#RAIS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 24

  • @DavidYohana-b7s
    @DavidYohana-b7s 9 дней назад

    Pole na kazi mkuu mungu akusaidie na akujalie maisha marefu Ameni.

  • @SalminiMangondo
    @SalminiMangondo 5 дней назад

    Aisee mungu mkubwa

  • @majaliwaphilipo8277
    @majaliwaphilipo8277 11 дней назад

    Somo wangu Philip nakushukuru kwa kazi nzuri kila la heri

  • @mussaMahagala
    @mussaMahagala 5 дней назад

    🎉

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 11 дней назад +1

    Big up MAMA👍

  • @Mussa-t1q
    @Mussa-t1q 11 дней назад

    Hongera sana Dr. Mpango.

  • @KhalidiBakar
    @KhalidiBakar 6 дней назад

    Anajua kua apo mbele kunaharari

  • @AugustinoIsack
    @AugustinoIsack 9 дней назад

    Kazi umeifanya

  • @beatricemathew1768
    @beatricemathew1768 7 дней назад

    Ameona apumzike maana hii serikali ya watu wasio na hofu ya Mungu

  • @HermanBwilinde
    @HermanBwilinde 11 дней назад +3

    Napendekeza Kikwete kuwa makamu wake ama vip jaman?

  • @StephanoAlmas-z6n
    @StephanoAlmas-z6n 11 дней назад +1

    Anakiogopa kikombe kilichopo mbele...wenye macho makavu tu ndio hawawezi kupumzika kamwe....

  • @ObediiLaizar
    @ObediiLaizar 9 дней назад

    Ulimtuma kusain mikataba ya kipuuz . kunyanyasa watu . Hamna jipya

  • @RobertShelo
    @RobertShelo 11 дней назад +2

    Nchi hiii niyaovyo kweli, ety mwenyemiaka 68 anajiuzulu ila mwenye mika 80 anasimama nakusema nitafanya kazi usiku na mchana daaaa!! Hatarii sana, Dk mpango ameona mbali anahofu ya mungu sio umri hapo ni uongo kuna kitu, kauli ya Mzee wachawi wameshakufa ilajamani mungu yupo, pumzika kwa Amani JPM Taifa umliacha ktk wakati mugumu

    • @YourMoor-px1rd
      @YourMoor-px1rd 11 дней назад

      NAONA LABDA AMEONA MAMBO HAYAENDI VIZURI SANA HIVYO AMEAMUWA KUACHIA NGAZI AMEKATAA LAWAMA UMRI WAKE SIYO SABABU KUNA JAMBO NDANI YAKE

    • @stevinekabadi8533
      @stevinekabadi8533 11 дней назад

      Hivi kweli hizo nafasi za wakubwa kuondoka kabla ya wakati si ni mzigo kwa taifa nao wapate stahiki kama wastafu, fikiria ipo siku taifa litatawaliwa na 3 president kwa muhongo1 je?wote watapata stahiki au ni kulipa taifa mzigo mkubwa.....

  • @AllyKalaile
    @AllyKalaile 11 дней назад

    Mama samia chapakazi ccm chamachetu tunakuamini

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 12 дней назад

    Team Kikwete huyo mmmh 😂😂😂😂

  • @SamwelMwageni-z9x
    @SamwelMwageni-z9x 6 дней назад

    Anafaaa uyo jembe la kaz

  • @HamzaChalamila
    @HamzaChalamila 11 дней назад

    Hii serikar sio ya cha chama kimoja maana naona mnaanza kuteuana tu

  • @mankamanka7415
    @mankamanka7415 11 дней назад

    Nchii hii haitendeleya kamwe km ufisadi hunaendeleya

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 12 дней назад

    👍

  • @NicolasScania
    @NicolasScania 12 дней назад

    Naww pumzika