Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.
Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa
Asanteni sana sana mno vjn wetu. Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam. Daima mbele nyuma mwiko. Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo
Shabiki sugu wa Yanga Fc kutoka 🇰🇪 Kenya, tafadhali nipeni like
🎉🎉
Naombeni like 5 kwa Yanga 🖐
Waambieni simba walale uvunguni
❤❤❤❤❤ Ilove You Yanga
❤
Mimi ni yangaaa
😢😮😅😅
Ukuta wa Jericoh umevunjwa rasmi...Young yetu pokea 💐yako kutoka 🇷🇼
Leo Mzize amepiga kazi haswa😅👍🔥
Young africa best team in africa right now
AL AHLY🤫
Yanga ih ilivo kua ya Moto🔥🔥🔥
Ninamuita BBS "Big Brain Striker" Walid Clement Mzize unaweza kumuita Drogba wa Bongo
Mzize nampa maua yake kanibadilishia matokeo,drogba wa bongo au Lukaku na wachezaji wote kwa ujumla big up,tuwakilishieni nembo ya watoto wa jangwani,GSM mwendo huo huo mpaka waisome namba ,love yanga daima mbele nyuma kwetu mwiko.
Daresallam Young African 💚💛🖤🔑🗝️
Put some respect to pacoume zizzou mwamba ni hatari
Mzize akiendelea na umakini huo namuona mbali big up kocha kuwaingiza kwenye mfumo😂😂😂😂😂..
Tunawakubali sana wachezaji wetu ❤❤ nasubiri Hidden Camera
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi bila kuwasahau viongozi na sisi mashabiki wallah tumefurahi sanaa
Hongera yanga..bao ya nne walicheza utamu..sisi ndo yanga
hongera sana Dar young Africans ,Fans,Bench la ufundi,Rais na Management nzima ya Club ,Kongoleee
Watchint all the way from South Africa ❤❤
✋Hi five To All Yangs African Fans 🎉🎉Am so happy wallah 💚💛Waliamini Mvuaaa😂😂
Ahsanten sana Jana mmekonga nyoyo zetu na mmekata ngebe za mtani, Magnificent, Excellent 👌
akha i had a lot of stresses but after reviewing that match i felt stronger
Mmenifurahisha toka machakos kenya..
Hongera sana mwananchi mwenzangu 💚💛💛💛💛💛
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️⚽🔝💛💚👊💥5G Hii imeeenda
Hata HUKU nilipo mvua kali Lakini Mnara unasoma vizuri tuuuu.... FULL 5G 📶......Vijino vyote......
Hii tunaita UNDER-MBWA...😊
Yanga ❤❤❤❤❤❤❤
Refa kawasaidia Sana Ile penati Yule beki WA Simba alitakiwa ale redcard😂😂😂😂😂
Bora aliwaacha ili tuwapige nyingi pacpo kicngzyo cha Redcard
WANANCHIII NIPENI KOMENT 5✋🏻✋🏻✋🏻😁😁 HAPAA
💛💛💛💛💛💛💛💛
Naombeni salamu tano🖐
TABULELE LAHHHHH 💛💚🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tabu leleeeeeee Laaaaaaaah🖐️5G🖐🏼💚💛💐💐💐
Nilijipata nikiwa fan wa Yanga FC from 2017
Tabulele laaaah💚💛💚💛💚hii sio raha ila ni zaidi ya furaha jmm wananchi ni mwendo wa kutabasamu😊😊😊😊😊😊
Mzize namuona mbali saaan jmn,hongera kwa kujirekebishaaaa
Hongereni wananchi, hongereni wachezaji, hongereni uongozi kwa kuwaadhibu hawa mandunduka. Mmewapelekea aibu ya mwaka.
Nipe tano zangu nitembeee zangu👊👊👊👊👊👊👊👊
Tumempiga Mtu Tano Alafu Kumbe Ni Tarehe 5 😂😂😂
Simba mfumo wa mvua umewachanganya 😂😂😂😂😂
Hongera kwa wachezaji wetu na benchi la ufundi pamoja na viongozi Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔥🔥🔥🔥
Amen.
Pamoja sana💪💪💪
Tumewanyanyasa sana hao mbwa walitamba sana hii week😅
Wachezaji wetu,kazi nzuri saaana.Ahsante Mungu.🙏🙏🙏🙏.
YANGA bingwa tena 🔰💥💥💥
Yanga tumejua kusajili tupewe maua yetu👌👌😉
Yanga💛💚🔰💛💚
7:00 😂😂😂😂 Mohamed Hussein
Muandishi acha mbwembwe simba tumepata lakufutia machozi sio 5-0 kama ulivyoandika😁 lkn hongera sana kwa ushindi mliopata🎉
Yanga❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pamoja sana hakika mmenipa Raha sana siku ya leo
Hongera wachezaji wetu na benchi la ufundi hakika kazi mmeifanya
Hongereni sana mmeupiga mwingi sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️💐💐💐💐💐🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
Na Leo katika siku alizocheza mzize Leo ndio amecheza alikuwa na utulivu sometime usilazimishe kufunga wewe ata pasi inatosha Leo kacheza vizuri sanaaaaaaaaaaaa
Yanga baba lao 💚💛💚💛💚
Like zangu Kwa yanga
Hii yanga itaniuwa 😂😂😂you
yanga tamuuu💚💛
Asanteni sana sana mno vjn wetu.
Nimeelemewa,yaaani nakosa neno zuri la kuwapongeza.Niseme tu burdan mrabata.Mlikuwa vzr idara zote,asikwambie mtu kweli Yanga tam.
Daima mbele nyuma mwiko.
Wenye husda na husda zao,kina nani ??,c hao madunduka/makolokolo
Yanga tamu
🦁🦁🦁🦁 0 - 5 au 1 - 5 msitunyime ata la kufutia machozi😭
Safi rqha sanaa 😂🎉🎉
Love yanga
Tulio rudia kuangalia Zaid ya mara Moja tujuane kwa like hapa za kutosha
Nilikuwa nina stress leo lakini baada ya kujikumbushia haya magoli ya timu yangu, stress zimeisha.....Yanga Afrika for life💚💚💚
Ynga tamu ❤❤❤
Alhamdullah
Nipeni like zangu shabiki damdam walisema atufikibmbali apa niwapi❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yangaaaaaaa
Ahsante Mungu,ahsante Yanga
Simba 1__5 yanga admini umeteleza Apo kwenye ubao. ....ni tano moja
Itabaki kwenye kumbukumbu kwao
💥💥💥💥💥💥💥💥💛💚🖤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.👊👊👊👊👊👊 Yanga daima mbele nyuma mwiko hahahahaaaaaaaa had watakubali huu mwaka
💚💫
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👋
Allaah Akbar
Ahsanteni wanainchi birthday yangu imefana sana
1-5 yanga mbele nyuma mwiko
💛💚🖐
mshike uyooo HATOKI MTU
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🔥🔥🔥
Oyaaaaa weeeeeee👋😊
Watambue Simba jamii ya Paka kuwà uchawi hauvuki maji
Ukisikia timu kubwa ni yangasc💚💚💛💛
Hiiii yanga top top🔰🔰🔰💚
Rekebishen tattle Simba watani wetu walishinda Moja tuwape haki yao
Best team
❤❤❤❤❤
🇰🇪 yanga mpaka the end 👋
💚💛💚💛💚💛💚💚💚💛💚TABULELE LAAAAAAAAAH
Love you Aziz key 🔐
Thanks dar young african
Alaaaah
Shabalala we believe nisikilizen sahabalala so beki
Walipata gori moja ndugu mwandishi😂😂tuMnyonge ,Haki yake tumpe.
Simba wanachekesha kweli😂😂😂ruclips.net/video/sd9Vjjb64qM/видео.htmlsi=wNZNKYz8xGSqDhN9
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mbona limeonyeshwa kwenye video
@@radhiamussa1629kaandika 5-0❗
Yaani Kibu akatufunga mdomo akaona wamemaliza mchezo, kilichowakuta sasa hawatokaa wasahau
Nimeirudia rudia kuangalia hii highlights mpaka leo mwaka 2075
🎉
Yaad this is young africans
Tabulele lahaaaaaa
Wachezaji tumepata kama timu za ulaya sio yanga walio izoea nasikia raha kama ningekuwa na uwezo wangeichoi yanga
Mzize kaupiga mwing sana
Wnainchi oyeeeee