WIVU WA MUME PART 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 мар 2023
  • #Bhailam#Naomi
  • КиноКино

Комментарии • 110

  • @nonogustave-oq3nq
    @nonogustave-oq3nq Год назад +2

    Mungu akuwezeshe kwa mafunzo unayotupa Kaka yetu tunakupenda saaana Burundi 🇧🇮 and 🇨🇩 kazi njema kaka

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 Год назад +6

    Kazi nzuri sana Naomi kavaa uhusika vilivyo kabisa safiiiii sana aisee

  • @uwezojeconie5103
    @uwezojeconie5103 Год назад +7

    Nakupenda sana bailam love from Burundi

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Год назад +6

    Hili nifunzo kwa wachungaji wengi sana wengi wamepitia matatzo ya wanandoa kuvuruga nakuvunja ndoa kabisa haswa hawa wachungaji uchwara

  • @noelydembe5040
    @noelydembe5040 Год назад +4

    Kazi nzuri bailam uzidishe ubunifu ila wewe ni ❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @emmanuelbenson6149
    @emmanuelbenson6149 Год назад +1

    Nimempenda mchungaji yuko vizuri

  • @rajabukude-pi6mf
    @rajabukude-pi6mf Год назад +1

    Alafu nimegunduwa kitu kimoja ukitaka kucheka upunguze stress nenda Kwa clam vevo ila ukitaka kujifunza na kuelimika basi muone mtumzima baba la baba BHAILAM eshima kwako broo nakubali sana nimebadilika kitabia na kiakili kupitia ww kaka

  • @rajabukude-pi6mf
    @rajabukude-pi6mf Год назад +2

    Nakubali sana brother napenda sana kazi zako Mimi naweza kusema ni moja kati ya watu wanao kufuatilia sana aujawai kukosea mungu awe nawe

  • @Anithabeniaa
    @Anithabeniaa Год назад +5

    Jamani mmecheza aise mnajua Mungu awatangulie

  • @mjukuuclassic7910
    @mjukuuclassic7910 Год назад +33

    Hivi ndivyo jamii inataman kuona na kujifunza, wanawake 99% hawaeleweki wanatafuta Nini, ibilisi amewachanganya Sana, bailam lete jumbe tupo tyr kujifunza Sana Kaka. Kazi👍👍

  • @abrahamngumbao9859
    @abrahamngumbao9859 Год назад +8

    Very educative,salute from Kenya 🇰🇪

  • @francescafrancesca8901
    @francescafrancesca8901 Год назад +5

    Bhailam kaka yangu chapa kazi.
    Hakuna mchezo kwa mke wangu.
    Ni kutowa roho tu.
    Hakuna cha nini ao nini,
    Nakuunga mkono 100%.
    Kwa mke wangu afadhali upeleke vyote ila usimchezee.
    Hongera kwa kazi nzuri kaka.

    • @Bhailamkhan
      @Bhailamkhan  Год назад +2

      Thanks for supporting

    • @uvinza_stationery8
      @uvinza_stationery8 Год назад

      @@Bhailamkhan napenda kazi zako za saa naomba namba yako nikusapoti kaka

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari8997 Год назад +1

    Bhailam unaweza sana mdogo wangu tumepitia sana hayo maisha

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад +5

    Another kanumba nakuona kabisa ndani ya huyu jamaa

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Год назад +3

    Ujumbe mzuri sana kwa Jamii

  • @nelsonolola835
    @nelsonolola835 Год назад

    Bhailam kazi nzuri.. Nmeipenda kazi yako❤️❤️❤️

  • @japhethelijah4252
    @japhethelijah4252 Год назад +2

    Sijuh namimi nimbadilikie mke wangu iv mamamaamamaaaaaE

  • @yasinramadhan7315
    @yasinramadhan7315 Год назад +1

    Nakubali sana kazi zako ukiwa kauzi noma unyama mwingi 💪💪

  • @mohdleyla-sd3dr
    @mohdleyla-sd3dr Год назад +1

    Kaz nzur sana ndada angu asee saivi umependeza z sana

  • @leahsamson7059
    @leahsamson7059 Год назад +1

    Kaz nzur. Cyo kwa wivu huo ss😂😂

  • @mathayomagoti7909
    @mathayomagoti7909 Год назад +3

    Kaka pambana kazi nzuli

  • @usumanezana1775
    @usumanezana1775 Год назад +1

    Hahahaha 🤣🤣🤣 mchungaji kasha awezi ku rejea mara nyingine

  • @PauloThasusana-cg1iz
    @PauloThasusana-cg1iz 2 месяца назад

    kazi mzuri✌️

  • @sammwalongo2099
    @sammwalongo2099 Год назад

    Nakubali bailamu kazi nzuri Sana kaka eee si watka wivu huo chukua sas

  • @mariamkenya3268
    @mariamkenya3268 Год назад +1

    Mchungaji ana ogopa kifo😂😂😂😂😂

  • @MOPEBLETv657
    @MOPEBLETv657 Год назад +4

    So educative mr. Billam, I salute you

  • @user-cr4ku8jh4d
    @user-cr4ku8jh4d Год назад

    Ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote ❤️💯❤️🤣😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rg6hn7em8g
    @user-rg6hn7em8g Год назад

    Uko vizuri Sana. Unafundisha watu waelewe

  • @patrickngugi2046
    @patrickngugi2046 Год назад

    Naomi and Bhailam.... very good combination... keep it up.

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 Год назад +3

    Namie nimuke wamutu mnieshim nakama kweli mnipe llllllik

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Год назад +2

    Vile tunatakaga kuwajua waume zetu wapoje...ndo hiki ss mdada alikuwa anahisi hapendwi na mmewake... mchungaji icho kikombe hakikuepuki shenzi ww unafikir iyo UTI ukinywa maji mengi yaisha iyo kit ya moto babaaaa

  • @madahaimani1258
    @madahaimani1258 Год назад +2

    Jamaa anajua sana kuact seen ya kuwa mkali,kauzu

  • @johnchimwaga26
    @johnchimwaga26 Год назад

    Good massage, hakika hii ni zaidi ya zote ambazo umewahi kuzipika. Hiki chakula kimeva sawasawa. Be blessed brooo

  • @juzelujo2169
    @juzelujo2169 Год назад +2

    Bailam unaweza kuigize aseee...duhhh

  • @neemamosses9259
    @neemamosses9259 Год назад +2

    Nakupenda bailam

  • @KassimMajaliwa-de5oo
    @KassimMajaliwa-de5oo Год назад

    Imewezaa bhailam love mob kwko..nikiwa Kenya

  • @mastaplan
    @mastaplan Год назад +1

    Wanawake wa akili moja kichwani
    Sasa sisi wanaume tusipo ishi nao kwa akili huwa wanatuvuruga hawa viumbe......

  • @josephmirambo
    @josephmirambo Год назад +2

    Mzigo kwa hewa nawakubariiiiiì

  • @evansmakoza4573
    @evansmakoza4573 Год назад +1

    Bairan, , , motoo🔥🔥🔥, , , kwanza akiungana na vai

  • @patrickmbaji2737
    @patrickmbaji2737 Год назад

    Nakuaminia mkali Kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪

  • @amosidaniel1830
    @amosidaniel1830 Год назад

    Mwenyezi mungu awabariki san kwenye kazi yenu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @CHRISSMWANZABWANA
    @CHRISSMWANZABWANA Год назад

    Nakubali Sanaa kazi zako bro, you're the best

  • @MariamuSaed-tk4nr
    @MariamuSaed-tk4nr 8 месяцев назад

    Naomi ..mwana kuyafind mwana kuyageti😂sasa umeyatimba 😂

  • @alicenice1711
    @alicenice1711 Год назад +2

    Luv u bhailam

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 Год назад +1

    umetisha sana

  • @akimdollarmusic6304
    @akimdollarmusic6304 Год назад +1

    Hili ombi Niuoga jamani Duuhhhhhhhhh
    It's your boy Akim dollar again

  • @lindagrace1597
    @lindagrace1597 Год назад

    Tunawapenda sana. Tukiwa Burundi

  • @Kenyaairforce-xd7md
    @Kenyaairforce-xd7md Год назад +2

    Uko sawa baba am from kenya

  • @user-lg1rq2fj6p
    @user-lg1rq2fj6p Месяц назад

    😂😂 mchungaji kimekutaa kitu

  • @user-ry5bh9vq7t
    @user-ry5bh9vq7t 7 месяцев назад

    Duuh!!! hajajikojolea kwelii😂😂😂😂

  • @pascalmusana2137
    @pascalmusana2137 Год назад

    Kali sanaa🔥🔥🔥🔥❤️🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌

  • @gracealfonce3795
    @gracealfonce3795 Год назад +3

    Atali na nusu ❤

  • @Rwandadaytodaytv
    @Rwandadaytodaytv Год назад +1

    fanya kazi ndugu

  • @oceanlove6691
    @oceanlove6691 Год назад +2

    Good work

  • @thobiasonesmo-md9cn
    @thobiasonesmo-md9cn Год назад

    Ok mambo vp

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Год назад

    😂😂😂😂kikombe icho baba🇧🇮🙌😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣

  • @drmwehu
    @drmwehu Год назад

    napenda sana mnachofanya bro

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Год назад

    Bailamu duuuuh hiyo mihasira punguza

  • @renatusernest2272
    @renatusernest2272 Год назад +2

    Amen mchungaji

  • @rahelihaule
    @rahelihaule Год назад +2

    Mchungaji anasali Sala ya mwisho

  • @ombidiz_tz8888
    @ombidiz_tz8888 Год назад +2

    Bhailam ww ni kuma duh? Kwa #Ndoige ulikuwa unateseka huku uko mafia we we ni top in top dadekiiii🙌🙌🏃

  • @FnellyB
    @FnellyB Год назад

    Yani kaka ambi unibadilika kabisa ukalipashi name kimakonde ila mungu akupe nguvu uendele kutupa filam

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu Год назад

    Tunakukubari Sana bhailam

  • @ibrahmseif-rx8yq
    @ibrahmseif-rx8yq Год назад +6

    Leo ndo wa kwanza naombeni like zenu

  • @user-zu4co1ji5z
    @user-zu4co1ji5z Год назад

    Apo unaambia muwe makini na marafiki wenu ju marafiki niwa manafiki xana❤❤❤

  • @ivanokillerfadhili525
    @ivanokillerfadhili525 Год назад +2

    Mzeee wa hisia

  • @solangerechol6881
    @solangerechol6881 Год назад

    Nihatari Kweli 😂😂😂😂😂

  • @mayarashidi2765
    @mayarashidi2765 Год назад

    Kazi mnzuri jamani

  • @nyoksheaven2031
    @nyoksheaven2031 Год назад +5

    Let's reach this guy 100k subscribers 🤗🤗he does wonders👌👌🔥🔥

  • @najmanasoro1426
    @najmanasoro1426 Год назад +1

    Saut za wachungaji za kinafk

  • @ashaamran4879
    @ashaamran4879 Год назад +2

    Safiiii🥰

  • @mafunitv1445
    @mafunitv1445 Год назад +3

    ❤❤❤❤

  • @oscarokumu1186
    @oscarokumu1186 Год назад

    Wanawake wote wajifunze kutoka Kwa hii filamu

  • @mussamadua1079
    @mussamadua1079 Год назад +2

    Safi

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Год назад

    Nawapenda sana guys ❤

  • @mwanamack640
    @mwanamack640 Год назад

    💥💥

  • @shamsahasan2748
    @shamsahasan2748 Год назад

    Love bailam

  • @drmwehu
    @drmwehu Год назад

    ilo ni funzo kaka

  • @lucykapinga369
    @lucykapinga369 Год назад +1

    safi

  • @neemamosses9259
    @neemamosses9259 Год назад

    Punguza hasira basi Jaman

  • @detabepe5022
    @detabepe5022 Год назад

    Nomaaa

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🙌👏👏👏

  • @munasaid1429
    @munasaid1429 Год назад +2

    🤣🤣🤣🤣🤣mchungaji

  • @maryamhamza-im6ix
    @maryamhamza-im6ix Год назад

    🥰🥰🥰

  • @asdfhdv9230
    @asdfhdv9230 Год назад

    dad tuliya ivo ivo umetak wivu 😅😅😅

  • @benjaminkangolo2017
    @benjaminkangolo2017 Год назад

    haya sasa apo Kwanza ndo wivu una anza huja koleya

  • @isidoreyezunkiza-5048
    @isidoreyezunkiza-5048 Год назад

    Tuongeze basi

  • @Sadomatiasi
    @Sadomatiasi 10 месяцев назад

    Hi

  • @labelleshashank8852
    @labelleshashank8852 Год назад

    Mbona stive aonekani?

  • @user-eb8dj4sl8n
    @user-eb8dj4sl8n Год назад

    😂😂😂😂😂

  • @hanifahanifa7708
    @hanifahanifa7708 Год назад +1

    Allah naomba unipe mume asiye na hasira kama bhailam😂😂😂😂

  • @kassimdadi5406
    @kassimdadi5406 Год назад +1

    Good message

  • @aminabashirmohamed5752
    @aminabashirmohamed5752 Год назад +1

    Hapo kwamchungaji kutolewa bastola😂😂😂

  • @Da.angelina
    @Da.angelina Год назад

    ❤❤❤❤