NAMPENDA NDEMWA
HTML-код
- Опубликовано: 7 дек 2023
- #Bhailam#Naomy#Rachel
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... Кино
Malizieni WAKE WENZA ndio muletee yengine buana...Ila n nzurii kwa kweli...team bhailam hongereni sanaa kwa kazi nzuri...
Wake waeza tafathali.
😂😂😂😂imetisha walai 😂 wapi team strong hoyeeeeeeeeee
Naombeni kheri jamani katika siku azimu 9/12/ me happy birthday🎉🎉🎉
Happy birthday 🎉🎉🎉🎉🎉
Happy birthday to you 🎉🎉🎉
Happy birthday to you 🎉🎉🎉
Jamani asante sana kwa kunitakia kheri ndio napondewa viazi 🥔🥔🥔 nile 😃😃😃 9/12/
Tunashare siku ya birthday Mashaallah
😂😂😂 nimeceka yani bhailamu unaweza mpaka unaweza tena ❤❤❤❤toba 😂😂😂
Yuko vzr 🎉
Nakukubali sanaaaa from 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩 🇨🇩
Bhailam napenda movie zako kufatilia hata nikiwa na stress nikiangali movie zako naejoy
Yaani uu baba nampenda sana tena sana. Mtu mweny busara Ana roho nzuli. Watoto wak yaani wa raha kuwa baba Yao. Usij ukabadirisha kuceza ukiwa ivyo. Nakupenda sana. Unanifanya niw mama bora.
Wakwanza from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🔥🔥
Kenya 🇰🇪
😂😂😂hadi raha hongereni sana time nzima kwa kazi nzuri
N nzuri nayo ila bahlam nmekuzoea mkorofi 😂😂😂mm sio kw hali iyo jmna mnaweza mungu awazidishie inshaallah
Mwamaene vandu Leo hutojuwa kama niyeye wallah Leo hakuvaa kikoyi wallah nimeshanga kaka Yako naomi😅😅😅
Mwamanyeee vanduuu huu msemo unanifurahishag
Nawakubali from Oliver Stockholm
😂😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu Bailam jmni
Bhailam unaweza bhna
Leo wa 7 kutoka somalia 🇸🇴 niombeni like zangu jemeni 😅😅😅
Bhailam iyo gali yako ni hatari kweri🤣🤣🤣🤣
Wa mwisho kucomment 🎉nipen maua yang
Nzuri sana
wale wasaka riyal tujuane❤❤❤❤❤❤❤❤
Tupo wasaka riyal
Bhailam anajua sanaaa aisee😂😂😂😂
TIME NAOMI LIKE ZENU TUJUANE TULIPO
Sijawahi kucoment hata siku moja kwenye page ya bailam ilaa kwa nzia kafia geto na hiii daaah aisse story kali San kwakweli unaupiga mwingi hongera San kwa kazi nzuri Inshaallah mbali utafika
Uyu mzee mashaallh nimemkubali sana
Wallah hii yakufunga mwakaa jamani bhailam mm nimecheka yangu yoteee😂😂😂rechoo hakika wamekueka part mwafakaa kabisaa
Ndouzuri namoona jama yangu😂😂 ananimalizaga❤🇧🇮
Sina mbavuu mm jamani etii nichumu 😂😂😂😂😂mapenxi shikamoooo
Recho ni kiboko wa kusema hakika😅😅😅😅
Wakwanza leo kama unamkubar bairam 😅😅😅😅😅😅
Kumekucha yale yale yawarabu unaletewaa mchumba kwalazima mm siwez halafuu mpenzi mwenye anampenda daaaaaa sijui linjii kazi kweli
😂😂😂OMG😅😅😅yaan Bhailam wew aiseee mpak nakos usemi kw kwli😅😅😅mbavu zang mimi jmn alaf Recho napendag unavyoanz kufok😅😅
Mimi nangoja itaendelea 😢😢😢
Kazi nzuri Bhailam ila naoma kama Kuna copie copie nyingi 😅
Ama kwel bhailamu wee nisimba duh spw❤❤
Dah mazingira ya filam n mazuri mnoo.wahusika wanavojistiri wanavutia.Bailam apewe maua yake.Uke wenza itoke kwa wakati isichelewe
Tunataka wake wenza 😅😅❤❤❤
Nawapenda wote ❤❤❤. Mliko kwenye hii kazi
Wakwanza leo❤❤❤
Hhhh😅😅😅 bailam unaweza kweli daa Yani
Uko vizur bailam nawapenda nyote ❤
Wamwisho ku comments asinipe like zanu 🎉🎉🎉
Nimeka wakwanza naombeni like
Kwakweli tujuwane wasaka riyal hongera bailam
Napend kaz zako bailam😊
😂😂😂😂 bailam 🤣 we mwamba ❤❤❤ chum love you 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇧🇮🇧🇮💯💯💯💯💯💯
Bhailam tuleteye séries nzuri
Bhailam ww ni star kwa kweli uko juu
Hahahaa nimecheka Nzur sanaa hongereni sanaa
😂😂😂😂😂😂 nimecheka yangu yote eti shuhuli yenyene sijui kama anaiweza wewe Rachel wanimaliza mimi ❤🇧🇮
Bhailam mungu awape hitaji la mioyo YENU maana namba zinaongezeka ni jambo la kumshukuru MUNGU kikubwa ni kutokata TAMAA maana changamoto zipo hila kikubwa ni kupambana Zaidi hongerani sana kwa tearm mzima.
Aya team bhailam Kaz kwenu mzigo mwingine huooooo🎉🎉🎉🎉🎉 wa motooooo😂😂😂😂😂
Kazi nzur ❤
Kichwa kaa mshumaa ❤️❤️❤️❤️🎉🎉
😂😅😂😅😅😂😂😅Mapenzi hayana mipaka
😂😂😂😂😂 bhailmu niokote jmn naumi anamtaka chizi hyo hamtaki wa posa 😂😂😂
😂😂😂😂
@@RizikiZikibailamu kulalina mamaeeee
😂😂😂😂Bailam 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂mbavu zangu jamanii eti ata shuhuli yenyewe hawezi😅
Nimipenda iyo ira ata kama mapenzi upofu sio kwa uyu dada
Bailamu nakupenda bure ❤❤❤unaexa mno
Bahlm ecti nyingine unatuchekesha🤣🤣
Ilabhailam ww jaman😂😂 utatuua wenzio
😂😂😂😂😂😂Bailam bana
Tunaomba ije iendelee , imenibamba from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Wakwanza from kenya🎉🎉🎉❤❤❤
Hongereni
Simba bhailam❤❤
Hii imeenda 🍎 kwakweli from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tunawapenda sana
Bahlm fire nakukubali
😮uko bomba
Nakubali mambo yako Aisee.....kongolee
Sikuwahi kumuelewa bailam Ila ni mtu hatari sana
Bhailam usiwe unacheza hvyo bhana kama toto vile😂
Uyu ndo uzurii mbna mibao yake ya kweli iviii🤭
Jmn.........😊
Sito aca Kutizama vídeo zenu mpaka
Co vyakucheka lakin 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Nishatokea jamani nipeni likes zangu basi 😂😂❤❤😢😢😢
BhailAM ANGEKUITa ndemwa
BHAILAM SIMBA 🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂kichwa kama mshumaa
😂😂😂😂 bailam anajua jamani na anajua tena ❤❤❤❤
Bailamu unajua sana😅
Huyu mzee anajielewa sana inaonekana sio move tu hata uharisia wake
Jamani mbona nnzuri hivi alafu Haina mwendelezo?
😂😂😂😂😂😂😂kama namuona vevo jamani chapati namaharagweeee😂😂😂
Hii imeenda 💥🔥
Alivyoigiza ameigiza vibaya
🔥🔥🔥
😂😂😂😂😂😂 mchumba wa mtu zwazwa kipemda roho😂
❤❤ kazi nzuri sana
Wakewenza iko wap mbona.mnacheleweshaaaaa
❤❤❤❤😂😂😂🎉🎉🎉😢
Tamusana
Nice
Uyo ndo mwanaume Ninae mpenda.. TOBA😂😂😂😂
Rachel anafaa kuwa dada
🤣😂🤣😂🤣😂😂 et tobaaah
Woow , ❤️
Weee bhailam weeee❤❤❤❤😅😅😅
Bhailam simba
Bhailam jamani nakupenda kutoka kenya
❤❤❤❤ part two lini, ao inaishiya hapo