Alafu nimegunduwa kitu kimoja ukitaka kucheka upunguze stress nenda Kwa clam vevo ila ukitaka kujifunza na kuelimika basi muone mtumzima baba la baba BHAILAM eshima kwako broo nakubali sana nimebadilika kitabia na kiakili kupitia ww kaka
Hivi ndivyo jamii inataman kuona na kujifunza, wanawake 99% hawaeleweki wanatafuta Nini, ibilisi amewachanganya Sana, bailam lete jumbe tupo tyr kujifunza Sana Kaka. Kazi👍👍
Bhailam kaka yangu chapa kazi. Hakuna mchezo kwa mke wangu. Ni kutowa roho tu. Hakuna cha nini ao nini, Nakuunga mkono 100%. Kwa mke wangu afadhali upeleke vyote ila usimchezee. Hongera kwa kazi nzuri kaka.
Vile tunatakaga kuwajua waume zetu wapoje...ndo hiki ss mdada alikuwa anahisi hapendwi na mmewake... mchungaji icho kikombe hakikuepuki shenzi ww unafikir iyo UTI ukinywa maji mengi yaisha iyo kit ya moto babaaaa
Mungu akuwezeshe kwa mafunzo unayotupa Kaka yetu tunakupenda saaana Burundi 🇧🇮 and 🇨🇩 kazi njema kaka
Kazi nzuri sana Naomi kavaa uhusika vilivyo kabisa safiiiii sana aisee
Thanks for supporting
Nakupenda sana bailam love from Burundi
Hili nifunzo kwa wachungaji wengi sana wengi wamepitia matatzo ya wanandoa kuvuruga nakuvunja ndoa kabisa haswa hawa wachungaji uchwara
Kazi nzuri bailam uzidishe ubunifu ila wewe ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Nimempenda mchungaji yuko vizuri
Alafu nimegunduwa kitu kimoja ukitaka kucheka upunguze stress nenda Kwa clam vevo ila ukitaka kujifunza na kuelimika basi muone mtumzima baba la baba BHAILAM eshima kwako broo nakubali sana nimebadilika kitabia na kiakili kupitia ww kaka
Nakubali sana brother napenda sana kazi zako Mimi naweza kusema ni moja kati ya watu wanao kufuatilia sana aujawai kukosea mungu awe nawe
Jamani mmecheza aise mnajua Mungu awatangulie
Thanks for supporting
Hivi ndivyo jamii inataman kuona na kujifunza, wanawake 99% hawaeleweki wanatafuta Nini, ibilisi amewachanganya Sana, bailam lete jumbe tupo tyr kujifunza Sana Kaka. Kazi👍👍
Thanks for supporting
@@Bhailamkhan kaka inaonekana umesomea sanaa hujakurupuka
@@Bhailamkhan bro nakufatilia Sanaa bigup
Hakika
Very educative,salute from Kenya 🇰🇪
Bhailam kaka yangu chapa kazi.
Hakuna mchezo kwa mke wangu.
Ni kutowa roho tu.
Hakuna cha nini ao nini,
Nakuunga mkono 100%.
Kwa mke wangu afadhali upeleke vyote ila usimchezee.
Hongera kwa kazi nzuri kaka.
Thanks for supporting
@@Bhailamkhan napenda kazi zako za saa naomba namba yako nikusapoti kaka
Bhailam unaweza sana mdogo wangu tumepitia sana hayo maisha
Another kanumba nakuona kabisa ndani ya huyu jamaa
Ujumbe mzuri sana kwa Jamii
Bhailam kazi nzuri.. Nmeipenda kazi yako❤️❤️❤️
Sijuh namimi nimbadilikie mke wangu iv mamamaamamaaaaaE
Nakubali sana kazi zako ukiwa kauzi noma unyama mwingi 💪💪
Kaz nzur sana ndada angu asee saivi umependeza z sana
Kaz nzur. Cyo kwa wivu huo ss😂😂
Kaka pambana kazi nzuli
Hahahaha 🤣🤣🤣 mchungaji kasha awezi ku rejea mara nyingine
kazi mzuri✌️
Nakubali bailamu kazi nzuri Sana kaka eee si watka wivu huo chukua sas
Mchungaji ana ogopa kifo😂😂😂😂😂
So educative mr. Billam, I salute you
Ongereni sana wapenz kwa mafuzo mazuri sana ubarikiwe wote ❤️💯❤️🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
Uko vizuri Sana. Unafundisha watu waelewe
Naomi and Bhailam.... very good combination... keep it up.
Namie nimuke wamutu mnieshim nakama kweli mnipe llllllik
Vile tunatakaga kuwajua waume zetu wapoje...ndo hiki ss mdada alikuwa anahisi hapendwi na mmewake... mchungaji icho kikombe hakikuepuki shenzi ww unafikir iyo UTI ukinywa maji mengi yaisha iyo kit ya moto babaaaa
Jamaa anajua sana kuact seen ya kuwa mkali,kauzu
Good massage, hakika hii ni zaidi ya zote ambazo umewahi kuzipika. Hiki chakula kimeva sawasawa. Be blessed brooo
Bailam unaweza kuigize aseee...duhhh
Thanks for supporting
Nakupenda bailam
Imewezaa bhailam love mob kwko..nikiwa Kenya
Wanawake wa akili moja kichwani
Sasa sisi wanaume tusipo ishi nao kwa akili huwa wanatuvuruga hawa viumbe......
Mzigo kwa hewa nawakubariiiiiì
Bairan, , , motoo🔥🔥🔥, , , kwanza akiungana na vai
Nakuaminia mkali Kwa kazi nzuri 🇰🇪🇰🇪
Mwenyezi mungu awabariki san kwenye kazi yenu 🙏🙏🙏🙏🙏
Nakubali Sanaa kazi zako bro, you're the best
Naomi ..mwana kuyafind mwana kuyageti😂sasa umeyatimba 😂
Luv u bhailam
umetisha sana
Hili ombi Niuoga jamani Duuhhhhhhhhh
It's your boy Akim dollar again
Tunawapenda sana. Tukiwa Burundi
Uko sawa baba am from kenya
Thank
😂😂 mchungaji kimekutaa kitu
Duuh!!! hajajikojolea kwelii😂😂😂😂
Kali sanaa🔥🔥🔥🔥❤️🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌
Atali na nusu ❤
fanya kazi ndugu
Good work
Ok mambo vp
😂😂😂😂kikombe icho baba🇧🇮🙌😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
napenda sana mnachofanya bro
Bailamu duuuuh hiyo mihasira punguza
Amen mchungaji
😂😂😂😂😂
Mchungaji anasali Sala ya mwisho
Bhailam ww ni kuma duh? Kwa #Ndoige ulikuwa unateseka huku uko mafia we we ni top in top dadekiiii🙌🙌🏃
Thanks for supporting
oe mbna matusi
Yani kaka ambi unibadilika kabisa ukalipashi name kimakonde ila mungu akupe nguvu uendele kutupa filam
Tunakukubari Sana bhailam
Leo ndo wa kwanza naombeni like zenu
Apo unaambia muwe makini na marafiki wenu ju marafiki niwa manafiki xana❤❤❤
Mzeee wa hisia
Nihatari Kweli 😂😂😂😂😂
Kazi mnzuri jamani
Let's reach this guy 100k subscribers 🤗🤗he does wonders👌👌🔥🔥
Big up
Saut za wachungaji za kinafk
Safiiii🥰
❤❤❤❤
Wanawake wote wajifunze kutoka Kwa hii filamu
Safi
Nawapenda sana guys ❤
💥💥
Love bailam
ilo ni funzo kaka
safi
Punguza hasira basi Jaman
Nomaaa
❤❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🙌👏👏👏
🤣🤣🤣🤣🤣mchungaji
🤣🤣🤣biblia iwe bulletproof
🥰🥰🥰
dad tuliya ivo ivo umetak wivu 😅😅😅
haya sasa apo Kwanza ndo wivu una anza huja koleya
Tuongeze basi
Hi
Mbona stive aonekani?
😂😂😂😂😂
Allah naomba unipe mume asiye na hasira kama bhailam😂😂😂😂
AngalIia mwazon utaelewa pat one
Good message
Hapo kwamchungaji kutolewa bastola😂😂😂
❤❤❤❤