Halafu mama diamond anaongopea dunia eti baba wa mzazi wa diamond ni nyange wakati kila kitu kiko wazi jinsi mzee abduli alivyofanana na diamond jamani kina mama muogopeni Mungu vitu vya dunia ni vya kupita tu
@@liberatusjackson5045we mjinga kweli sas watutukana kisa nn😂😂😂😂 yani pia mama wamtuka jamani pepo ya mamako huipati utaisikia tu au urudi uombe msamaha
Hapo ndo shida ya wanaume ilipo yaani kutanguliza inferiority kwa wanawake eti angekuwa kachoka asingeweza kujitambulisha kwake! Kauli ya kinyonge sana
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
Wewe baba wa mtoto anamjua mama msilaumu huwenda Mzee nyange alikuwa wa kwanza kula vitu dunian wawilwawil wew hujawah kufananishwa na mtu afu unakuwa hata humfaham
Mzee unajishushia hadhi yako wewe kwanini unapenda kuhojiwa kwanini na huyu mwandishi kama hajui kiswahili kwanini anafanya kazi hiyo sarah anasema sala na halafu kwanini ukamuulize mzee wa watu mambo ya Nasib yanamuhusu nini yeye
Ila mnao mponda mzee abuduli kweli mna wivu kipi kibaya hapo make kama nikunyoa amenyoa vizuli 2 Mimi kwa upande wangu sijaona Kasi sijajua makasiliko yanatoka wapi
Huyo mondi hana cha moyo kutekwa wala nini natafuta followers na keshawapata 😅😅😅😅😅 huyo Sarah ndo afananishwe na wema na Zari kweli eh Dunia simama we😅😅😅
Marana kuwaambia ukweli Watangazaji 9:06 kua asilimia 99% Sio Watangazaji wazur ,Sio uongo hata sielewi kua ni maringo ila wanaharibia lugha na hali kiswahili Tanzania ni namba moja wajirekebishe
Mzee rudi nyuma..Upendo gani? Mmeigiza ya watuu HARAMU upo fini GANI? Kumkumbuka hali hio? OgOpeni saaana.KABURI HALINA STAR...RUFI KWA MUNGU WAKOOO MZEEEE
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
Duhuuu umefanana na nasibu
Asante sana baba diamond ❤❤
Uzee Mwisho Msata Umependeza jiweke ivyo ivyo Smat
Kweli kabisa
mzee babake diamond upo sawa mungu akuzidishe masiku za kuixhi duniani
Halafu mama diamond anaongopea dunia eti baba wa mzazi wa diamond ni nyange wakati kila kitu kiko wazi jinsi mzee abduli alivyofanana na diamond jamani kina mama muogopeni Mungu vitu vya dunia ni vya kupita tu
Mpaka Sauti wamefanana Sana
me nikitaka wakapime DNA
Wanawake nimikunduuuuu😂😂😂😂😂😂ndooo masetaniii yadunianiiiii
@@liberatusjackson5045we mjinga kweli sas watutukana kisa nn😂😂😂😂 yani pia mama wamtuka jamani pepo ya mamako huipati utaisikia tu au urudi uombe msamaha
Wacha kuogopea ni haramu kuchukua damu ya mtu kipelekea mtu mwengine watu wataingiq motoni na hio
nashukuru kumuona mzee abduli afya yake inarudi mdogo mdgogo safi sana
No matter how the dad was Diamond needs to make peace with this guy. He doesn't owe him anything but a parent is no joke.
Mzee kafanan na mwanae jmn
Sanaa
Ni kweli huyu mzee ana fanana na mwanae
Daimondi huyo baba yako mmefanana sana midomo jamani
Hivi huyu binti anaitwa "Sala" kweli? Mi nilidhani Sara😊
😂😂😂
Ahh huyu mzee kweli. Diamond ndo baba ake kweli amefanana kwa asilinia 91 ila Mzee acha usharo umri umeenda Jua linazama tena
Mwache ale bata
mpaka sauti ukisikiza nikm daimond
Si huyu Mzee Abdhull ni mond kabisa 😂 Hadi kunyoa😂😂😂😂
Mzee bishooo
😂😂😂😂
Kitambooo TU agaaaaa
sas hapo la ajabu lipi tz bwn kuna vtu vya maan hamfatilii vya kipuuzi ndo mnafatilia
youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI
youtube.com/@bungi5657?si=v4JmxXd1Ohx7iNEI
Ww mzee mfunde nasibu asitegemee fedha nihukumu ya mungu maisha nakuchezea wtt wawatu
Situmeshakubaliana kuwa siyo mwanae sasa amfunde Vipi mtoto wa Mtu
Hapo ndo shida ya wanaume ilipo yaani kutanguliza inferiority kwa wanawake eti angekuwa kachoka asingeweza kujitambulisha kwake! Kauli ya kinyonge sana
Mama dangote alinyandiliwa na nyange mchana usiku akalala kwa abduli, inamchanganya bado mbegu niyanani
Uyu baba hajuwi chochote kuhusu sara😂😂😂😂😂
Sala mwandishi kondoo sana,kiswahili kigumu mno
Lafudhi tu ustie lawama
..waandishi ni kioo cha jamii husika, yaani ndio tulivyo wabongo? kiingereza hatuwezi na Kiswahili je?
Huyo mzee hana uhakika na anachosema
Huyu ni baba ake na nasibu kabisa
Diamond is ughhhhh just like his father.
❤❤❤
Hapo hakuna mapenzi ni Kiki tu miaka yote asitambulishwe atajwe leo wakati yupo Tz hii
Mwandishi unaniangusha kutaja jina ni Sarah sio Salah 😊
😂😂😂😂😂
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
Mamake Mondi anadhambi kubwa sana kumdhurumu mtoto huyu mzee, huyu ndo babake halisi Lukuga
Wewe baba wa mtoto anamjua mama msilaumu huwenda Mzee nyange alikuwa wa kwanza kula vitu dunian wawilwawil wew hujawah kufananishwa na mtu afu unakuwa hata humfaham
Mzee akubali kushindwa) mwendo wa rasta
Mzee abduri izo ras naviduku vyann tena nautu uzima huo jaman fanya ibada mzee uwe namwisho mwema achana namambo yadunia .hufanani namambo ayo
😂Baba msani sana
Baba ni baba atacama ajakuzaa
Ukiwa mwandishi wa habari hutakiwi hii katika r unaweka l
Huyu nae hajijui wala hajitambui.
Mtu mzima ovyo
Ulitaka afanyeje situmeshakubaliana diamond siyo mwanae au hujui unataka aongee nn wakati siyo mwanae
Mzee unajishushia hadhi yako wewe kwanini unapenda kuhojiwa kwanini na huyu mwandishi kama hajui kiswahili kwanini anafanya kazi hiyo sarah anasema sala na halafu kwanini ukamuulize mzee wa watu mambo ya Nasib yanamuhusu nini yeye
7:23
Wanafanana sana❤na Diamond🎉
ndio
Mama D amekataa mtoto kampa Nyange😂
@@jaffjeff6912 🤣🤣🤣🤣🤣Mzee itakuwa alikuwa anasuasua mpira kapewa mwenye nguvu😂😂😂😂😂
Baba upo sahihi hayo Maisha tunayaishi Sana tu
Pesa Soo upendo wale wapendanao
Domo la juu lafanana na la mondi kabsaa 😂
Ila mnao mponda mzee abuduli kweli mna wivu kipi kibaya hapo make kama nikunyoa amenyoa vizuli 2 Mimi kwa upande wangu sijaona Kasi sijajua makasiliko yanatoka wapi
Mzee wa hv ni kati ya wazee wa hovyo hapa duniani
Kwanini
Wewe Ndio wa maana bro kila mtu anaishi hatakavyo
Msimuhoji kuhusu Diamomd jamani' Diamond alishamkataa
Mzee yuko kama Nassib
Na we mtangazaji ovyoo sana..yaani baada ya kumwita SARA,unamwita SALA.
Kwanini mondi amkataemzazi ao gopiatalanakubwayatokakwamzazi
Waandishi jitahidini kiswahili chenu kiendane jinsi ya kutamka,baadhi yetu mnachanganya herufi
Ni Sara sio sala mtangazaji
Elewa wangu mimi labda mama nasibu alienda kwa huyu ameshanasa kule ila huyu akamzidi dam kali akafanananae
Mzee wangu unaongea kama mwangu Chinu Bosingwa Kofia mbaya
Wanafanana sana na Diamond.
Lakini mama amekataa mtoto kampa Nyange😂
Kwani huyu Sara alikuwa wapi siku zote kwanini atambulishwe Leo?
.mtayamaliza sara ndo aloteka mtima wa jamaa
sasa uyo mze ajioni kama kisha zeheka na penk za kijinga minyororo shingoni kama kica mze aca ujinga erekeyey kwa mwenyezi mungu toka mu ujinga
Unanyoa kihuni huni,mzee wa hovyo
Hujui kufanyia watu interview mara utupia nano la kiingereza
Wewe mwenyewe umekosea sio nano SEMA neno mpuzi
Made kaa kimya
Huyo mondi hana cha moyo kutekwa wala nini natafuta followers na keshawapata 😅😅😅😅😅 huyo Sarah ndo afananishwe na wema na Zari kweli eh Dunia simama we😅😅😅
Mi nashuka 😂😂😂
Sala ndiyo nini? Why waandishi wa Tz mnashindwaga kutofautisha L na R??? Mnaondoa ladha ya kusikilizwa
Uongo
Hapa Sasa ndomtaamini kama huyu baba akuwaikuwa na ukalibu na hile familia
😂😂😂af mtu analaum ananyimwa ubaba unataka ubaba wa mafanikio kwendraaaaa Kuna haja gan tukutane Kwa Mungu atuhukumu
We mjinga Salah njo nini sema Sarah pumba wewe
Wewe mwenye umekosea sio njoo SEMA sala ndio nini
Mrangazaji kutangaza bado. La na Ra.
Uyu mzeee nae amna kitu kichwani
Mmh mwandishi jaman, by ze way😅😅😅😅
Mzee mwenyewe nae nywele kama jizi shetani mkubwa wewe
Jmni kafnn nae
Waandishi bwana Awana Dogo hadi kero kabis
SASA MZEE WEEE UMESHAZEEKA RASTA ZA NINI NA HICHO KIDUKUU NYOA KAWAIDA TUU UTAESHIMIKAA
Usimpangie mtu maisha yake ya kuishi huna mamlaka hio fata maisha yako na yey afany yake
Kwani wewe unamalaka ya kumpangia Mtu jinsi ya kuishi wanadamu mbona hamuishiwi maneno
😂😂
Mmmmmmhhhh🧎🧎🧎🧎🧎
😂😂😂😂😂😂😂cjapenda na mim
Uyo sarah hana mapenzi anafata pesa angekuwa diamond amefuriya angemkumbuka
ANAYEJIPENDEKEZA NI DIAMOND KWA KIKI ZAKE KAONA ZIMEMUISHIA IMEBIDI AMFUKUNYUE HADI SARA
Sii Sala ni Sara hivi nyinyi Wabongo mbona munapenda kubadilisha Lugha za Watu..kwenye R munatamka L na kwenye L munatamka R hivi ni kwa nini?
😂😂😂😂😂
Huyu sara ndio alomtoa diamond umasikini mpaka kanyanyuka zamani toka mdogo waliimba wote
Sala, by ze way - duh
Shida yauyu mzee nae anajiona msani acha ushamba mzee Rasta micheni ataupendez
Sio Sala ni Sara duh
Sala eti😂😂😂😂 Mtangazaji lazima ujifundishe kutamka majina vizuri… Sara au Sarah . Sala Mhhhh
Inavyoonyesha uyu Mzee alikata mti na matunda yake..Yani uyu Mzee aliwatelekeza
Kwa hiyo unaijua chanzo
Mwandishi nenda kwanza kajifunze tofauti ya R na L, huyo dada anaitwa SARA na siyo SALA.
Marana kuwaambia ukweli Watangazaji 9:06 kua asilimia 99% Sio Watangazaji wazur ,Sio uongo hata sielewi kua ni maringo ila wanaharibia lugha na hali kiswahili Tanzania ni namba moja wajirekebishe
Mzee rudi nyuma..Upendo gani? Mmeigiza ya watuu HARAMU upo fini GANI? Kumkumbuka hali hio? OgOpeni saaana.KABURI HALINA STAR...RUFI KWA MUNGU WAKOOO MZEEEE
Mzee anataka kua sharabaro
Sala ni Nini wewe mwandishi kanjanja mbwa wewe
Daaah wazee kama hawwa tukikosa tunaanza kuwaza wa kutusuluhsha sas mzee kiduku michen kibaoo
Ujinga mtup uko hapa
Mzee mzima ovyo,unanyoa kidukuu huna hata haya,ulikuwa wapi kufanya ivo ujanani,mjukuu wako atukuona vipi
😂😂😂😂😂😂😂kama baba angu simwamkiii
nazani ushamba wako ndio tatizo
Dunian hakuna kama baba mama haerewekiiii nikamaa shetaniiii kunasikuuu atakuoa maisha kunaskuuu anataka roho yako😂😂😂😂😂..BABA ni BABA.atabakii kua na hekima
Wandishi mnafatilia ujinga wa wazinifu ujinga