KONGAMANO LA WIKI YA UNUNUZI WA UMMA 2022

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2024
  • Kongamano la Wiki ya Ununuzi wa Umma inayofanyika kwa mara ya kwanza katika ukumbi wa AICC-Simba hall jijini Arusha kuanzia tarehe 5-7 Mei, 2022 ikiwa na kauli mbiu "Matumizi ya Teknolojia katika Kuuboresha Ununuzi wa Umma".
    Mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa.

Комментарии •