MY FAMILY |1|

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #Bhailam
    ⭐ Disclaimer
    This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
    Subscribe hapa : / @bhailamkhan
    Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.co...
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz

Комментарии • 138

  • @khadijaabubakar2330
    @khadijaabubakar2330 Месяц назад +17

    Asa hapo bhailam tumeielewa ila hailat amekufa inabd mzimu wake uwe unasumbua baba ake mpk akiri kwa kufanya kitendo kibaya kumpelekea kufa hailat hv tu itanoga na kukua nzur😢❤❤❤au sisi mashabiki zako naomba iwe hv bc❤😂😂

  • @longolongoalainpeter7090
    @longolongoalainpeter7090 Месяц назад +18

    Wakwanza Léo toka Congo 🇨🇩

  • @006tv
    @006tv Месяц назад +21

    Wakwanza kutoka kenya.. Naombeni likes kama 100

  • @ashahassanhiribae1527
    @ashahassanhiribae1527 Месяц назад +11

    Wa tano leo from kenya 🇰🇪 ❤
    Napenda movies zenu😊

  • @saidihamisi315
    @saidihamisi315 Месяц назад +13

    utaskia mimi wa kwanza nyoko

  • @user-gm5kf3cx2b
    @user-gm5kf3cx2b Месяц назад +48

    Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮 ila sitaki likes zenu😂😂😂😂

    • @user-ol9ml1ns1g
      @user-ol9ml1ns1g Месяц назад +9

      Sisi wa rundi hatutaki like wara nini😂😂😂😂😂😂

    • @hamisikamanda9933
      @hamisikamanda9933 Месяц назад +7

      Like sio nzuri 😂😂😂😂

    • @Supershopdubai-ck8td
      @Supershopdubai-ck8td Месяц назад +5

      Mimi wa rumong jenyinyi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏❤️👍

    • @user-gc7xt5sf7q
      @user-gc7xt5sf7q Месяц назад

      Wakwetu nakupa like​@@Supershopdubai-ck8td

    • @ButoyiThierry-j8e
      @ButoyiThierry-j8e Месяц назад +3

      Mimi natoka Bujumbura ❤❤ warundi vip ??

  • @Tulizombago7633
    @Tulizombago7633 Месяц назад +10

    Nakubali sana kaka

  • @abuu_yasir8052
    @abuu_yasir8052 Месяц назад +8

    Nyengine hiyoo much love from kenya 🇰🇪

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q Месяц назад +6

    Kumbe bhailam na mzee simba wanachanganya mke mumoja😂😂😂kazi ipo

  • @user-rz7kv9pn8m
    @user-rz7kv9pn8m Месяц назад +12

    Mmeibadilisha jina,haya twenden nalo 😂🎉🎉

    • @ChrisNini-ot3bl
      @ChrisNini-ot3bl Месяц назад +2

      Kwani ile Si Alikufa Hairat?

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Месяц назад

      Yeah alikufa pia​@ChrisNini-ot3bl

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад +1

      Kwani si jina lilikua my family tu,ama?

    • @Marim-sj7oi
      @Marim-sj7oi Месяц назад +1

      @aishaomar2287 Ndio ilikuwa my family pia dadaa

  • @DanielChaula
    @DanielChaula Месяц назад +7

    Sio sawa kidogo

  • @Asha-xc1nc
    @Asha-xc1nc Месяц назад +5

    Pia sijachelewa sana nipeni likes hata Kam 5

  • @user-ej6dg7ug3c
    @user-ej6dg7ug3c Месяц назад +2

    Kazi nzuri sna napenda movie zenu

  • @tuombemamila1364
    @tuombemamila1364 Месяц назад +3

    Wanaume wanao tamani watoto wao acheni tabia chafu pateni funzo hapa rip hailati my favorite actress

  • @George-k1e
    @George-k1e Месяц назад +10

    Mimi wa mwisho naomba like ata moja

  • @finegatwiri2597
    @finegatwiri2597 Месяц назад +2

    Waaa iii imeogopesha mzee amebaka mtoto add akakufu Jamani🥺🥺

  • @salumuwembo-fo5rr365
    @salumuwembo-fo5rr365 Месяц назад +2

    Bhailam mwigizaji ninayempenda zaidi,🥰🥰🥰🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨

  • @KalondaShomaribienfait
    @KalondaShomaribienfait Месяц назад +4

    Iyi aitakuwa Kali kuzidi ya kwangu kaka

  • @StevenMakanja
    @StevenMakanja Месяц назад +1

    Good Job Bhailam and other characters 👍👍👍❤❤❤🎉🎉🎉

  • @pascalinenancy6014
    @pascalinenancy6014 Месяц назад +4

    Naomba like ata moja

  • @sherryrocky3067
    @sherryrocky3067 Месяц назад +6

    🔥🔥🔥Kali sanaa Hila mibaba wengine laana tupu😢

  • @mohamedmagame5795
    @mohamedmagame5795 Месяц назад +1

    Mwanangu bailam kaka mkupete apa kaza utafika mbali unakitu nakukubali kinoma big up kazi nzuri

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 Месяц назад

    Nakubali bhailam kazi nzr sana❤🎉

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Месяц назад +1

    Heee makubwaa mtoto na baba mwanamkee mmoja

  • @user-vv3vj9gu7q
    @user-vv3vj9gu7q Месяц назад +1

    Bhailam wake wenza ilikua bonge la movie lete km ile❤

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Месяц назад

    Hili shuka linaonekana la Bahati Sana Kwa bhailam 😂 meikumbuka Kule Kwa mtoto Wa shekhe😂😂😂 alilala Kwa mchepuko Maryam wakiwa Na hio shuka😂😂

  • @Naima-v6x
    @Naima-v6x Месяц назад +1

    Naikubali sana kazi yako bailam ❤❤❤

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Месяц назад +2

    Mbn muanze alafu mfute s ilikua episode 2 hii 😢😢😢😢ama mm pkeangu ndio naona😢love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana Месяц назад +1

      Ile imefutwa kabisa hii nyengine

    • @judithpendo9985
      @judithpendo9985 Месяц назад +1

      @@MashaMbwana n hio moja 😂 cheki poa

  • @enochannel583
    @enochannel583 Месяц назад +1

    Wa Mia sita, likes zishuke

  • @SifaKahindo-i6q
    @SifaKahindo-i6q Месяц назад

    Wakwanza kutoka Congo naombeni like hata5

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic Месяц назад +1

    Bhailam movie zako hazieleweki‼️‼️‼️
    Khairat alikufa leo tena anasoma duh!!!
    Hebu mlioelewa mnisaidie

    • @SaraphinaFundi-rl2hx
      @SaraphinaFundi-rl2hx Месяц назад

      Ameanza na moja

    • @qurthummrabdllh3635
      @qurthummrabdllh3635 Месяц назад

      Mm nimekimbilia comments kwanza 😂😂nijue hii mpya au muendelezo au ilikua ni ndoto ile???😂😂

  • @khadijaabubakar2330
    @khadijaabubakar2330 Месяц назад +3

    Nakubali sana ila Fall in love imeishaje sijaelewa mbn😢😂❤

  • @user-go4uc4oe4p
    @user-go4uc4oe4p Месяц назад +1

    55 sio mbaya nazikubali sana mov zenu.Bhailam weee maua 🎉🎉🎉🎉

  • @stellamwakyusa7929
    @stellamwakyusa7929 Месяц назад +2

    Mama anatembea na kijana tena rafiki wa mwanae baba nae anatembea na mpenzi wa mwanae saivi tena kumbaka mwanae jamani jamani mungu tusaidie

  • @user-zw6cy2hn7x
    @user-zw6cy2hn7x Месяц назад

    Bhailam uyo dem tuongee basiii😂😂😂

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 Месяц назад +1

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤💞

  • @MulhatAly
    @MulhatAly Месяц назад +3

    My family imerud tena na kupewa jina jengine❤❤❤❤😊

  • @maudakumedia
    @maudakumedia Месяц назад +1

    MZIGO WA 🔥🔥🔥

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Месяц назад +2

    Bhailam umeota vibaya kwa kweli

  • @eunice1808
    @eunice1808 Месяц назад +1

    Mama yooo😢unabaka

  • @ButoyiThierry-j8e
    @ButoyiThierry-j8e Месяц назад +1

    Mimi kutoka Bd 🇧🇮🇧🇮 buja ❤❤❤

  • @LuqmaanRamadhan
    @LuqmaanRamadhan Месяц назад +3

    Big up Bhailam

  • @fatuma6011
    @fatuma6011 Месяц назад +1

    Bi Sharifa na Mzee mlipendezana sana

  • @AishaNalungwe
    @AishaNalungwe 24 дня назад

    A😂😂😂😂😂😂 jaman mzee simba adi mtoto wako unamdabangula😂😂😂😂

  • @user-gj7rb5zd7i
    @user-gj7rb5zd7i Месяц назад +1

    Hii kweli my life

  • @PatientPacifique-tn7nz
    @PatientPacifique-tn7nz Месяц назад +6

    Mimi wakwanza kutoka kuzimu naitaji kafara yangu

  • @user-bi9pl4eu2o
    @user-bi9pl4eu2o Месяц назад

    Kazi nzuri bro bhailam Naomi mariam jojo big up sana guys

  • @AminaShawa
    @AminaShawa Месяц назад +1

    Leo nimewahi

  • @Msomal47
    @Msomal47 Месяц назад +1

    Nice

  • @arikibok4735
    @arikibok4735 Месяц назад +1

    Courage ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo Месяц назад

    Nzuri san 🎉🎉🎉

  • @aminaabubakare1973
    @aminaabubakare1973 Месяц назад +1

    Baba shetani

  • @user-eg5kw1ss7q
    @user-eg5kw1ss7q Месяц назад +1

    Mzee simba hatar duh 😢😢😢😢😢

  • @user-xr6xk9lb5c
    @user-xr6xk9lb5c Месяц назад +1

    Kenya Watching

  • @HatungimanaRahma-r7l
    @HatungimanaRahma-r7l Месяц назад +3

    Mbona kama inataka kufanana story na my family ao mnasema aj wenzangu😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      Si ni hio hio ata jina,au?

    • @jamessamwel9456
      @jamessamwel9456 Месяц назад

      Nan kaona kitenge cha khairat kinafanana na jez ya yanga?😂

  • @MwajumaMaulid-v5t
    @MwajumaMaulid-v5t Месяц назад +1

    Jina hili halijaendana wekeni lile lile my family

  • @user-uu3ml5du3m
    @user-uu3ml5du3m Месяц назад +1

    Mm ata sijaelewa kabisa lkn nakumbuka ulisema mumeifuta sindio mbna ssa 😂😂😂😂😂

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      Nashangaa pia

    • @user-uu3ml5du3m
      @user-uu3ml5du3m Месяц назад

      @@aishaomar2287 wanatukoroga kwanza hiyo movie nyenyewe sio nzuri juu mzee simba ni katili kwa watoto wake

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Месяц назад +1

    Hii kitu hatari duhhhhhh

  • @user-hv1nh2ny6o
    @user-hv1nh2ny6o Месяц назад

    Oyee unyamaa ao sio broo hh😅😅 part 2 bac

  • @user-tu2gy8mr7u
    @user-tu2gy8mr7u Месяц назад

    Kwahiyo kila mtu wakwanza 😂😂😂

  • @Kamanda.45
    @Kamanda.45 Месяц назад

    Mkenya halisi naomba likes zenu

  • @bettyharrison8169
    @bettyharrison8169 Месяц назад

    Waaah Mzee Simba kala mwanawe😢😢😢😢

  • @Roze-so4he
    @Roze-so4he Месяц назад

    Kazi nzuri

  • @sophianyamvula7080
    @sophianyamvula7080 Месяц назад

    Mzee weee 😢😢😢😢

  • @JoshuaKoneibrahimu
    @JoshuaKoneibrahimu Месяц назад +1

    Hivi movies hii inamaanisha wote ni wamalaya au

  • @mchambikisupi9204
    @mchambikisupi9204 Месяц назад

    Khairat ❤❤

  • @Heiskmb
    @Heiskmb Месяц назад

    Nice🎉🎉🎉

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 19 дней назад

    Hii filamu ina mafunzo n inahizunisha tayari😢 kuna baadhi ya mababa wako hvyo 😢

  • @RukiaKhamis-pu9zv
    @RukiaKhamis-pu9zv Месяц назад +4

    Hiii mbona imerudiwa

  • @alyngwaly5600
    @alyngwaly5600 Месяц назад +2

    Mbn hamuelewk hamjamlz my famili mnalet mmb mengn malizen moja kwnza

  • @shikuwakanjewanjiku7385
    @shikuwakanjewanjiku7385 Месяц назад

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪waaah hii nayo mato sana,🫂🫂🫂🫂

  • @Kijavaa_jr
    @Kijavaa_jr Месяц назад

    Big up sana ❤

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 Месяц назад

    Kwahy my family imegeuka kuwa siyo sawa😂😂

  • @user-ts2gr7ny8k
    @user-ts2gr7ny8k Месяц назад

    duu muzee Simba mwakula pamoja na mwanao wewee kali😅

  • @onesmongulo3770
    @onesmongulo3770 Месяц назад +1

    Wakati naiplay ikaandika SIO SAWA inafika kati inaandika MY FAMILY

  • @abudailamy2577
    @abudailamy2577 29 дней назад

    Duh mzee simba kaua kwaajil ya utamu tu

  • @user-ro1fg5ur9l
    @user-ro1fg5ur9l Месяц назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk Месяц назад

    Duuu Mzee Simba Wasema Ukula nyama Hisio na Mfupa

  • @user-vw4jc8yt2r
    @user-vw4jc8yt2r Месяц назад +1

    ❤❤❤

  • @LylahMrombo
    @LylahMrombo Месяц назад

    ❤❤❤waiting for 2

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +1

    Aise uyu mzee miyeyusho kweli yani kamtoooa ilati wangu auti ila kafaidi ata ningekua mi nisingemuacha toto kama ilo.ilafu ilati umemvujia mzee eshma kumuita mbwa ndo mahana nae kakupitia😢😢😢😢😢😢😢.Ila harmonize😊😊😊😊😊

  • @chidiboy4169
    @chidiboy4169 Месяц назад

    Nampenda hailati kutoka 🇸🇩

  • @janetnasimiyu8646
    @janetnasimiyu8646 Месяц назад

    Inauma sana baba kama hyu

  • @user-mh4zq7ec7z
    @user-mh4zq7ec7z Месяц назад

    Minaon haikua nahaja kuanza upya heri part 2 mgeurusisha mda nyuma ilikuaje kabla yatukio yan masaa nyum yalopit

  • @daverboy_official3833
    @daverboy_official3833 Месяц назад +1

    sio sawa kbsa

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs Месяц назад +1

    😂😂😂❤❤

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 Месяц назад

    Ila mzee simba

  • @rosemarenga832
    @rosemarenga832 Месяц назад +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉

  • @MrJohnblaiseBlaise
    @MrJohnblaiseBlaise Месяц назад +1

    ❤😂😂

  • @murusta282
    @murusta282 Месяц назад +1

    🇰🇪🇰🇪🤜🤛

  • @minahsamwel
    @minahsamwel Месяц назад

    Ukisema wa mwisho utafanyaje? Kila mtu mi wakwanzaa nipen like alaaaa😂😂😂😂

  • @shikuwakanjewanjiku7385
    @shikuwakanjewanjiku7385 Месяц назад +1

    Lakini hii n marudio

  • @MamuBintally
    @MamuBintally Месяц назад

    My family iliendje eeeh

  • @Ezraloyibobo10
    @Ezraloyibobo10 Месяц назад +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @ThomCleative
    @ThomCleative Месяц назад

    Nakubali

  • @jacklinemwikali5045lina
    @jacklinemwikali5045lina Месяц назад

    Hii my family ingine au? Maana hairati alikufa

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld
    @ArafaAmirAmir-ci7ld Месяц назад +1

    Njuri

  • @JACKMIPAMBA
    @JACKMIPAMBA Месяц назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @yuui1878
    @yuui1878 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇧🇮

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic Месяц назад +1

    Siku tumeangalia my family 1,
    Leo tena my family 1,
    So kipi ni kipi?!!!!‼️‼️‼️⁉️

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      Walikua wameifuta so hii ni kurudisha tu wamerudisha