MBWADUKE: TOBAAAH! MKATABA KUMBAKIZA KI YANGA TISHIO KWA WAPINZANI WAO/ KUNA PACOME, CHAMA, MAXI...
HTML-код
- Опубликовано: 9 июл 2024
- Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
KUMRADHI
Kumetokea tatizo la kiufundi lililoathiri ubora wa sauti. Samahani kwa usumbufu.
By Mhariri - Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
Uko vizuri nakukubali mno bro
From Kenya hukufuatilia sana
Huyu MBWADUKE apewe heshima yake jamani, anajua kuudadavula mpira
Hakika
Ni kweli kabisa a me we Mauwa yake, maelezo yake yamenyooooka haswa.
🌹🌹🌹🌹
Anabalaaa siyo poa huyu baba
Tabu ipo pole pale mungu ibariki yanga
Nakubali mjomba
Upo vizuri
Shukran mzee wa data japo kunakelele
Mzee wa takwim upo vizuri
Chambuz Bora kwa Sasa ktk Nchi hii Ramadhani Mbwaduke
From kenya nairobi
Kaka unafanya vzr. Hongera. Nakuomba il kuboresha jukwaa letu, Uwe unasoma comment zetu unazfanyia kazi. Kwmfano kn ck nlkuomba kuptia jukwaaa hilhil utupe maarfa juu ya kias gan cha pesa timu znapata zkshriki nbc league!
Mbele tunakata nyuma tunanyoa yanga tunapiga mbele na nyumaaaaaaaa
Tusubiri DEBORA tuone naye atafanya nini uwanjani maana kwa kikosi hiki cha yanga kinaogopesha haki😢
Upo vzuri sana Mzee. Ila studio kuna kelele nyingi 😢
Shukran sana Kk! Kumetokea matatizo ya kiufundi na ndiyo maana tumeomba radhi. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono...
Mbwaduke nakuelewa sana.. ila leo saut haiko sawa
Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.
Xana
Sauti. Haijakaa sawa 😢
Lakini ujumbe umefika 😂
The magician mzeee wa data leo sauti haija kaaa powa
Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.
@@MbwadukeStats👍
Sijawahi kuwa na shaka na uchambuzi wako na ww utabaki kuwa bora kwa uchambuzi wa mpira tz
Ila sijachelewa sana kamanda wangu nisipo kuskiza bado sijaangalia michezo
Aziz ki angekua mcongo walai asingebaki yanga ila anaupendo wa Hali ya juu Mwenyezi Mungu atusaidie huu msimu tufanye vizuri next season kimataifa alivyosema yeye anataka yanga kuisaidia kimataifa then ata wakimuuza tutampa baraka zote popote atakapotaka kutafuta malisho umri unaruhusu
Amiiiiiiin Yaa Rabbi ijaalie team yetu ifanye vizuri sana sana sana
Mi nashaur tu. Wapinzani wa yanga nbc league msipeleke timu uwanjan.😂
Mtalia machozi ya mauti😂
Kaka mkubwa nakukubari sana lkn leo sauti ina mwangwi sana kaka Yusuf Benjamin katoro Geita
Mzee wa Data saut haiko poa
Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Siku nyingine tafuta Mahali penye utulivu hapo Kuna kelele
Tatizo mic... angepata tie mic
Xana😂
Acha kurudia mada hili bando
😂😂😂😂😂
Tumia microphone za kuvaa. Achana na hizi za CCM hoyeee
Hahahhaha inamaana za CCM zikoje😊
😂😂😂😂😂😂ila watu jmn