Penati | Yanga SC 1-3 Simba SC | Ngao ya Jamii - 13/08/2023
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- Tazama ushujaa wa golikipa wa Simba SC, Ally Salim akidaka penati tatu. Adaka penati ya Khalid Aucho, Pacome na Yao.
Diarra adaka penati ya Saidi Ntibazonkiza
Mungu azidi kumlinda na kumpa ujuzi kilaaa kukicha ally salumu katoro 🤲🏿🤲🏿🤲🏿💯 pia na wachezaji wetu wa Simba nguvu moja 🔥🔥🙏🙏
Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana
Simba Sc ni Taifa kubwa ndani ya Taifa kubwa jingune🦁💪🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
🦁🦁🦁🦁❤️❤️❤️❤️ Asnte simba maua yako Ally Salim 🙌🎉🎉🎉🎉
Yaani tayar iko namba 1 on TRENDING .. simba mnasifa
Hah😂😂😂 na bado
❤❤❤❤❤❤❤❤ Ali salim apewe mauayake liki zakutosha
Hii siku nililia kwa furaha sana😢❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤ nitaipenda Simba mpaka kufa 🎉🎉🎉
Kwakweli
Mimi binafsi
Sina wa kumlaumu❤ ❤
Yanga ilicheza Vizuri Saana
Wanampira mzuri saaana❤n❤❤❤
Ndo ngao kucheza vizuri siyo?
Anadaka mpaka stress zetu za mapenzi 🤣🤣🤣
Wanasimbaaaaaaaa hataharingiiii❤❤❤❤❤❤
Shukran sana, ila bidii zinahitajik
Mimi ni Yanga yaani namanisha utoporo asante simba kwa kutukanda😅
simba sc wananipa raha kumoyo,simba nguvu moja
Ali salimu umejua kutufulaisha. Pambana mdogo wangu.❤❤❤❤❤❤❤
Huyu kipa ni kiboko wa majini
❤❤❤❤❤❤❤❤ unyama mwingi nguvu moja
Huyu ally salim ni Tanzania one unyama mwingi❤
Ali salimu , ulaya inakuita kaka angu tuna kushukulu sana
Love ue simba huu n mwanzo tu thanks God
Hongera simba yangu mm nawe forever❤❤❤😂😂
Mgunda baba yangu nimeshakumis Kwa kweli huyu Mzungu kichefu chefu tu hapo
Simba hatuna kocha anazingua sana
#simbaaa nguv moja🦁🦁💪🏾💪🏾💪🏾
Ushamba
Simba nguvu MOJA❤❤❤
Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote
Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up.
Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.
Tuyafute
😂😅😅
Acha maneno mengi ww
Chukuen ngao bas
Katafute bwana acha kufatilia vya wanaume
Lasana simba I love you simba ❤💪💪💪💪
Simba yangu nakupenda Sana Ila kocha anamasiara Sana tuache utani
Kaz nzur xna simbaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Sawa anawahi kutoka ndo mupige penalt zote kulekule 😂
Kazii nzuri kwa Ally salimu🎉🎉🎉
Uyo ndo Aly Salim
Safi sana ali salimu 🎉
Ali Salim kipa kweli kweli
UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥
Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke
Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi
Simba kama Simba👏👏👏
Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.
Mbona hata dr aliruka kama ali salimu kudaka penalt y saidoo?!
Heeeeeee wakwanza mm leo jamni simba ulaya pasi milioni simba sports club simba nguvu moja
Kawaida sana honestly simba mmeshambuliwa kinomaaa usinitukane lakini
Simba wanaitani kufanya jambo Ili waendelee kuwa salama.
@@rithadonatus8110 si ajabu kwani kombe lilopita yanga walishambuliwa sana then wakashinda ajabu nini apo
Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....
Hii sio sawa kipa anatoka kabla sio sawa marefa hawaoni au kusudi
Kweli kuna miluko miwili anaifanya hapo
Cheki penalty aloidaka Diara hazina tofauti
I love you simba
Hii siku nililia Kwa furaha
Pamoja❤❤❤
Eeh
Nilichokigundua hapa yanga walichokikosea nikudaka penati ya saido alisoma dua hapa😅😅
😊
Hata me nililala Kwa furaha San
🔥🔥❤❤❤🦁💪1🌹🌹🌹🌹🌹🌹Ally salim🔥
TUNAOMBA MGUNDA APEWE TEAM YAKE
Mgunda wenu alitukoshesha ubingwa sale kibao
Vyuraaaaaaaaaaaa fc 😅😅😅🤣🤣🤣, big up Ally 💪😍
Ally salim❤
Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli
Na simba imebebw
Kocha sio level ya Simba,Tumeshinda lkn tumecheza mpira m'bov sana,iv kwa kiwango icho tutatoboa club bingwa
we yanga nn??
@@Mbarakamkopi-jc1kkkwani uhongo
@@Mbarakamkopi-jc1kk kasema ukweli subir mechi zijazo utasadiki anachokisema mpira wa hovyo san
Katoro anatoroka sana b4 mpigaji wa penati hasa ile ya pacomee
Nikiimiss simb nkuj apa❤❤❤
Simba tunaomba mumwangalie kocha kwa jicho la tatu na amini na uwongoz mzr sana watazingatia😊
Simba waooooooooooooooo
Ila hawa wapiga penat wa yanga kwakweli hawajatumia akili ila wamepiga tu ilimladi . Penat nzuri niliyoipenda ni hiyo aliyopiga mzamilu
Bocco awe anakataa kucheza jamani awe mshauri wa timu kocha hovyo kabisa viongozi muwe makini
Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale
❤❤❤ Alliy mungu azid kukupa mwanga
We are simba
Dah simba tamu wazeee
Jamani maua yake kwa ali salm
Dogo Penalt zote alizotoa katoka kabla ya mpira kupigwa🤣
Kwaiyo zizudiwe au vp 😂😂 Poa mechi ya marudiano keshokutwa
Umeona enh
Ndio imekula kwenu hivyo
Asante sana kwa kujua sheria
Waliferi kuangaliaaaa
Sema Phiri alinishangaza 🤣🤣🤣
Hata mimi ningepaisha, haiwezekani nitumike kwenye penalties tuuu
@@signecha_😂😂😂😂😂😂
mbona kipa wa simba anatoka kwenye line wakati inatakiwa hata mguu 1 ubaki ndani. zote alizodaka ni za kurudiwa
Ametoka Sanaa Tenaa
Mavi
😅😅😅😅 hukosi kisingizioo
Haya zirudiwe basi , madako yako
Hahaha sawa madako na ww sio unayo madako so hatuchekani
Simb rah Sanaa❤️❤️❤️❤️
Chama langu miaka Mia ata iwejeeee🎉🎉🎉🎉❤
Ali salim❤❤❤❤
("Boli itembeeee")
Wapi mgundaaa come back.
Aliye Kula Kala 😂😂😂 Utopolo vip pale 😂😂😂 inauma eeh🤪🤪🤪
Ramadhani ngoda🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥
Jamani Yani Kwa Raha waliyonipa Simba Leo hata Dem sitaki
Hakun raha yoyote kwa hali hii tabu naiona mbele tuendako
Hatuna marefa asee!! Huyu sindo alifeli mitihani CAF? anashindwa kutafsiri sheria? Kipa anatoka miguu yote kabla ya mpigaji kupiga
Nenda katfusr ww unae jua
Penda xana simba
anadaka mpaka upepo
Boko ametukost sana hongera kwa kipa kutusave otherwise tulizidiwa game
Mnakariri sana. Boko kafanya nn
Sibishanagi na mishabiki maandazi
Kweli bwana
HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥
Hamna kocha hapo
We nae kocha hamna tuna mpira gani sasa wakutisha kwa sasa timu inacheza ovyo tu
Kwa hiyo mpira una dunda tu kwa simba?? Mbona yanga wamecheza mpira mzuri na haudundi kwa hiyo fact yako ya uwanja!!😂😂
@@medyaziz4806 😂😂😂
Ally Salim wanasimba tunaxhukur xan kwa mchango wako
Eya Tanzania uy Ali salim kator
Asant San Ali salim
Kwakweli tunamshukuru sana amevusha salama
Mnyama
Kwa kweli mgunda arudi tu kwa kocha huyu hatufiki popote club bingwa, anatuchanganya tu
Simba ni dude kuuuuuuubwaaaa 🦁🦁🦁🦁😂😊😁🙂😀
Napenda sana stail ya kushangilia ya diara
Vzr kipa ila coach anakazi ngumu kwenye kiungo pale kati tunayumba sana
Hongera mnyama
Oyoooo
Kumbe kipa wa kolo Alikuwa anatoka kabla ya mpira kupigwa......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mgunda arudishwe katika baraza la ufundi
Bigup Sana kaka Ally Salim
Kwa hiyo kiwango cha yanga ni sawa na singida
Simba nguvu moja
Huyu kocha amshukuru salim
Kocha hatumtakiiiiiiiii,bora tubaki na Mgunda yuleyule.
❤❤❤ simba nguvu moja
Leo ndio simba
🎉we are unstoppable
Simba ili tuchukue makombe ya ligi tunazoshiriki lazima tumtimue Huyu mzungu sio kocha Ni sharti la mtumba kutoka Brazil Bora arudi mgunda Mara Mia na sio Huyu gasho was kizungu
Wewe utakua unajua mpira hao wengine waache warukeruke majibu watayapata mzunguko wa kwanza tu
Kiazi hakuna kitu unajua
Acha uchoko umemuajiri wewe pale au , kaajiliwa na MO SIMBA 🔥
Ndugu zangu, Kocha hamna pale.
ondoka ww
Honestly huyu kocha wa simba ni hanithi samahani sana wanasimba huu si kocha kabisa nawaambia mpuuzi huyu .. kudos to Ally salimu
Kwanini?
Na wewe ni nani sasa😢
Na we ni shoga
@@emmanuelmichael4508 sawa Mimi Nina k ..
Yes... Na hafiki mbali...... Hamna kitu hapa...
Mujitaid kuwah kuweka haya mambo pale mpila unapoisha
Mimi ni Simba but yuhu kocha wa Simba ni sawa na mavi ya chooni iv walienda uturuki kucha mavi au kufanya mazoez
Tuliwaambia huyu kocha sio kitu watu wakabsha, hivi kocha gani anaomba asijiliwe wachezaji lakn hata kufanya substitution anashindwa
Simba Robertino should be careful he is failing to arrange best combination what is bocco doing in the field we don't need him again let him be adviser of the club not the player for tough game.
Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.
😅😅 kafute magoli
Maneno mengi af huelewek unasema nn
Kwann huyu kocha kama anmyogopa sana saido na bocck
Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌
Bado mapema
Hapana kocha kapanga tu ila pia uchezaj wa wachezaj binafs hawajajituma San kam wa yanga
Huna furaha wewe