MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Askofu
Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena
Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...
Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu
Tinaanza na wewe
Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya
😂😂😂😂😂😂😂
Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani
Kwa kweli Ushoga Hapana
Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu
Kabisa
Kweli
Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi
Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu
Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.
Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.
Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee
Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...
Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?
Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu
Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.
Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi
Wanaona haya na Wanaogopa hata kutembea Mitaani .
Mungu hadhiakiwi
Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia
Tumepewa mamlaka na Mungu kuwatawala vuimbe wote na kuwapa majina yao.Leo hii wale tuliopewa mamlaka ya kuwatawala,wanatuzidi maarifa ya kiutawala.tunafuga njiwa,bata,punda,kondoo,mbwa,mbuzi,ng'ombe, n.k.Hwa viumbe hawashiriki mapenzi ya jinsia moja.Aibu aibu,aibu watumishi wenye roho za kishetani,waache kazi za Utume na utumishi wakalime.
Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana
Sabuni zake situmiiii teeeeeena
Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu
Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola
Bado hamjasema😂 Islam is my religion
Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!
Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj
Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana
Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache.
Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu
Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali
Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.
Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote
Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃
😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo
Mnacheza na mungu yupo hai
MITHALI 24:1-2
Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,
Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.
Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza
Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.
Nimesilikiliza sana hawa watu. Nimewaelewa nia yao. Kwa sasa naogapa kununua biadhaa zao ziwe za kupaka au kunywa naogopa huenda wakaweka viambatisho vya kuchochea vile vitu
Dawa ni kuacha kutumia na waumini kutoenda kanisani kwao mbona ni rahisi tu
Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo
Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.
Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.
Wewe wasema
Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.
Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi..
Aliwahi kuita torati ni mavi
Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi...
Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi..
Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..
Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea
Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi.
Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?!
Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?!
Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu.
WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.
Hatuwataki nchini kwetu waondoke
Hakuna watumishi hapo mashogs makubwa hayo
Umeoma bora wamefungiwa
Ndio maana wamekuja kuomba radhi
Sijui kama kuna watumishi wa Mungu hapo. Tumewafuatilia sana,wanamdhihaki Mungu, Amri 10 za Mungu. Biblia ni Makaratasi tu yaani mambo wamefundisha. Ukweli Mungu asimamie yote!
Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.
Mungu tandika Hawa maana wamezidi
Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.
Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.
Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu
Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa
Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.
Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu
Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu
Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie
😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila
Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe
HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA
Ndo huyo kumbe! Lol
Mungu ampige eti askof!
Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana
Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.
Mama chizi mzee chizi ushoga ?
Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.
Aah sana kabisa kabisa
Kweli
Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo
Amepigwa Kofi zito na Mungu
Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.
Sura zinaonekana ni wezi na waongo
Nema ya wasenge wote imefunuliwa
Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana
Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!?
Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi
Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo
Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO
Mapepo nyinyi mungu awahukum
hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa
Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu
Michizi hii
Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure
Aki au haki???...
Unachafua Kiswahili
Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,
Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi
Mchungaji shoga huyo
Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅
Hao wasiongopee watu m nimeskiliza mahubiri yao aisee sio mazuri kabisa hao wote watatu wanatabia za hovyo kabisa pia huyo chumvi n mtu wa ajabu kabisa wafungiwe kabisa watufanye wajinga m stoi msamaha kwao hapo washaanza kuona wamefungiwa sadaka zinaanza kupotea ndo wankuja na strategy hizi Ili wafunguliwe huduma yao.Hao wasifunguliwe
U Dr haukufanyi kumjua Mungu.
Ana U Dr gani mavi tu hawa
Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa
How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?
😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi
Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha
mbona walawi 20:13-14 hamuisomagi na kuihubiri??
Huyu Askof anatakiwa kwenda kuwashitaki mahakamani wale anaosema kuwa walimchafua ili ukweli ujulikane na mwongo ajulikane pia. Kueleza hayo hakutoshi kwasababu taarifa kamili aliyoitoa Askofu hatukuiona kwahiyo tutaamini hiyo tuliyoiona kuwa ni ya kwake mpaka atakapowexa kuwashitaki waliomchonganisha na jamii na watiwe hatiani. Vinginevyo huyu askofu ataendelea kusomeka hivyo ilivyo kwenye video zake hizo ambazo sasa anazikataa.
Wewe mzeee makengeza mahubiri yako yanaukakasi Sana hapa mlipofikia tutaanza kuvamia huduma zenu fake ,,wakristu tumechoka Imani yetu kukashifiwa,,
Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana
Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae
Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU
Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini..
Aiseeee
Hatutaki ushoga nyinyi wakristo
Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya
Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome
Kabisa hivi vipodozi vyao vina madhara udhamini wao upo kwa wazungu
Acheni upumbavu huyu mchungaji aliongea maneno ya hovyo sana hata ukimwangalia uso wake unaviashiria vyote sa unaomba radhi ya nini
Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo
Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa
Hawa n mashoga hmn kitu hapo
Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.
SUUUUUUUUKUMAAA NDANIIIIIIIIIIIIIIII WOTE HAWA
Shogi afya yake haiwezi kuwa saf.hata siku moja
Mtumishi Ceaser mwanzoni nilimuona wa maana sana, lakini baada ya kumsikia na kumwona akikashifu Biblia na watumishi mitume wa zamani kama Paul, nilianza kumwona mpotofu, binadamu sio wakamilifu sisi lakini kwa upotoshaji wake na watumishi wengine katika huduma hiyo na kujiinua wanakojiinua yaani ni dalili za ushetani. Kujiita majina makubwa na kutaka kutunga mavitabu yao kujihalalishia upotofu. Kuhalalisha USHOGA tena anatumia nguvu nyingi kukengeusha injili.
Mkwende zenu huko, mnaudhi Sana,nyie Kwanza Ni waganga tu wa kienyeji.
Hao ndio wakina Toto ameshaanza kuonja fimbo ya Mungu
Wahuni wote tu hapo kuanzia huyo aliyekuja kuwasaidia kuomba msamaha na wenye kuomba msamaha wenyewe.
Cheki Hilo shoga zee la kulia😂
Amesema kweli acheee tabia yake
Amuogepe Allah
Khaa video yake imesambaa ile kubwa
NYIE WOTE NI MAFREEMASON YAANI NYIE WAJINGA SANA
Asiweze kuongea kwa Sasa mbona mwanzo alikua anaikashfu Biblia?
Weww ni shog
Mungu anawaona sanaaaaaaa