NAMUUZA MKE WANGU (PART 2)
HTML-код
- Опубликовано: 9 апр 2023
- #Bhailam#Kidawa
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
Karibu kujiunga na group la What's app
BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp.com/Jqzzxa1X8Qz...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : profile.php?... Кино
Karibu kujiunga na group la What's app
BONYEZA LINK 👉👉chat.whatsapp.com/Jqzzxa1X8Qz4r2GCUgyS1i
Subscribe hapa : www.youtube.com/@Bhailamkhan/
Like Ukurasa wetu wa Facebook : facebook.com/profile.php?id=100089165435161
Nawapenda sana kutoka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Vidéo kama hii inastahili kuendelea plz
Maisha yanatakiwa ujasili sana ukiweza fanya vile amabavyo unatakiwa ufanye ili maisha yapituke daaah hakuna kukata tamaa pambana kwa jasho na damu kazi kali sana kila mtu kapita alivopangwa big up bailam big up kidawa big up mbwela big up mwarabu big up familia✌
Thanks for the comment!
Kwa ninavyoona upande wa wanawake comedy plus Hakun km kidawa ❤❤❤❤ she deserve a big up we dada
❤❤❤❤❤❤
Hii kazin nzuri bailamm
Kazi nzur Sana
Duuuh Imekaa poa sana kazi nzur wote
Kazi nzuri kakangu biram
Waooo jaman naombeni likes zenu kama unakubali kazi zuri kutoka kwa bhailamu coment hapa tujuane jaman 💯💯💖🖒
Ulicho kifanya kipi
@@Teddy-fq5oc wewe vp 😅😅
nimelike faida ni nini😂
@@emmanueloinoth faida yake kuwa mshabiki bora kutoka kwa bhailama
@@sherifrahjab 😂😂 unataka lik zetu iyo vipiii
Waooh!kazi nzuri sana hii
Hongereni wanangu mmeicheza tunasubir muendelezo
Tulikuwa twasubiri sana sote mashabiki ama ni jamany...........musichelewe sana kutoa
Thanks for the comment!
Bhailam utauwa jaman
FROM MBEYA UKU TUNAKUBALI SANA UNACHO KIFANY UPO SERIOUS SANA NA KAZI YAKO
Bonge la shipa kidawa umeuwa ❤❤❤️🔥❤️🔥
Hahahaaaaa, safi sana Bhailam
Bhailam 🤣🤣🤣😂😂😂ama kweli ww kiboko kaka dah Umenimaliza na hii game yko 😂😂😂😂
Wanaume fanyeni kazi hakuna maisha rahis
Nawapenda Sana Mungu awainue Sana tena sana
Thanks for the comment!
Kimeumanaaa 😂😂
Seat ya pili leo upande wa dereva 🙏🙏
Sana kaka b
Kazi fresh
Bhailam weka nampenda mke wangu
😅😅😅😅mbwelaaaaaaaa
Kaz nzur Sana
Yaani Leo mmecheza kama pele
Both team to score 😂
❤duuh bhailam umezengua mtu angu sa rafiki umemueka wp jmn😢 hya prty 3
unajitaidi broo mtafika mbali sana
This going to be the movie 😎
uwiiiiiiiiiiiiiiiii leteni muendelozo jamani Yani Kama naangalia wakorea hivi kazi mzuri sana kaka👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️
Mbwela nakukubali hongera san kwa kaz nzur❤❤
Woow Kaz mzur jmn
Leo mimi wakwanza
Maisha nifumbo na utajiri Ni Siri kubwa
Fa masihara nin na mwanamke 😂
Jambo ndugu zangu
Nataka kuuliza Je? Movie hii imefika kikomo jamani ,naomba number 3 yaani siwezi maliza siku mbili sijarudilia hii party 1 and 2
So I need party 3 please. !!
I live in United States 9f america 🇺🇸
I love Tanzania movies
be blessed Balam
Lugha za matusi haziruhusiwi nimenukuu lkn nyie mnaongea matusi humu ndani kenge nyie kujambajamba mishuzi ndo nn kuweni na maneno yenye busara
Unakosoa hku unatukana pia
@@gerysongratian 🤣🤣🤣🤣🤣
Mpo sawa
Maigizo yenu ni taratibu n bora endeleni vivo hivyo
Jamani zuri Sana
Wa kwanza Leo likes zangu 5 tu
Bailamu akili 100%😁
Hahahahaha 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tunaomba mwendelezo bro tunakupata mpaka Mozambique
Filam nzuri sana
Masha,allah kazi mzuri
Kaz nzur
Kaka aiseee big up sanaaaaaaaaaa,,,,,,unakituu broo
Waiting for next part plz
Leteni part 3
Ahahaha hiiu kiboko
😀
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🥰🥰😍😍
😂😂😂
Mbwela unajambA kwel !!!! Ivi ungekausha bhailam siangekupa naww!!!!