KAULI TATA ZA VIJANA WA ARUSHA MAARUFU KAMA WADUDU "MKIA JUU MWENDO WA NGIRI"
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Nawakubali sana hawa jamaa, Huwa Wana love Fulani hivi ambayo huwezi pata mahali popote
Ni kweli kabisa wanaupendo wa ajabu sana tz hakuna vijana wapo na upendo Kama chuga poleni sana
Arusha is the one of most gang*s city in the world.....👊
Yaani hawa bora ukutane na mwizi kuliko hawa watu..hizo sura na mapengo
au sio
ARUSHA YANGU CAMERA 📸 IMENASA WANA🙌🙌📸📸📸
I love my chuga🥰
jamaa anausokota hapohapo 🤣🤣🤣🤣
Arusha Kuna jini gan
waacheni vijana huo ndio wakati wao ipo siku watatulia
Mnatisha majiran.
Daah Arusha vijana waache bangi nguvu kz Ina pungua
Upuuzi tu
Mwendo wa ngiri mkia fyadede .mungu apend ukigisa kwanyuma. Ila jomba wambele alitaka aguswe kwa nyuma❤😅😅
😂😂😂hahahaha awa majomba ni shidaa na mbn kawasha shadaa mbele ya serikali
😅😅😅 tanzaniaa mkoa pekee wenye utalii yote ni arushaa
Yaani hawa wadudu hawa 😅sijui hizi misamiati wanazipatiaga wapi😂
Tatizo shule walituficha hii ni misamiati ya baba lababa baba wa dunia asee
@@Abdalakangile1😂😂
Cannabis sativa
Jamaa ananyonga mbele ya cmer
Na wala hawazi wala nn😂😂😂😂
Kwanza sura zao moja kwa moja ni vibaka hata huulizi hiki.kizazi tabu ipo jamani hivi arusha bangi na gongo mnazotumia zinatoka kenya au? Maana sielewi
Tulia Wewe Uko Ulipo,Machalii wengi wa Ololoo sio wote wanakula kijiti au Gongo, na bangi wanakula sehemu nyingi ya hii nchi Arusha Hii ni culture
Asee mmetish
unyama sana hapo R
Mama vanesa nikwere sana
Canabis sativa nimbaya sana!
Chuga haipo tanzania...
Mkia juu mwendo wa ngiri
Hawa wadudu wananyonga hadharani daaah!Ni Tz hii hi kweli!
Bangi mbaya sana serikari bado inakazi kubwa sana sasa watu kama hawa niwatanzania kweri nguvu kazi inayotegemewa na serkari hasara ipo
kiashiria wote
Ninyi wadudu kama mnazika Kwa mikono basi chimbeni shimo Kwa mikono msisubiri wengine wachimbe halafu ninyi mje kujifanya mnazika Kwa mikono
Ni muda wenu watu wa arusha kuwasheni hasa maana huo muda nao utapita utumieni vizuri
Ni kweli lakini hilo ndio life lao
We chalii iyo kofia inatakiwa na.Jeshi irudishe kabla siku Saba hazijaiiiiii. Hazijaisha
Wanahitaji msaada.
😂 Supper jombaa
Kitu ya Chuga
3:25 3:27
Hapo amna wanachoongea cha maana ata kimoja awondio wazazi wakizazi kijacho mh sijui watoto watakuaje hapo
Hivyo viatu Jaman 😂😂😂
Kweli Kweli wauni
😂😂😂😂
hiyo kiswahili sasa ni shida
hawa jamaa wapewe nchi yao
Wenyew Hawa, niwatu au,,🥱🥱🥱🥱
Awajamaa nihasara2pu Bora misomisondo wanajitambua
Wang’a laana😂😂😂
Ha ha ha ha Chugaaaaaaa Duuuu
Taifa linapotea
Sure
He
Niuhakika kubwa hapingwagi
Hii imeenda jombaa
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 GUSA KWA BAKTA NI KAMZOZO
Hahaha😁😁🤔
Cha orcocola😅
Bangi mbichi
hizo zote nibange tu hakuna cha lafuz hapo
Hiyo lugha ndo inatmik sabab ya lugha za kikabila zilizo huku. Jamaa mwisho kasema Engai ashee.
Kwahyo hiyo Ngai =Mungu kimasai. .. hao ni watu wa kawaida. Wahuni wapo ila sio hao.
Hahaaj
😂😂
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Awa wajinga wanaona kama wako kwenye nchi yao peke yao😊
Iko wazi 🤣
😂😂😂