KAULI YA MSIGWA BAADA YA KUHAMIA CCM, CHADEMA HAINA UHALALI KUIHOJI CCM, CDM NI CHAMA CHA MTU MMOJA
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Ni kawaida yenu kumsema mbowe, chadema itaendelea mbele pasipo ww
Hapo ni wale wanaotak mbowe atoke chama kife
Tupo na mbowe hadi kifo kimkute wanataka wapewe wao uenyekiti wakiuze chama
kwendraaa rambaramba. MBOWE kamanda wangu pamoja mpaka kifo
kama kuna rambaramba walio bakia katika Chama cha democracy wamfate rambaramba mwenzao mapema
Duuh kwakweli wananchi muelewe kuwa viongozi hawa hawapo kwaajili ya wananchi muhimu kwao ni madaraka.Msigwa hapo nyuma ameikosoa sana CCM leo CCM imekuwa nzuri Duuh SAFARI ya Mbinguni ni ngumu sana.Msigwa Umefanya niichukie sana SIASA kwa Sura mbili zako ulizozionyesha.
Kuna wanasiasa kama malaya ndio huyu sasa
Mimi sina chama ila ni mpenzi wa chama fulani.lakini nimesikitika mchungaji wewe ni mnafiki juzi ulienda singida ukatudanganya.wewe hufai kukosa cheo .mbeya .ndo yamekushinda?
Hakika uyu bwana atausikute biblia aijui
Msigwa umejishushia sana heshima
Uchaguzi umekaribia wenye akili ndogo akina Msigwa wameshanunuliwa CCM OYEEtutashinda kwa kishindo mpaka karne sita
🇦🇪Welcome sana Muheshimiwa Msingwa huku ndio nyumbani sasa CCM OYEE 🎉🎉🇹🇿💚💚💚
Hoyeeee
@@safiaothman5175PPP🏐🏐❤
Njaa tu
Huyu mwamba yuko Imara ila hakuwa sehem stahki...karibu nyumbani ❤❤❤❤
Ili aibe vizuri maana sera zenu ni wizi wa mali za umma
@@isayakihongile4921 usihukum pasina uhakika
SAF SANA MSIGWA UMEWAFUNGULIA MLANGO WENGINE KARIB CCM 😂😂😂 HII NDO CCM NNAYO IJUA😅😅😅 HAD UCHAGUZ KITAKUWA KIMEELEWWKA
Yeye ni mamluki
Yaan mungu amemwambia achungekondoo lakiniyeye ameacha ameenda kwenyevisiasa
pole mumnyime cheo huko atakimbia hvyohvyo na msipompa nafasi ya kugombea ubunge happy Iringa atakimbia. unacheza na msoto wa miaka mitano wewe
Msigwa kaishiwa ufai ata ujumbe wa nyumba 10, ongea yako sio ya chama ata ulivyokuwa chadema uliisema ccm. Kama leo u avyoisema chadema tapeli mkubwa we. Njaa mbaya
😮Msaliti .....kama hajafaaaa chadema. ccm atafaa....akitoka ccm ataisema tena kwa chama kingine msiwamini sana
Ni roho nyingine ilimwingia huyu mtu. Ni vitu flani alitamani kuvipata. Kaona dawa ni kuingia ccm. Huyu hata kanisani hafai kumbe. You cant be trusted. Sori 4 u.
Mmemnunua yuda huyo mchungaji MJINGA
Yeye aende kupiga ela uyo hafai mtajuta nyie ccm uyo mtajuta na si mchungaji uyo
Duh!wewe msigwa ni ww kwel hapana natakiwa nihame Africa nkafanye kazi ya kulisha ng’ombe ulaya
Hufai KABISA KUKOSA WANA MBEYA WAMEKUGALAGAZA ASUBUHI.
Rais samira usijeukamteuwa popote huyu balaa, kafuata cheo huko angesema angungua kanisa tungemuelewa vijana wapo wasomi wazuri mnahangaika kununua maze
Mbona mnamsema sana mbowe au kwa sababu wananchi wanamuamini? Mbowe ni kiongozi lmara lazima takataka kama huyu warudi kwenye uchafu wao ndipo upinzani utastawi zaidi
Sasa utasemaje na umejiunga tayari msingawa acha kelele wewe nenda ukawe chawa chadema ipo na itakuwepo
Wewe ni msaka tonge tu kumbe kilichokuwa kinakuweka chadema ni madaraka tu leo ccm uliokuwa unawapinga na kuwatukana wamekuwa wazuli du huyu kweli no mchungaji kweli ?
Ccm wajanjaaaa, wanaweza kumpa kiasi chochote anachotaka ili aseme ayo, sio kosa lake njaaa, wanainchi bakini na mawazo yenu, msimfuate msigwa
Alikuwa zitto sembuse yeye tanzania tuna taka mabadiliko
Je kanisani kwako waumini utawafundisha somo la kushinda majalibu au utawaambia yakizidi sana yakimbie
Kwa hiyo na wewe ulikuwa sacosi Acha matusi uchungaji haupo hapo
Uyu mwamba tamaa sishamshusha eshima kabisa sikutegemea kwasasa wabunge .wapo kimasilahi wanatafuta pesa si kutumikia wananchi pumbavu
DAAH!!!! HIZI SIASA JAMANI NDOMAANA MIMI SINAGA CHAMA ATAKAE SHINDA ME NDO HUYOHUYO ATAKUWA RAIS WANGU 🙄🤔 FULSTOP!!!
Hawa ndio wanazitia doa ata dini anaitwa mchungaji mchungaji gani anabadilika badilika
Kama uliiasi kazi ya mungu wewe hunatofauti nashetani
Nilijua tu msigwa kwamba ipo siku ataingia ccm
Maneno ya mwl nyerere nilikuwa siyaelewi Sasa nayaelewa kumbe wanasiasa wenye tabia za kimalaya wapo
Ungeacha vyote ukamrejea Mungu nigeona kweli;lakini umehama Chadema na kwenda CCM kufuata kula tu.wewe ni msaliti na. Hunai uzale do.
Eleweka kama mtu timamu kaka wewe ni msalit kama wengine hata uliko hamia hawawezi kua na iman kamili na wewe kwani bado unayumbayumba
Nyerere alishasema ....kama Malaya Malaya hivi
Hatimae jongwe aka sugu kamkimbiza msigwa chadema baada ya kumgalagaza kwenye uchaguzi wa kanda.....dah siasa unafiki Sana na njaa haina nishani
Ndo kawaida yenu kihama wahatuoni ajabu
Kachunge kondoo, achana na siasa hazikufai
Siyo kiongozi mwandamizi wala mwenyekiti wa kanda chadema alishaikosa hiyo nafasi ipo na sugu
😂 unafiki mbaya sana jmn ! Njaa hii daaa😅
,😳😳😳😳😳
Hakuna mwanasiasa anaesema ukwel
Mchungaji kakurupuka sana
Hivi huu ni mchungaji wa kanisa gani
Msigwa utafika mbali una kitu
Ndio maan walisem watu fulani wamenunuliwa,
Sio mchungaji huyo.
Wafadhilaka wapundaka tumekusikia mchimba chumvi ongea yako Msigwa uliloliendea
Kwa maoni yangu hii inaonyesha wazi kushindwa kwa mifumo hii ya kisiasa,,ipo haja ya wananchi kutafakari mfumo mwengine wa kutafuta maendeleo yao,,hawa wanasiasa wanatafuta tu maslahi yao binafsi,,si kwa ajili ya wananchi,,ki msingi ni watu waongo wanaotafuta riziki kwa kuuza maneno kwa kupitia migongo ya watu,,,
Mm namshangaa huyu ni mchungaji? Hata siipendi siasa
Mnafiki mkubwa huyu
Umekuwa mweusi balaa
ONGEA UANGALIE MBELE
Kiungo mpya umemtambulisha leo kama vile wananchi tunavyotarajia kumtambulisha kiungo mpya Chama ndani ya Jangwani
Por msinqwa
Mroo wa madaraka
Anasaka cheo
Nanyanuka sasa
Mlafi wa madaka
Njaaa ni mbaya sanaaa.😢
Ovyo
Njaa tu
Huelewek
Safi sanaa
Duuh 😢
Ila tumempokea lkn TUWE na TAHADHARI Sana adui Hana rangi anaweza kutuchunguza mambo ya ndani
Huyu ni mchungaji wa kanisa gani?
LA mashetani. Hapo kwakweli umefeli. Baki na uchungaji tuu siasa za nini? Soma Yohana 6:15..
ujinga tu huyu ni mnafiki
Hivi ni Msigwa huyu ambaye wiki chache zilizopita alikuwa akiikosoa serikali ya CCM vikali?
🙄🙄🙄🙄🤔🤔🤔🤔????
Alichelewa sana ilitakiwa ajiunge kipindi Cha magufuli pindi alivyomtoa Gerrezani mwaka ule mnakumbuka wahenga
Ulipokua chadema hukuyaona hayo ulipokosa uwenyekiti ndio ukayagundua unaelekaje Kwa wanaokusikia?
Ungejiuzuru Kisha ukayasema hayo usemayo tungekuelewa uwe mkweli una kundi kubwa la kondoo nyumba yako ukiwapoteza utaulizwa na Mungu
People's power, hufai ht kdogo na huko lbd upewe cheo, ukkoswa cheo tuuu watakuskia
Hii inaonyesha waziwazi kiasi gani hatuna viongozi waliopo Kwa maslahi ya watanzania na hakuna wapinzani hapo ila Kuna wenye njaa, Yani msigwa alivoahindwa na sugu kahama na chama inaonyesha kwamba hata huko ccm akiteuliwa kusimama kukiwakilisha chama akashindwa yupo tayari kuwepo vita ilimradi yeye atangazwe. Viongozi wa hivi hamna asiekubali kushindwa si mshindani
Msimpe cheo chochote kile ili anyooke hana lolote njaa tu 😢
Asipo pewa cheo uyo atokaa ccm
Wala hatutushiki alitoka zito,mkumbo na kina mdee sembuse nyumbu
Na kum😂be walishamsitukia kitambo ndio maan anadingizia alihujumiwa 😮😮😮😮
Huyo msingwa mwache aende kugalagwa na Sugu ananikimbia anatamaa ya mamlaka
Juhudi zako na kuhangaika kote ni sawa na kujilisha upepo. Huku ccm utacheka, ni wajanja kuliko unavyo fikiri, mikelele yako hatuhitaji. Kaa kwa kutulia.
Dah kweli madaraka matamu, huko umefata madaraka na mama sio mchoyo atakupa
Yaani umrufu wako ndo mwisho tayari umesha potea hutasikika tena nahayo maneno yako ipo siku utayajutia wote walio hamia ccm hakuna anaye sikika iringa mkataen huyo msaliti
YAANI BAADA YA KUSHINDWA , KAAMUWA KUHAMA. ASIYEKUBALI KUSHINDWA SIYO MSHINDANI.
Mmmmh hii sio sawa ilibid ake bench miez sita ndio ajiunge
Kanunuliwa shilingingapi maanahuyhuyu wezakewalipohama alisemawamenunuliwa
mnatuchanganya leo hivi kesho vile mchungaji kauli 2 haifai
Mwambieni huyo alelambishwa asali akalewa atafia kwenye ulafi
Yuda ni naani? Ni yuda askariot inasikitisha tayari njaa unataka uteuzi
Ccm acheni kukumbatia wanafiki mtaharibu chama chenu mfano msisingwa
Kiungo Mshambuliaji, Peter Msigwa....
Anatapatapa ana lolote kaishiwa sera 😄😄😄mmelamba garasha
Wewe ni mujinga sana mchuji wa mashetani mashetani masisim majizi
Katumwa na chadema huyo CCM kuweni makin ni kachero
DUH! NGOJA NIKANAWE MACHO MAANA SIONI SAWASAWA KAMA NIMWENYEWE AU?
Njaaaa njaaaa hiz nibalaaa
Mkundu wako uliojaa mavi kajambe mbele huko
mh! hata moyo wako unaonyesha kuwa hauko huru pole ndugu
Hawezi kukaa bila kuwa na madaraka ni shida sana. Umeshindwa uchaguzi unakimbia ulitaka ubaki kuwa Mwenyekiti miaka yote. Hukujua kama ni saccoss miaka yote hiyo.
Mbona mbowe ni mwenyekit wakudumu na wangne wakitaka uenyekit anawaondoa