MBWADUKE: TOBAAAH! MKATABA KUMBAKIZA KI YANGA TISHIO KWA WAPINZANI WAO/ KUNA PACOME, CHAMA, MAXI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 июл 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
    KUMRADHI
    Kumetokea tatizo la kiufundi lililoathiri ubora wa sauti. Samahani kwa usumbufu.
    By Mhariri - Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"

Комментарии • 43

  • @danmbizo3472
    @danmbizo3472 17 дней назад +2

    Uko vizuri nakukubali mno bro
    From Kenya hukufuatilia sana

  • @ShaibuMkullu-ck6sl
    @ShaibuMkullu-ck6sl 18 дней назад +7

    Huyu MBWADUKE apewe heshima yake jamani, anajua kuudadavula mpira

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 18 дней назад +2

    Tabu ipo pole pale mungu ibariki yanga

  • @Barakah2590
    @Barakah2590 17 дней назад +1

    Nakubali mjomba

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j 17 дней назад +1

    Upo vizuri

  • @user-tc7fh1mv8f
    @user-tc7fh1mv8f 18 дней назад +1

    Shukran mzee wa data japo kunakelele

  • @hosianawilliamson7396
    @hosianawilliamson7396 18 дней назад +1

    Mzee wa takwim upo vizuri

  • @speciallvoice8091
    @speciallvoice8091 15 дней назад

    Chambuz Bora kwa Sasa ktk Nchi hii Ramadhani Mbwaduke

  • @AbdiSele-94
    @AbdiSele-94 18 дней назад +1

    From kenya nairobi

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 17 дней назад

    Kaka unafanya vzr. Hongera. Nakuomba il kuboresha jukwaa letu, Uwe unasoma comment zetu unazfanyia kazi. Kwmfano kn ck nlkuomba kuptia jukwaaa hilhil utupe maarfa juu ya kias gan cha pesa timu znapata zkshriki nbc league!

  • @saidmailo8491
    @saidmailo8491 17 дней назад

    Mbele tunakata nyuma tunanyoa yanga tunapiga mbele na nyumaaaaaaaa

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 17 дней назад

    Tusubiri DEBORA tuone naye atafanya nini uwanjani maana kwa kikosi hiki cha yanga kinaogopesha haki😢

  • @francisdavid001
    @francisdavid001 15 дней назад

    Upo vzuri sana Mzee. Ila studio kuna kelele nyingi 😢

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  15 дней назад +1

      Shukran sana Kk! Kumetokea matatizo ya kiufundi na ndiyo maana tumeomba radhi. Ahsante sana kwa kuendelea kutuunga mkono...

  • @TOLA92
    @TOLA92 18 дней назад

    Mbwaduke nakuelewa sana.. ila leo saut haiko sawa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  18 дней назад +2

      Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.

  • @abrahamannyonyi
    @abrahamannyonyi 17 дней назад +1

    Xana

  • @user-jm2ul9ph5b
    @user-jm2ul9ph5b 18 дней назад +1

    Sauti. Haijakaa sawa 😢

  • @user-yn4oi3cz2v
    @user-yn4oi3cz2v 18 дней назад

    The magician mzeee wa data leo sauti haija kaaa powa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  18 дней назад +2

      Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.

    • @othmanali7408
      @othmanali7408 18 дней назад

      ​@@MbwadukeStats👍

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 17 дней назад

    Sijawahi kuwa na shaka na uchambuzi wako na ww utabaki kuwa bora kwa uchambuzi wa mpira tz

  • @RomaniDanielcoster
    @RomaniDanielcoster 17 дней назад

    Ila sijachelewa sana kamanda wangu nisipo kuskiza bado sijaangalia michezo

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 17 дней назад

    Aziz ki angekua mcongo walai asingebaki yanga ila anaupendo wa Hali ya juu Mwenyezi Mungu atusaidie huu msimu tufanye vizuri next season kimataifa alivyosema yeye anataka yanga kuisaidia kimataifa then ata wakimuuza tutampa baraka zote popote atakapotaka kutafuta malisho umri unaruhusu

    • @denimpemba
      @denimpemba 17 дней назад

      Amiiiiiiin Yaa Rabbi ijaalie team yetu ifanye vizuri sana sana sana

  • @gasperelasto8842
    @gasperelasto8842 17 дней назад

    Mi nashaur tu. Wapinzani wa yanga nbc league msipeleke timu uwanjan.😂
    Mtalia machozi ya mauti😂

  • @yusuphbenjaminkugaiwa7608
    @yusuphbenjaminkugaiwa7608 18 дней назад

    Kaka mkubwa nakukubari sana lkn leo sauti ina mwangwi sana kaka Yusuf Benjamin katoro Geita

  • @neemadaniel6233
    @neemadaniel6233 18 дней назад +1

    Mzee wa Data saut haiko poa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  18 дней назад +1

      Kumradhi. Kumetokea tatizo la kiufundi! Shukran kwa kuendelea kutuunga mkono.

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 18 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @pascalemmanuel2557
    @pascalemmanuel2557 18 дней назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @zakayomoleli
    @zakayomoleli 17 дней назад

    Siku nyingine tafuta Mahali penye utulivu hapo Kuna kelele

    • @KS-iw7qv
      @KS-iw7qv 17 дней назад

      Tatizo mic... angepata tie mic

  • @abrahamannyonyi
    @abrahamannyonyi 17 дней назад

    Xana😂

  • @siphaeldavid206
    @siphaeldavid206 17 дней назад

    Acha kurudia mada hili bando

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 18 дней назад

    😂😂😂😂😂

  • @wajanjaforever4822
    @wajanjaforever4822 18 дней назад

    Tumia microphone za kuvaa. Achana na hizi za CCM hoyeee