Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Kazi nzuri steeve hao tunaishi nao mtaaan wanga kwenye biashara za wenzao
Asante Sana kaka ombi langu limesikika basi ni mwendo wakuendelea tu Kwa raha zetu😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Ehdegfgafydhdghgyfr@@MoFaros
🎂🩷💗💖💗🩷💖🙈🙈🙁🙁🙁💖
Kenyan in Saudi Arabia watching and enjoying as well
Ndugu Steve Mweusi unanifurahisha mupaka kwangu Bukavu, Congo-Kinshasa.😂😂😂💟🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🤣🤣🤣🤣🤣 Steve unajitoaga ufahamu,hua nikiangalia comedy zako nacheka mpaka inapoisha
vice mesh
Nimecheka kujinga jamani stivu mtoto anakuelekeza vizur wewe unamtimia🤣🤣🤣🤣🤣
Hi
Sele jamani hongereni kwa kazi nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi au nipe hiyo mia mbili nikuuzie😂😂😂
Am from Nairobi_Kenya i like watching this channel.its one of my favourites. ❤️❤️❤️
Mamb
Uchawi upoo aise! Steve hatari🤸🤸
😢😢 we acha t😢😢
Man I enjoy your comedy am in kampala
Brother kal sana tena naomba namba tatu brother Fanya kama sizon bandika bandua aidia kal sana
Darodi
Ila kweli Aya maisha Aya mambo ypo kbs
Ni kweli haya mambo yapo ,hata hivyo nimelike na comedy za stive na dogo sele mi shabiki wao no.onebi like it yeah 😂😂😂❤❤❤😅
Habali zaleo
@@NyamiziJumanne-k7z nzuri 2 sijui u
Yapo hayo mambo mujuwe hee duka wanalifunga wewe unakaa wateja wanaona limefungwa
Vraiment super Steve
Steve good job keep it up
Nakubali br
Akili ni mali kweli, ivi Steve jamaaan haoni andazi zake zinavyo geuka vijiwe na kiatu kinavyo ikaa juu🤣
Wee unakuwa huoni mwenyewe unaona maandazi tu hapo ni kiini macho
🤣🤣🤣🤣🤣
Haoni chochot
😂😂😂😂😂😂😂
Nimekua wa kwanza kulike leo
Steve maandazi yametoka wapi wakati ulikuwa na mawe
Steve anauza maandazi ya Mungu😂😂😂{Mawe}
Mambo
Mko vizur San mm ninamwanangu natamani angekuja mumuone maana naona km anakipaji japo sijui km nyie mtamuona kaka yangu
Aahahhaaa🤣🤣Dogo sele kachanganyikiwa
Nakubali
Jamani balikiwe sana 😀😀😀😀
Jamani stivu sialikuwa anauza mawe🎉mnilike🎉🎉🎉🎉🎉mhh jamani vichekesho❤❤
Ahaa hii nimeipenda
Siteve unanifulahishaga mv zako kinomaaa
Mwijaku hunasela wewe mshauri mwambino wako hatanyimbo hatoi mmezidiwa na kijana mnaanza kugombanisha hawaachani kwa ajiri ya maneno ya mkosaji
Steve brother nakukubali sana
steve acha ncheke mie😀😀😀
We Ni shida Steve 😂😂
Mm nacheka tu jamani Dunia Ina mambo
🤣🤣🤣🤣🤣 I like it 🇰🇪🇰🇪🤝
Sell wewe HHhH😀😀😀😂😂😂🤣🤣
Naomba.kuona.x❤Ili.nijue.stairZa.kumpaMumeWangu
😂😂😂😂 nikuuzie ama uyale 😂😂😂😂 chagua moja 🤣🤣🤣
Steve hii Kali bro nakufatelia nikiwa kenya eldoret mkanle mimi
Mbona stive hajamshtukia kama dada mchawi
Nakubalii😂😂😂😂
Ongera sana broo vichekesho vyko havina mbambamba 🤣🤣
eti stive anaambiwa unaona watu watoto wadogo eti tutakuja tukupige
Oy lazm aw3 chiz
MIMI NAONA UMUUZIE KAMA HATAKI KUYALA 😂😂
KUNA WATU WACHAWI JAMANI 😂😂😂😂😂😂😂
Na yebo juu 😂😂
Eti anamawazo mengi itamfaliji weekend 😂🤣🤣😂
I don't always have good time with you guys tomorrow morning
Dah! nyie waigizaji mnaona mbali sana ila kwer yapo
Asa mbona video hatima ya uchawi huu hatuuoni mi nkajuwa atakuja kujua kitu kumbe mchezo ule ule tuu haha
Mbona jakuja tokea mmoja akamuambia anacho kiuza
Haaa haya mambo kwenye jamii zetu yapo
Good good 👍🏾
nakubar
Twende had umuumbue uyo Dada itakua unyama sana sana mim shibiki ako number one
😢😢😢 mmh jaman amakweli kazin kwake kuna kazi
😃😃😃😃eti nikuuzie au uyale😃😃😃😃
Naipenda sana naishi malawi
Vizuli sana kaka unachekesha ilA kanafundish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Please subtitle your videos in English for us your fans who don't understand kiswahili.Thanks.
Watoto ni malaiqa,Ila Uchawi Upo🤣🤣😃😃
Mobandoimekwisha😢 c book🌹🌹🌹
Acha watoto wadogo waje kwangu
Mnamalizaje kiboya hivi
We Kaa na mawe yako😝🤣🤣🔥
Jmn wa pili mbona hajakuja leo
Eti nikuuzie ama huyale😂😂😂😂
Kwakweli nihatali sana😂
Jaman uchawi upoo aiseee
Mh atalia sana jamani
Aaaaash Nami nawapa pole mashabiki wenzangu.
munajua sanakwa macho ya nyamayanaonekana maandazkwa jicho la tatu yanaonekanamawe
Ohooooooo pamban San kaka
Bonge ya mawe na yebo kwa juu alooh so mchezoo🤣🤣🤣
Stivo kwelii ni MkenyaaA, Anauuza mawe Za maaAndamano, Can Any Mjaliuo GathereeE HEREe😂😢😢😢
Kwel huchaw hup ila uyu dad kanzid sasa 😅😅😅😅😅
Asante sele vichekesho vyako vinanipa falaja
Duuuh!kaz ipo Mungu tusimamie
Watching from Kenya 👊👊
Nakupenda sana ndg yangu
Yaani sijuagi nini anaongeaga Huyu ila nachekagachekaga tu 😅😂
Jaman kwel uchaw upo
😅😅 jmn
hello am from meru I love the video
wa mtwara steve namuelewa sana
Ombi langu anaekupa maandazi umuuzie Steve aje kijiweni ajeajionee mwenyewe uyo Dada mchawi apigwe kidogo anankera jaman😭😃😃... Asma jaman daah😂😂🙌
Eeee😂😂😂
Kweli kabisa😢😢😢😢😢😢
😂😂😂
P pp@@EmeldaMpagama
ucHAwiupoAzAmAmAwE
Watu wanaroga ad maandaz jmn
Nimependa
Mbona stive biashara yako inaonekana unauza mawe
Pamoja Sana, Steven
Waah stevu ghai 🤣🤣🤣🤣
Huyu sxs hivi anakula mb zetu bule
Maandazi ya mungu🤣🤣🤣🤣
Haaaa anauza mawe
Kweri stiv uge msikiliza mtoto
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ni kweli haya yapo it's reality kisha uwezi juwa wewe wateja ndio waona Mungu twepushie hayo ushirikina 😂😂😂😂😂 stive nakupenda.
Kweli kabisa hebu nisaidie umwambie hiyo dada Aache roho mbaya jaman daah🤔🤔
Duuh...hii kali imentoa mbavu mm😅😅
Jaman uyo dad mchaw san
Izo nywele nishida
😃😃😃😃🔩tutakuja tukupige
Kazi nzuri steeve hao tunaishi nao mtaaan wanga kwenye biashara za wenzao
Asante Sana kaka ombi langu limesikika basi ni mwendo wakuendelea tu Kwa raha zetu😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Ehdegfgafydhdghgyfr@@MoFaros
🎂🩷💗💖💗🩷💖🙈🙈🙁🙁🙁💖
Kenyan in Saudi Arabia watching and enjoying as well
Ndugu Steve Mweusi unanifurahisha mupaka kwangu Bukavu, Congo-Kinshasa.😂😂😂💟🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🤣🤣🤣🤣🤣 Steve unajitoaga ufahamu,hua nikiangalia comedy zako nacheka mpaka inapoisha
vice mesh
Nimecheka kujinga jamani stivu mtoto anakuelekeza vizur wewe unamtimia🤣🤣🤣🤣🤣
Hi
Sele jamani hongereni kwa kazi nzuri
🤣🤣🤣🤣🤣 Steve mweusi au nipe hiyo mia mbili nikuuzie😂😂😂
Am from Nairobi_Kenya i like watching this channel.its one of my favourites. ❤️❤️❤️
Mamb
Uchawi upoo aise! Steve hatari🤸🤸
😢😢 we acha t😢😢
Man I enjoy your comedy am in kampala
Brother kal sana tena naomba namba tatu brother Fanya kama sizon bandika bandua aidia kal sana
Darodi
Ila kweli Aya maisha Aya mambo ypo kbs
Ni kweli haya mambo yapo ,hata hivyo nimelike na comedy za stive na dogo sele mi shabiki wao no.onebi like it yeah 😂😂😂❤❤❤😅
Habali zaleo
@@NyamiziJumanne-k7z nzuri 2 sijui u
Yapo hayo mambo mujuwe hee duka wanalifunga wewe unakaa wateja wanaona limefungwa
Vraiment super Steve
Steve good job keep it up
Nakubali br
Akili ni mali kweli, ivi Steve jamaaan haoni andazi zake zinavyo geuka vijiwe na kiatu kinavyo ikaa juu🤣
Wee unakuwa huoni mwenyewe unaona maandazi tu hapo ni kiini macho
🤣🤣🤣🤣🤣
Haoni chochot
😂😂😂😂😂😂😂
Nimekua wa kwanza kulike leo
Steve maandazi yametoka wapi wakati ulikuwa na mawe
Steve anauza maandazi ya Mungu😂😂😂{Mawe}
Mambo
Mko vizur San mm ninamwanangu natamani angekuja mumuone maana naona km anakipaji japo sijui km nyie mtamuona kaka yangu
Aahahhaaa🤣🤣
Dogo sele kachanganyikiwa
Nakubali
Jamani balikiwe sana 😀😀😀😀
Jamani stivu sialikuwa anauza mawe🎉mnilike🎉🎉🎉🎉🎉mhh jamani vichekesho❤❤
Ahaa hii nimeipenda
Siteve unanifulahishaga mv zako kinomaaa
Mwijaku hunasela wewe mshauri mwambino wako hatanyimbo hatoi mmezidiwa na kijana mnaanza kugombanisha hawaachani kwa ajiri ya maneno ya mkosaji
Steve brother nakukubali sana
steve acha ncheke mie😀😀😀
We Ni shida Steve 😂😂
Mm nacheka tu jamani Dunia Ina mambo
🤣🤣🤣🤣🤣 I like it 🇰🇪🇰🇪🤝
Sell wewe HHhH😀😀😀😂😂😂🤣🤣
Naomba.kuona.x❤
Ili.nijue.stair
Za.kumpa
Mume
Wangu
😂😂😂😂 nikuuzie ama uyale 😂😂😂😂 chagua moja 🤣🤣🤣
Steve hii Kali bro nakufatelia nikiwa kenya eldoret mkanle mimi
Mbona stive hajamshtukia kama dada mchawi
Nakubalii😂😂😂😂
Ongera sana broo vichekesho vyko havina mbambamba 🤣🤣
eti stive anaambiwa unaona watu watoto wadogo eti tutakuja tukupige
Oy lazm aw3 chiz
MIMI NAONA UMUUZIE KAMA HATAKI KUYALA 😂😂
KUNA WATU WACHAWI JAMANI 😂😂😂😂😂😂😂
Na yebo juu 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Eti anamawazo mengi itamfaliji weekend 😂🤣🤣😂
I don't always have good time with you guys tomorrow morning
Dah! nyie waigizaji mnaona mbali sana ila kwer yapo
Asa mbona video hatima ya uchawi huu hatuuoni mi nkajuwa atakuja kujua kitu kumbe mchezo ule ule tuu haha
Mbona jakuja tokea mmoja akamuambia anacho kiuza
Haaa haya mambo kwenye jamii zetu yapo
Good good 👍🏾
nakubar
Twende had umuumbue uyo Dada itakua unyama sana sana mim shibiki ako number one
😢😢😢 mmh jaman amakweli kazin kwake kuna kazi
😃😃😃😃eti nikuuzie au uyale😃😃😃😃
Naipenda sana naishi malawi
Vizuli sana kaka unachekesha ilA kanafundish😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Please subtitle your videos in English for us your fans who don't understand kiswahili.
Thanks.
Watoto ni malaiqa,Ila Uchawi Upo🤣🤣😃😃
Mobandoimekwisha😢 c book🌹🌹🌹
Acha watoto wadogo waje kwangu
Mnamalizaje kiboya hivi
We Kaa na mawe yako😝🤣🤣🔥
Jmn wa pili mbona hajakuja leo
Eti nikuuzie ama huyale😂😂😂😂
Kwakweli nihatali sana😂
Jaman uchawi upoo aiseee
Mh atalia sana jamani
Aaaaash Nami nawapa pole mashabiki wenzangu.
munajua sana
kwa macho ya nyama
yanaonekana maandaz
kwa jicho la tatu yanaonekana
mawe
Ohooooooo pamban San kaka
Bonge ya mawe na yebo kwa juu alooh so mchezoo🤣🤣🤣
Stivo kwelii ni MkenyaaA, Anauuza mawe Za maaAndamano, Can Any Mjaliuo GathereeE HEREe😂😢😢😢
Kwel huchaw hup ila uyu dad kanzid sasa 😅😅😅😅😅
Asante sele vichekesho vyako vinanipa falaja
Duuuh!kaz ipo Mungu tusimamie
Watching from Kenya 👊👊
Nakupenda sana ndg yangu
Yaani sijuagi nini anaongeaga Huyu ila nachekagachekaga tu 😅😂
Jaman kwel uchaw upo
😅😅 jmn
hello am from meru I love the video
wa mtwara steve namuelewa sana
Ombi langu anaekupa maandazi umuuzie Steve aje kijiweni ajeajionee mwenyewe uyo Dada mchawi apigwe kidogo anankera jaman😭😃😃... Asma jaman daah😂😂🙌
Eeee😂😂😂
Kweli kabisa😢😢😢😢😢😢
😂😂😂
P pp@@EmeldaMpagama
ucHAwiupoAzAmAmAwE
Watu wanaroga ad maandaz jmn
Nimependa
Mbona stive biashara yako inaonekana unauza mawe
Pamoja Sana, Steven
Waah stevu ghai 🤣🤣🤣🤣
Huyu sxs hivi anakula mb zetu bule
Maandazi ya mungu🤣🤣🤣🤣
Haaaa anauza mawe
Kweri stiv uge msikiliza mtoto
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ni kweli haya yapo it's reality kisha uwezi juwa wewe wateja ndio waona Mungu twepushie hayo ushirikina 😂😂😂😂😂 stive nakupenda.
Kweli kabisa hebu nisaidie umwambie hiyo dada Aache roho mbaya jaman daah🤔🤔
Duuh...hii kali imentoa mbavu mm😅😅
Jaman uyo dad mchaw san
Izo nywele nishida
😃😃😃😃🔩tutakuja tukupige