Hotuba ya Afisa Mtendaji Mkuu Prof. Geraldine A. Rasheli baada ya kupokea tuzo ya Wakala kutoka NBAA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 дек 2022
  • Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini (GPSA) imeibuka kidedea kwa kushika nafasi ya tatu na kunyakuwa tuzo ya Uandaaji Hesabu kwa mwaka 2021 katika kipengele cha Taasisi za Umma.
    Tuzo hiyo imetolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) Jumatano Novemba 30,2022 katika hoteli ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
    #GPSATanzania #BohariKuuYaSerikali

Комментарии •