivyofanana na diamond jamani kina mama muogopeni Mungu vitu vya dunia ni vya kupita tu

    • @joycemuhoja4729
      @joycemuhoja4729 16 дней назад +1

      Mpaka Sauti wamefanana Sana

    • @mycmeranyswai7957
      @mycmeranyswai7957 15 дней назад +1

      me nikitaka wakapime DNA

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 15 дней назад

      Wanawake nimikunduuuuu😂😂😂😂😂😂ndooo masetaniii yadunianiiiii

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 15 дней назад +2

      @@liberatusjackson5045we mjinga kweli sas watutukana kisa nn😂😂😂😂 yani pia mama wamtuka jamani pepo ya mamako huipati utaisikia tu au urudi uombe msamaha

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 15 дней назад +1

      Wacha kuogopea ni haramu kuchukua damu ya mtu kipelekea mtu mwengine watu wataingiq motoni na hio

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 15 дней назад +1

    nashukuru kumuona mzee abduli afya yake inarudi mdogo mdgogo safi sana

  • @jasminewest6826
    @jasminewest6826 15 дней назад +2

    No matter how the dad was Diamond needs to make peace with this guy. He doesn't owe him anything but a parent is no joke.

  • @HogaMasunga-ec2jw
    @HogaMasunga-ec2jw 16 дней назад +9

    Mzee kafanan na mwanae jmn

  • @ElizabethMasala-op3vd
    @ElizabethMasala-op3vd 14 дней назад +2

    Ni kweli huyu mzee ana fanana na mwanae

  • @FarhanZay-sb4gv
    @FarhanZay-sb4gv 11 дней назад +1

    Daimondi huyo baba yako mmefanana sana midomo jamani

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 16 дней назад +8

    Hivi huyu binti anaitwa "Sala" kweli? Mi nilidhani Sara😊

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 15 дней назад +3

    Ahh huyu mzee kweli. Diamond ndo baba ake kweli amefanana kwa asilinia 91 ila Mzee acha usharo umri umeenda Jua linazama tena

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 11 дней назад +1

    mpaka sauti ukisikiza nikm daimond

  • @JumaMwachindiri-ut3qi
    @JumaMwachindiri-ut3qi 15 дней назад +2

    Si huyu Mzee Abdhull ni mond kabisa 😂 Hadi kunyoa😂😂😂😂

  • @user-ce6ob6zh7k
    @user-ce6ob6zh7k 16 дней назад +10

    Mzee bishooo

  • @JulianaMushi-nq3kc
    @JulianaMushi-nq3kc 16 дней назад +5

    sas hapo la ajabu lipi tz bwn kuna vtu vya maan hamfatilii vya kipuuzi ndo mnafatilia

    • @bungi5657
      @bungi5657 15 дней назад

      youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI

    • @bungi5657
      @bungi5657 15 дней назад

      youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI

  • @user-pf7xj8cy3y
    @user-pf7xj8cy3y 16 дней назад +1

    Ww mzee mfunde nasibu asitegemee fedha nihukumu ya mungu maisha nakuchezea wtt wawatu

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 15 дней назад

      Situmeshakubaliana kuwa siyo mwanae sasa amfunde Vipi mtoto wa Mtu

    • @petermangama330
      @petermangama330 15 дней назад

      Hapo ndo shida ya wanaume ilipo yaani kutanguliza inferiority kwa wanawake eti angekuwa kachoka asingeweza kujitambulisha kwake! Kauli ya kinyonge sana

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 14 дней назад +1

    Mama dangote alinyandiliwa na nyange mchana usiku akalala kwa abduli, inamchanganya bado mbegu niyanani

  • @user-mt2pn4ds9k
    @user-mt2pn4ds9k 16 дней назад +3

    Uyu baba hajuwi chochote kuhusu sara😂😂😂😂😂

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 16 дней назад +6

    Sala mwandishi kondoo sana,kiswahili kigumu mno

    • @clarencekhayira9876
      @clarencekhayira9876 16 дней назад +1

      Lafudhi tu ustie lawama

    • @kiatu
      @kiatu 14 дней назад

      ..waandishi ni kioo cha jamii husika, yaani ndio tulivyo wabongo? kiingereza hatuwezi na Kiswahili je?
      Huyo mzee hana uhakika na anachosema

  • @salimakuyela7813
    @salimakuyela7813 15 дней назад +2

    Huyu ni baba ake na nasibu kabisa

  • @joyhylton7901
    @joyhylton7901 16 дней назад

    Diamond is ughhhhh just like his father.

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 14 дней назад

    ❤❤❤

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 16 дней назад +2

    Hapo hakuna mapenzi ni Kiki tu miaka yote asitambulishwe atajwe leo wakati yupo Tz hii

  • @tatujuma4795
    @tatujuma4795 16 дней назад +3

    Mwandishi unaniangusha kutaja jina ni Sarah sio Salah 😊

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 15 дней назад +1

    Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 15 дней назад +1

    Mamake Mondi anadhambi kubwa sana kumdhurumu mtoto huyu mzee, huyu ndo babake halisi Lukuga

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 15 дней назад

      Wewe baba wa mtoto anamjua mama msilaumu huwenda Mzee nyange alikuwa wa kwanza kula vitu dunian wawilwawil wew hujawah kufananishwa na mtu afu unakuwa hata humfaham

  • @duasufiani2782
    @duasufiani2782 16 дней назад +4

    Mzee akubali kushindwa) mwendo wa rasta

  • @user-zi1gp6dc2q
    @user-zi1gp6dc2q 15 дней назад +1

    Mzee abduri izo ras naviduku vyann tena nautu uzima huo jaman fanya ibada mzee uwe namwisho mwema achana namambo yadunia .hufanani namambo ayo

  • @MihidjahiAssoumani
    @MihidjahiAssoumani 7 дней назад

    Baba ni baba atacama ajakuzaa

  • @DivinebabyDee
    @DivinebabyDee 9 дней назад

    Ukiwa mwandishi wa habari hutakiwi hii katika r unaweka l

  • @thamani5842
    @thamani5842 15 дней назад +1

    Huyu nae hajijui wala hajitambui.
    Mtu mzima ovyo

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 15 дней назад

      Ulitaka afanyeje situmeshakubaliana diamond siyo mwanae au hujui unataka aongee nn wakati siyo mwanae

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 16 дней назад +1

    Mzee unajishushia hadhi yako wewe kwanini unapenda kuhojiwa kwanini na huyu mwandishi kama hajui kiswahili kwanini anafanya kazi hiyo sarah anasema sala na halafu kwanini ukamuulize mzee wa watu mambo ya Nasib yanamuhusu nini yeye

  • @user-yv9xx1jw1q
    @user-yv9xx1jw1q 15 дней назад

    7:23

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 15 дней назад +3

    Wanafanana sana❤na Diamond🎉

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 15 дней назад

      ndio

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 15 дней назад

      Mama D amekataa mtoto kampa Nyange😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 15 дней назад

      @@jaffjeff6912 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee itakuwa alikuwa anasuasua mpira kapewa mwenye nguvu😂😂😂😂😂

  • @NaomiMwampondele
    @NaomiMwampondele 16 дней назад

    Baba upo sahihi hayo Maisha tunayaishi Sana tu

  • @PauloPeter-cp7cj
    @PauloPeter-cp7cj 16 дней назад +1

    Pesa Soo upendo wale wapendanao

  • @mgomatvshows7424
    @mgomatvshows7424 9 дней назад

    Domo la juu lafanana na la mondi kabsaa 😂

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 12 дней назад

    Ila mnao mponda mzee abuduli kweli mna wivu kipi kibaya hapo make kama nikunyoa amenyoa vizuli 2 Mimi kwa upande wangu sijaona Kasi sijajua makasiliko yanatoka wapi

  • @KapandeKhairath
    @KapandeKhairath 15 дней назад +1

    Mzee wa hv ni kati ya wazee wa hovyo hapa duniani

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 10 дней назад

    Msimuhoji kuhusu Diamomd jamani' Diamond alishamkataa

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge 16 дней назад

    Mzee yuko kama Nassib

  • @UmmyLubna-rp6rv
    @UmmyLubna-rp6rv 15 дней назад

    Na we mtangazaji ovyoo sana..yaani baada ya kumwita SARA,unamwita SALA.

  • @VardySton-vc9yj
    @VardySton-vc9yj 11 дней назад

    Kwanini mondi amkataemzazi ao gopiatalanakubwayatokakwamzazi

  • @kimwerihamza4152
    @kimwerihamza4152 15 дней назад

    Waandishi jitahidini kiswahili chenu kiendane jinsi ya kutamka,baadhi yetu mnachanganya herufi

  • @jumazahoro3537
    @jumazahoro3537 16 дней назад +1

    Ni Sara sio sala mtangazaji

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q 14 дней назад

    Elewa wangu mimi labda mama nasibu alienda kwa huyu ameshanasa kule ila huyu akamzidi dam kali akafanananae

  • @juniormembe688
    @juniormembe688 15 дней назад

    Mzee wangu unaongea kama mwangu Chinu Bosingwa Kofia mbaya

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 16 дней назад

    Wanafanana sana na Diamond.

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 15 дней назад

      Lakini mama amekataa mtoto kampa Nyange😂

  • @LinahAlbert-xl5li
    @LinahAlbert-xl5li 10 дней назад

    Kwani huyu Sara alikuwa wapi siku zote kwanini atambulishwe Leo?

  • @muniraally4091
    @muniraally4091 16 дней назад +1

    .mtayamaliza sara ndo aloteka mtima wa jamaa

  • @nkubitojaffar558
    @nkubitojaffar558 16 дней назад +1

    sasa uyo mze ajioni kama kisha zeheka na penk za kijinga minyororo shingoni kama kica mze aca ujinga erekeyey kwa mwenyezi mungu toka mu ujinga

  • @KapandeKhairath
    @KapandeKhairath 15 дней назад

    Unanyoa kihuni huni,mzee wa hovyo

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 16 дней назад +1

    Hujui kufanyia watu interview mara utupia nano la kiingereza

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 13 дней назад

      Wewe mwenyewe umekosea sio nano SEMA neno mpuzi

  • @SharifaMohammed-el3ug
    @SharifaMohammed-el3ug 12 дней назад

    Made kaa kimya

  • @fatmahraseid7019
    @fatmahraseid7019 16 дней назад +1

    Huyo mondi hana cha moyo kutekwa wala nini natafuta followers na keshawapata 😅😅😅😅😅 huyo Sarah ndo afananishwe na wema na Zari kweli eh Dunia simama we😅😅😅

    • @kadijaa7771
      @kadijaa7771 15 дней назад

      Mi nashuka 😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 16 дней назад

    Sala ndiyo nini? Why waandishi wa Tz mnashindwaga kutofautisha L na R??? Mnaondoa ladha ya kusikilizwa

  • @user-wb7ey8zd9c
    @user-wb7ey8zd9c 16 дней назад

    Uongo

  • @wanahawaShaban
    @wanahawaShaban 16 дней назад +1

    Hapa Sasa ndomtaamini kama huyu baba akuwaikuwa na ukalibu na hile familia

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 15 дней назад

      😂😂😂af mtu analaum ananyimwa ubaba unataka ubaba wa mafanikio kwendraaaaa Kuna haja gan tukutane Kwa Mungu atuhukumu

  • @ernestebaba7941
    @ernestebaba7941 16 дней назад +2

    We mjinga Salah njo nini sema Sarah pumba wewe

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 13 дней назад

      Wewe mwenye umekosea sio njoo SEMA sala ndio nini

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 16 дней назад

    Mrangazaji kutangaza bado. La na Ra.

  • @hawahawa8441
    @hawahawa8441 16 дней назад +1

    Uyu mzeee nae amna kitu kichwani

  • @annasolomon9855
    @annasolomon9855 15 дней назад

    Mmh mwandishi jaman, by ze way😅😅😅😅

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 16 дней назад

    Mzee mwenyewe nae nywele kama jizi shetani mkubwa wewe

  • @user-qh3fx2uc7l
    @user-qh3fx2uc7l 12 дней назад

    Jmni kafnn nae

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 16 дней назад

    Waandishi bwana Awana Dogo hadi kero kabis

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 16 дней назад +7

    SASA MZEE WEEE UMESHAZEEKA RASTA ZA NINI NA HICHO KIDUKUU NYOA KAWAIDA TUU UTAESHIMIKAA

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy 16 дней назад +8

      Usimpangie mtu maisha yake ya kuishi huna mamlaka hio fata maisha yako na yey afany yake

    • @silvesterrichardhelenya1319
      @silvesterrichardhelenya1319 15 дней назад +2

      Kwani wewe unamalaka ya kumpangia Mtu jinsi ya kuishi wanadamu mbona hamuishiwi maneno

    • @bahrynbahry1138
      @bahrynbahry1138 15 дней назад

      😂😂

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 15 дней назад

      Mmmmmmhhhh🧎🧎🧎🧎🧎

    • @rehemamgata224
      @rehemamgata224 15 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂cjapenda na mim

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 16 дней назад

    Uyo sarah hana mapenzi anafata pesa angekuwa diamond amefuriya angemkumbuka

    • @fbr5113
      @fbr5113 16 дней назад

      ANAYEJIPENDEKEZA NI DIAMOND KWA KIKI ZAKE KAONA ZIMEMUISHIA IMEBIDI AMFUKUNYUE HADI SARA

  • @amiroamiroboa8724
    @amiroamiroboa8724 15 дней назад

    Sii Sala ni Sara hivi nyinyi Wabongo mbona munapenda kubadilisha Lugha za Watu..kwenye R munatamka L na kwenye L munatamka R hivi ni kwa nini?

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 14 дней назад +2

    Huyu sara ndio alomtoa diamond umasikini mpaka kanyanyuka zamani toka mdogo waliimba wote

  • @kiatu
    @kiatu 14 дней назад

    Sala, by ze way - duh

  • @frankraphael7546
    @frankraphael7546 16 дней назад +1

    Shida yauyu mzee nae anajiona msani acha ushamba mzee Rasta micheni ataupendez

  • @user-mb2ln1et5w
    @user-mb2ln1et5w 16 дней назад

    Sio Sala ni Sara duh

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 16 дней назад

      Sala eti😂😂😂😂 Mtangazaji lazima ujifundishe kutamka majina vizuri… Sara au Sarah . Sala Mhhhh

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 16 дней назад +2

    Inavyoonyesha uyu Mzee alikata mti na matunda yake..Yani uyu Mzee aliwatelekeza

  • @alsam4881
    @alsam4881 16 дней назад +2

    Mwandishi nenda kwanza kajifunze tofauti ya R na L, huyo dada anaitwa SARA na siyo SALA.

    • @pillyseleman8090
      @pillyseleman8090 16 дней назад

      Marana kuwaambia ukweli Watangazaji 9:06 kua asilimia 99% Sio Watangazaji wazur ,Sio uongo hata sielewi kua ni maringo ila wanaharibia lugha na hali kiswahili Tanzania ni namba moja wajirekebishe

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 7 дней назад

    Mzee rudi nyuma..Upendo gani? Mmeigiza ya watuu HARAMU upo fini GANI? Kumkumbuka hali hio? OgOpeni saaana.KABURI HALINA STAR...RUFI KWA MUNGU WAKOOO MZEEEE

  • @IslamKombo
    @IslamKombo 12 дней назад

    Mzee anataka kua sharabaro

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 16 дней назад

    Sala ni Nini wewe mwandishi kanjanja mbwa wewe

  • @user-xn2sf6pv9o
    @user-xn2sf6pv9o 15 дней назад

    Daaah wazee kama hawwa tukikosa tunaanza kuwaza wa kutusuluhsha sas mzee kiduku michen kibaoo

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 15 дней назад

    Ujinga mtup uko hapa

  • @silaspete
    @silaspete 16 дней назад

    Mzee mzima ovyo,unanyoa kidukuu huna hata haya,ulikuwa wapi kufanya ivo ujanani,mjukuu wako atukuona vipi

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 15 дней назад

    Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima

  • @subiralema
    @subiralema 16 дней назад +2

    Wandishi mnafatilia ujinga wa wazinifu ujinga