MY FAMILY |1|
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- #Bhailam
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Subscribe to Comedy Plus: www.youtube.co...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Asa hapo bhailam tumeielewa ila hailat amekufa inabd mzimu wake uwe unasumbua baba ake mpk akiri kwa kufanya kitendo kibaya kumpelekea kufa hailat hv tu itanoga na kukua nzur😢❤❤❤au sisi mashabiki zako naomba iwe hv bc❤😂😂
Kweli kbc
@@MwajumaMaulid-v5t eeh Ani ikue hv
Wakwanza Léo toka Congo 🇨🇩
Wakwanza kutoka kenya.. Naombeni likes kama 100
Wa tano leo from kenya 🇰🇪 ❤
Napenda movies zenu😊
utaskia mimi wa kwanza nyoko
Wakwanza kutoka Burundi 🇧🇮 ila sitaki likes zenu😂😂😂😂
Sisi wa rundi hatutaki like wara nini😂😂😂😂😂😂
Like sio nzuri 😂😂😂😂
Mimi wa rumong jenyinyi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🙏❤️👍
Wakwetu nakupa like@@Supershopdubai-ck8td
Mimi natoka Bujumbura ❤❤ warundi vip ??
Nakubali sana kaka
Nyengine hiyoo much love from kenya 🇰🇪
Kumbe bhailam na mzee simba wanachanganya mke mumoja😂😂😂kazi ipo
Mmeibadilisha jina,haya twenden nalo 😂🎉🎉
Kwani ile Si Alikufa Hairat?
Yeah alikufa pia@ChrisNini-ot3bl
Kwani si jina lilikua my family tu,ama?
@aishaomar2287 Ndio ilikuwa my family pia dadaa
Sio sawa kidogo
Pia sijachelewa sana nipeni likes hata Kam 5
Kazi nzuri sna napenda movie zenu
Wanaume wanao tamani watoto wao acheni tabia chafu pateni funzo hapa rip hailati my favorite actress
Mimi wa mwisho naomba like ata moja
@@George-k1e unaceza bizuri br
Waaa iii imeogopesha mzee amebaka mtoto add akakufu Jamani🥺🥺
Bhailam mwigizaji ninayempenda zaidi,🥰🥰🥰🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨
Iyi aitakuwa Kali kuzidi ya kwangu kaka
Good Job Bhailam and other characters 👍👍👍❤❤❤🎉🎉🎉
Naomba like ata moja
🔥🔥🔥Kali sanaa Hila mibaba wengine laana tupu😢
Baba mama wote maana tupu inafundisha sana hiii
Mwanangu bailam kaka mkupete apa kaza utafika mbali unakitu nakukubali kinoma big up kazi nzuri
Nakubali bhailam kazi nzr sana❤🎉
Heee makubwaa mtoto na baba mwanamkee mmoja
Bhailam wake wenza ilikua bonge la movie lete km ile❤
Hili shuka linaonekana la Bahati Sana Kwa bhailam 😂 meikumbuka Kule Kwa mtoto Wa shekhe😂😂😂 alilala Kwa mchepuko Maryam wakiwa Na hio shuka😂😂
Naikubali sana kazi yako bailam ❤❤❤
Mbn muanze alafu mfute s ilikua episode 2 hii 😢😢😢😢ama mm pkeangu ndio naona😢love from 🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦
Ile imefutwa kabisa hii nyengine
@@MashaMbwana n hio moja 😂 cheki poa
Wa Mia sita, likes zishuke
Wakwanza kutoka Congo naombeni like hata5
Bhailam movie zako hazieleweki‼️‼️‼️
Khairat alikufa leo tena anasoma duh!!!
Hebu mlioelewa mnisaidie
Ameanza na moja
Mm nimekimbilia comments kwanza 😂😂nijue hii mpya au muendelezo au ilikua ni ndoto ile???😂😂
Nakubali sana ila Fall in love imeishaje sijaelewa mbn😢😂❤
55 sio mbaya nazikubali sana mov zenu.Bhailam weee maua 🎉🎉🎉🎉
Mama anatembea na kijana tena rafiki wa mwanae baba nae anatembea na mpenzi wa mwanae saivi tena kumbaka mwanae jamani jamani mungu tusaidie
Bhailam uyo dem tuongee basiii😂😂😂
This is love from Mozambique 🇲🇿❤💞
My family imerud tena na kupewa jina jengine❤❤❤❤😊
MZIGO WA 🔥🔥🔥
Bhailam umeota vibaya kwa kweli
Mama yooo😢unabaka
Mimi kutoka Bd 🇧🇮🇧🇮 buja ❤❤❤
Big up Bhailam
Bi Sharifa na Mzee mlipendezana sana
A😂😂😂😂😂😂 jaman mzee simba adi mtoto wako unamdabangula😂😂😂😂
Hii kweli my life
Mimi wakwanza kutoka kuzimu naitaji kafara yangu
Kazi nzuri bro bhailam Naomi mariam jojo big up sana guys
Leo nimewahi
Nice
Courage ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nzuri san 🎉🎉🎉
Baba shetani
Mzee simba hatar duh 😢😢😢😢😢
Kenya Watching
Mbona kama inataka kufanana story na my family ao mnasema aj wenzangu😂😂😂
Si ni hio hio ata jina,au?
Nan kaona kitenge cha khairat kinafanana na jez ya yanga?😂
Jina hili halijaendana wekeni lile lile my family
Mm ata sijaelewa kabisa lkn nakumbuka ulisema mumeifuta sindio mbna ssa 😂😂😂😂😂
Nashangaa pia
@@aishaomar2287 wanatukoroga kwanza hiyo movie nyenyewe sio nzuri juu mzee simba ni katili kwa watoto wake
Hii kitu hatari duhhhhhh
Oyee unyamaa ao sio broo hh😅😅 part 2 bac
Kwahiyo kila mtu wakwanza 😂😂😂
Mkenya halisi naomba likes zenu
Waaah Mzee Simba kala mwanawe😢😢😢😢
Kazi nzuri
Mzee weee 😢😢😢😢
Hivi movies hii inamaanisha wote ni wamalaya au
Khairat ❤❤
Nice🎉🎉🎉
Hii filamu ina mafunzo n inahizunisha tayari😢 kuna baadhi ya mababa wako hvyo 😢
Hiii mbona imerudiwa
Nashangaa pia,alafu jina tofauti
Mbn hamuelewk hamjamlz my famili mnalet mmb mengn malizen moja kwnza
Naona zote ziko sawa
Wanatuchanganya kwa kweli
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪waaah hii nayo mato sana,🫂🫂🫂🫂
Big up sana ❤
Kwahy my family imegeuka kuwa siyo sawa😂😂
duu muzee Simba mwakula pamoja na mwanao wewee kali😅
Wakati naiplay ikaandika SIO SAWA inafika kati inaandika MY FAMILY
Duh mzee simba kaua kwaajil ya utamu tu
❤❤❤❤❤
Duuu Mzee Simba Wasema Ukula nyama Hisio na Mfupa
❤❤❤
❤❤❤waiting for 2
Aise uyu mzee miyeyusho kweli yani kamtoooa ilati wangu auti ila kafaidi ata ningekua mi nisingemuacha toto kama ilo.ilafu ilati umemvujia mzee eshma kumuita mbwa ndo mahana nae kakupitia😢😢😢😢😢😢😢.Ila harmonize😊😊😊😊😊
Nampenda hailati kutoka 🇸🇩
Inauma sana baba kama hyu
Minaon haikua nahaja kuanza upya heri part 2 mgeurusisha mda nyuma ilikuaje kabla yatukio yan masaa nyum yalopit
sio sawa kbsa
😂😂😂❤❤
Ila mzee simba
❤❤❤🎉🎉🎉
❤😂😂
🇰🇪🇰🇪🤜🤛
Ukisema wa mwisho utafanyaje? Kila mtu mi wakwanzaa nipen like alaaaa😂😂😂😂
Lakini hii n marudio
My family iliendje eeeh
❤❤❤🎉🎉🎉🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nakubali
Hii my family ingine au? Maana hairati alikufa
Njuri
🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🇧🇮
Siku tumeangalia my family 1,
Leo tena my family 1,
So kipi ni kipi?!!!!‼️‼️‼️⁉️
Walikua wameifuta so hii ni kurudisha tu wamerudisha