HII NDIO SIKU YA HUZUNI KWETU.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024

Комментарии • 44

  • @jamilaothman4119
    @jamilaothman4119 Год назад +2

    Allah atujaalie Rizk za halali In Shaa Allah tuweze kuwasaidia hawa BIN ADAM wenzetu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад +1

    Mtihani yarabi tujaaliye subira waja wKo poleni ndugu zetu mwenyezi mungu yuko pamoja na sisi waja wake

  • @kulthumsaif2856
    @kulthumsaif2856 Год назад +6

    Subhana llah😭😭😭😭

  • @sheikhanasser4714
    @sheikhanasser4714 Год назад +3

    Alhmdelilah kwa kila hali Allah Mkubwa 🤲

  • @muhammadiabassi656
    @muhammadiabassi656 Год назад +1

    اللهم سعدهم يا الله يا رزق أساألك بذلك اللهم آمين آمين آمين آمين

  • @athmanramtu5270
    @athmanramtu5270 Год назад

    Allah Akbar wallah uwezo sina lakini Allah...InshaAllah awahurumie waja wake na atuhurumie sote duniani na kesho Akhera yaa rabbi..

  • @aimanshija4230
    @aimanshija4230 Год назад +2

    Halafu unakuta huku uarabuni wanakula na kumwaga chakula Kila siku Tena unakuta nyama vyakula vizur,,Allah atupe moyo wa huruma kwakweli,,

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Год назад

      Si arabuni tu hata hapa nyumbani tz wapo watu hao tunao na tunawaona...wanafanya israafu

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Год назад +1

      Na tusilaumu watu wengine tujiangalie sisi je tunasaidia nini ktk tunachokipata??

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Год назад +1

    Allah awafanyie wepesi 🤲

  • @selemohd9060
    @selemohd9060 Год назад +3

    Hayo majumba ya makaazi yasijengwe mjini tu. Huko ndio kwa kujenga

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 Год назад

    ASALAM ALLWAAA ATAWAJAALIYA INSH AALLWAAA ILI NA NYINYI MUONEKANE KAMA BINAADAMU WENZENU INSH AALLWAA MSILIYEE NDUGU ZETU WA KIISLAM

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi431 Год назад +1

    Allah awabariki

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 4 месяца назад

    Jamani Viongozi muliko kwenye Madarakani oneni hii hali muna jukumu mbele ya Allah mukumbuke Mutaulizwa na mujibu tawaleni utawala ni jukumu Kubwa Sana mbele ya Allah. Ogooeni siku ya mwisho

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Год назад

    Mtihani kwl

  • @FikiriniFimofa
    @FikiriniFimofa Год назад +4

    😭😭 Allah tupe subra Allha awafanyie wepesi

  • @husna34562
    @husna34562 Год назад

    Subhanallah Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah Astaghfirullah 😢

  • @madinaomar679
    @madinaomar679 Год назад

    duhh , asante mumenikumusha imeniumiza

  • @alakhy1-yi2pn
    @alakhy1-yi2pn 8 месяцев назад

    Asalam aleikum ninaombi naomba mukiweka vidio kama hizi mutuwekee na namba zao please 🙏

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Год назад +1

    Viongozi wanachangia kwenye mipira,wanapelekana makazini wenyewe kwa wenyewe maskini hawawaoni wala hawawathamini.mayatima wanapata shida

    • @shamsahaji6202
      @shamsahaji6202 Год назад

      Achana na viongozi hao hawaelewi njaa za watu je sisi mimi na ww tuwafanyia nini masikini ktk kile kidogo chetu tunachokipata??

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Год назад

      Shamsa uko sawa,lakini na hao viongozi wanahusika,kazi kuiba mali za umma.

  • @alakhy1-yi2pn
    @alakhy1-yi2pn 8 месяцев назад

    Tunahitaji namba zao

  • @onnoj9111
    @onnoj9111 Год назад

    Inshallah 🙏

  • @aimanshija4230
    @aimanshija4230 Год назад

    Shamba ya wapi hii jamani kwa unguja,

  • @Mommy4147
    @Mommy4147 Год назад

    🤲🤲

  • @zawadiabdallahussi2994
    @zawadiabdallahussi2994 Год назад

    Tatizo lenu hamtaji maeneo husika hatujui kwa nini

  • @mariyamgharib940
    @mariyamgharib940 Год назад

    Hii zanzibar sehemu gani please

  • @Youngteo394
    @Youngteo394 Год назад

    Hii sehem gani

  • @zuhurazabiir3769
    @zuhurazabiir3769 Год назад

    😢😢😢😢

  • @prettymasha2430
    @prettymasha2430 Год назад +2

    Jamani humu si wanalala na nyoka 😮😮

    • @neemamzande8547
      @neemamzande8547 Год назад

      Usiseme ivyo mwenyezimungu analinda kwani nyoka popote anaingia tuu mungu akipanga 😢😢😢😢

  • @rashifainaiddyiddy999
    @rashifainaiddyiddy999 Год назад +1

    Allah akbar

  • @MustafahamraniMliwa
    @MustafahamraniMliwa 7 месяцев назад

    A,alaykum kwa sisi wenye tasisi za afya tunahitaji kungana nanyi kwenda kuwasaidia wenzetu tutawafikia vipi hizi sehemu

  • @iddipazi5142
    @iddipazi5142 5 месяцев назад

    Mnaanza vizuri alafu munaharaibu kwa maswali ya kuwauliza kama mwisho kula nyama ni lini wakati hali zao mnaziona😢

  • @alakhy1-yi2pn
    @alakhy1-yi2pn 8 месяцев назад

    Zanzibar sehemu gani

  • @jamilahrashed2642
    @jamilahrashed2642 Год назад

    😭😭😭😭😭😭daaah

  • @MulhatOmar-dx7ry
    @MulhatOmar-dx7ry Год назад

    Na mutuelekeze hao waislam wetu wnapatikana wapi

  • @MulhatOmar-dx7ry
    @MulhatOmar-dx7ry Год назад

    Tunaomba mutufahamishe naomba za uhakika za kuchangia

  • @b2j581
    @b2j581 Год назад

    Hi sehemu gani, mi naomba mtoto mmoja wa kulea

  • @فضيلهحسن-ص9ث
    @فضيلهحسن-ص9ث Год назад

    Hii sehem gan