Mchambuzi Mwandamizi wa mpira wa miguu Tanzania. Ukimaliza hii zungumzia uboreshaji wa kikosi cha wananchi na hatma ya ushindani na kukua kwa ligi yetu msimu ujao.
Jimmy floid hassalbank wa chelsea kabla kununuliwa chelsea alikua mfungaji bora wa league ya England wakati team yake ya Leeds ilishuka daraja msimu huo...
Mimi bado nalia na viongozi wa simba kama makocha wakigeni wanakosea alafu analetwa mgunda timu anaiweka sawa kwanini mgunda asipewe timu hata kwa msimu 1 tu
Jimmy floid hassalbank wa chelsea kabla kununuliwa chelsea alikua mfungaji bora wa league ya England wakati team yake ya Leeds ilishuka daraja msimu huo...
Mchambuzi Mwandamizi wa mpira wa miguu Tanzania. Ukimaliza hii zungumzia uboreshaji wa kikosi cha wananchi na hatma ya ushindani na kukua kwa ligi yetu msimu ujao.
Mzee wa data 😊 nakukubali sana achana na wale wachambaji
Hakika uchambuzi wako ni WA uweledi wewe ni mchambuzi WA uhakika asante sana
Nice
Jimmy floid hassalbank wa chelsea kabla kununuliwa chelsea alikua mfungaji bora wa league ya England wakati team yake ya Leeds ilishuka daraja msimu huo...
Namkubali sana mwaduke
Ww ndo umekariri mwenzako anachambua soka asilia
Nilikua nasubili kwa hamu kubwa kukusikiliza ,hatmae nimekusilikiza vzur
Huyu ndiye mchambuzi sahihi anatoa data siyo wachambuzi wengine wanabwabwaja tu
Bigg up
Geita imeshuka Daraja lakn Valentino Mashaka kapanda Daraja ni kiwango cha juu sana na juhudi binafsi za mchezaji
Mimi bado nalia na viongozi wa simba kama makocha wakigeni wanakosea alafu analetwa mgunda timu anaiweka sawa kwanini mgunda asipewe timu hata kwa msimu 1 tu
Kwan mgunda amefanya lipi zuri zaidi ya kuifunga azam 🤣
Uhakika..
Huyu jamaa hzo namba anakariri vp
Ana nyota ya kushusha timu
Jimmy floid hassalbank wa chelsea kabla kununuliwa chelsea alikua mfungaji bora wa league ya England wakati team yake ya Leeds ilishuka daraja msimu huo...
Nice