Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Allah atujaalie Rizk za halali In Shaa Allah tuweze kuwasaidia hawa BIN ADAM wenzetu
Amiin 😢
Mtihani yarabi tujaaliye subira waja wKo poleni ndugu zetu mwenyezi mungu yuko pamoja na sisi waja wake
Subhana llah😭😭😭😭
Alhmdelilah kwa kila hali Allah Mkubwa 🤲
اللهم سعدهم يا الله يا رزق أساألك بذلك اللهم آمين آمين آمين آمين
Allah Akbar wallah uwezo sina lakini Allah...InshaAllah awahurumie waja wake na atuhurumie sote duniani na kesho Akhera yaa rabbi..
Halafu unakuta huku uarabuni wanakula na kumwaga chakula Kila siku Tena unakuta nyama vyakula vizur,,Allah atupe moyo wa huruma kwakweli,,
Si arabuni tu hata hapa nyumbani tz wapo watu hao tunao na tunawaona...wanafanya israafu
Na tusilaumu watu wengine tujiangalie sisi je tunasaidia nini ktk tunachokipata??
Allah awafanyie wepesi 🤲
Amiin
Hayo majumba ya makaazi yasijengwe mjini tu. Huko ndio kwa kujenga
ASALAM ALLWAAA ATAWAJAALIYA INSH AALLWAAA ILI NA NYINYI MUONEKANE KAMA BINAADAMU WENZENU INSH AALLWAA MSILIYEE NDUGU ZETU WA KIISLAM
Allah awabariki
Jamani Viongozi muliko kwenye Madarakani oneni hii hali muna jukumu mbele ya Allah mukumbuke Mutaulizwa na mujibu tawaleni utawala ni jukumu Kubwa Sana mbele ya Allah. Ogooeni siku ya mwisho
Mtihani kwl
😭😭 Allah tupe subra Allha awafanyie wepesi
Subhanallah Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah 😢
duhh , asante mumenikumusha imeniumiza
Asalam aleikum ninaombi naomba mukiweka vidio kama hizi mutuwekee na namba zao please 🙏
Viongozi wanachangia kwenye mipira,wanapelekana makazini wenyewe kwa wenyewe maskini hawawaoni wala hawawathamini.mayatima wanapata shida
Achana na viongozi hao hawaelewi njaa za watu je sisi mimi na ww tuwafanyia nini masikini ktk kile kidogo chetu tunachokipata??
Shamsa uko sawa,lakini na hao viongozi wanahusika,kazi kuiba mali za umma.
Tunahitaji namba zao
Inshallah 🙏
Shamba ya wapi hii jamani kwa unguja,
🤲🤲
Tatizo lenu hamtaji maeneo husika hatujui kwa nini
Hii zanzibar sehemu gani please
Mariam,kwa mtazamo hio ni PEMBA
Hii sehem gani
😢😢😢😢
Jamani humu si wanalala na nyoka 😮😮
Usiseme ivyo mwenyezimungu analinda kwani nyoka popote anaingia tuu mungu akipanga 😢😢😢😢
Allah akbar
A,alaykum kwa sisi wenye tasisi za afya tunahitaji kungana nanyi kwenda kuwasaidia wenzetu tutawafikia vipi hizi sehemu
Mnaanza vizuri alafu munaharaibu kwa maswali ya kuwauliza kama mwisho kula nyama ni lini wakati hali zao mnaziona😢
Zanzibar sehemu gani
😭😭😭😭😭😭daaah
Na mutuelekeze hao waislam wetu wnapatikana wapi
Tunaomba mutufahamishe naomba za uhakika za kuchangia
Hi sehemu gani, mi naomba mtoto mmoja wa kulea
Hii sehem gan
Allah atujaalie Rizk za halali In Shaa Allah tuweze kuwasaidia hawa BIN ADAM wenzetu
Amiin 😢
Mtihani yarabi tujaaliye subira waja wKo poleni ndugu zetu mwenyezi mungu yuko pamoja na sisi waja wake
Subhana llah😭😭😭😭
Alhmdelilah kwa kila hali Allah Mkubwa 🤲
اللهم سعدهم يا الله يا رزق أساألك بذلك اللهم آمين آمين آمين آمين
Allah Akbar wallah uwezo sina lakini Allah...InshaAllah awahurumie waja wake na atuhurumie sote duniani na kesho Akhera yaa rabbi..
Halafu unakuta huku uarabuni wanakula na kumwaga chakula Kila siku Tena unakuta nyama vyakula vizur,,Allah atupe moyo wa huruma kwakweli,,
Si arabuni tu hata hapa nyumbani tz wapo watu hao tunao na tunawaona...wanafanya israafu
Na tusilaumu watu wengine tujiangalie sisi je tunasaidia nini ktk tunachokipata??
Allah awafanyie wepesi 🤲
Amiin
Hayo majumba ya makaazi yasijengwe mjini tu. Huko ndio kwa kujenga
ASALAM ALLWAAA ATAWAJAALIYA INSH AALLWAAA ILI NA NYINYI MUONEKANE KAMA BINAADAMU WENZENU INSH AALLWAA MSILIYEE NDUGU ZETU WA KIISLAM
Allah awabariki
Jamani Viongozi muliko kwenye Madarakani oneni hii hali muna jukumu mbele ya Allah mukumbuke Mutaulizwa na mujibu tawaleni utawala ni jukumu Kubwa Sana mbele ya Allah. Ogooeni siku ya mwisho
Mtihani kwl
😭😭 Allah tupe subra Allha awafanyie wepesi
Subhanallah Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah 😢
duhh , asante mumenikumusha imeniumiza
Asalam aleikum ninaombi naomba mukiweka vidio kama hizi mutuwekee na namba zao please 🙏
Viongozi wanachangia kwenye mipira,wanapelekana makazini wenyewe kwa wenyewe maskini hawawaoni wala hawawathamini.mayatima wanapata shida
Achana na viongozi hao hawaelewi njaa za watu je sisi mimi na ww tuwafanyia nini masikini ktk kile kidogo chetu tunachokipata??
Shamsa uko sawa,lakini na hao viongozi wanahusika,kazi kuiba mali za umma.
Tunahitaji namba zao
Inshallah 🙏
Shamba ya wapi hii jamani kwa unguja,
🤲🤲
Tatizo lenu hamtaji maeneo husika hatujui kwa nini
Hii zanzibar sehemu gani please
Mariam,kwa mtazamo hio ni PEMBA
Hii sehem gani
😢😢😢😢
Jamani humu si wanalala na nyoka 😮😮
Usiseme ivyo mwenyezimungu analinda kwani nyoka popote anaingia tuu mungu akipanga 😢😢😢😢
Allah akbar
A,alaykum kwa sisi wenye tasisi za afya tunahitaji kungana nanyi kwenda kuwasaidia wenzetu tutawafikia vipi hizi sehemu
Mnaanza vizuri alafu munaharaibu kwa maswali ya kuwauliza kama mwisho kula nyama ni lini wakati hali zao mnaziona😢
Zanzibar sehemu gani
😭😭😭😭😭😭daaah
Na mutuelekeze hao waislam wetu wnapatikana wapi
Tunaomba mutufahamishe naomba za uhakika za kuchangia
Hi sehemu gani, mi naomba mtoto mmoja wa kulea
Hii sehem gan