KIUKWELI HII MOVIE NI NZURI SANA BHAILAM BHAILAM WEWE NI KIJANA MWENYE KIPAJI KIKUBWA SANA AMBACHO HAKIJA WAI KUTOKEA AISEEE WE NI NOMA SANA UKO NA UWEZO MKUBWA SANA YAANI NI WA MFANO WEWE KIJANA NA HAUJAWAI KULEWA SIFA PAMBANA KIJANA MWENYEZIMUNG YU PAMOJA NA WEWE GOOD ACTING
Kazi nzuri sana ila huyu boss Mwarabu anabalaa big up sana kwake na hongereni sana team nzima kwa ujumla hichi kitu kinabalaa nawapongeza sana kwa kazi nzuri
Thanks for watching Fam,show some love by like,comment and Subscribe For More Amazing Videos.
Kazi mbashala, big up bro
Muvizakibo good
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 yakobhailam
Ila Ukhty kidawa akivaa mitandio anapendeza zaid mashallah
Shukran ntakifanyia kazi
Shukrani Sana
Nakukubali kk mkubwa wapi like za wakenya we nzangu 🤝🤝🇰🇪🇰🇪
Thanks for the comment
Bhailam endelea kuigiza serious movie huku ndo unapendezea. Kazi nzuri endelea kutuburudisha
Thanks for comment
KIUKWELI HII MOVIE NI NZURI SANA BHAILAM BHAILAM WEWE NI KIJANA MWENYE KIPAJI KIKUBWA SANA AMBACHO HAKIJA WAI KUTOKEA AISEEE WE NI NOMA SANA UKO NA UWEZO MKUBWA SANA YAANI NI WA MFANO WEWE KIJANA NA HAUJAWAI KULEWA SIFA PAMBANA KIJANA MWENYEZIMUNG YU PAMOJA NA WEWE
GOOD ACTING
Thanks for the comment
Kazi nzuri kidawa kapendeza kumbe mremboo
Hahahahahaha
Kazi nzuri sana ila huyu boss Mwarabu anabalaa big up sana kwake na hongereni sana team nzima kwa ujumla hichi kitu kinabalaa nawapongeza sana kwa kazi nzuri
Thanks for the comment
This cinema ni kali kinoma good performance for everyone good work my family ✊✊✊
❤❤❤Aminia mkaka wazii safi sana hii imnfnya sjalala mm leo keep it up Allah azid kujalia vipaji vyenu Swaum maqboul😊
Kazi nzur Sana nimeipenda ❤❤
Very interesting story, I am waiting to see what will happen next 😁😁😁😁
Aaah uyu maina mbona kadabukwa ivoo dooh atakama Mimi nisingemkubali demu Kama chelehan nmecheka sana kwakweli kaz nzuri bhailamu nawaona mbalii pgen kaziiii
Hahahhaha
@BHAILAM Hii ni TAMTHiLiA MZEE🔥🔥🔥🔥🔥
MashaAllah 1🥰🥰👌👌🔥🔥🔥🔥🔥❤
Mbwela kama mbwelaaaaaaa! Sema mzee nakuelewaga kinoma noma
Hit banger 🎶
Pongezi sana bahilam 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩toza likolo
Mama la mama boss
Haya mpeleke mkeo
🔥🔥🔥🔥👌👌
👍vizuri
Nimewai leo
Kazi nzuri sana
Hongereni Sana bro mko vizur 😅❤❤
Bro meddy fire 🔥🔥
Good 👍👍👍 job
Thank you so much 😀
Nakubali kazi kabisa
Endelea kaka kazi nzuri sana shabiki toka🇲🇿🇲🇿🇲🇿
PERFOMANCE💯
CASTING💯
BALANCE COMBINATION💯
CHEMISTRY 💯
CONTACT 💯
EMOTIONS 💯
Kwa UFUPI TU 💯💯💯💯💯💯💯🔥
MashaAllah
Nakuhamini kaka❤❤❤❤❤
Bhailam simba muda wote ni nouma maubunifu kama yote sambamba na mkali mbwela mzee wa msemo "shuzi la ngomani"
Thanks for the comment
Mainaa😂😂😂😂
Wakwanza kama unamkubali bahilam
Iik
Kaka nakubali kazi Yako kutoka🇲🇿
Wazii😊❤nasubiri muendelezo 😅
Ndogaaa😀😀😀😀
Ushuz wangomani😀😀😀😀 anaemkubal mbwela lik bas
🤣🤣😂😂😂😂Mungu Wang mke wake
🔥🔥🔥
So good
Hii ilishawahi tutokea na mume wangu,ila mwenye nyumba alikuwa na busara sana,alituvumilia mwishoe mke wake akachoka alitufuata na kichambo 😂😂😂
😂😂😂😂😂huyu naye kiherehere ,aki huyu dem
Mbona sasa bhailam anaanza kuiga swagga za kanumba
Uyo baba mwenye nyumba anasauti ya mawaidha anafaa kuwa msikitin
Nice 👍
Good job
Thanks
Good
Bhailam msomyi Kabsa, anaigiza kisomyi Kweli kweli
Hahaha 😂🤣🤣 maina kauwa
Namuona Maina wa Chumvi nyingiii
Jaman me nawapenda mpaka raha et 😂
Mim wakwanza kukoment leo
Kazi nzuri sana hii nimeipenda sana sema nini huyu mwarabu boss anabalaaa hongera sana Bhailam na team nzima kwaujumla hii kazi ni 🔥
😂😂😂🎉🎉🎉jamani
kibali San broo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Next part jamani
Chuma hatariii
😂😂😂
Leo mbwela kacheka 😂
Kaka punguza nywele kidogo
Maina kwa shobo eti sSalman khan
🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤