KWELI ARUSHA WAMEVURUGWA! SANYA AVULIWA NGUO MCHANA KWEUPE "CHUGA NI MOJA HAINA MBILI AISEE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • KWELI ARUSHA WAMEVURUGWA! SANYA AVULIWA NGUO MCHANA KWEUPE "CHUGA NI MOJA HAINA MBILI AISEE"
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 109

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 11 месяцев назад +12

    Kila siku Nawaambia Chuga sio Tanzania hamuamini😅😅

  • @henryminja3145
    @henryminja3145 11 месяцев назад +3

    I love my second home ARUSHA from kenya💪💪

  • @tycoon9540
    @tycoon9540 11 месяцев назад +4

    😂😂😂
    Machalii wamenifurahisha sanaaa

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 11 месяцев назад +3

    Arusha wadaiwe vitambulisho vya Nida yawezekana sio watanzania😂

  • @adamelly6051
    @adamelly6051 11 месяцев назад +17

    😂😂 Arusha ni nchi Nyengine tafauti

    • @abednego3876
      @abednego3876 11 месяцев назад

      Ni wajinga tu hakuna chi wala nn.

  • @joe_was_here.
    @joe_was_here. 11 месяцев назад +6

    Kizazi cha arusha kina haribika kwa kweli yaan kuna dada kama wawili nilikuwa nafanya nao kazi yaan akili zao kwakweli sio akili ya mwanamke unaye weza kuoa wala kufanya nae maisha ....pombe,sigara,bangi na ugomvi this is stupid ni vitu ambavyo tunaona ni vya kawaida lakini huu ni upuuzi sana hawa vijana wako nayo

  • @ShaniShebila
    @ShaniShebila 11 месяцев назад +3

    Hawa watani zangu niwahovyo san hii nchi ya Arusha tuwabadilishie jina

  • @Mdenya
    @Mdenya 11 месяцев назад +2

    Aijawai kuwa nzuri

  • @user-gy5rc6wz8z
    @user-gy5rc6wz8z 11 месяцев назад +1

    Nakubali

  • @patisondidas6720
    @patisondidas6720 11 месяцев назад +2

    Nawapenda sana awa mbwa wa aruxha jinxi wanavoongea😅

  • @collinsbella8360
    @collinsbella8360 11 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 eti mpaka akna darasa mpaka madawati ila chuga 😂😂😂😂

  • @mdbranding1301
    @mdbranding1301 11 месяцев назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣 Home sweet Home

  • @JohnmuvungaVitale
    @JohnmuvungaVitale 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂Big up sana arusha from27

  • @RobartKiula
    @RobartKiula 3 месяца назад

    😅😅😅😮😮 0:48

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 11 месяцев назад +2

    Dah nimepigwa KO kwa kweli

  • @SaidiIssa-sh3jr
    @SaidiIssa-sh3jr 11 месяцев назад +1

    Wao sisi ni lazima tutimbe😂😂😂

  • @YussufZume-vi4es
    @YussufZume-vi4es 11 месяцев назад

    Idea nzuri

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 11 месяцев назад +4

    Sio watu wote waarusha wanaongea hivyo na mavazi nikawaida tu hizo ni swaga tu

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 11 месяцев назад

      Wewe utakuwa unaishi kuzimu

    • @najmasalim-rg6ow
      @najmasalim-rg6ow 11 месяцев назад

      Nilimpeleka chuo mdog ang Arusha nilivyoshuka mi nilijia wagonjwa akili hee kumbe ndo walivyo

  • @godfreykimaro8250
    @godfreykimaro8250 11 месяцев назад

    Hyo kiatu inapelekwa charge

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 11 месяцев назад +3

    ETI T-SHERT NIIKUTE GAZA😂😂😂😂 inamaana yake imeshapotea ila SANYA haelewi

  • @FilexRevogat
    @FilexRevogat 9 месяцев назад

    Mbanga wewe❤❤

  • @abdulatifunatto8976
    @abdulatifunatto8976 11 месяцев назад +1

    Viatu wanapeleka chaji ???

  • @mohamedhamisi9766
    @mohamedhamisi9766 11 месяцев назад +1

    😂😂😂 chuga ni moja tuu

  • @sulleymernmannarah7930
    @sulleymernmannarah7930 11 месяцев назад

    Nataman wngeleta Janjaro kwny hii Wasafi festival ingefana xna

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 11 месяцев назад +1

    Duuuuuuu😂😂😂🎉🎉

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 11 месяцев назад +2

    Chuga ndo nchi pekee inayopatikana Tanzania 😂😂😂

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 11 месяцев назад +2

    Nataka nijue arusha wanavuta bange gani hawa watu wanafanya siku moja nijaribu nami kuvuta bange nione km naeza kuaga aaje

  • @robbymaseke9983
    @robbymaseke9983 11 месяцев назад +2

    Awo.sio wadudu wachumba tu awajui kudecrea

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 11 месяцев назад

    Karibu R chugga

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 11 месяцев назад

    ❤❤❤

  • @Official_Lifa
    @Official_Lifa Месяц назад

    Tunapeleka chajii😂😂😂

  • @jerominalfonce
    @jerominalfonce 11 месяцев назад +1

    Hadi dawat

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003 11 месяцев назад

    😊

  • @ramayonline2281
    @ramayonline2281 11 месяцев назад +1

    Imekaawinyooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @Manyohu.tv1
    @Manyohu.tv1 7 месяцев назад

    nimekaa arusha kila nikijaribu kuishi nao kwa amani nashindwa nikatambu ni watu wakorof, wapenda fujo, .. ikabidi sasa kuwa mbia wawe wapole we have a gun🤣

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 11 месяцев назад +4

    😆😆😆😆😆💔Sanya haelew ata kinachoongelewa hapo anatoa macho tu

  • @FilexRevogat
    @FilexRevogat 9 месяцев назад

    Chuga ndio mkoa pekee police wanauza bangii😢😢😢😢😅😂😂😂😂😂😊

  • @prophetnehe_7
    @prophetnehe_7 11 месяцев назад +1

    Afya ya Akili😂

  • @JonathanNelson-l8h
    @JonathanNelson-l8h 11 месяцев назад +4

    Vijana wa hovyo😂😂😂😂

    • @FilexRevogat
      @FilexRevogat 9 месяцев назад

      Aliekuzaa ndio ako ivyo🎉🎉🎉🎉🎉

  • @passianchilu2251
    @passianchilu2251 5 месяцев назад

    Duuuh sina hata cha kusema.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 11 месяцев назад +9

    Kosa sio la hao wala ugali wa bure nyumbani kosa ni media kubwa kuwapa muda hawa wavivu airtime kirahisi hivi 😢😢
    Hapo Arusha kuna masela wapo site wanafanya kazi na kujenga taifa. Kuna dada zetu apo Arusha wapo masokoni, saloon serekalini wapiga kazi ila media mko bize nakutuletea vitu vya ajabu

    • @bonifas814
      @bonifas814 11 месяцев назад +3

      Mbonaa uneongeaa cha manaa mnoo hawaa ni mwatairaa

    • @georgedaniel4962
      @georgedaniel4962 11 месяцев назад +1

      Tena vitu vya hovyo kabisa

    • @mapinduzimagasha5640
      @mapinduzimagasha5640 11 месяцев назад +1

      mnajikutaa wakudaaa hii ndo chugaa babu iyo apoo enyewe inawaingiziaa helaaa achn pigo zakiwakinyoooo mtakaa sanaaa hii n chugaa babulaiii culture💥✌🏽✌🏽

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 11 месяцев назад

      @@mapinduzimagasha5640
      Tukutane baada Ya miaka baada Ya miaka 10 tuone kama utajiita chugaa ao chunvi.

  • @issackathman850
    @issackathman850 11 месяцев назад

    chugaaa hyooo

  • @deogratiuspaul3585
    @deogratiuspaul3585 11 месяцев назад +1

    Arusha haiko TZ

  • @Reggan-p8u
    @Reggan-p8u 5 месяцев назад

    Hivi tuna someka Nida kweli 😂😂😂😂

  • @michaelmatemu3490
    @michaelmatemu3490 11 месяцев назад +1

    Hiyo hanyiiiiiiii😂😂😂😂

  • @antonymligo4623
    @antonymligo4623 11 месяцев назад +4

    Bangi wanatumia kama mboga kulia ugali

    • @mohammadoman8963
      @mohammadoman8963 11 месяцев назад +1

      Mtihani sana Allah awajalie hidya

    • @tato8979
      @tato8979 11 месяцев назад +1

      😂😂nikweli kabisaa

  • @KilimoKazi
    @KilimoKazi 11 месяцев назад

    Mmonyoko wa Maadili

  • @suleimanhasibu2813
    @suleimanhasibu2813 11 месяцев назад

    Hii ndo sheng ya tz

  • @danielamosi2970
    @danielamosi2970 11 месяцев назад

    Et kina darasa mpka madawati

  • @simangwijac
    @simangwijac 11 месяцев назад

    😂😂😂😂, ni mambo mbaya

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 11 месяцев назад +1

    😅😅

  • @AishaDaudi-d4k
    @AishaDaudi-d4k 11 месяцев назад +1

    Arushaa 2napepo ye2 kabisa alafu siti zetu mbele kabisa

  • @reubenkissinga5802
    @reubenkissinga5802 11 месяцев назад +1

    Ni ojiijoo bladi!!

  • @user-hm4hk5hi1c
    @user-hm4hk5hi1c 11 месяцев назад

    Mbona mi luga sielewi jamani nanipo Arusha

  • @user-yz5es8po3w
    @user-yz5es8po3w 11 месяцев назад

    Father Goralian

  • @ngebafaila3581
    @ngebafaila3581 11 месяцев назад

    Hapo mlimkomesha sanya ndo ginsi anavyo changanya wnzie nayeye amechanganywa 😂😂😂

  • @bonifas814
    @bonifas814 11 месяцев назад

    Washambaa hawaa kwanzaa hawafanyagii kazii ukipitaa wanaanzaa kuomba pesa za sigaraa na kiwinguu izoo zishapitwaa

    • @joe_was_here.
      @joe_was_here. 11 месяцев назад

      Daah kizazi kinaharibika cha arusha

  • @devgodfrey
    @devgodfrey 11 месяцев назад +1

    Nikwere kweche jomba😂

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 11 месяцев назад +2

    😂😂😂

  • @SaidiIssa-sh3jr
    @SaidiIssa-sh3jr 11 месяцев назад +1

    Code za bomani😂😂😂🤣

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 11 месяцев назад

    Bange mbaya 😂😂

  • @King-Buda
    @King-Buda 11 месяцев назад

    Fido Vato Chuga Iyo

  • @SandreAlhlwah-bv1cx
    @SandreAlhlwah-bv1cx 11 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂😂

  • @Ismailnyange
    @Ismailnyange 11 месяцев назад

    Vado ndo mpango mzima

  • @asaadalbusaidi1870
    @asaadalbusaidi1870 11 месяцев назад

    Sanya 😂😂😂umevishwa kodi za bomani

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 11 месяцев назад

    MAFYADE

  • @ibni_H2TL6r
    @ibni_H2TL6r 11 месяцев назад +5

    Mafala watoto wadogo wanajichetua

    • @hermanndongolo1550
      @hermanndongolo1550 11 месяцев назад +1

      Kweli wajinga sana

    • @Mdenya
      @Mdenya 11 месяцев назад +1

      Ka kwa kubengenye arifu ii ma panyanyo aijawai kuwa nzuri

    • @ibni_H2TL6r
      @ibni_H2TL6r 11 месяцев назад +2

      @@Mdenya hata ukiongea lugha gani mtabaki kuwa ni watoto mafala ambao mkikuwa mtaacha ama dunia ndo iwakanye #WAJINGANYINYI

    • @issackathman850
      @issackathman850 11 месяцев назад +1

      lakini wanapiga pesa ww unanini ambacho kinaonekana kwa jamii ka so ushoga

    • @ibni_H2TL6r
      @ibni_H2TL6r 11 месяцев назад

      @@issackathman850 na usmart wako wote jina lako unaitwa issack .....hiyo mihela wanayoingiza hao wendawazim wenzako n shilingi ngap ulinganishe na ufala wanaoufanya....!!!!?

  • @BlandinaMsigiti
    @BlandinaMsigiti 11 месяцев назад

    😅😅😅.😅

  • @ramosfally2318
    @ramosfally2318 6 месяцев назад

    😂😢🎉🎉

  • @King-Buda
    @King-Buda 11 месяцев назад

    Sanya Tuletee Fido Vato

  • @JohnmuvungaVitale
    @JohnmuvungaVitale 11 месяцев назад

    😂😂😂😂Big up sana arusha from27

  • @antonymligo4623
    @antonymligo4623 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @juatv777
    @juatv777 11 месяцев назад

    😂😂😂

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂

  • @FilipefocasRodriguez-vi3sr
    @FilipefocasRodriguez-vi3sr 10 месяцев назад

    😂😂😂😂

  • @user-tq2rk8jw3s
    @user-tq2rk8jw3s 11 месяцев назад +1

    😂😂😂😂😂

  • @gaspergasper9830
    @gaspergasper9830 11 месяцев назад

    😂😂😂

  • @AmiriMalenge
    @AmiriMalenge 11 месяцев назад

    😂😂😂😂😂