Simba 2-0 Yanga | Highlights | NBC Premier League 16/04/2023
HTML-код
- Опубликовано: 15 апр 2023
- KARIAKOO DERBY: Magoli mawili kutoka kwa Hennock Inonga na Kibu Denis yameipa Simba ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Yanga katika #KariakooDerby iliyopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
- Спорт
Kama mpk Leo unarudiaa kutazamaa apa gonga like apo ❤❤
😂 yanga da 2 0
Kwel😊
Nyamaza ani nimeitafuta
❤ 0:45
Wanaoangalia 2024 weka like 😂😂😂😂😂
5 /1😂😂
from kampala uganda congratulations simba sc east africa we are happy good ball
Thank brother welcome
Nguvu moja
Wana simba tujuane kwa like
Ally Salim👍🔥
KIBU DENIS KNOWS FOOTBALL VERY WELL.. I LIKE THE WAY HE PLAYS.
This is Simba 🦁🦁🦁watching from Russia
MANARA AKILIA USHINDI WA SIMBA ruclips.net/video/wwdY7L_VxxI/видео.html
Refa kawabeba sana yanga lkn hamna kitu..
Kawapa faul za kutosha na kukataa goli la kibu denis lkn bado tu
Very fantastic performance from simba sc Tanzania 🇹🇿👏
From south Africa kila anayekubaliana na mimi kua chama ndo father team wa simba like hapa ❤maana huyu jamaa akacheze na lewandoski
Chama ni mzuri ila anapozeesha sana mpira
@@hamisihassan6426 kwani mpira kupoa ni kosa?!! Unamjua OZIL ?!
@@hamisihassan6426 Ku powa ndo boli hilo we wawap babu 😂😂
😊
W
Kusisitiza uwepo wa feitoto like hapa ❤
Asanteni sana uongozi wote wa SIMBA mkiongozwa na big boss MO,benchi la ufundi na wachezaji wote💪💪💪#SIMBA nguvu moja
Aiseee huyu kipa wa number 3 wa simba ni noma na nusuuuuuu...
Angekuwa manula tungefungwa hii gem
Hatimae simba wameniskia kumpa nafasi kijana ALLY SALIMU good stopper 🦁🦁🦁
Weeeee goli langu pendwa la kibu dee clifuti kwa simu yangu 🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Leo simba mmejua kutufurahisha wanamsimbaz
Famasialanini,wamelowaa
Leo pengo la fei toto limeonekana
Niko hapa Leo tar 9 /10/2023simbaaaa
hongera myama simba from pemba
Kumbe uwanja wetu ukislide ni fresh tuu 😮
Sasaiv uwanja uko vizur coz nyasi zmenawil sana
Uko sahihi
Umeona ee
Simba sports Club Yes From Sultanate of Oman
Uyo kipa wa Simba anakuja Vizuri sana,,, ivi season ya inonga na mayele tupo episode ya ngapi 😂😂🙌🏻
Inorganic kashamfunikq mbali
Hii merch YANGA hawataisahau.. kibu D.. ni kumbukumbu yake kubwa ambaya hataisahau.. big up KIBU D.. KIBU MKANDAJI
Vile vile, hatuwezi kuisahau mechi ya tarehe 5
Nmekuja kuangalia tena kabla ya tarehe tano😂
Mdaka mishale katumiwa rocket na rasta man adake afe 😂😂😂🙌
Merry Merry hata me huwa nikiwa na hasira nacheki jins kibu and Inonga walivyo wakalisha yanga
Chama ni mmoja tu Africa hii❤❤❤
Simba tamu 💕💕💕💕💕
Leo nilitapili mfungaji wa kwanza atakuwa inonga babaaa naimekuwa vile asante mungu kwa ushindi wako wa leo kututangulia mbele❤ simbaaaa
2023 mpo mnaoangalia?
Ally salimu wewe ni noma na nusus .. keep it up salimu 👊👊🏿
Huyu Kijana asipolewa sifa atafika mbali. Amekuwa kipa wa kwanza TZ kudaka shuti ya mpiga mashuti mahiri wa Yanga (Aziz Ki) pasipo kutema👍👋👋👋
Iludiwe hii dabi maan ♥️♥️♥️
Mimi yanga ila nimemua kuaga kwa sasa mimi simba na mme wangu
Remember the rastaman, this dates back to 2010 south Africa world cup where Siphiwe Tshabalala scored a very similar goal Kibu's one
😂😂kama ulimuona enonga amevuta mshale kwenye upinde 🏹
Kibu tunakuomba utusamee wanasimba
Magoli ya kikatili tumeyazoea sisi hhhh sisi haoo hata haturingi
Acha kabisa bana tumewakanda kisawasawa
Mkandaji amekandwa😂😂
I love simbaa❤❤❤❤
MANARA AKILIA USHINDI WA SIMBA ruclips.net/video/wwdY7L_VxxI/видео.html
Sema simba huyu inonga mmepata beki mwamba kwel mbwa huyu anatawanya sana unavo taka anataka😭😭😭😭😭
Diara angedaka shuti la kibu angekufa leo
Nyie salim anadaka😂😂😂
Nakubal Simba chama langu....mmenifurahisha.
Ali Salim ni lazma awe number moja Simba🎉
Tanzania will be the first country in East Africa to qualify for the world cup finals in the future 😊.
wa kwanza hp sihitaji like wala nn
Acha mbwembwe ww
Samahanini lakini huyu Diarra si wwalisema anadakaga hadi mishale 🤦🏾♀️ samahanini lakini
Na ww unapenda kuwachokoza maguruguru
Nimeomba msamaha jamani
@@rithadonatus8110 mshale wa Kibu ni wa moto.
Hip ni mikuki sio mshale kaka
Hujaona inonga anasema amipiga mshale Hamna Cha mdaka mishale ni anapambwa tu kisa yuko Yanga
Go Simba sc 🦁Tanzania Giants🚶💪like more from UNITED STATES OF AMERICA a Congolese boy🇨🇩FBI POLICE 911
Imba yangu mmejua kunifurahisha hongera Sana Simba ❤❤❤
Kipa huyu wa simba yuko vizuri sana kuliko manulla atakae chukia fresh tu ukwel nshasema%
Kwa simba hii ata audio feitoto yanga anapigwa tu
Pengo lafei limeonekana
Goal la Kibudeeee noma na nusu🔥🔥
Noooma sana kbsa!!!
@@simpungamanzididier3708 🔥🔥
Kidogo mitandao imetulia wangeshinda hao wee
Nikipataga hasira Huwa nazipozea hapa
Ahsante simbaa
Daah leo simba ametupiga aisee daah
Ongereni sana wana nyekundu wana msitu.
Naombeni Serekali na wana chama wa mpira,wasimamie vyema kannada,maana naona wapenda mpira (mchezo huu)wazidi kuongezeka ndani ya ichi na inje ya ichi.
Mwenyezi Mungu bariki Tz bariki Afrika, Amen.
hii.mechi utopolo alipaswa kupigwa 5
Utopolo mwenzangu anayeshindwa kumaliza kutazama game gonga likes🤣🤣🤣🤣🤣
Ila nyiee😂 Simba ikiwa inacheza ivi Kila mech😂🙌
hii yanga au sielewi au utopolo
Niyanga utoporo😂
Mdaka mishale Leo kakutan na mshale wa moto
KIBU DENIS 🙌🙌🙌🙌
Watamkumbuka fey
Ukitaka kujua utafauti wa timu kubwa anngalia kwnye vifungashio tu wakati wachezaji Wanaftari
😂😂😂😂😂
Ee Mungu tujalie tena mchezo mzuuriii kama huu tar 20
Tunajifariji simba tamu bhana
Niiangalia hii mechiii naona simbaaa n boraaaa sanaaaaa na wanaujua vzr sanaaaa mpilaa IL Salim alisev sanaaa simbaaaaa
Alafu morisson kashangilia kimoyo moyo goli la Kibu ona alivyo tabasam 😂
MANARA AKILIA USHINDI WA SIMBA ruclips.net/video/wwdY7L_VxxI/видео.html
Ila morson chiz sana nimemuona alikuwa anacheka😁
simba is goated cant deny
Wawaulize ihef walianzwa wao 2 walijua wamebaatishwa usifanye masiara na simba utaaibika sana utafauti mkubwa upo kipimo kipo kimataifa yanga ipo shirikisho simba ipo clabu bingwa huu ndio utafaut yeyote atae igusa simba atachezea tu
Tarehe 05/11/2023.. James samweli awe second comentor.. KAZI IPO
Ally salmu upo vizur dg mungu yupo nawe endelea kupambana. Kipa nambar 3 wa ssc
Kwel wamekandwa maana so poa walikuwa wanasifa asilimia Mia kuifunga Simba asante Mungu umeskia kilio
Watasimulia pigo walo kutana nalo la kibu & enock
Naipenda Simba from bujumbura du ila hao wakongo nixhoo inonga na mayele Alie wapa dawa hakuwadanganya zamu tu zamu kufunga
Azam muwe mnatuwekea full mechi jaman. Kuna wakati mwingine hizi mechi zinakua tamu mpaka unatamani kurudia kuichek mechi nzima. Hasa zile mechi za CAF
Kwann baraka mpenja atangaz tena jamani tumekumis plz rudi kazini kaka you're the best commentator in Africa rudi kazini kaka
Sisi sio TP mazembe. Tutawaua umekutana na vitimu vibovu huko shirikisho kwanini mmekiambia clabu bingwa Kama nyie utopolo ni wazur
😂😂ile ngao mlipofungwa kwani ilikuaje au ile ni Simba queen
Unaongea hivyo kweli, nakuuliza mazembe ni timu mbovu, yanga na simba wanahistoria gani ya mpira kuishinda mazembe
@@mohammedomary9476 anajisahaulisha tumewasumbua San leo amebahatika anajifany shombo .
Love it
I am wondering if yanga has a keeper trainer, because is not the first time yanga concedes such a corner balls
Hapo ndo utaona tofaut ya championship na losership
Magoli matamu sanaaa❤❤❤
Tumewaacha ty maan tumeona bola tuwabeb maan mko nyuma sanaz
@@SalmaMohamed-rq9wf 🤣🤣🤣so Kwa mdomo ule
Ndoiv ss unafkil nn tumewaonea huluma tyu hamna kity apooooooooooo
Sasa hii Simba mliyoizoea Leo mumeishindwa na Rivers united mutaiweza kweli au itakuwa nje ndani.? 🤣🤣🤣
Mnabahati mngekula saba 🐸🐸🐸🐸
This is the Simba SC we know. There is no Anya club bigger than simba in east africa
Hata turingi jamani🔥🔥🤸♀️🤸♀️🤣
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤simba
Harufu ya ile G4 ilikuwa imetanda kila kona sema kmati za ufundi za utopolo zilivuruga
Ndo naingia Mama enu wa simbaaaaaa ❤❤❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁🦁
Kibuuuu mkandajiiiii😅😅😅😅😅😅😅
😢😢😢😊😅😅😅😅
Hawa Leo wangepigwa nyingi sana
Aly Salim❤️❤️❤️❤️
Hapo Yanga Fei ndio alikua kikwazo kwa Simba
No fey Toto no problem 😂😂😂
Utapigwa mawe kaka😂😂😂
Hii ni polobulem😂😂😂
naiangalia tena leo hatari sana
Singida big star ndo waliwapa utopolo ubingwa.......
Daaah yanga tulifeli sana
Robertnho had anashindwa kuelewa wa kumkumbatia baada ya goli la kibu de.alibaki kidgo amkumbatie Mgunda,kuhamaki hivi akagundua Mgunda ni mtu mwingii 🤔🤔Yan ni mithiri ya Mbuyu.ila yte Kwa yte more congratulations to my team🦁🦁love more SIMBA sc🥰🥰❤️🔥🔥💪
Hiiiiiii simbaaaaaaaaaaaaaa 🦁🦁🦁🦁 itaniua bureeeeeeee😂😂😂😂😂
Simbaaaaaaaaaaaa 🔥🔥
Daaaaa magoli ya Simba yote ya hasira yamekandamizwa mbaya😂😂😂😂😂
MANARA AKILIA USHINDI WA SIMBA ruclips.net/video/wwdY7L_VxxI/видео.html
SIMBA
👏👏👏
Tumewakanda tumewakanda tumewakandaaaaa😂😂😂😂😂😂😂
MANARA AKILIA USHINDI WA SIMBA ruclips.net/video/wwdY7L_VxxI/видео.html
Ngoj niangalie mechi hii kbla ya tar5