WAZIRI SILAA ASHTUKIZA USIKU OFISI ZA ARDHI JIJI LA DAR KUONA UTEKELEZAJI WA AGIZO LAKE,ALIPA KODI..
HTML-код
- Опубликовано: 17 май 2024
- WAZIRI SILAA ASHTUKIZA USIKU OFISI ZA ARDHI JIJI LA DAR KUONA UTEKELEZAJI WA AGIZO LAKE,ALIPA KODI..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Hongera sana Mh, Wazir Mungu akubariki na akutangulie ktk majukumu yako ya kila siku.
Ubarikiwe sana Mtumishi Mungu Atusaidie kuna mahali tunaenda Tunawaombea viongozi wetu wote tupone Raisi Abarikiwe Sana kwa kuona yapasayo kwa Wakati
Hongera hivi na hawa mawaziri wengine hawamuoni mwenzao jinsi anavyofanya kazi eneee jamani
Yaani kunawatu waliachwa kwamuda bila kujulikana kma niwatenda kzi wazuri waadilifu,wenye utashi mkubwa nawamepewa moyo wakuongoza kwauledi.Mungu anajmbo lake kwawatu hawa.Muda nawakati ulikuwa haujafika.Tunamwomba mungu atufunuliwe wengine wliofichwa nawatu wabaya ili wake waikoe Tanzania ytu,nawatu wake ,masikini wapate hki,urasimu ukome,wenye uwezo mkubwa wasinyanyase masikini.Hongera raisi Samia kwakupewa upeo mubwa wakufikiri jinsi yakumsadia mtanzania masikini kupitia wtenda kzi wako.
Nafikiri tufike muda tutenganishe baina ya siasa na utendaji,chama na mahitaji ya nchi na rai wake,ulaji na utendaji kazi.tukiipenda haki na kumuamini mungu kuna sehemu tutafika
Hapa hata kukuelewa ni ngumu. Huyo Mheshimiwa anakagua kama ofisi ziko wazi hadi saa 2 usiku ili Watanzania tukalipie kodi ya ardhi. Sasa nasaa (lecture) ndefu hivyo inahusu nini?! 😄
Huku Slaa kule Makonda,
Mama tunaomba vijana watendaji kama hawa kila kona, wapo wengine wenye hii mioyo lkn wako mitaani hawan ajira.
Kazi nzuri, Mheshimiwa. Lazima watu wapende na kuheshimu kazi zao na kufuata maelekezo. Ifike sehemu tufanye kazi kwa bidii angalau kama Wakenya 😄
Mnaposema ashtukiza hivi...
Kwa hiyo hadi camera nazo zimeshtukizwa?
Mheshimiwa hongera kwa kulipa kodi...ila sisi wananchi wako huku viwege jimboni kwako hatuna barabara
Wakwanza mm like dang
Kodi si waaanza kulipa mwezi wa saba
Tanzania 🇹🇿 ninayoitaka
Kazi nzuri sana.
Lakini ilikiwa habari nzuri sana kwama waziri wa mambo ya ndani kushitukiza cental police,Wazari wa uchukuzi kwenda bandarini,Waziri wa ulinzi kwenda kambi yoyote ya kijeshi.Lakini hii ardhi usiku hata usipo wakuta nini kina impact kwa wananchi ikiwa wanaamini majukumu yao yalipaswa kufanyika mchana?Wakati mwingine Waziri mwenye wizari kama hii anashitukiza mchana tu pale wanapo kuwa wapo kwenye majukumu yao ili ujionee udhaifu wa watendaji wako.
Duuuuh hatari
Na mahakama vipi makama kuu na ya lufaa kesi myaka Kuna kitu notisi of apili utekelezaji ni mateso heli aende silaa au makonda
Makalane wa mahakama ni zaidi ya majaji kupata mwenendo wa kesi mpaka ulipe lakimoja hata ulipe hupati
Tukipata watendaji Kama Hawa vijana kumi basii mama ulaleee kabisa usingizi watendaji waovu watanyooka
Hizi ni ofisi za Manispaa ya Ilala na sio ofisi za Wizara ya Ardhi.
Kwahiyo ofisi zinafungwa saa ngapi
Waliambiwa wafunge saa 2 usiku ili tukalipie kodi
Sasa huu usku ofisi inafanya kazi Wakat ofcin wanafika saa 5 asbh, maigizo
Hamna jema waja loooo! Jamani!😢😢😢
@@dorothmsuya1686 masaa ya kazi yanafahamika hizi zingine ni drama tu ndugu yangu
@@jacksportman5181 Sasa jamani kama mtu kaamua kuongeza muda ili amalize kazi za wananchi kakosea wapi?? Sio jambo la kumpongeza??