Yanga ndio kiburudisho cha nchi! Mpaka nje ya mipaka yetu yanga hii! Nimoto! Mwamuzi alitaka kuleta usimba2 wake chamoto kakiona Asanteni vijana nawapenda mnanipa furaha sana Yanga ndio chaguo la moyo wangu Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚🙏😂😂
Ki takwimu max amefanya vyema Sana kuliko wachezaji wote 1.amefunga goli 2 2. Amesababisha penalty 1 Wakat Aziz ki 1. Amefunga 1 2. Ame assist 1 Ila njoo kwa Paccome Zouzoua master Le professor 1. Amefunga 1 Ila kiwango Chake kulikua juu zaidiii Kila alichofanya kilikuwa dhahabu alikua hatariiiii vipindi vyote 2 vya mchezo Sasa sijue tumchague nani kwa kuzingatia namba/takwimu au tuzingatie kiwango Cha ufanisi kiwanjani ? Ki takwimu max Ki ufanisi ni Paccome
Ivi ni Pacôme huyo mwenye vinywele Vya Rangi nyeupe Vya kidachino? Bibi haoni vizuri anasema anamfananisha na kijana mmoja Yuko BUNDASLIGA. sijui huyo kijana ni Nani tena. 😅
Hiyo action ya pakome ndio iliompa mayele dau kubwa kipindi kile cha shirikisho nice ,tunataka mapambano kama hayo kwa wachezaji wetu wa chama la Wana,big up Sana mudathir kutuondolea gundu..
CHA HAJABU NA CHAKUSHANGAZA KM SI CHA KUCHEKEKESHA, TULIPOKUA TUKIANGALIA HII MECH MASHABIKI WA MAKOLO WALIIGEUKA TIMU YAO NAKUSHANGILIA YANGA UKU WAKIDAI MPILA WA TIM YAO SIMBA HAINA RADHA😅😂😂
Naamin mnafuatilia comments zetu na kweny maboresho mnatusaidia hii ni nzuri lla bora mnemuacha otai asikike huo mzik pemben umeleta kelo I mean kelele imaumiza masikio
Naombeni Like 5 kwa PACOME 💚💛🇹🇿🇹🇿
T
Yanga ndio kiburudisho cha nchi! Mpaka nje ya mipaka yetu yanga hii! Nimoto! Mwamuzi alitaka kuleta usimba2 wake chamoto kakiona Asanteni vijana nawapenda mnanipa furaha sana Yanga ndio chaguo la moyo wangu Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚🙏😂😂
Huyu Zouzoua amefanya chama aonekane Ditram Mchimbi wa Zambia 🇿🇲Ukuta wa yeliko likawa pazia la hekalu shwaaaaa😄
😅😅😅😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂 Hivi nchimbi yukwapi?
Ana mbio swala akasome
Alikua mchezaji wetu
El Professor Pacome,zinedine Zadane wa Ligi ya Bongo huyu jamaa anajua sanaaaa boli asee,Fundi wa mpira.Asante Pacome
😂😂 AL AHLY wakiiona hii uwenda wasilete timu
Kwan Pacome mechi ya Jana kacheza namba ngap maana nimeshindwa kujua position yake ndan ya uwanja
Alipo toka mudathir alikua anacheza namba 8 ila muda mwingi alicheza wing ya kulia 7
Huyu Atoula Yao bana ndo kila kitu. Wingback bora kuwahi kutokea kwenye soka la Tanzania. Tuombe aendelee kuwepo mtanielewa
Pongezi zote ziende kwa mungu wetu ahsante sana kwa ushindi ❤❤❤
Amen
huu usajili haukuwa na makelele kumbe una balaa ndani yake💚💛🙌🙌kanote alikuwa anataka kupanda mgongo 😂😂😂
Yanga naipenda kuliko hata madem ❤❤
😂😂😂😂😂
😀😀😀
😂😂😂
Credits to Master Gamondi. Tulikuwa tumekalili strikers ndo wanafunga sana. Ila kocha kaleta mageuzi we are experiencing something different, hakika kocha anajua.
Kwa asiyeijua MAP++ M=Max, A=Aziz, P=Pacome ukiunganisha herufi zao za mwanzo unapata MAP Yaani hawa jamaa ni hätariii sana
Pacome huyu ndo MVP kwenye hii game
Mie naona kama Max
Ki takwimu max amefanya vyema Sana kuliko wachezaji wote 1.amefunga goli 2
2. Amesababisha penalty 1
Wakat Aziz ki
1. Amefunga 1
2. Ame assist 1
Ila njoo kwa Paccome Zouzoua master Le professor
1. Amefunga 1
Ila kiwango Chake kulikua juu zaidiii Kila alichofanya kilikuwa dhahabu alikua hatariiiii vipindi vyote 2 vya mchezo
Sasa sijue tumchague nani kwa kuzingatia namba/takwimu au tuzingatie kiwango Cha ufanisi kiwanjani ?
Ki takwimu max
Ki ufanisi ni Paccome
M naondok na ufanisi wa Paccome Zouzoua master Le professor ila max Nzegeli Mbappe hatariii hatariiiii
Ukipenda muite fundi waboli anajua san jana imekua nazunguruka tu ana waburuza makolo naombeni link zangu wananchi ilove you yanga africans❤
Yan mwana anavyocheza unaeza sema mpira ni kitu rahisi sana...😂😂
Pacome ni mtu na nusu, nikimwangalia uchezaji wake namkumbuka JJ Okocha
He was man of the match
Makolo walishindwa kumuiba pacome au Max wakamuiba ngoma nasisi tumewapiga kama ngoma 😂😂😂😂😊
Huyu jamaa wa nchi gani jamaaani na kwanini tusiongee nae awe mtanzania atusaidie kwenye timu ya taifa
Ivoricost
Asante cham lang Kwa kunifany nitambe leo
Aisee mimi nitamuita PACOME ZOA ZOA ile ingine inanishinda si kwa furaha hii mimi ni yangaaa
HUYU zoa zoa atakuja auwe mtu
Ivi ni Pacôme huyo mwenye vinywele Vya Rangi nyeupe Vya kidachino? Bibi haoni vizuri anasema anamfananisha na kijana mmoja Yuko BUNDASLIGA. sijui huyo kijana ni Nani tena. 😅
Mimi nashabikia yanga tu 💚💚💛💛💛 huko ulaya nimewachia wengine mimi yanga yangu ndo inayonipa raha🔰🔰
Mwanayanga mwenzangu unayerudiarudia kuiangalia embu gonga like ya nguvu hapa
Huyu jamaa kama anatembea ila ndio anasogea vile
PACOME ALIZUNGUKA UWANJA MZIMA........ GOOD JOB FITNESS 😊
Pacoume ni moja ya wachezaji bora sana wa kigeni kuwahi kucheza yanga he is the best player ever
Kila siku Asubuh naludia kuangalia hii mechi ndo naenda kazin 😂😂😂
Waliofingwa 5 wabovu je huyu nae vp mbovu au😄😄😄😄
kongole kongole sana👏👏👏💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Ni professor wa mpira. Yaani jina lake maaana yake pakome pale kati kweny uwanja anapamiliki yeye yaani pamkome. Yanga oyeee
C walsema tmesajil wakata viuno 😂😂😂😂
Sasa Innonga alidhani Nzegeli sawa na Mayele?
Congratulations to all players for good commitment
Mbavu zake inonga alikusudia kumvunja max
Yanga inacheza kama clab za ulaya ujue
Zouzoua🇨🇮🐘
Background sound!! Not good at all!
Hiyo action ya pakome ndio iliompa mayele dau kubwa kipindi kile cha shirikisho nice ,tunataka mapambano kama hayo kwa wachezaji wetu wa chama la Wana,big up Sana mudathir kutuondolea gundu..
Right rxb😊
Ohu
poor music background
Tutolee hiyo annoying background, inatukera, tunashindwa kuenjoy tuvituvitu twa Pacome
The sound is boring
Yangaaa tamuuuuuuuu
Tunaomba 1 .5 darajani liwekwe njiya nne kwa mzalimli tuna ipenda yanga yetu kwa jina Ally keys
AZUMA dawa ya UTI sugu🔥🔥🔥🔥🔥
Naomb mpga picha wetu tulete sevu za diala kwa kwel tunawkubal msiache Kaz ii y klp y mmojammoj
Ndani ya Yanga najisikia Sina shida hata wakati wa tabu ❤
Pacome alikimbye km 7113
Halafu anatokea mpuuz mmoja mkitaka nibaki yanga Heris aondoke jinga kwel hizi tano angeweza kuzifunga
Utatu mtakatifu yao max na pacome
Halafu haya Magoli hata ukirudiarudia kyaangalia unagundua jambo jipya kwa mfano Manula angefanyaje sasa😂
Mjadala wa Chama vs Pacome umefungwa rasmi jana tusisikie tena
CHA HAJABU NA CHAKUSHANGAZA KM SI CHA KUCHEKEKESHA, TULIPOKUA TUKIANGALIA HII MECH MASHABIKI WA MAKOLO WALIIGEUKA TIMU YAO NAKUSHANGILIA YANGA UKU WAKIDAI MPILA WA TIM YAO SIMBA HAINA RADHA😅😂😂
Kaba Yule mwenye bleach
Huyu m2 wa mpira sio kucheza na jukwaa
Im halfway into the video, i think the video doesn't do justice to the player, I'm not impressed so far with the best player at Yanga
Zidane wa bongo
Refa kazingua sana kipindi cha kwanza
Pacome Ni straika mkubwa Africa akunla wa kumzidi
Maskini manula anataka kulia😂😂
Huyo jamaa anajua ball acha tu🙌
Wachezaji walocheza mechi ya dabi wa Simba Kuma nina zao
Ila mue mnapunguza sauti ya mziki kidogo
Tunaokuja kuangali kila baada ya siku mbili tujuane 🟢💚🟡🔰
Hakuna Cha kusemaaaa.,..
Maana furaha ikipitilizaaa unaweza Kufuru!
Simple words
Thank you Mr Gamondi
Merci
Merci
Merci
Fundii
Jn mji ulituliaaaaaa
Professor 🔥
mchezaji wangu bora wa ligi kuu msimu huu
Jamani tunasahau kumpa maua yke ...mchezaji kivuli ndio anaefanya wakina pacome washaini aucho ndio injini pale kati
ana upinzani mkubwa kutoka kwa Max zengeli nae ni wa moto balaa
Kanoute n Chama were reduced to nobodies....
PLEASE PUT EXTENDED VERSIONS OF THIS MATCH
BLEACH Kila unapoangia yupo.... GOOD FITNESS YANGA👌👌👌
Baba ester kajua kunyanyasika jana 😂😂😂😂
Nadhani mjadala utakua umemalizika katika nchi hii PACOME the WIZARD of football. Imeisha iyo.
Simba ndoomke wetu😅😅😅😅😅
Sisi mashabiki tulioko Kenya tunapataje kadi za uwana chama
wasiliana na Msemaji wa Yanga Mr Ally Shaaban Kamwe
Mwambaaa kweli kweli😁😁😁
Sanaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Professor
Anajua adi anakera 😂😂😂
Jamani na ya mkude ebu iwekeni
Cku pacome aliyopiga kaz
Fund wa mafund ✌️🙌🙌🙌🙌🙌
Zidane wa ningo uyo😊😊😊 😊😊
Yanga wengapata jinai shomari anahemaa
Ohoooo mnawaokota vibonde haya nyie nani😂😂😂😂
Ahahaha 😂😂😂
Pacome Zouzoua ✊
yani anaenda kama haendi ila ndo anaenda hivo
💛💛💛
Ebwana YANGA KIBOKO simba aingia kwenye mfumo ameungana na wasio jua mpira.
Pacome anabalaa
Tumewakanda mbwa hawa
Anajuwa💚🔰🔰💚💚🔰🔰
Naamin mnafuatilia comments zetu na kweny maboresho mnatusaidia hii ni nzuri lla bora mnemuacha otai asikike huo mzik pemben umeleta kelo I mean kelele imaumiza masikio
Umeharibu video kwa kuipa music back ground wenye sauti kubwa.
Please wrong edit
Fundi wa boli
mmefanya jambo la msingi kutuwekea highlights zake ili makolo na wachezaji wajifunze na wananchi tuburudike tabulelee laah
Yanga
Tokeni hapa
Ohoo pacome hajui kupiga penati alisikika mbumbumbu mmoja bunju na hiyo ni nini😂😂😂😂😂
Yanga Afrika