MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Askofu

Комментарии • 248

  • @yustondelwa
    @yustondelwa Год назад +9

    Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena

  • @GeofreyMtensa
    @GeofreyMtensa 3 месяца назад +6

    Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 6 месяцев назад +8

    Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu

  • @evalinemagige495
    @evalinemagige495 5 месяцев назад +6

    Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 6 месяцев назад +4

    Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani
    Kwa kweli Ushoga Hapana

  • @zawadielisikay
    @zawadielisikay Год назад +11

    Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 6 месяцев назад +4

    Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi

  • @josephatmargwe-kn4mu
    @josephatmargwe-kn4mu 4 месяца назад +2

    Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu

  • @drdd774
    @drdd774 Год назад +4

    Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.

  • @robertkatole3910
    @robertkatole3910 Год назад +9

    Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.

  • @muznatshaban5089
    @muznatshaban5089 Год назад +5

    Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Год назад +6

    Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...

    • @drelizakilili
      @drelizakilili 4 месяца назад

      Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Год назад +2

    Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu

  • @juanajuan3198
    @juanajuan3198 Год назад +1

    Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.

  • @theresiachacha3068
    @theresiachacha3068 Год назад +9

    Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Год назад +2

    Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia

  • @greysondavid6445
    @greysondavid6445 2 месяца назад

    Tumepewa mamlaka na Mungu kuwatawala vuimbe wote na kuwapa majina yao.Leo hii wale tuliopewa mamlaka ya kuwatawala,wanatuzidi maarifa ya kiutawala.tunafuga njiwa,bata,punda,kondoo,mbwa,mbuzi,ng'ombe, n.k.Hwa viumbe hawashiriki mapenzi ya jinsia moja.Aibu aibu,aibu watumishi wenye roho za kishetani,waache kazi za Utume na utumishi wakalime.

  • @upendogospelreaching6380
    @upendogospelreaching6380 3 месяца назад

    Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 5 месяцев назад +3

    Sabuni zake situmiiii teeeeeena

    • @ERICAHMWAKILUNGU
      @ERICAHMWAKILUNGU 4 месяца назад

      Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 6 месяцев назад +3

    Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 5 месяцев назад +2

    Bado hamjasema😂 Islam is my religion

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 6 месяцев назад

    Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!

    • @MwanjiNzala-mo5ni
      @MwanjiNzala-mo5ni 5 месяцев назад

      Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj

    • @drelizakilili
      @drelizakilili 4 месяца назад

      Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson 3 месяца назад

    Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache.
    Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад +1

    Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 Год назад +2

    Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.

  • @DennisAnthony-j5y
    @DennisAnthony-j5y 3 месяца назад

    Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +3

    Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 Год назад

      😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 3 месяца назад

    Mnacheza na mungu yupo hai

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 6 месяцев назад +1

    MITHALI 24:1-2
    Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,
    Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.

  • @betuelmgullu4631
    @betuelmgullu4631 Год назад +3

    Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Год назад +1

    Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.

  • @salumurembo6525
    @salumurembo6525 Год назад +3

    Nimesilikiliza sana hawa watu. Nimewaelewa nia yao. Kwa sasa naogapa kununua biadhaa zao ziwe za kupaka au kunywa naogopa huenda wakaweka viambatisho vya kuchochea vile vitu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Dawa ni kuacha kutumia na waumini kutoenda kanisani kwao mbona ni rahisi tu

  • @josephmazengo1113
    @josephmazengo1113 Год назад +2

    Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo

  • @Nazareth8119
    @Nazareth8119 6 месяцев назад +2

    Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.

    • @drelizakilili
      @drelizakilili 4 месяца назад

      Wewe wasema

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад +1

    Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 Год назад +1

      Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi..
      Aliwahi kuita torati ni mavi
      Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi...
      Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi..
      Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Год назад +3

    Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад

      Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi.
      Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?!
      Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?!
      Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu.
      WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад +4

    Hatuwataki nchini kwetu waondoke

  • @stevenjoshua5866
    @stevenjoshua5866 Год назад +4

    Hakuna watumishi hapo mashogs makubwa hayo

    • @khaijakadija2082
      @khaijakadija2082 Год назад

      Umeoma bora wamefungiwa
      Ndio maana wamekuja kuomba radhi

    • @byesigwafabian9255
      @byesigwafabian9255 Год назад

      Sijui kama kuna watumishi wa Mungu hapo. Tumewafuatilia sana,wanamdhihaki Mungu, Amri 10 za Mungu. Biblia ni Makaratasi tu yaani mambo wamefundisha. Ukweli Mungu asimamie yote!

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson 3 месяца назад

    Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 Год назад +1

    Mungu tandika Hawa maana wamezidi

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 5 месяцев назад

    Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.

  • @PcgtMsalato
    @PcgtMsalato 6 месяцев назад +1

    Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.

  • @hassanchuji8965
    @hassanchuji8965 Год назад +3

    Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu

  • @deborambutu9547
    @deborambutu9547 Год назад +3

    Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад

    Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu

  • @HabilyTech
    @HabilyTech Год назад +2

    Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 6 месяцев назад +1

    Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie

  • @heritier5119
    @heritier5119 5 месяцев назад

    😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila

  • @Edwin-tw3yj
    @Edwin-tw3yj 5 месяцев назад

    Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 6 месяцев назад +1

    HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 6 месяцев назад

      Ndo huyo kumbe! Lol
      Mungu ampige eti askof!

    • @drelizakilili
      @drelizakilili 4 месяца назад

      Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Год назад +1

    Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.

  • @mkuubonyo1713
    @mkuubonyo1713 6 месяцев назад +1

    Mama chizi mzee chizi ushoga ?

  • @alhadajjmohammedsmith9042
    @alhadajjmohammedsmith9042 Год назад +1

    Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад

    Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo

  • @pendogwisu
    @pendogwisu 6 месяцев назад +1

    Amepigwa Kofi zito na Mungu

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga 4 месяца назад

    Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 28 дней назад

    Sura zinaonekana ni wezi na waongo

  • @kelvinmwalunenge6224
    @kelvinmwalunenge6224 6 месяцев назад +1

    Nema ya wasenge wote imefunuliwa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад +1

    Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana

  • @rameckmarembo
    @rameckmarembo 4 месяца назад

    Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!?
    Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda7574 5 месяцев назад

    Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Год назад +1

    Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa 6 месяцев назад

    Mapepo nyinyi mungu awahukum

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Год назад +2

    hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 Год назад

      Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 6 месяцев назад

      Michizi hii

    • @drelizakilili
      @drelizakilili 4 месяца назад

      Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure

  • @patrickmsekwa4947
    @patrickmsekwa4947 3 месяца назад

    Aki au haki???...
    Unachafua Kiswahili

  • @esthermwaibasa4778
    @esthermwaibasa4778 Год назад

    Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,

  • @joyceregani9778
    @joyceregani9778 5 месяцев назад

    Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi

  • @mussawambwe5853
    @mussawambwe5853 Год назад +2

    Mchungaji shoga huyo

  • @DeborahLemboto-yf8jw
    @DeborahLemboto-yf8jw 4 месяца назад

    Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅

  • @benetisrael6201
    @benetisrael6201 Год назад +3

    Hao wasiongopee watu m nimeskiliza mahubiri yao aisee sio mazuri kabisa hao wote watatu wanatabia za hovyo kabisa pia huyo chumvi n mtu wa ajabu kabisa wafungiwe kabisa watufanye wajinga m stoi msamaha kwao hapo washaanza kuona wamefungiwa sadaka zinaanza kupotea ndo wankuja na strategy hizi Ili wafunguliwe huduma yao.Hao wasifunguliwe

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 6 месяцев назад

    U Dr haukufanyi kumjua Mungu.

    • @BarnetLaston
      @BarnetLaston 5 месяцев назад

      Ana U Dr gani mavi tu hawa

  • @BarnetLaston
    @BarnetLaston 5 месяцев назад

    Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 6 месяцев назад

    How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?

  • @paulinbyonge8478
    @paulinbyonge8478 Год назад +1

    😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi

  • @kdazzy9967
    @kdazzy9967 Год назад +1

    Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 Год назад

    mbona walawi 20:13-14 hamuisomagi na kuihubiri??

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 6 месяцев назад

    Huyu Askof anatakiwa kwenda kuwashitaki mahakamani wale anaosema kuwa walimchafua ili ukweli ujulikane na mwongo ajulikane pia. Kueleza hayo hakutoshi kwasababu taarifa kamili aliyoitoa Askofu hatukuiona kwahiyo tutaamini hiyo tuliyoiona kuwa ni ya kwake mpaka atakapowexa kuwashitaki waliomchonganisha na jamii na watiwe hatiani. Vinginevyo huyu askofu ataendelea kusomeka hivyo ilivyo kwenye video zake hizo ambazo sasa anazikataa.

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Год назад +1

    Wewe mzeee makengeza mahubiri yako yanaukakasi Sana hapa mlipofikia tutaanza kuvamia huduma zenu fake ,,wakristu tumechoka Imani yetu kukashifiwa,,

  • @bettynovertyfrances9620
    @bettynovertyfrances9620 Год назад +1

    Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana

  • @emmanuelmanka
    @emmanuelmanka 5 месяцев назад

    Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 Год назад +1

    Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 Год назад

      Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini..
      Aiseeee

  • @RastaSuma
    @RastaSuma Месяц назад

    Hatutaki ushoga nyinyi wakristo

  • @aziza9093
    @aziza9093 6 месяцев назад

    Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Год назад

    Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome

  • @Rennyanselim
    @Rennyanselim 28 дней назад

    Kabisa hivi vipodozi vyao vina madhara udhamini wao upo kwa wazungu

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 6 месяцев назад

    Acheni upumbavu huyu mchungaji aliongea maneno ya hovyo sana hata ukimwangalia uso wake unaviashiria vyote sa unaomba radhi ya nini

  • @evalinemagige495
    @evalinemagige495 5 месяцев назад

    Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 3 месяца назад

    Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Год назад +1

    Hawa n mashoga hmn kitu hapo

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 6 месяцев назад

    Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.

  • @Chemba67
    @Chemba67 Год назад

    SUUUUUUUUKUMAAA NDANIIIIIIIIIIIIIIII WOTE HAWA

  • @BarnetLaston
    @BarnetLaston 5 месяцев назад

    Shogi afya yake haiwezi kuwa saf.hata siku moja

  • @domycossan1395
    @domycossan1395 Год назад

    Mtumishi Ceaser mwanzoni nilimuona wa maana sana, lakini baada ya kumsikia na kumwona akikashifu Biblia na watumishi mitume wa zamani kama Paul, nilianza kumwona mpotofu, binadamu sio wakamilifu sisi lakini kwa upotoshaji wake na watumishi wengine katika huduma hiyo na kujiinua wanakojiinua yaani ni dalili za ushetani. Kujiita majina makubwa na kutaka kutunga mavitabu yao kujihalalishia upotofu. Kuhalalisha USHOGA tena anatumia nguvu nyingi kukengeusha injili.

  • @rahelstanley
    @rahelstanley Год назад +1

    Mkwende zenu huko, mnaudhi Sana,nyie Kwanza Ni waganga tu wa kienyeji.

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 Год назад

      Hao ndio wakina Toto ameshaanza kuonja fimbo ya Mungu

    • @rahelstanley
      @rahelstanley Год назад

      Wahuni wote tu hapo kuanzia huyo aliyekuja kuwasaidia kuomba msamaha na wenye kuomba msamaha wenyewe.

  • @CostantineBahakaso
    @CostantineBahakaso Месяц назад

    Cheki Hilo shoga zee la kulia😂

  • @khaijakadija2082
    @khaijakadija2082 Год назад +1

    Amesema kweli acheee tabia yake
    Amuogepe Allah
    Khaa video yake imesambaa ile kubwa

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 День назад

    NYIE WOTE NI MAFREEMASON YAANI NYIE WAJINGA SANA

  • @reenesa
    @reenesa 5 месяцев назад

    Asiweze kuongea kwa Sasa mbona mwanzo alikua anaikashfu Biblia?

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 6 месяцев назад

    Weww ni shog

  • @theologyclass9209
    @theologyclass9209 Год назад +1

    Mungu anawaona sanaaaaaaa