KWELI ARUSHA WAMEVURUGWA! SANYA AVULIWA NGUO MCHANA KWEUPE "CHUGA NI MOJA HAINA MBILI AISEE"
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- KWELI ARUSHA WAMEVURUGWA! SANYA AVULIWA NGUO MCHANA KWEUPE "CHUGA NI MOJA HAINA MBILI AISEE"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kila siku Nawaambia Chuga sio Tanzania hamuamini😅😅
I love my second home ARUSHA from kenya💪💪
😂😂😂
Machalii wamenifurahisha sanaaa
Arusha wadaiwe vitambulisho vya Nida yawezekana sio watanzania😂
😂😂 Arusha ni nchi Nyengine tafauti
Ni wajinga tu hakuna chi wala nn.
Kizazi cha arusha kina haribika kwa kweli yaan kuna dada kama wawili nilikuwa nafanya nao kazi yaan akili zao kwakweli sio akili ya mwanamke unaye weza kuoa wala kufanya nae maisha ....pombe,sigara,bangi na ugomvi this is stupid ni vitu ambavyo tunaona ni vya kawaida lakini huu ni upuuzi sana hawa vijana wako nayo
Sis kama nchi jirani 😮
Auezi elewa
Ujui unachoongea kuusu arusha
Tuulize sisi wazawa
Hawa watani zangu niwahovyo san hii nchi ya Arusha tuwabadilishie jina
Aijawai kuwa nzuri
Nakubali
Nawapenda sana awa mbwa wa aruxha jinxi wanavoongea😅
😂😂😂😂😂 eti mpaka akna darasa mpaka madawati ila chuga 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 Home sweet Home
😂😂😂😂Big up sana arusha from27
😅😅😅😮😮 0:48
Dah nimepigwa KO kwa kweli
Wao sisi ni lazima tutimbe😂😂😂
Idea nzuri
Sio watu wote waarusha wanaongea hivyo na mavazi nikawaida tu hizo ni swaga tu
Wewe utakuwa unaishi kuzimu
Nilimpeleka chuo mdog ang Arusha nilivyoshuka mi nilijia wagonjwa akili hee kumbe ndo walivyo
Hyo kiatu inapelekwa charge
ETI T-SHERT NIIKUTE GAZA😂😂😂😂 inamaana yake imeshapotea ila SANYA haelewi
Ha ha ha
😂😂😂😂😂😂
Mbanga wewe❤❤
Viatu wanapeleka chaji ???
😂😂😂 chuga ni moja tuu
Nataman wngeleta Janjaro kwny hii Wasafi festival ingefana xna
Duuuuuuu😂😂😂🎉🎉
Chuga ndo nchi pekee inayopatikana Tanzania 😂😂😂
Nataka nijue arusha wanavuta bange gani hawa watu wanafanya siku moja nijaribu nami kuvuta bange nione km naeza kuaga aaje
😂😂😂
😂😂😂
Awo.sio wadudu wachumba tu awajui kudecrea
Karibu R chugga
❤❤❤
Tunapeleka chajii😂😂😂
Hadi dawat
😊
Imekaawinyooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
nimekaa arusha kila nikijaribu kuishi nao kwa amani nashindwa nikatambu ni watu wakorof, wapenda fujo, .. ikabidi sasa kuwa mbia wawe wapole we have a gun🤣
😆😆😆😆😆💔Sanya haelew ata kinachoongelewa hapo anatoa macho tu
Chuga ndio mkoa pekee police wanauza bangii😢😢😢😢😅😂😂😂😂😂😊
Afya ya Akili😂
Vijana wa hovyo😂😂😂😂
Aliekuzaa ndio ako ivyo🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuh sina hata cha kusema.
Kosa sio la hao wala ugali wa bure nyumbani kosa ni media kubwa kuwapa muda hawa wavivu airtime kirahisi hivi 😢😢
Hapo Arusha kuna masela wapo site wanafanya kazi na kujenga taifa. Kuna dada zetu apo Arusha wapo masokoni, saloon serekalini wapiga kazi ila media mko bize nakutuletea vitu vya ajabu
Mbonaa uneongeaa cha manaa mnoo hawaa ni mwatairaa
Tena vitu vya hovyo kabisa
mnajikutaa wakudaaa hii ndo chugaa babu iyo apoo enyewe inawaingiziaa helaaa achn pigo zakiwakinyoooo mtakaa sanaaa hii n chugaa babulaiii culture💥✌🏽✌🏽
@@mapinduzimagasha5640
Tukutane baada Ya miaka baada Ya miaka 10 tuone kama utajiita chugaa ao chunvi.
chugaaa hyooo
Arusha haiko TZ
Hivi tuna someka Nida kweli 😂😂😂😂
Hiyo hanyiiiiiiii😂😂😂😂
Bangi wanatumia kama mboga kulia ugali
Mtihani sana Allah awajalie hidya
😂😂nikweli kabisaa
Mmonyoko wa Maadili
Hii ndo sheng ya tz
Et kina darasa mpka madawati
😂😂😂😂, ni mambo mbaya
😅😅
Arushaa 2napepo ye2 kabisa alafu siti zetu mbele kabisa
Ni ojiijoo bladi!!
Mbona mi luga sielewi jamani nanipo Arusha
Father Goralian
Hapo mlimkomesha sanya ndo ginsi anavyo changanya wnzie nayeye amechanganywa 😂😂😂
Washambaa hawaa kwanzaa hawafanyagii kazii ukipitaa wanaanzaa kuomba pesa za sigaraa na kiwinguu izoo zishapitwaa
Daah kizazi kinaharibika cha arusha
Nikwere kweche jomba😂
😂😂😂
Code za bomani😂😂😂🤣
Bange mbaya 😂😂
Fido Vato Chuga Iyo
😂😂😂😂😂😂
Vado ndo mpango mzima
Sanya 😂😂😂umevishwa kodi za bomani
MAFYADE
Mafala watoto wadogo wanajichetua
Kweli wajinga sana
Ka kwa kubengenye arifu ii ma panyanyo aijawai kuwa nzuri
@@Mdenya hata ukiongea lugha gani mtabaki kuwa ni watoto mafala ambao mkikuwa mtaacha ama dunia ndo iwakanye #WAJINGANYINYI
lakini wanapiga pesa ww unanini ambacho kinaonekana kwa jamii ka so ushoga
@@issackathman850 na usmart wako wote jina lako unaitwa issack .....hiyo mihela wanayoingiza hao wendawazim wenzako n shilingi ngap ulinganishe na ufala wanaoufanya....!!!!?
😅😅😅.😅
😂😢🎉🎉
Sanya Tuletee Fido Vato
😂😂😂😂Big up sana arusha from27
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂