MBWADUKE:MARVELOUS! HUYU OKEJEPHA NI KIPAJI HASA SIMBA/ MVP NIGERIA ANAYEKATA UMEME BILA KAZI CHAFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Комментарии • 31

  • @fanuelfedrick2812
    @fanuelfedrick2812 21 день назад +26

    Naombeni like siyo ubaguzi hivyo

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg 20 дней назад +2

    Sawaa Simba tumesajili
    Lakini mwanetu #Mbwaduke kazi ya uchambuzi anaiweza aiseeee
    Big up sana Brother

  • @FedeBoy-t5u
    @FedeBoy-t5u 21 день назад +12

    Pia ningeomba utupe uchambuzi kuhusu Deborah Fernandez

  • @Stavanger-cr3ee
    @Stavanger-cr3ee 21 день назад +6

    MO, unatishaaaaa, ila Fei na Mayele TUACHIE sisi Mashabiki tukusaidie, unafanya kazi kuuubwa Mzee baba🏆🏆🏆

  • @user-ix3ml6dm6y
    @user-ix3ml6dm6y 20 дней назад +1

    Jaman naomba like na ww

  • @drallan6879
    @drallan6879 21 день назад +3

    tunafurahia presentation zako mwaduke

  • @JohnMhenga-cj2cs
    @JohnMhenga-cj2cs 22 дня назад +4

    Welcome okejepha

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 21 день назад +1

    Ukisikia jina Fernandez ni shida ❤

  • @user-habarinamichezo
    @user-habarinamichezo 21 день назад

    Mungu ajalizie kazi ya mikono yko broo❤❤❤

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 21 день назад +4

    Huyu dogo anaonekana anatumia akili sana

  • @AbdullyMtwane
    @AbdullyMtwane 21 день назад +2

    Welcome debola mavambo fernandez

  • @Mariampaul-me7qo
    @Mariampaul-me7qo 17 дней назад

    Mchambuzi boraaaa🎉🎉🎉

  • @NasmaMwarabu
    @NasmaMwarabu 21 день назад

    FEI mwakani ndani ya simba

  • @KhamisMakame-w7c
    @KhamisMakame-w7c 14 дней назад

    Nakubali uchambuzi wako
    😊😅😮😢

  • @user-bi6bo2hh9o
    @user-bi6bo2hh9o 20 дней назад

    Moo chukua fei toto simba atakiwahsa sanaaa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 21 день назад +3

    Mo Mayele na Fei tunawaomba

  • @user-tb1fe4it1m
    @user-tb1fe4it1m 21 день назад

    Ahsante kwa uchambuzi ila tusaidie na failure Zak maan mazuri tayari tumeshapata mr . Statics

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  20 дней назад

      Umesikiliza mpaka mwisho Mkuu au bando lilikata? Mbona humu Mzee wa Data kaeleza yote mazuri yake na changamoto zake? Sikiliza tena vizuri...

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd 21 день назад +4

    Simba inasajili udagaudagaaa😂😂😂😂😂😂😂duh patamu hapo

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 19 дней назад

    😂😂utopolo mnasikia haya, Heshima lazima.

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 21 день назад +1

    Nilikuwa nasubili upange kikos Cha Simba kitakavyokuwa

  • @NicolasSaimon-ot8pe
    @NicolasSaimon-ot8pe 22 дня назад +2

    Wakwanza leo😅

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 21 день назад +1

    Vyura washapata hofu hapa😢

  • @HairuIssa-f9y
    @HairuIssa-f9y 21 день назад +2

    Nkufuatlia xn

  • @StephenMezza-wg4ts
    @StephenMezza-wg4ts 21 день назад

    Tunaomba utupe taarifa za ELIE MPANNZU

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  20 дней назад

      Tusubiri Welcome(s) mpya ili kujua kama naye yumo ama ama la!

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 21 день назад

    Ningekua kiongozi yoyte pale simba ningemuajiri huyu mwamba ktk uchambuzi wa wachezaji na kujua na akae wapi ,kwa sababu ipi, huyu ni hatari

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 21 день назад +2

    Mnasemaje hukoooo

  • @StephenMezza-wg4ts
    @StephenMezza-wg4ts 21 день назад

    Vp Elie Mpanzu amesajiliwa na Simba ?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  20 дней назад

      Soon...jiandae maana Mzee wa Data atatiririka hapa kwa facts tupu!