MASHABIKI SUGU WA STEVE MWEUSI. AND NDARO Tz. BASI TUJUANE KWA COMMENTS NA LIKE. PLEASE GUYS LEO NIPENI HATA LIKE MBILI TU? ZINA TOSHA ❤❤❤❤ TEAM MWEUSI FAMILY ATUPOI PIA ATUBOI 😅😅😅😅
Naweza kuigiza sana2 kama sitevu naomba anisaidie uwezo ninao pssss😢 nakipaji lakini cna uwezo wa kushot saporty tatizo nikiongea mnasoma2 nakuangaliaa kunisaidia aaah aaah😢
I'm from Rwanda Kigali, we love very very ..... So much Steven Moses . He has a good talent.
Tunao mkubali ndaro tujuane 👍🇨🇩
Tupo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂steve ❤❤❤ from kenya alafu ndaro mungu anakuona
MASHABIKI SUGU WA STEVE MWEUSI. AND NDARO Tz. BASI TUJUANE KWA COMMENTS NA LIKE. PLEASE GUYS LEO NIPENI HATA LIKE MBILI TU? ZINA TOSHA ❤❤❤❤ TEAM MWEUSI FAMILY ATUPOI PIA ATUBOI 😅😅😅😅
#mweusi family AkA shady from kenya❤❤
Much love from Kenya guys like back ❤😂
Huyu bossi yuko sawa kabisa kwa ku acti, anakubalika kwenye kipindi, Steve na Ndaro muendelee kumshirikisha🥰
Steve Na ndaro mtakuja kutuwua nyinyi
Nawafuatilia kutoka BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Noma
TEAM MWEUSI FAMILY TUJUANE JAMANI LEO MIMI NDO WA KWANZA 😂😂😂❤❤❤
Mm wa 2
I like it😍🥳
anamupenda steve hapa gonga like tuwondoke
Sema mdada ana mshepu huyoo duuuh 😊🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂 ndalo umetisha adi masega unaysjuwa 😂😂😂😂😂😂😂 umetisha
Nyie mtatuchekesha ,kazi bora kwenyu
Yanaweza Sana haya
Boss unaruhusu kuua hapa ofisini steve mikwala
Watching from Nairobi City🥰
Asante sana Steve na daro,,,,mnatubamba vzr huku 🇰🇪
Duh! aisee nimecheka mpaka machozi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eti tukaongelee pembeni hahahahahaha steve na ndaro 🇹🇿🖐️
Huyu jamaa walieigiza na kina Steve na ndaro nae anajua aisee,katembea na biti sana
Munanifuraishaa sana 😂😂❤❤
Hata upewe watoto kama stevu na ndaro buree utawakataaa😂😂💔
Noma sana
Uyu dada mzuri❤❤❤
one day i will work with this guys ama in kenya❤❤
First establish your acting prowess in Kenya first,get known then think of working with them
@@RKBro-jr1ts i think my abilities are enough i have been in acting not less than 5yrs now give me a hookup and see
Wa kwanza from Kenya 😂😂😂😂
Wapi likes za wakenya tukisonga 💯☑️☑️💯
Dada mrembo sana sana❤❤
Yani Steve n'a ndaro mungu anawaona😂😂😂😂😂
Boss awa watu wawili watakumiza kichwa
daah! nyie steve na ndaro mtatuua jaman👍👍 7:48
Ndaro stev 🔥🔥🔥
Huyo anajua sana kucheza cinema
Wew hauna akaa😂😂
Steve nakubali mpaka chechi inabaki
NIMEINGIZA LIKE IMEFIKA 3.1k asante sana
😂😂😂😂😂ndaro nakupenda walah
Jaman steve ananchekesha sana
😂😂😂😂😂 Steve kakimbia 😂😂😂
masegaa
Ww dada jieshimu ujistiri mwili wako ukienda Kwa Mungu utatoboa kweli
Mimi namkubali sana Steve mweusi
Vraiment Steve 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
❤❤s❤
Naweza kuigiza sana2 kama sitevu naomba anisaidie uwezo ninao pssss😢 nakipaji lakini cna uwezo wa kushot saporty tatizo nikiongea mnasoma2 nakuangaliaa kunisaidia aaah aaah😢
😂😂😂😂😂 pambana Mathias pambana
😂awasomagi coment so pambana na hali yako 😅
Unataka ubebwe utoboe bila kuhangaika. Pambana mzee simu unayo. Tafuta jina, fungua RUclips, Tick tock na Instagram+Facebook. Tafuta dogo mtaani awe anaRecord skit zako. Jifunze editing n.k. Ukilia lia tunakuona mzembe.
Tafuta uigizaji wako usiokuwa kama wa steve.
Kabisa wakuu hawakumbuki wadogo😢😢.
Boss Ako na kibarua kweli
Ana kazi mbili kuangalia kazi yake na wafanyazaki
😂😂😂😂😂 boss unaruhusu kuua hapa kazin
Nawakubali sana
😂😂😂😅 ila nyinyi😅
Tu mukate Steve mushahara wake😅😅😅😅😅😅😅
Jamani mimi naomba mugonge kwa picture tu mukipendezua na videos zangu munisaport na sabo ahsanteni🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tokooos
Ndaro mbona unamzaba customer? 😂😂😂😂😂😂
Mr fire 🔥🔥🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ndaro my all time crushiee😊
Hauna ahaaaaaaaaaaaaa aka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hla.ndaro
Jama.noma.sana
Amnaaa kaziii apo!!!!
Steve tu vas me tué de rire😂
Mm nipo apa Qatar 🇶🇦 🎉lakini nampa hii
Kazi mzuri sana💪💪💪
Ndaro na Stivu 😂😂mnavichwa vibovu kwakweli
@Highlight🔥🔥
Kuniangalia tu kuoga aaah..😂😂😂😂😂😂😂
Huyo ni boss au
😂😂😂😂😂 kofiya na vi rasta hawajuwiii lolote kuhusu mambo ya garage 😅😅😅😅
Na Mimi kuigiza na weza lakin sina sapoti😀😃😄😁🩷😼
Kazin Kuna kazi😅😅😅
😂😂😂😂Boss unaruhusu kuua kazini 😅😅😅Steve wewe kweli
😂😂😂😂daaaaah nyie watu
Niko congo
Wa5 lik zang wadau
Ahaha ndalo na steve
Eti alama za gereji😂😂😂😂😂
Kuchonganishana tu, Kuoga Aaaaaah!!!
Kazi iendeleeeee
VERY Talented except background laugh , it is so annoying
Etiii kuniangaliaa tuu kuogaaa aaah😂😂😂😂
Rim Allignment duh Mamae Ndaro😅😅
Nawakubali sana Steve na Ndaro
Et lim alliament😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Naombeni tafadhali Steeve mtuletee Amad Kijiicho bro
😂😂katufananishaaa Steve'
Jmn wananifuraishaa kama stivuu atari
Hauna akaaa😂😂😂
Naomba namba ya Steve
Hio Kofi ya mwisho ilikuwa personal 😅😮
Steve wewe unanipasua mbavu ukiwa na ndaro 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 njaaaa we nani akatwe nani😂😂
Part 2 🤣🤣😂😂😂
😂😁😁😁😁mnaniangalia tu kuoga Aaah
nimechoka kununua band jemeni 😂😂😂😅😅😅😅😂
Dada lina shepu balaa❤
Dah hawa jamaaa dah😂😂😂😂😂😂😂😅
Ndaro na stive safi sana
Mtaniuwa nyinyi 😂😂😂
Mafundi wavituko sana😂😂😂😂😂
😂😂😂 nakuuliza dada hauna hakaaaa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ouma from kenya migori county
😀😀😀😀😀