ELIMU KWA WADAU KATIKA BANDA LA GPSA WIKI YA UNUNUZI WA UMMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 авг 2022
  • Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala Prof. Geraldine Rasheli akitoa maelezo kuhusu Wakala na majukumu yake kwa wadau waliotembelea Banda la Wakala katika Wiki ya Ununuzi wa Umma yaliyofanyika tarehe 5-7 Mei, 2022 katika ukumbi wa AICC jijini Arusha.
    #WikiYaUnunuziWaUmma #GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali #Kaziiendelee

Комментарии •