Yalinikuta haya lakini sikusema chochote. Nilinyamaza kimyi na kuhesabu uyo mwanamke kama aliye kufa. Ndipo nikawa na amani na kusogea mbele na kazi ya Mungu mkuu. Amen.
Pascal umeongea vizuri Sana umesema Kristina Shusho amevamiwa kumbe mmejua Hilo mnatakiwa kumrejeza Kwa upendo sio kupiga panda mitandaoni hivyo mnavyofanya hamuoni Kama mnazidi kumpoteza ?
Achaneni na habari hizi. Hawa wanawake wengi wamekua tatizo kubwa katika maisha ya Wanaume wengi. Ni vema sasa Wanaume waoe kwa mkataba watoto kadhaa tawache waende zao.. wanatafu utawala wasiyo jua mwisho wala kujua waendapo. Hili ni tatizo kubwa sana.. Mungu mkuu awasaidie Wanaume.. Amen.
Usemayo ni kweli wanawake wengi wamekuwa mwiba kwa wanaume na sasa wanaume haohao wamekuwa sumu kwa watoto wanaowaleta duniani kwa kuwalawiti na kuwabaka, ni kwanini inakuwa hivii, je ni kwamba wanadamu tumekosa hofu ya MUNGU ?
mimi nasikitika japo Sina ndoa ni vile watumishi wamejitwalia mamlaka kuwa chanzo cha uovu ulimwenguni kwa kutumia bibilia Mungu awasamehe na awarekebishe yeye mwenyewe.
Hata kama mume wake angekuwa amezini anapaswa kumsamehe na kama akitengana naye bado Biblia haimruhusu kuolewa. Anapaswa akae hivyohivyo maisha yake yote. Je Christina kwa uzuri alionao anauwezo huo wa kukaa bila kuolewa au kuchepuka maisha yake yote? Biblia inaposema wawili wanaweza kuachana ni iwapo mmoja wapo amefanya uasherati. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uzinzi na uasherati. Uasherati ni kati ya wachumba ambao hawajafunga ndoa lakini kuna posa imetolewa. Biblia inawaita mke na mume. Yusufu alipotaka kumwacha Mariam kwa ajili ya ile mimba walikuwa bado hawajaoana. Alikuwa ameshamposa lakini hajamwoa. Watu wa jinsi hiyo ni ruhsa kuachana na kila mmoja akatafute mwenza mwingine. Lakini waliokwisha kuoana kwa ndoa takatifu hawaachani ni mpaka kifo kiwatenganishe. Hakuna mahali Biblia imesema kwamba mke na mume waliokwisha kuoana mmoja akizini umwache. Hiyo haipo kabisa. Anayeachika baada ya ndoa moja kwa moja akioa au kuolewa anakuwa mzinzi.
Swali langu ni moja Christina alipoolewa alikuwa na umri gani na huyo mumewe alikuwa na umri gani? Watumishi wengi wa kiume wanawarubuni mabinti wanaookoka na kuwageuza wake zao kwa kisingizio Mungu kasema, lakini ukweli lazima uje kujitokeza. Kipawa cha Christina anhejulikana tu bila huyo mume wacheni kupendelea upande mmoja
Kunyamaza napo ni jibu,HONGERA mzee SHUSHO
nimekuelewa kaka yangu Mungu alibariki sana
Hongera sana mtumishi umeongea vizuri kwa hekima kubwa
Yaan umenibariki sana tena sana umejbu vyema Christina shusho alijiinua sana na kupnda kiburi kumza
Yalinikuta haya lakini sikusema chochote. Nilinyamaza kimyi na kuhesabu uyo mwanamke kama aliye kufa. Ndipo nikawa na amani na kusogea mbele na kazi ya Mungu mkuu. Amen.
Amen nimekuelewa pastal tamaa mbaya
CHRISTINA RUdi msalabni Mungu anakupenda ,umetujeruhi wapendwa .
Shetan amemteka christina asitoe utetezi hatuwez ata mwelewa atubu amludie Mungu
msimsingizie mungu mungu hajui nyimbo zenu mnadanganyana tu
We mchawi shindwa, sio mungu ni Mungu eboo
Mungu akubariki sana🎉🎉
Pascal umeongea vizuri Sana umesema Kristina Shusho amevamiwa kumbe mmejua Hilo mnatakiwa kumrejeza Kwa upendo sio kupiga panda mitandaoni hivyo mnavyofanya hamuoni Kama mnazidi kumpoteza ?
Achaneni na habari hizi. Hawa wanawake wengi wamekua tatizo kubwa katika maisha ya Wanaume wengi. Ni vema sasa Wanaume waoe kwa mkataba watoto kadhaa tawache waende zao.. wanatafu utawala wasiyo jua mwisho wala kujua waendapo. Hili ni tatizo kubwa sana.. Mungu mkuu awasaidie Wanaume.. Amen.
Usemayo ni kweli wanawake wengi wamekuwa mwiba kwa wanaume na sasa wanaume haohao wamekuwa sumu kwa watoto wanaowaleta duniani kwa kuwalawiti na kuwabaka, ni kwanini inakuwa hivii, je ni kwamba wanadamu tumekosa hofu ya MUNGU ?
Ile stori ya burundi nilikua na fikili kua ni mume mwingine kumbe ni huyu mzee, alikua wapi mpaka amekua mubibi kwahuyo mzee
Kama ilivyo, sifa ya mfupi Ni kuwepo mrefu. Sifa ya mnene ni kuwepo mwembamba. Basi, sifa ya MZEEeeeee nikuwepoooo.....
mimi nasikitika japo Sina ndoa ni vile watumishi wamejitwalia mamlaka kuwa chanzo cha uovu ulimwenguni kwa kutumia bibilia Mungu awasamehe na awarekebishe yeye mwenyewe.
Je upungufu wa kiume ni hoja ya mashiko kwa mke kutaka kukimbia ndoa kibiblia?
Tumuombe wapendwa kaka nikweri tumekosea ira ninyinyi mrikubari u sawa nawatu sawa mwanamke cheo cheke ni usaidizi reo kapewa wareti
😅😅😅😅😅😅amuimbiye Mungu? Ila wa Christu ALLAH awaongoze
MTUMISHI UMEONGEA VEMA SANA, NIKWELI UNAWEZA KUACHA KWA SABABU YA UZINZI, LAKINI HURUSIWI KUOA, KIBALI CHAKUOA NI MPAKA MMOJA WENU AMEKUFA .
Hata kama mume wake angekuwa amezini anapaswa kumsamehe na kama akitengana naye bado Biblia haimruhusu kuolewa. Anapaswa akae hivyohivyo maisha yake yote. Je Christina kwa uzuri alionao anauwezo huo wa kukaa bila kuolewa au kuchepuka maisha yake yote?
Biblia inaposema wawili wanaweza kuachana ni iwapo mmoja wapo amefanya uasherati. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uzinzi na uasherati. Uasherati ni kati ya wachumba ambao hawajafunga ndoa lakini kuna posa imetolewa. Biblia inawaita mke na mume. Yusufu alipotaka kumwacha Mariam kwa ajili ya ile mimba walikuwa bado hawajaoana. Alikuwa ameshamposa lakini hajamwoa. Watu wa jinsi hiyo ni ruhsa kuachana na kila mmoja akatafute mwenza mwingine. Lakini waliokwisha kuoana kwa ndoa takatifu hawaachani ni mpaka kifo kiwatenganishe. Hakuna mahali Biblia imesema kwamba mke na mume waliokwisha kuoana mmoja akizini umwache. Hiyo haipo kabisa. Anayeachika baada ya ndoa moja kwa moja akioa au kuolewa anakuwa mzinzi.
Kwa kifupi waingiye kwenye dini ya haki wa islam
Dini yahaki maana yake huwa nini? Naviskiaga tu.
Swali langu ni moja Christina alipoolewa alikuwa na umri gani na huyo mumewe alikuwa na umri gani? Watumishi wengi wa kiume wanawarubuni mabinti wanaookoka na kuwageuza wake zao kwa kisingizio Mungu kasema, lakini ukweli lazima uje kujitokeza. Kipawa cha Christina anhejulikana tu bila huyo mume wacheni kupendelea upande mmoja
Hujui ndio maan hata ujumbe wako hauelewek na Jambo usilolijua NI Bora ukakaa kimya sio kucoment tu
I have no idea why they always judge women, why can't these people just live their lives