KAULI YA MSIGWA BAADA YA KUHAMIA CCM, CHADEMA HAINA UHALALI KUIHOJI CCM, CDM NI CHAMA CHA MTU MMOJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 160

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 месяца назад +9

    Ni kawaida yenu kumsema mbowe, chadema itaendelea mbele pasipo ww

    • @SizaAdolph
      @SizaAdolph 3 месяца назад +1

      Hapo ni wale wanaotak mbowe atoke chama kife

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 3 месяца назад +2

      Tupo na mbowe hadi kifo kimkute wanataka wapewe wao uenyekiti wakiuze chama

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 2 месяца назад +2

    kwendraaa rambaramba. MBOWE kamanda wangu pamoja mpaka kifo

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 2 месяца назад +2

    kama kuna rambaramba walio bakia katika Chama cha democracy wamfate rambaramba mwenzao mapema

  • @medicalamon908
    @medicalamon908 2 месяца назад +1

    Duuh kwakweli wananchi muelewe kuwa viongozi hawa hawapo kwaajili ya wananchi muhimu kwao ni madaraka.Msigwa hapo nyuma ameikosoa sana CCM leo CCM imekuwa nzuri Duuh SAFARI ya Mbinguni ni ngumu sana.Msigwa Umefanya niichukie sana SIASA kwa Sura mbili zako ulizozionyesha.

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 3 месяца назад +7

    Kuna wanasiasa kama malaya ndio huyu sasa

  • @saimonimzopola4355
    @saimonimzopola4355 3 месяца назад +5

    Mimi sina chama ila ni mpenzi wa chama fulani.lakini nimesikitika mchungaji wewe ni mnafiki juzi ulienda singida ukatudanganya.wewe hufai kukosa cheo .mbeya .ndo yamekushinda?

    • @iddyissa8110
      @iddyissa8110 3 месяца назад

      Hakika uyu bwana atausikute biblia aijui

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 месяца назад +6

    Msigwa umejishushia sana heshima

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 3 месяца назад +1

      Uchaguzi umekaribia wenye akili ndogo akina Msigwa wameshanunuliwa CCM OYEEtutashinda kwa kishindo mpaka karne sita

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 3 месяца назад +5

    🇦🇪Welcome sana Muheshimiwa Msingwa huku ndio nyumbani sasa CCM OYEE 🎉🎉🇹🇿💚💚💚

  • @mohamedisaidi
    @mohamedisaidi 3 месяца назад +6

    Njaa tu

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 3 месяца назад +6

    Huyu mwamba yuko Imara ila hakuwa sehem stahki...karibu nyumbani ❤❤❤❤

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 3 месяца назад

      Ili aibe vizuri maana sera zenu ni wizi wa mali za umma

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 3 месяца назад

      @@isayakihongile4921 usihukum pasina uhakika

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    SAF SANA MSIGWA UMEWAFUNGULIA MLANGO WENGINE KARIB CCM 😂😂😂 HII NDO CCM NNAYO IJUA😅😅😅 HAD UCHAGUZ KITAKUWA KIMEELEWWKA

  • @wartv730
    @wartv730 3 месяца назад

    Yeye ni mamluki

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t 2 месяца назад

    Yaan mungu amemwambia achungekondoo lakiniyeye ameacha ameenda kwenyevisiasa

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 месяца назад

    pole mumnyime cheo huko atakimbia hvyohvyo na msipompa nafasi ya kugombea ubunge happy Iringa atakimbia. unacheza na msoto wa miaka mitano wewe

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 месяца назад

    Msigwa kaishiwa ufai ata ujumbe wa nyumba 10, ongea yako sio ya chama ata ulivyokuwa chadema uliisema ccm. Kama leo u avyoisema chadema tapeli mkubwa we. Njaa mbaya

  • @ymohammed963
    @ymohammed963 2 месяца назад

    😮Msaliti .....kama hajafaaaa chadema. ccm atafaa....akitoka ccm ataisema tena kwa chama kingine msiwamini sana

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 3 месяца назад +2

    Ni roho nyingine ilimwingia huyu mtu. Ni vitu flani alitamani kuvipata. Kaona dawa ni kuingia ccm. Huyu hata kanisani hafai kumbe. You cant be trusted. Sori 4 u.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 3 месяца назад

    Mmemnunua yuda huyo mchungaji MJINGA

  • @GodfreySiegfried
    @GodfreySiegfried 3 месяца назад

    Yeye aende kupiga ela uyo hafai mtajuta nyie ccm uyo mtajuta na si mchungaji uyo

  • @marijanimussa
    @marijanimussa 3 месяца назад

    Duh!wewe msigwa ni ww kwel hapana natakiwa nihame Africa nkafanye kazi ya kulisha ng’ombe ulaya

  • @benardsamizi-qo4yp
    @benardsamizi-qo4yp 3 месяца назад

    Hufai KABISA KUKOSA WANA MBEYA WAMEKUGALAGAZA ASUBUHI.

  • @JaneWalter-m7l
    @JaneWalter-m7l 3 месяца назад

    Rais samira usijeukamteuwa popote huyu balaa, kafuata cheo huko angesema angungua kanisa tungemuelewa vijana wapo wasomi wazuri mnahangaika kununua maze

  • @Kassim-c3i
    @Kassim-c3i 2 месяца назад

    Mbona mnamsema sana mbowe au kwa sababu wananchi wanamuamini? Mbowe ni kiongozi lmara lazima takataka kama huyu warudi kwenye uchafu wao ndipo upinzani utastawi zaidi

  • @Kwarasi
    @Kwarasi 3 месяца назад

    Sasa utasemaje na umejiunga tayari msingawa acha kelele wewe nenda ukawe chawa chadema ipo na itakuwepo

  • @mashakakwembe7482
    @mashakakwembe7482 3 месяца назад

    Wewe ni msaka tonge tu kumbe kilichokuwa kinakuweka chadema ni madaraka tu leo ccm uliokuwa unawapinga na kuwatukana wamekuwa wazuli du huyu kweli no mchungaji kweli ?

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 месяца назад

    Ccm wajanjaaaa, wanaweza kumpa kiasi chochote anachotaka ili aseme ayo, sio kosa lake njaaa, wanainchi bakini na mawazo yenu, msimfuate msigwa

  • @TemboKaijage-kg2mm
    @TemboKaijage-kg2mm 3 месяца назад

    Alikuwa zitto sembuse yeye tanzania tuna taka mabadiliko

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko 2 месяца назад

    Je kanisani kwako waumini utawafundisha somo la kushinda majalibu au utawaambia yakizidi sana yakimbie

  • @ambakisyembughi1862
    @ambakisyembughi1862 3 месяца назад

    Kwa hiyo na wewe ulikuwa sacosi Acha matusi uchungaji haupo hapo

  • @paschalboniface-hb4lh
    @paschalboniface-hb4lh 2 месяца назад

    Uyu mwamba tamaa sishamshusha eshima kabisa sikutegemea kwasasa wabunge .wapo kimasilahi wanatafuta pesa si kutumikia wananchi pumbavu

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 3 месяца назад +1

    DAAH!!!! HIZI SIASA JAMANI NDOMAANA MIMI SINAGA CHAMA ATAKAE SHINDA ME NDO HUYOHUYO ATAKUWA RAIS WANGU 🙄🤔 FULSTOP!!!

  • @kasiankillo6949
    @kasiankillo6949 3 месяца назад

    Hawa ndio wanazitia doa ata dini anaitwa mchungaji mchungaji gani anabadilika badilika

  • @EmanuelMasisila
    @EmanuelMasisila 3 месяца назад

    Kama uliiasi kazi ya mungu wewe hunatofauti nashetani

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 3 месяца назад +3

    Nilijua tu msigwa kwamba ipo siku ataingia ccm

  • @BarakaShabani-o1q
    @BarakaShabani-o1q 3 месяца назад

    Maneno ya mwl nyerere nilikuwa siyaelewi Sasa nayaelewa kumbe wanasiasa wenye tabia za kimalaya wapo

  • @LyemeMohamed
    @LyemeMohamed 3 месяца назад +1

    Ungeacha vyote ukamrejea Mungu nigeona kweli;lakini umehama Chadema na kwenda CCM kufuata kula tu.wewe ni msaliti na. Hunai uzale do.

  • @KarolMboya
    @KarolMboya 2 месяца назад

    Eleweka kama mtu timamu kaka wewe ni msalit kama wengine hata uliko hamia hawawezi kua na iman kamili na wewe kwani bado unayumbayumba

  • @ymohammed963
    @ymohammed963 2 месяца назад

    Nyerere alishasema ....kama Malaya Malaya hivi

  • @jazzjeff8431
    @jazzjeff8431 3 месяца назад +2

    Hatimae jongwe aka sugu kamkimbiza msigwa chadema baada ya kumgalagaza kwenye uchaguzi wa kanda.....dah siasa unafiki Sana na njaa haina nishani

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 месяца назад

    Ndo kawaida yenu kihama wahatuoni ajabu

  • @jamestocta3075
    @jamestocta3075 3 месяца назад

    Kachunge kondoo, achana na siasa hazikufai

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 3 месяца назад +1

    Siyo kiongozi mwandamizi wala mwenyekiti wa kanda chadema alishaikosa hiyo nafasi ipo na sugu

  • @PlantUrgentProcess
    @PlantUrgentProcess 3 месяца назад +3

    😂 unafiki mbaya sana jmn ! Njaa hii daaa😅

  • @petromachango3781
    @petromachango3781 3 месяца назад

    Hakuna mwanasiasa anaesema ukwel

  • @sifaelmophat1021
    @sifaelmophat1021 3 месяца назад +3

    Mchungaji kakurupuka sana

  • @johnmwawa2838
    @johnmwawa2838 3 месяца назад

    Hivi huu ni mchungaji wa kanisa gani

  • @bakarimkwizu4335
    @bakarimkwizu4335 3 месяца назад +2

    Msigwa utafika mbali una kitu

  • @SizaAdolph
    @SizaAdolph 3 месяца назад +1

    Ndio maan walisem watu fulani wamenunuliwa,

  • @ymohammed963
    @ymohammed963 2 месяца назад

    Sio mchungaji huyo.

  • @mohammedbakar4142
    @mohammedbakar4142 3 месяца назад +1

    Wafadhilaka wapundaka tumekusikia mchimba chumvi ongea yako Msigwa uliloliendea

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 3 месяца назад +1

    Kwa maoni yangu hii inaonyesha wazi kushindwa kwa mifumo hii ya kisiasa,,ipo haja ya wananchi kutafakari mfumo mwengine wa kutafuta maendeleo yao,,hawa wanasiasa wanatafuta tu maslahi yao binafsi,,si kwa ajili ya wananchi,,ki msingi ni watu waongo wanaotafuta riziki kwa kuuza maneno kwa kupitia migongo ya watu,,,

  • @ladislausshirima863
    @ladislausshirima863 3 месяца назад +1

    Mm namshangaa huyu ni mchungaji? Hata siipendi siasa

  • @DanieliMtangi
    @DanieliMtangi 3 месяца назад

    Mnafiki mkubwa huyu

  • @BarakaMwakalinga-sn5sp
    @BarakaMwakalinga-sn5sp 3 месяца назад

    Umekuwa mweusi balaa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад

    ONGEA UANGALIE MBELE

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 3 месяца назад +1

    Kiungo mpya umemtambulisha leo kama vile wananchi tunavyotarajia kumtambulisha kiungo mpya Chama ndani ya Jangwani

  • @ModestJohn-z9m
    @ModestJohn-z9m 3 месяца назад

    Por msinqwa

  • @ShariffAlawi-j3h
    @ShariffAlawi-j3h 3 месяца назад

    Mroo wa madaraka

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 месяца назад

    Anasaka cheo

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 месяца назад

    Nanyanuka sasa

  • @jumamsechu
    @jumamsechu 3 месяца назад

    Mlafi wa madaka

  • @idatonymassawe
    @idatonymassawe 3 месяца назад

    Njaaa ni mbaya sanaaa.😢

  • @stewardlwimbo3944
    @stewardlwimbo3944 3 месяца назад

    Ovyo

  • @TajewuoMoseka
    @TajewuoMoseka 3 месяца назад

    Njaa tu

  • @KarolMboya
    @KarolMboya 2 месяца назад

    Huelewek

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 3 месяца назад +3

    Safi sanaa

  • @AyyanJambau
    @AyyanJambau 3 месяца назад +2

    Duuh 😢

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 3 месяца назад

    Ila tumempokea lkn TUWE na TAHADHARI Sana adui Hana rangi anaweza kutuchunguza mambo ya ndani

  • @ndiditheodore8272
    @ndiditheodore8272 3 месяца назад

    Huyu ni mchungaji wa kanisa gani?
    LA mashetani. Hapo kwakweli umefeli. Baki na uchungaji tuu siasa za nini? Soma Yohana 6:15..

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg 3 месяца назад +1

    ujinga tu huyu ni mnafiki

  • @peterantony5890
    @peterantony5890 3 месяца назад

    Hivi ni Msigwa huyu ambaye wiki chache zilizopita alikuwa akiikosoa serikali ya CCM vikali?

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 3 месяца назад

    🙄🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤔????

  • @funnuelmwalukasa4506
    @funnuelmwalukasa4506 3 месяца назад

    Alichelewa sana ilitakiwa ajiunge kipindi Cha magufuli pindi alivyomtoa Gerrezani mwaka ule mnakumbuka wahenga

  • @SamwelMdamanyi
    @SamwelMdamanyi 3 месяца назад

    Ulipokua chadema hukuyaona hayo ulipokosa uwenyekiti ndio ukayagundua unaelekaje Kwa wanaokusikia?

  • @SamwelMdamanyi
    @SamwelMdamanyi 3 месяца назад

    Ungejiuzuru Kisha ukayasema hayo usemayo tungekuelewa uwe mkweli una kundi kubwa la kondoo nyumba yako ukiwapoteza utaulizwa na Mungu

  • @charlesshaban1915
    @charlesshaban1915 3 месяца назад

    People's power, hufai ht kdogo na huko lbd upewe cheo, ukkoswa cheo tuuu watakuskia

  • @nurumussa9107
    @nurumussa9107 3 месяца назад

    Hii inaonyesha waziwazi kiasi gani hatuna viongozi waliopo Kwa maslahi ya watanzania na hakuna wapinzani hapo ila Kuna wenye njaa, Yani msigwa alivoahindwa na sugu kahama na chama inaonyesha kwamba hata huko ccm akiteuliwa kusimama kukiwakilisha chama akashindwa yupo tayari kuwepo vita ilimradi yeye atangazwe. Viongozi wa hivi hamna asiekubali kushindwa si mshindani

  • @PlantUrgentProcess
    @PlantUrgentProcess 3 месяца назад +1

    Msimpe cheo chochote kile ili anyooke hana lolote njaa tu 😢

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 3 месяца назад

    Wala hatutushiki alitoka zito,mkumbo na kina mdee sembuse nyumbu

  • @SizaAdolph
    @SizaAdolph 3 месяца назад

    Na kum😂be walishamsitukia kitambo ndio maan anadingizia alihujumiwa 😮😮😮😮

  • @HenryKasaje-on4xq
    @HenryKasaje-on4xq 3 месяца назад

    Huyo msingwa mwache aende kugalagwa na Sugu ananikimbia anatamaa ya mamlaka

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 3 месяца назад

    Juhudi zako na kuhangaika kote ni sawa na kujilisha upepo. Huku ccm utacheka, ni wajanja kuliko unavyo fikiri, mikelele yako hatuhitaji. Kaa kwa kutulia.

  • @jonasijeremia4523
    @jonasijeremia4523 3 месяца назад

    Dah kweli madaraka matamu, huko umefata madaraka na mama sio mchoyo atakupa

  • @EsauMwanguku-t5n
    @EsauMwanguku-t5n 3 месяца назад

    Yaani umrufu wako ndo mwisho tayari umesha potea hutasikika tena nahayo maneno yako ipo siku utayajutia wote walio hamia ccm hakuna anaye sikika iringa mkataen huyo msaliti

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад

    YAANI BAADA YA KUSHINDWA , KAAMUWA KUHAMA. ASIYEKUBALI KUSHINDWA SIYO MSHINDANI.

  • @BellaMtalika
    @BellaMtalika 3 месяца назад

    Mmmmh hii sio sawa ilibid ake bench miez sita ndio ajiunge

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 3 месяца назад

    Kanunuliwa shilingingapi maanahuyhuyu wezakewalipohama alisemawamenunuliwa

  • @ChristopherSibale-f3u
    @ChristopherSibale-f3u 3 месяца назад

    mnatuchanganya leo hivi kesho vile mchungaji kauli 2 haifai

  • @crispinlerumbe7060
    @crispinlerumbe7060 3 месяца назад

    Mwambieni huyo alelambishwa asali akalewa atafia kwenye ulafi

  • @davidtuya9586
    @davidtuya9586 3 месяца назад

    Yuda ni naani? Ni yuda askariot inasikitisha tayari njaa unataka uteuzi

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 3 месяца назад

    Ccm acheni kukumbatia wanafiki mtaharibu chama chenu mfano msisingwa

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 3 месяца назад

    Kiungo Mshambuliaji, Peter Msigwa....

  • @SajaliAmri
    @SajaliAmri 3 месяца назад

    Anatapatapa ana lolote kaishiwa sera 😄😄😄mmelamba garasha

  • @ZelemanMayola
    @ZelemanMayola 3 месяца назад

    Wewe ni mujinga sana mchuji wa mashetani mashetani masisim majizi

  • @jazzjeff8431
    @jazzjeff8431 3 месяца назад

    Katumwa na chadema huyo CCM kuweni makin ni kachero

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 3 месяца назад

    DUH! NGOJA NIKANAWE MACHO MAANA SIONI SAWASAWA KAMA NIMWENYEWE AU?

  • @AltenKiswaga-zw9rf
    @AltenKiswaga-zw9rf 3 месяца назад

    Njaaaa njaaaa hiz nibalaaa

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 3 месяца назад

    Mkundu wako uliojaa mavi kajambe mbele huko

  • @AnnaMrsmoses
    @AnnaMrsmoses 3 месяца назад

    mh! hata moyo wako unaonyesha kuwa hauko huru pole ndugu

  • @josephmbogela415
    @josephmbogela415 3 месяца назад

    Hawezi kukaa bila kuwa na madaraka ni shida sana. Umeshindwa uchaguzi unakimbia ulitaka ubaki kuwa Mwenyekiti miaka yote. Hukujua kama ni saccoss miaka yote hiyo.

    • @rafiiabdul6217
      @rafiiabdul6217 3 месяца назад

      Mbona mbowe ni mwenyekit wakudumu na wangne wakitaka uenyekit anawaondoa