Penati | Yanga SC 1-3 Simba SC | Ngao ya Jamii - 13/08/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • Tazama ushujaa wa golikipa wa Simba SC, Ally Salim akidaka penati tatu. Adaka penati ya Khalid Aucho, Pacome na Yao.
    Diarra adaka penati ya Saidi Ntibazonkiza

Комментарии • 641

  • @singidaprincetz1883
    @singidaprincetz1883 Год назад +6

    Mungu azidi kumlinda na kumpa ujuzi kilaaa kukicha ally salumu katoro 🤲🏿🤲🏿🤲🏿💯 pia na wachezaji wetu wa Simba nguvu moja 🔥🔥🙏🙏

  • @protaspeter5371
    @protaspeter5371 Год назад +11

    Alieona baada ya onana kufunga penat yake alitud na kumwambia baleke asijifikirie Sana mpaka kipa ajipange kamwambia akifika chagua angle we piga tu na kweli baleke hakujifikiria sana

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Год назад +4

    Simba Sc ni Taifa kubwa ndani ya Taifa kubwa jingune🦁💪🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Год назад +3

    🦁🦁🦁🦁❤️❤️❤️❤️ Asnte simba maua yako Ally Salim 🙌🎉🎉🎉🎉

  • @Nufaila442
    @Nufaila442 Год назад +2

    Yaani tayar iko namba 1 on TRENDING .. simba mnasifa

  • @Shemu199
    @Shemu199 Год назад +5

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ Ali salim apewe mauayake liki zakutosha

  • @beatricesway5782
    @beatricesway5782 10 месяцев назад +2

    Hii siku nililia kwa furaha sana😢❤❤❤❤❤

  • @CoradaAndrea-vf9kd
    @CoradaAndrea-vf9kd Год назад +1

    ❤❤❤❤❤ nitaipenda Simba mpaka kufa 🎉🎉🎉

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад +2

    Kwakweli
    Mimi binafsi
    Sina wa kumlaumu❤ ❤
    Yanga ilicheza Vizuri Saana
    Wanampira mzuri saaana❤n❤❤❤

  • @Emiliana97
    @Emiliana97 Год назад +5

    Anadaka mpaka stress zetu za mapenzi 🤣🤣🤣

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Год назад +3

    Wanasimbaaaaaaaa hataharingiiii❤❤❤❤❤❤

  • @hamisisalumu5388
    @hamisisalumu5388 Год назад +2

    Shukran sana, ila bidii zinahitajik

  • @amosemmanuel3528
    @amosemmanuel3528 Год назад +4

    Mimi ni Yanga yaani namanisha utoporo asante simba kwa kutukanda😅

  • @theobaldngobya7740
    @theobaldngobya7740 Год назад +4

    simba sc wananipa raha kumoyo,simba nguvu moja

  • @StelaAsukilekilalakherisimba
    @StelaAsukilekilalakherisimba Год назад +2

    Ali salimu umejua kutufulaisha. Pambana mdogo wangu.❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-fh8kn8ll3r
    @user-fh8kn8ll3r Год назад +3

    ❤❤❤❤❤❤❤❤ unyama mwingi nguvu moja

  • @Kevin_davi
    @Kevin_davi Год назад +3

    Huyu ally salim ni Tanzania one unyama mwingi❤

  • @yasintakahamba1320
    @yasintakahamba1320 Год назад +5

    Ali salimu , ulaya inakuita kaka angu tuna kushukulu sana

  • @johnmogha4842
    @johnmogha4842 Год назад +1

    Love ue simba huu n mwanzo tu thanks God

  • @CeciliaIssa-wv1rg
    @CeciliaIssa-wv1rg Год назад +2

    Hongera simba yangu mm nawe forever❤❤❤😂😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +4

    Mgunda baba yangu nimeshakumis Kwa kweli huyu Mzungu kichefu chefu tu hapo

  • @user-vu9gr8ml3q
    @user-vu9gr8ml3q Год назад +2

    Simba hatuna kocha anazingua sana

  • @vumiliarichard9347
    @vumiliarichard9347 Год назад +2

    #simbaaa nguv moja🦁🦁💪🏾💪🏾💪🏾

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary1362 Год назад +3

    Simba nguvu MOJA❤❤❤

  • @user-un2yr6zh1i
    @user-un2yr6zh1i Год назад +4

    Golikipa wa simba sio professional....penati zote ameanza kuruka yaani ametoka nje ya mstari kabla mchezaji hajapiga. sio ushindi mzuri huo. Golikipa kaiba zote
    Na Golikipa wa yanga hongera sana very professional. big up.
    Simba waende wamfunze golikipa wao na pia refa alioko mstarini kule hajielewi na hajui.

  • @omarymuya142
    @omarymuya142 Год назад +1

    Lasana simba I love you simba ❤💪💪💪💪

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 Год назад +3

    Simba yangu nakupenda Sana Ila kocha anamasiara Sana tuache utani

  • @SonieSaid-wy5uo
    @SonieSaid-wy5uo Год назад +1

    Kaz nzur xna simbaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @godfreyfussy8360
    @godfreyfussy8360 Год назад +4

    Sawa anawahi kutoka ndo mupige penalt zote kulekule 😂

  • @allydaruweshi3417
    @allydaruweshi3417 Год назад +1

    Kazii nzuri kwa Ally salimu🎉🎉🎉

  • @user-tl4vz4gn5f
    @user-tl4vz4gn5f 8 месяцев назад +2

    Uyo ndo Aly Salim

  • @user-pu3iz8oj2f
    @user-pu3iz8oj2f Год назад +2

    Safi sana ali salimu 🎉

  • @user-zg8df9zn3e
    @user-zg8df9zn3e Год назад +3

    Ali Salim kipa kweli kweli

  • @Phat-23
    @Phat-23 Год назад +5

    UWANJA WA MIKOANI SIMBA HATUWEZI KWASAB HAIKO STABLE, SIMBA MPIRA WA PASI WA CHINI NDO TUNACHEZA SAS MKOANI UWANJA MPIRA UNADUNDA SANA TATZO UWANJA SIO KOCHA , SIMBA 🔥

    • @ABELVILTV
      @ABELVILTV Год назад

      Sababu ya kiwanja sahihi na kocha ni sahihi.. Kocha hawezi kupanga wachezaji na kufanya mabadiliko mapema pia hawezi... Inaonekana wazi kocha anampango wa kuprove baadhi ya wachezaji hawafai kwa kulazimisha kwanini chama asimpange na onana + phiri/ baleke

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Год назад +1

      Miii nakataa tatizo lipo kwa kocha wetu wa simba hawezi kumiliki mpira ndomana tumezidiwa umiliki wa mpira na yanga yeye anajua kushambulia kwa kasi tu lakini kukaba na kukaa na mpira hawezi

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 Год назад +1

    Simba kama Simba👏👏👏

  • @omarmussa3482
    @omarmussa3482 Год назад +2

    Yaan mashabiki bana, hebu tuacheni mpira wa kizamani kama mnafikiri mnaweza kuwa makocha hebu muuvae huo uhusika kocha amefanya anachoona yeye kwake ni sahihi na sio nyinyi wa kumuelekeza, mchezo tumeshinda tuendelee kuipa moyo timu ili waweze kuchukua makombe zaidi na siyo kumponda kocha.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Год назад +5

    Mbona hata dr aliruka kama ali salimu kudaka penalt y saidoo?!

  • @khairatkhamis5845
    @khairatkhamis5845 Год назад +2

    Heeeeeee wakwanza mm leo jamni simba ulaya pasi milioni simba sports club simba nguvu moja

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 Год назад +1

      Kawaida sana honestly simba mmeshambuliwa kinomaaa usinitukane lakini

    • @liboriusbabile1197
      @liboriusbabile1197 Год назад

      Simba wanaitani kufanya jambo Ili waendelee kuwa salama.

    • @ProvinaMwailaph-en7bd
      @ProvinaMwailaph-en7bd Год назад

      @@rithadonatus8110 si ajabu kwani kombe lilopita yanga walishambuliwa sana then wakashinda ajabu nini apo

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv Год назад

      Tuwe wakweli Hamna kitu.... Timu nyepesi saaana... Yanga wameenea kila eneo leo.... Penalty kawaida haina ufundi.... Tusitegemee kwenda kwa Penalty huko mbele kuzito.... Timu nyepesi kocha mwepesi jamani tusitiane ndimu.... Musitukane lakini huu ndo ukweli na kila mmoja wetu anajua hata ukitukana....

  • @herijuma2717
    @herijuma2717 Год назад +4

    Hii sio sawa kipa anatoka kabla sio sawa marefa hawaoni au kusudi

  • @PrivaTesha
    @PrivaTesha Год назад +1

    I love you simba

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Год назад +20

    Hii siku nililia Kwa furaha

  • @terrybenjamini1368
    @terrybenjamini1368 Год назад +1

    🔥🔥❤❤❤🦁💪1🌹🌹🌹🌹🌹🌹Ally salim🔥

  • @franccoz94
    @franccoz94 Год назад +5

    TUNAOMBA MGUNDA APEWE TEAM YAKE

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Год назад

      Mgunda wenu alitukoshesha ubingwa sale kibao

  • @CeciliaTimotheo
    @CeciliaTimotheo 3 месяца назад +1

    Vyuraaaaaaaaaaaa fc 😅😅😅🤣🤣🤣, big up Ally 💪😍

  • @suzansherali2938
    @suzansherali2938 Год назад +1

    Ally salim❤

  • @evancefocus9215
    @evancefocus9215 Год назад +4

    Tumeshinda lakini kocha sijamuelewa na BAdo simuelewi mgunda apewe timu haraka sana mbeleni tutaaaibika,phiri anaingia KWA ajili ya penati tu hii imeniuma sana kiukweli

  • @kishimbaboy5403
    @kishimbaboy5403 Год назад +3

    Kocha sio level ya Simba,Tumeshinda lkn tumecheza mpira m'bov sana,iv kwa kiwango icho tutatoboa club bingwa

  • @adreagochrizo5918
    @adreagochrizo5918 10 месяцев назад +1

    Katoro anatoroka sana b4 mpigaji wa penati hasa ile ya pacomee

  • @aminaabdalla-uo9zq
    @aminaabdalla-uo9zq Месяц назад +1

    Nikiimiss simb nkuj apa❤❤❤

  • @famaomosessozi-wp6ju
    @famaomosessozi-wp6ju Год назад +1

    Simba tunaomba mumwangalie kocha kwa jicho la tatu na amini na uwongoz mzr sana watazingatia😊

  • @user-tl4vz4gn5f
    @user-tl4vz4gn5f 8 месяцев назад

    Simba waooooooooooooooo

  • @FranceChihongo-qu5nn
    @FranceChihongo-qu5nn Год назад +4

    Ila hawa wapiga penat wa yanga kwakweli hawajatumia akili ila wamepiga tu ilimladi . Penat nzuri niliyoipenda ni hiyo aliyopiga mzamilu

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Год назад +3

    Bocco awe anakataa kucheza jamani awe mshauri wa timu kocha hovyo kabisa viongozi muwe makini

  • @AljuhaniAllyy-dg4ld
    @AljuhaniAllyy-dg4ld Год назад +2

    Saido siku zote penati zake ni za kushikilia roho Sana kuna mtu juzi na singida kabla hajacheza nilimwambia saidoo hana ujuzi wa penati ipo siku atawaferisha baada ya kupiga tu yule jamaa alikubali maneno yangu yani penati zake zote zinafuatwa na kipa almanisura tu sasa na Leo aliko atakubali maneno yangu na pili simba hamna kocha pale

  • @mdsaid1527
    @mdsaid1527 Год назад +2

    ❤❤❤ Alliy mungu azid kukupa mwanga

  • @hottie3621
    @hottie3621 Год назад +1

    We are simba

  • @DaudiElisha-wj8qt
    @DaudiElisha-wj8qt 3 месяца назад +1

    Dah simba tamu wazeee

  • @neemacharles9848
    @neemacharles9848 Год назад +4

    Jamani maua yake kwa ali salm

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 Год назад +7

    Dogo Penalt zote alizotoa katoka kabla ya mpira kupigwa🤣

  • @frederickpatrick5966
    @frederickpatrick5966 Год назад +4

    Sema Phiri alinishangaza 🤣🤣🤣

    • @signecha_
      @signecha_ Год назад

      Hata mimi ningepaisha, haiwezekani nitumike kwenye penalties tuuu

    • @samuelmwangu3301
      @samuelmwangu3301 Год назад

      @@signecha_😂😂😂😂😂😂

  • @zafarmohamed9413
    @zafarmohamed9413 Год назад +5

    mbona kipa wa simba anatoka kwenye line wakati inatakiwa hata mguu 1 ubaki ndani. zote alizodaka ni za kurudiwa

  • @HalimaJuma-hm2jn
    @HalimaJuma-hm2jn 11 месяцев назад +1

    Simb rah Sanaa❤️❤️❤️❤️

  • @nururajabu3450
    @nururajabu3450 Год назад +3

    Chama langu miaka Mia ata iwejeeee🎉🎉🎉🎉❤

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 5 месяцев назад

    Ali salim❤❤❤❤

  • @michaelyona2479
    @michaelyona2479 Год назад +3

    ("Boli itembeeee")
    Wapi mgundaaa come back.

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Год назад +3

    Aliye Kula Kala 😂😂😂 Utopolo vip pale 😂😂😂 inauma eeh🤪🤪🤪

  • @bakarihassani-ss3qx
    @bakarihassani-ss3qx Год назад

    Ramadhani ngoda🌹🌹🌹🌹🔥🔥🔥🔥

  • @RAYMONDKORNEL-gb8ty
    @RAYMONDKORNEL-gb8ty Год назад +3

    Jamani Yani Kwa Raha waliyonipa Simba Leo hata Dem sitaki

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Год назад

      Hakun raha yoyote kwa hali hii tabu naiona mbele tuendako

  • @TumainielKitundu
    @TumainielKitundu Год назад +5

    Hatuna marefa asee!! Huyu sindo alifeli mitihani CAF? anashindwa kutafsiri sheria? Kipa anatoka miguu yote kabla ya mpigaji kupiga

  • @Mwajumamarko-fy8ry
    @Mwajumamarko-fy8ry Год назад +3

    Penda xana simba

  • @AllyMsimbe
    @AllyMsimbe Год назад +3

    anadaka mpaka upepo

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw Год назад +3

    Boko ametukost sana hongera kwa kipa kutusave otherwise tulizidiwa game

  • @Phat-23
    @Phat-23 Год назад +4

    HAPO ANAESEMA KOCHA HAFAI NA YULE ANAESEMA SIMBA MBOVU WOTE WALEMAVU WA AKILI AMBAO HAWAJUI MPIRA WASHAZOEA KUSHANGILIA LEDE , SIMBA INACHEZA MPIRA WA PASI WA CHINI SAS UTASKIA CHOKO MMOJA AMBAE HAJUI MPIRA ANABWABWAJA 2 UWANJA MPIRA UNADUNDA HAUTULII CHINI KABISA MASHABIKI JIELEWENI BASI KHAAAA , SIMBA 🔥

    • @WilliamElisa-xt7nx
      @WilliamElisa-xt7nx Год назад

      Hamna kocha hapo

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 Год назад

      We nae kocha hamna tuna mpira gani sasa wakutisha kwa sasa timu inacheza ovyo tu

    • @medyaziz4806
      @medyaziz4806 Год назад

      Kwa hiyo mpira una dunda tu kwa simba?? Mbona yanga wamecheza mpira mzuri na haudundi kwa hiyo fact yako ya uwanja!!😂😂

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 Год назад

      @@medyaziz4806 😂😂😂

  • @user-nf9bo2lm7v
    @user-nf9bo2lm7v Год назад +24

    Ally Salim wanasimba tunaxhukur xan kwa mchango wako

  • @omaryhamza6008
    @omaryhamza6008 Год назад +3

    Mnyama

  • @subiraaddo864
    @subiraaddo864 Год назад +2

    Kwa kweli mgunda arudi tu kwa kocha huyu hatufiki popote club bingwa, anatuchanganya tu

  • @amosnnko7792
    @amosnnko7792 Год назад

    Simba ni dude kuuuuuuubwaaaa 🦁🦁🦁🦁😂😊😁🙂😀

  • @jordanmathayo799
    @jordanmathayo799 10 месяцев назад

    Napenda sana stail ya kushangilia ya diara

  • @shehanimzee9953
    @shehanimzee9953 Год назад +2

    Vzr kipa ila coach anakazi ngumu kwenye kiungo pale kati tunayumba sana

  • @KhadijahAlly-jz7rl
    @KhadijahAlly-jz7rl Год назад +1

    Hongera mnyama

  • @user-ww3zy1kx2w
    @user-ww3zy1kx2w Год назад +1

    Oyoooo

  • @samwellaizer859
    @samwellaizer859 Год назад +3

    Kumbe kipa wa kolo Alikuwa anatoka kabla ya mpira kupigwa......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ibrahimalharthi4599
    @ibrahimalharthi4599 Год назад +3

    Mgunda arudishwe katika baraza la ufundi

  • @Shijalukwaja
    @Shijalukwaja Год назад +1

    Bigup Sana kaka Ally Salim

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Год назад +2

    Kwa hiyo kiwango cha yanga ni sawa na singida

  • @reymondymwapule8514
    @reymondymwapule8514 Год назад +1

    Simba nguvu moja

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Год назад +2

    Huyu kocha amshukuru salim

  • @azizanzori4931
    @azizanzori4931 Год назад +2

    Kocha hatumtakiiiiiiiii,bora tubaki na Mgunda yuleyule.

  • @user-wv4hz4vj7m
    @user-wv4hz4vj7m 7 месяцев назад

    ❤❤❤ simba nguvu moja

  • @Washya13Mwembe-vh4mk
    @Washya13Mwembe-vh4mk Год назад +2

    Leo ndio simba

  • @user-wf3wh4jp6k
    @user-wf3wh4jp6k Год назад

    🎉we are unstoppable

  • @anoldyshabani
    @anoldyshabani Год назад +62

    Simba ili tuchukue makombe ya ligi tunazoshiriki lazima tumtimue Huyu mzungu sio kocha Ni sharti la mtumba kutoka Brazil Bora arudi mgunda Mara Mia na sio Huyu gasho was kizungu

    • @mtumishimathias7762
      @mtumishimathias7762 Год назад +7

      Wewe utakua unajua mpira hao wengine waache warukeruke majibu watayapata mzunguko wa kwanza tu

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Год назад +2

      Kiazi hakuna kitu unajua

    • @Phat-23
      @Phat-23 Год назад +6

      Acha uchoko umemuajiri wewe pale au , kaajiliwa na MO SIMBA 🔥

    • @bornagain3181
      @bornagain3181 Год назад +6

      Ndugu zangu, Kocha hamna pale.

    • @joasyeliya2481
      @joasyeliya2481 Год назад +3

      ondoka ww

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Год назад +5

    Honestly huyu kocha wa simba ni hanithi samahani sana wanasimba huu si kocha kabisa nawaambia mpuuzi huyu .. kudos to Ally salimu

  • @user-oo4um1qi8z
    @user-oo4um1qi8z Год назад +2

    Mujitaid kuwah kuweka haya mambo pale mpila unapoisha

  • @sanjidambundamila-md4gy
    @sanjidambundamila-md4gy Год назад +2

    Mimi ni Simba but yuhu kocha wa Simba ni sawa na mavi ya chooni iv walienda uturuki kucha mavi au kufanya mazoez

  • @moodykassim4029
    @moodykassim4029 Год назад +2

    Tuliwaambia huyu kocha sio kitu watu wakabsha, hivi kocha gani anaomba asijiliwe wachezaji lakn hata kufanya substitution anashindwa

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Год назад +1

    Simba Robertino should be careful he is failing to arrange best combination what is bocco doing in the field we don't need him again let him be adviser of the club not the player for tough game.

  • @husnmjuba4978
    @husnmjuba4978 Год назад +2

    Huyu refa kashidwa kuona kwamba Kipa Ali Salim Anadakia mbele ya mstari wa goli. Marefa wa namna hii hawakubaliki. Alf si wanaligi yao, huyu wamrudishe akawabebage wenzie huyu Queens.

  • @sanjidambundamila-md4gy
    @sanjidambundamila-md4gy Год назад +2

    Kwann huyu kocha kama anmyogopa sana saido na bocck

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Год назад +2

    Tunashukuru tumeshinda ila Hatuna Furaha na Ushindi kwamaana Hatukutegemea Kama Team yetu itacheza Vibaya Vile Kwa wachezaji tulionao hatukupaswa kucheza Mpira Mbovu vile Kukosa jitihada binafsi za wacheza Moja moja kama Malone, Mzamiru na Ally Salim Sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine COACH HATUMTAKI SIMBA IMESHA KUWA LIDUDE LIKUBWA COACH ROBERTINHO HAIWEZI.📌