Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii
Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo
Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana
Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha
Mung walind wachezaj wet na hasad za yanga
Huyu mwamba Mimi Nina imani kubwa naye, akimpata na mpanzu moto utawaka
Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii
Mungu awatie nguvu tupate furaha kwenye Simba yetu
Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo
Sana ndugu zangu nikuomba sana kwa mwenyezi mgu Tim yetu ya simba nipende kuwatakia usajili mzuli
Kinachotakiwa tu kuwe na mshikamano kuanzia uongozi mzima bench la ufundi na wechezaji wenyewe Sambamba na kuwalipa wachezaji pamja na walimuvwao kwa muda na viwango walivyokubaliana hapo mambo yatakua mazuri sana
Mungu wasidie wachezaji wa simba msimu huuu
Mungu atusaidie wachezaji waipende simba
Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu wakinge na maradhi na uwalinde na hatari zozote
❤❤❤❤❤💪
Heshima ya simba msimu huu ni viongozi kuwa na wachezaji karibu nao
Asante kwa uchambuzi
Wachawi wampitie mbali
Tuko pamoja tusikate tamaa
💚💚💚💚💛💛💛💛💛
Uyu mukwala ni mali haswa
💚💚💛💛
Kabla yote nshaota hii kiru😊
Hahahahha! Hongera kwa ndoto nzr
mwenyezi mungu tumelia sana tunaomba uwapenguvu wachezaji na uwalinde na majeraha Simba nguvu moja
💚💛
Mo Tafadhali huyo Mangungu akileta kujua na au kugawa wachezaji ataolewa hapo kwa njia asizoweza kuhimili atachota kilichomchelewesha kujiuzuru.
Mayele watamtambulisha mwisho niko hapa mje mnipe maua yangu❤❤❤ simba nguvu moja
Huyu ndo mchambuzi sio kina baba levo
Hahahahaha Kwan baba levo mchambuzi wa nin jmn hukoooooooo 😂😂😂😂😂😂
Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha
Duh huyu jamaa kwa uchambuzi tuko vzr sana
Ile somba ya kina kagere kahata mugalu naona inarudi tena kwa maranyingine
Uko VEMA Mkuu Mchambuzi mbobezi.
Wasimloge tu majirani hahaha
Sana apo nimoto tuu kama tuta fanikiwa 😊
Allah bless ximb
jamaa anamkwara 😂😂
Good analysis sir
Utasubuliwa sana na simba.
jamaa anamkwara 😂😂
jamaa anamkwara 😂😂
jamaa anamkwara 😂😂 9:48
jamaa anamkwara 😂😂
Yanga wakimloga mtamkataa
We huyu ni moto 🔥🤣
❤❤❤
❤❤❤❤
Hawezi kutusumbua sisi yanga
Sawa