MBWADUKE: VERY SERIOUS! AISEE SIMBA KWA STRAIKA HUYU WATU WAJIPANGE/ ANATISHA MABAO, ASSISTS...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Комментарии • 46

  • @AsmaaMohamed-q2o
    @AsmaaMohamed-q2o 3 месяца назад +8

    Mung walind wachezaj wet na hasad za yanga

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 3 месяца назад +5

    Huyu mwamba Mimi Nina imani kubwa naye, akimpata na mpanzu moto utawaka

  • @YohanaJumanne-v3v
    @YohanaJumanne-v3v 3 месяца назад +3

    Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii

  • @jacobando7186
    @jacobando7186 3 месяца назад +3

    Mungu awatie nguvu tupate furaha kwenye Simba yetu

  • @Mgnadanny
    @Mgnadanny 2 месяца назад

    Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 3 месяца назад +1

    Sana ndugu zangu nikuomba sana kwa mwenyezi mgu Tim yetu ya simba nipende kuwatakia usajili mzuli

  • @f.a6043
    @f.a6043 2 месяца назад

    Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana

  • @FreniceFrenice
    @FreniceFrenice 3 месяца назад +3

    Mungu wasidie wachezaji wa simba msimu huuu

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp 3 месяца назад +3

    Mungu atusaidie wachezaji waipende simba

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 3 месяца назад +2

    Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu wakinge na maradhi na uwalinde na hatari zozote
    ❤❤❤❤❤💪

    • @WalterJosephat
      @WalterJosephat 3 месяца назад +1

      Heshima ya simba msimu huu ni viongozi kuwa na wachezaji karibu nao

  • @makalikuwili6889
    @makalikuwili6889 2 месяца назад

    Asante kwa uchambuzi

  • @NasmaMwarabu
    @NasmaMwarabu 2 месяца назад

    Wachawi wampitie mbali

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 3 месяца назад +1

    Tuko pamoja tusikate tamaa

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 2 месяца назад

    💚💚💚💚💛💛💛💛💛

  • @rashidimalolo3894
    @rashidimalolo3894 3 месяца назад +2

    Uyu mukwala ni mali haswa

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 2 месяца назад

    💚💚💛💛

  • @darlingtonekagose2750
    @darlingtonekagose2750 3 месяца назад +2

    Kabla yote nshaota hii kiru😊

  • @jumamagembe-k8n
    @jumamagembe-k8n 3 месяца назад

    mwenyezi mungu tumelia sana tunaomba uwapenguvu wachezaji na uwalinde na majeraha Simba nguvu moja

  • @Cutenaah
    @Cutenaah 2 месяца назад

    💚💛

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 3 месяца назад

    Mo Tafadhali huyo Mangungu akileta kujua na au kugawa wachezaji ataolewa hapo kwa njia asizoweza kuhimili atachota kilichomchelewesha kujiuzuru.

  • @rahmamussa5683
    @rahmamussa5683 3 месяца назад

    Mayele watamtambulisha mwisho niko hapa mje mnipe maua yangu❤❤❤ simba nguvu moja

  • @DaxydizzyChristopher
    @DaxydizzyChristopher 3 месяца назад +1

    Huyu ndo mchambuzi sio kina baba levo

    • @princetongejr
      @princetongejr 3 месяца назад

      Hahahahaha Kwan baba levo mchambuzi wa nin jmn hukoooooooo 😂😂😂😂😂😂

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 3 месяца назад

    Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha

  • @JumaSelemani-q1d
    @JumaSelemani-q1d 2 месяца назад

    Duh huyu jamaa kwa uchambuzi tuko vzr sana

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 3 месяца назад

    Ile somba ya kina kagere kahata mugalu naona inarudi tena kwa maranyingine

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws 3 месяца назад

    Uko VEMA Mkuu Mchambuzi mbobezi.

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 3 месяца назад

    Wasimloge tu majirani hahaha

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 3 месяца назад

    Sana apo nimoto tuu kama tuta fanikiwa 😊

  • @KapelahassanKapela
    @KapelahassanKapela 3 месяца назад

    Allah bless ximb

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto 3 месяца назад

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @danfordbarnaba4423
    @danfordbarnaba4423 3 месяца назад

    Good analysis sir

  • @VenastusMuganga
    @VenastusMuganga 3 месяца назад

    Utasubuliwa sana na simba.

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto 3 месяца назад

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto 3 месяца назад

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto 3 месяца назад

    jamaa anamkwara 😂😂 9:48

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto 3 месяца назад

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @V24hrs
    @V24hrs 3 месяца назад

    Yanga wakimloga mtamkataa

  • @BazuuKanakarha
    @BazuuKanakarha 3 месяца назад

    We huyu ni moto 🔥🤣

  • @JumaBakari-pt9lr
    @JumaBakari-pt9lr 2 месяца назад

    ❤❤❤

  • @maxgerad5083
    @maxgerad5083 3 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo 3 месяца назад +1

    Hawezi kutusumbua sisi yanga