Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.
@@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂
Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...
😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂
Nakuelewa kaka like wekundu
Kwakweli mwakani huu tumesajili sanaaa shida moja kunaupande wapili kuna kazee kamoja hatari sanaaa
Simba nguvu moja ❤
Aisee wapinzani wajipange simba nguvu moja❤
Bora utusifia baba mwaduke tungesema ss tungekoma
Facts speaks volume...ila kinachosubiriwa zaidi ni uwanjani na siyo alikotoka. Wapo wachezaji hufanya vizuri eneo moja na kuchemsha eneo lingine. Muhimu ni kuyfanyia kazi changamoto zake.
Simba sc nguvu Moja 🇹🇿❤❤
Kaka hongara sana uko vizuri ❤❤
Vyura ndio kazi yao kuroga wenzao mungu anawaona
Duuh!
Mungu bariki Simba yetu
Mungu ibariiki Simba yetu tuko pamoja
Simba nguvu moja
Daima mbele nyuma mwikooo💚💚💚💚💛💛💛💛💛
This is Simba brother 😮😮
THIS IS SIMBA BROTHERS & SISTERS. ❤
❤❤❤ nguvu moja
Cmba wasajili xana tatizo pini jaman daaah
Fanya na uchambuzi wa kocha mpya simba
Makofi yawafikie wana simba.
💯💯💯
💚💚💚💛💛💛
Kaka mm nasema tu unajua upewe maua yako bro
Kuna mganga amelipwa 100usd huku south Africa ili awaloge Simba s c new players. Wasiperfome
Mbna kama pogba
Kule🐸🐸🐸🐸🐸 yupo Loyce 😅😅😅😅
Hi mze WA DATA
Chama umeiona mbaya yule anaua
Simba inahatari
Namfananisha na pogba
😂😂😂 kwa kufananisha tuuu mpo vzr ila ngoja tusubiriii mvua inyesheeee ....... Tutapajua lawama zipelekwe wapiiii😂😂😂
@@mwanangusana gongowaz mkifungwa mara ooh ngao sio kombe 😅😅
@@africanbeez3644 kaka mkitufunga this time kwenye ngao .. nakutumia elfu 10..... Pale dube kushoto chama kulia Paccome inside 10 Aziz ki .... Baleke Baleke anampokea naniliii 😂😂😂
Waache waendelee na usajili ya wachama sisi kimya kimya
Tukutane Benjamin mkapa maneno yametosha
Hawa watu mwaduke usimalize uhondo Watsons wapinzani
Debora ni jina lakike😂😂😂😂💚💚💛💛
Anatamkwa "Debra"
@@stephenmakula9971 staki ni Debora usinilazimishe
@@Cutenaahna Joyce lomalisa alikua wa kike?
@@enroutetz yule tumemfukuza hatutaki majina yakike
ILA HAKUNA MCHEZAJI YOYOTE UMEWAHI KUMPONDA WOTE HUWA UNASIFIA
Huwa unamsikiliza vizuri mpaka mwisho Mzee wa Data? Mbona kila mchezaji huongelea mazuri yake kwa mujibu wa facts zilizopo na kisha huelezea changamoto zake kwa facts pia? Hebu tukumbushe ni mchezaji gani kamuelezea mazuri yake tyu mwanzo mwisho bila kuelezea changamoto zake...uklifanya hivyo utakuwa um,etuisaidia maana tutamuomba Mzee wa Data arudie uchambuzi wa mchezaji huyo. Ila kumbuka: Humu Mbwaduke Stats maoni hutolewa kwa kuzingatia facts zilizopo na siyo maneno matupu bila ushahidi...
Hebu ngoja mvua inyeshe tuone panapovuja
😂😂😂 mvua ikinyesha tutaona wapii panavuja ? Na wapi waelekeze lawama zao
1.kwa kocha
2.wachezaji
3.uongozi
4. Mdhamini au mfadhili
5. Au aondoke nazo Mangungu 😅😅😅😅
@@mwanangusana kabisa maana..
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
Kumbe ni dada Debora😂😂😂
Hakuna shida wenzetu mna dada Joyce
Chama pia mlikejeli jina lakini leo amechoka memchuku kwahiy. mafisi fc tulien tumtumie mmalizie mizoga
@@rashidgogo5558 kama mlichukuaga Niyonzima baada ya kutumika sana na Yanga so hyo ni kawaida kabisa hata nyie ni mafisi tu
Simba nguvu moja
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
😂😂😂 wakati wenu huu kujigamba na kutambaa... Ligi ikianza mtajua wenyewe lawama mzielekeze wapiii kwa moamed, wachezaji , kocha au mtamtupia lawama Murtaza Ali Mangungu 😂😂😂😂😂😂
Msimu ujao kaka 2taua tuzuliwe namapema na tff
Kaka mtatamba Sana pande izo kabla ligi kuanzaaa .... Ila ligi ikianzaaaaa pande hiz hamuwez kutambaaa 😂😂😂😂
@@mwanangusana🤫🤫🤫
@@mwanangusanaWewe wasema
@@taseleli9181 we unaonaje kaka ....??