NAMCHUKIA MKE WANGU
HTML-код
- Опубликовано: 1 фев 2023
- #Bhailam#Khairat#comedyplus#2023#
Subscribe for more contents from Comedy plus: / comedyplustz
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam) Приколы
Jmn leo nimewahi wa pili naomben like zenu
Kali yao
Bhailam fundi la kuigiza sana yaani you good mimi ni shabiki yako damu you good mwenyezimung hakujaalie katika kipaji chako 🔥🔥🔥🔥
Jamani utakuja umuhuwe dada yang kwa presha Kaka bhailam 😂😂😂😂
All the way form Nairobi Kenya, nipe like
Ata na mimi nipate like zangu from🇰🇪
Unafanya kazi gani?
Mchungaji umeua we ni noma sana kiufupi mumeua huyu dada ana sanaa kubwa sana anajua kuigiza bhailam team yako ni tishio kubwa sana
Bailam ww yani ukalale na mke mwengine alaf mm nkupee maji uoge olewako nakurudisha mbio ulikotoka sually
Nawapenda sana comedy plus kazi zenu nzuri
Kwani huyu Anita hajui kuandaa maji
Kuna mitihan kwenye ndoa.Eeeh Mungu tunusuru
Mchepuko mwenyewe rikalanguu😂😂😂😂😂😂😂 mama mtu mazima
Kazi safi hii haha
Wooi 😭😭😭 mbona ukamuoa
Bailamu unameno mengiii na mdomo mkubwa au macho yangu ukiupanuwa kama unammeza mtu oky kaz nzur mno
Mbaya sana hii inahitaji ujasiri tu
Bailam unatesa mtoto wa mwenzio tusipatane buza
Anita ni mzee Mbona Amekuwa sana
Bhailam 🔥🔥🔥🔥
Bora hata huyu alilazimishwa Kuna wengine wanaoa wenyewe na wanawatesa hivohivo
Weee
Nzuri sana
Mm utaniua mana hata chakula sikupi njia yakutafuta tuu njia ya petrol tuu isikosekane karibuu
Eti wewe unamfanya ivo mwanamke mwezako na wewe yatakukuta uyu mwaname ataka bakora
Nipe like
Wampenda bailam wamtesa tu km mume kweli toa talaka
😂😂😂😂😂eti msinyimane nimecheka
Huyu mchungaji mnampa muda mrefu sana anazangua
Pastorrrrrrr,mchungajiiiiiiiiiii
Uyu baila n mjinga sana...pumbavu zake
Kwann?
Kazi ya Sanaa imefanikiwa
Yoooooo 😢😢😢😢😢😢😢
Nawapenda Sana jaman
😂😂😂Ooh my God
Part two
🔥🔥🔥
Nawe ujue sku yko yaja wacha yey aumiee wew utalia
Maana halisi ya mapenzi hisia ndo hii sasa
Kalibu tuunde grupu la kuigiza
Wivuuuuu tuuu
Mhhhh hii kali jmn....bora niwe singo tu
Bhailam nataka tuigize wote
Kwa vile ni kuigiza sawa lakini duuuh mmmmh
Yapo hayo
All the way from Mombasa......I salute you Bailum 🖐️keep it up
Uyu baba napendaga cheko yake tu
Yooooooooo 😢😢😢😢😢😢
😂😂😂😂
❤
Okera kwe kasihenu
Aminaaa
Iv bailam nakicheche wameacha kuungana?
😂😂😂
😄😄😄😄😄😃
Mmh,, Kali ya cku
Nimekuwa wa 7
Kanumba wa pili una jitaidi sana bailamu
Et wakorinto 1 Ile sura ya 7 ule msitari wa 16
Ndy wkorinto1 sura 7 mstari 3
@@josephmirambo sasa ndo aseme Ile sura na ule mstaer au wanasema sura ya mstar wa
Siyo ku mchukiya mke wako
Ila Hii ni ndoa ya mkazo