PROFESA WA MPIRA! TAZAMA PACOME ZOUZOA ALIVYOWANYANYASA WACHEZAJI WA SIMBA KWA MKAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 198

  • @chiefosward1376
    @chiefosward1376 11 месяцев назад +132

    Naombeni Like 5 kwa PACOME 💚💛🇹🇿🇹🇿

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 11 месяцев назад +27

    Yanga ndio kiburudisho cha nchi! Mpaka nje ya mipaka yetu yanga hii! Nimoto! Mwamuzi alitaka kuleta usimba2 wake chamoto kakiona Asanteni vijana nawapenda mnanipa furaha sana Yanga ndio chaguo la moyo wangu Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚🙏😂😂

  • @EugeneSimukonde
    @EugeneSimukonde 11 месяцев назад +24

    Huyu Zouzoua amefanya chama aonekane Ditram Mchimbi wa Zambia 🇿🇲Ukuta wa yeliko likawa pazia la hekalu shwaaaaa😄

    • @mariamsuku7021
      @mariamsuku7021 11 месяцев назад +1

      😅😅😅😅

    • @lightnessabdallah2340
      @lightnessabdallah2340 11 месяцев назад

      😂😂😂

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 11 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂 Hivi nchimbi yukwapi?
      Ana mbio swala akasome
      Alikua mchezaji wetu

  • @Erickmjuni-ev6dc
    @Erickmjuni-ev6dc 11 месяцев назад +18

    El Professor Pacome,zinedine Zadane wa Ligi ya Bongo huyu jamaa anajua sanaaaa boli asee,Fundi wa mpira.Asante Pacome

  • @soudyruge9858
    @soudyruge9858 11 месяцев назад +8

    😂😂 AL AHLY wakiiona hii uwenda wasilete timu

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 11 месяцев назад +7

    Kwan Pacome mechi ya Jana kacheza namba ngap maana nimeshindwa kujua position yake ndan ya uwanja

    • @stanny74
      @stanny74 11 месяцев назад +1

      Alipo toka mudathir alikua anacheza namba 8 ila muda mwingi alicheza wing ya kulia 7

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 11 месяцев назад +4

    Huyu Atoula Yao bana ndo kila kitu. Wingback bora kuwahi kutokea kwenye soka la Tanzania. Tuombe aendelee kuwepo mtanielewa

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasule 11 месяцев назад +36

    Pongezi zote ziende kwa mungu wetu ahsante sana kwa ushindi ❤❤❤

  • @BeatriceKassim-tz8bf
    @BeatriceKassim-tz8bf 11 месяцев назад +9

    huu usajili haukuwa na makelele kumbe una balaa ndani yake💚💛🙌🙌kanote alikuwa anataka kupanda mgongo 😂😂😂

  • @BonnymkalBeka-wb4rl
    @BonnymkalBeka-wb4rl 11 месяцев назад +28

    Yanga naipenda kuliko hata madem ❤❤

  • @justinealistides5146
    @justinealistides5146 11 месяцев назад +57

    Credits to Master Gamondi. Tulikuwa tumekalili strikers ndo wanafunga sana. Ila kocha kaleta mageuzi we are experiencing something different, hakika kocha anajua.

  • @Erickmjuni-ev6dc
    @Erickmjuni-ev6dc 11 месяцев назад +8

    Kwa asiyeijua MAP++ M=Max, A=Aziz, P=Pacome ukiunganisha herufi zao za mwanzo unapata MAP Yaani hawa jamaa ni hätariii sana

  • @florianrweyongeza7458
    @florianrweyongeza7458 11 месяцев назад +19

    Pacome huyu ndo MVP kwenye hii game

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 11 месяцев назад

      Mie naona kama Max

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 11 месяцев назад +1

      Ki takwimu max amefanya vyema Sana kuliko wachezaji wote 1.amefunga goli 2
      2. Amesababisha penalty 1
      Wakat Aziz ki
      1. Amefunga 1
      2. Ame assist 1
      Ila njoo kwa Paccome Zouzoua master Le professor
      1. Amefunga 1
      Ila kiwango Chake kulikua juu zaidiii Kila alichofanya kilikuwa dhahabu alikua hatariiiii vipindi vyote 2 vya mchezo
      Sasa sijue tumchague nani kwa kuzingatia namba/takwimu au tuzingatie kiwango Cha ufanisi kiwanjani ?
      Ki takwimu max
      Ki ufanisi ni Paccome

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 11 месяцев назад +1

      M naondok na ufanisi wa Paccome Zouzoua master Le professor ila max Nzegeli Mbappe hatariii hatariiiii

  • @tinabapemacho8650
    @tinabapemacho8650 11 месяцев назад +19

    Ukipenda muite fundi waboli anajua san jana imekua nazunguruka tu ana waburuza makolo naombeni link zangu wananchi ilove you yanga africans❤

  • @BrianChumila-ki2gg
    @BrianChumila-ki2gg 11 месяцев назад +5

    Yan mwana anavyocheza unaeza sema mpira ni kitu rahisi sana...😂😂

  • @joshuamwaisaka1839
    @joshuamwaisaka1839 11 месяцев назад +4

    Pacome ni mtu na nusu, nikimwangalia uchezaji wake namkumbuka JJ Okocha

  • @24seventv99
    @24seventv99 10 месяцев назад +5

    He was man of the match

  • @Queen-fq9zj
    @Queen-fq9zj 11 месяцев назад +3

    Makolo walishindwa kumuiba pacome au Max wakamuiba ngoma nasisi tumewapiga kama ngoma 😂😂😂😂😊

  • @merlianynduva1142
    @merlianynduva1142 11 месяцев назад +14

    Huyu jamaa wa nchi gani jamaaani na kwanini tusiongee nae awe mtanzania atusaidie kwenye timu ya taifa

  • @sagboison6297
    @sagboison6297 11 месяцев назад +6

    Aisee mimi nitamuita PACOME ZOA ZOA ile ingine inanishinda si kwa furaha hii mimi ni yangaaa

    • @tarnaboy
      @tarnaboy 11 месяцев назад

      HUYU zoa zoa atakuja auwe mtu

  • @b1vevo
    @b1vevo 11 месяцев назад +2

    Ivi ni Pacôme huyo mwenye vinywele Vya Rangi nyeupe Vya kidachino? Bibi haoni vizuri anasema anamfananisha na kijana mmoja Yuko BUNDASLIGA. sijui huyo kijana ni Nani tena. 😅

  • @ntakakasendebayi9992
    @ntakakasendebayi9992 10 месяцев назад +1

    Mimi nashabikia yanga tu 💚💚💛💛💛 huko ulaya nimewachia wengine mimi yanga yangu ndo inayonipa raha🔰🔰

  • @fidelmbai3642
    @fidelmbai3642 10 месяцев назад +4

    Mwanayanga mwenzangu unayerudiarudia kuiangalia embu gonga like ya nguvu hapa

  • @yosehoza4040
    @yosehoza4040 11 месяцев назад +3

    Huyu jamaa kama anatembea ila ndio anasogea vile

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 11 месяцев назад +3

    PACOME ALIZUNGUKA UWANJA MZIMA........ GOOD JOB FITNESS 😊

  • @georgemkassu8301
    @georgemkassu8301 11 месяцев назад +3

    Pacoume ni moja ya wachezaji bora sana wa kigeni kuwahi kucheza yanga he is the best player ever

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 10 месяцев назад +1

    Kila siku Asubuh naludia kuangalia hii mechi ndo naenda kazin 😂😂😂

  • @EliaJoseph-dg3gg
    @EliaJoseph-dg3gg 11 месяцев назад +1

    Waliofingwa 5 wabovu je huyu nae vp mbovu au😄😄😄😄

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 10 месяцев назад +1

    kongole kongole sana👏👏👏💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 11 месяцев назад +2

    Ni professor wa mpira. Yaani jina lake maaana yake pakome pale kati kweny uwanja anapamiliki yeye yaani pamkome. Yanga oyeee

  • @twaha1091
    @twaha1091 11 месяцев назад +3

    C walsema tmesajil wakata viuno 😂😂😂😂

  • @katalisajuka297
    @katalisajuka297 10 месяцев назад +1

    Sasa Innonga alidhani Nzegeli sawa na Mayele?

  • @scopy0428
    @scopy0428 11 месяцев назад +13

    Congratulations to all players for good commitment

  • @Zina-m2v
    @Zina-m2v 11 месяцев назад +3

    Mbavu zake inonga alikusudia kumvunja max

  • @emanuelakaro1423
    @emanuelakaro1423 10 месяцев назад +1

    Yanga inacheza kama clab za ulaya ujue

  • @JuniorGuilet-qt1nl
    @JuniorGuilet-qt1nl 10 месяцев назад +2

    Zouzoua🇨🇮🐘

  • @madeintanzania2995
    @madeintanzania2995 10 месяцев назад +1

    Background sound!! Not good at all!

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 7 месяцев назад +1

    Hiyo action ya pakome ndio iliompa mayele dau kubwa kipindi kile cha shirikisho nice ,tunataka mapambano kama hayo kwa wachezaji wetu wa chama la Wana,big up Sana mudathir kutuondolea gundu..

  • @katalisajuka297
    @katalisajuka297 10 месяцев назад +1

    poor music background

  • @terrence9477
    @terrence9477 11 месяцев назад

    Tutolee hiyo annoying background, inatukera, tunashindwa kuenjoy tuvituvitu twa Pacome

  • @robertlwamahe7299
    @robertlwamahe7299 10 месяцев назад +1

    The sound is boring

  • @gospelvalid342
    @gospelvalid342 11 месяцев назад +1

    Yangaaa tamuuuuuuuu

  • @allykeys5939
    @allykeys5939 10 месяцев назад +1

    Tunaomba 1 .5 darajani liwekwe njiya nne kwa mzalimli tuna ipenda yanga yetu kwa jina Ally keys

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 10 месяцев назад +1

    AZUMA dawa ya UTI sugu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 11 месяцев назад

    Naomb mpga picha wetu tulete sevu za diala kwa kwel tunawkubal msiache Kaz ii y klp y mmojammoj

  • @sengakijumiletv8125
    @sengakijumiletv8125 7 месяцев назад

    Ndani ya Yanga najisikia Sina shida hata wakati wa tabu ❤

  • @eliangikundimlay3084
    @eliangikundimlay3084 11 месяцев назад +1

    Pacome alikimbye km 7113

  • @jailosibrahim88
    @jailosibrahim88 11 месяцев назад

    Halafu anatokea mpuuz mmoja mkitaka nibaki yanga Heris aondoke jinga kwel hizi tano angeweza kuzifunga

  • @LightnessCharlseKimaro
    @LightnessCharlseKimaro 11 месяцев назад +2

    Utatu mtakatifu yao max na pacome

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 11 месяцев назад +1

    Halafu haya Magoli hata ukirudiarudia kyaangalia unagundua jambo jipya kwa mfano Manula angefanyaje sasa😂

  • @gulatonemasiga2827
    @gulatonemasiga2827 11 месяцев назад +1

    Mjadala wa Chama vs Pacome umefungwa rasmi jana tusisikie tena

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 10 месяцев назад

    CHA HAJABU NA CHAKUSHANGAZA KM SI CHA KUCHEKEKESHA, TULIPOKUA TUKIANGALIA HII MECH MASHABIKI WA MAKOLO WALIIGEUKA TIMU YAO NAKUSHANGILIA YANGA UKU WAKIDAI MPILA WA TIM YAO SIMBA HAINA RADHA😅😂😂

  • @alexmadimo4299
    @alexmadimo4299 11 месяцев назад +1

    Kaba Yule mwenye bleach

  • @hdjdjdjdj8667
    @hdjdjdjdj8667 11 месяцев назад +2

    Huyu m2 wa mpira sio kucheza na jukwaa

  • @Realest_Avenue
    @Realest_Avenue Месяц назад

    Im halfway into the video, i think the video doesn't do justice to the player, I'm not impressed so far with the best player at Yanga

  • @SalimuJoe
    @SalimuJoe 11 месяцев назад +2

    Zidane wa bongo

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 11 месяцев назад +2

    Refa kazingua sana kipindi cha kwanza

  • @MaryKyaruz
    @MaryKyaruz 6 месяцев назад

    Pacome Ni straika mkubwa Africa akunla wa kumzidi

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 11 месяцев назад +2

    Maskini manula anataka kulia😂😂

  • @cachec7930
    @cachec7930 11 месяцев назад +2

    Huyo jamaa anajua ball acha tu🙌

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo 10 месяцев назад

    Wachezaji walocheza mechi ya dabi wa Simba Kuma nina zao

  • @anuarymzee9898
    @anuarymzee9898 11 месяцев назад +1

    Ila mue mnapunguza sauti ya mziki kidogo

  • @mwajumampokileomckapela7541
    @mwajumampokileomckapela7541 5 месяцев назад

    Tunaokuja kuangali kila baada ya siku mbili tujuane 🟢💚🟡🔰

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 11 месяцев назад +1

    Hakuna Cha kusemaaaa.,..
    Maana furaha ikipitilizaaa unaweza Kufuru!
    Simple words
    Thank you Mr Gamondi
    Merci
    Merci
    Merci

  • @georgenshashi1308
    @georgenshashi1308 11 месяцев назад +1

    Fundii

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 11 месяцев назад +1

    Jn mji ulituliaaaaaa

  • @worldstartz
    @worldstartz 11 месяцев назад +10

    Professor 🔥

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour2638 11 месяцев назад +1

    mchezaji wangu bora wa ligi kuu msimu huu

    • @joharifarahani2739
      @joharifarahani2739 11 месяцев назад

      Jamani tunasahau kumpa maua yke ...mchezaji kivuli ndio anaefanya wakina pacome washaini aucho ndio injini pale kati

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 10 месяцев назад

      ana upinzani mkubwa kutoka kwa Max zengeli nae ni wa moto balaa

  • @marwa_chacha
    @marwa_chacha 11 месяцев назад

    Kanoute n Chama were reduced to nobodies....

  • @webirowasira7920
    @webirowasira7920 3 месяца назад

    PLEASE PUT EXTENDED VERSIONS OF THIS MATCH

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 11 месяцев назад

    BLEACH Kila unapoangia yupo.... GOOD FITNESS YANGA👌👌👌

  • @Queen-fq9zj
    @Queen-fq9zj 11 месяцев назад +1

    Baba ester kajua kunyanyasika jana 😂😂😂😂

  • @k.jrluther6301
    @k.jrluther6301 11 месяцев назад

    Nadhani mjadala utakua umemalizika katika nchi hii PACOME the WIZARD of football. Imeisha iyo.

  • @BonnymkalBeka-wb4rl
    @BonnymkalBeka-wb4rl 10 месяцев назад

    Simba ndoomke wetu😅😅😅😅😅

  • @jumaamohamedi5667
    @jumaamohamedi5667 7 месяцев назад

    Sisi mashabiki tulioko Kenya tunapataje kadi za uwana chama

    • @UnitedAfrica-uw9ct
      @UnitedAfrica-uw9ct 5 месяцев назад

      wasiliana na Msemaji wa Yanga Mr Ally Shaaban Kamwe

  • @official_thedon
    @official_thedon 11 месяцев назад +2

    Mwambaaa kweli kweli😁😁😁

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 11 месяцев назад +3

    Sanaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @amulikekennedy3550
    @amulikekennedy3550 11 месяцев назад +2

    Professor

  • @user-qy4ow9ye1q
    @user-qy4ow9ye1q 11 месяцев назад +2

    Anajua adi anakera 😂😂😂

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 11 месяцев назад +1

    Jamani na ya mkude ebu iwekeni

  • @glorylukwaro7093
    @glorylukwaro7093 10 месяцев назад

    Cku pacome aliyopiga kaz

  • @piusjohn5104
    @piusjohn5104 10 месяцев назад

    Fund wa mafund ✌️🙌🙌🙌🙌🙌

  • @JaneMaduke
    @JaneMaduke 8 месяцев назад

    Zidane wa ningo uyo😊😊😊 😊😊

  • @fihirishemaadihussein6124
    @fihirishemaadihussein6124 11 месяцев назад +1

    Yanga wengapata jinai shomari anahemaa

  • @Amanzi27
    @Amanzi27 11 месяцев назад +1

    Ohoooo mnawaokota vibonde haya nyie nani😂😂😂😂

  • @sullehtz9327
    @sullehtz9327 11 месяцев назад +2

    Pacome Zouzoua ✊

  • @yusuphabubakary2030
    @yusuphabubakary2030 11 месяцев назад

    yani anaenda kama haendi ila ndo anaenda hivo

  • @amirikigoi3713
    @amirikigoi3713 11 месяцев назад +4

    💛💛💛

  • @roberttendewa1753
    @roberttendewa1753 11 месяцев назад

    Ebwana YANGA KIBOKO simba aingia kwenye mfumo ameungana na wasio jua mpira.

  • @hajially4527
    @hajially4527 11 месяцев назад +1

    Pacome anabalaa

  • @TemwaJilaha-vw9md
    @TemwaJilaha-vw9md 11 месяцев назад

    Tumewakanda mbwa hawa

  • @omaryamiri3175
    @omaryamiri3175 10 месяцев назад

    Anajuwa💚🔰🔰💚💚🔰🔰

  • @nkwamatz
    @nkwamatz 11 месяцев назад

    Naamin mnafuatilia comments zetu na kweny maboresho mnatusaidia hii ni nzuri lla bora mnemuacha otai asikike huo mzik pemben umeleta kelo I mean kelele imaumiza masikio

  • @draye3357
    @draye3357 11 месяцев назад

    Umeharibu video kwa kuipa music back ground wenye sauti kubwa.
    Please wrong edit

  • @ABOBAKARMAUNGO
    @ABOBAKARMAUNGO 11 месяцев назад +1

    Fundi wa boli

  • @AbdulatifSaidy
    @AbdulatifSaidy 11 месяцев назад

    mmefanya jambo la msingi kutuwekea highlights zake ili makolo na wachezaji wajifunze na wananchi tuburudike tabulelee laah

  • @godfreymsofe2366
    @godfreymsofe2366 11 месяцев назад +1

    Yanga

  • @HaithamKarim-jk1hw
    @HaithamKarim-jk1hw 11 месяцев назад

    Tokeni hapa

  • @radhiamussa1629
    @radhiamussa1629 11 месяцев назад

    Ohoo pacome hajui kupiga penati alisikika mbumbumbu mmoja bunju na hiyo ni nini😂😂😂😂😂

  • @bhokemriba4248
    @bhokemriba4248 11 месяцев назад

    Yanga Afrika