My dia man of God,, never give up,,,, God knows everything,,,,Niko Na Imani kubwa kila kitu Itakua shwari hivi karibuni it's just a matter of time,,,,najua fans wako Wa ukweli hawatakuaja kbxaa,,nikiwa ndani Yao,,,,,trust in the Lord,,,,xai ndio unaonekana uko dhaifu kimwili yaani Kwa Maisha ya binadamu Wa kawaida lkn kiroho uko xwa,,,,,huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakupenda xna King
Neema ya mungu inandosha bro ukiona majaribu mengine huwa inafanyika ili neno lamungu lisimame kubuka Anyubu alipindia mambo mengi sana lakini mungu hakumuaja kile kilicho nyanguliwa na shetani kirijeswa mara pili jipe nguvu 🙏🙏🙏
😭unaimba yaliyomo kwenye jamii. Mungu akuinue mwanangu, utasimama hakika. Ukiwa mfuasi wa kweli wa Kristo, mapito ni lazima, ila najua kuvuka kwako kupo karibu. Barikiwa sana Annoint🖐🏾
Amen...hakika tutafikia kwenye ushindi mkuu unaokwenda kudhihirisha viwango vyetu...kazi yetu sii bure mbele ...kila mbegu njema tulizopanda tutavuna kwa wingi kwa wakati wa Bwana...OOO haleluya
Yoooooooooooh Jamani BABA Yangu😂😂 pole sana Akika Ni kweli wewe unayo Majukumu Mengi kwasababu Nyumbani kwako watu Ni wengi zaidi piya wote wanakutegemeya Nimeyaona Live kwa Macho Yangu Ya Mwilini
Amina from Kenya 🇰🇪 wapi likes za kenya
AMEN🙏🙏🙏🙏
Wapi like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakuombea maisha marefu kwa mungu na akutie nguvu
Amen napenda nyimbo zako sana more love from kenya 🇰🇪 🙏 😢 ❤️ 😊 ♥️
GOD BLESS YOU ALL
Congratulations 🎊 👏. Much ❤ 😍 💖 ❣ 💕 frm 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪.
Congratulations 🎉I like your songs more grace upon you brother Amani🙏 Blessings🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Very powerful 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
From🇰🇪🇰🇪🇰🇪...powerful song..keep going
Amani kupitia kwa hizi nyimbo unazo ongozwa na Mungu, wengi tunasimama tena
Mpedwa mungu akubark sana nikutie moyo iimbe kweli ya mungu hata kama hawata fatilia hata yesu aliisema kweli hawakumpenda songa mbele
My dia man of God,, never give up,,,, God knows everything,,,,Niko Na Imani kubwa kila kitu Itakua shwari hivi karibuni it's just a matter of time,,,,najua fans wako Wa ukweli hawatakuaja kbxaa,,nikiwa ndani Yao,,,,,trust in the Lord,,,,xai ndio unaonekana uko dhaifu kimwili yaani Kwa Maisha ya binadamu Wa kawaida lkn kiroho uko xwa,,,,,huku Kenya 🇰🇪🇰🇪 tunakupenda xna King
Neema ya mungu inandosha bro ukiona majaribu mengine huwa inafanyika ili neno lamungu lisimame kubuka Anyubu alipindia mambo mengi sana lakini mungu hakumuaja kile kilicho nyanguliwa na shetani kirijeswa mara pili jipe nguvu 🙏🙏🙏
😘💕Lots of love, nyimbo zako zinanibariki na kunitia moyo am from Kenya
Napenda msitari ya nyimbo sako you're powerful man of God and God bless you alot
Nina nyimbo zako karibu sote kwa simu nikisiweka hivi watu wananiambia uko ngoma mzuri sana nitumie .
Love your gospels music 🎶 zime ni bless nazi skiliza kila wakati.. Pokea upendo kutoka kwangu Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏼❤️❤️❤️❤️
Amen Mungu agusaidie
Nyimbo nzuri walai🎉🎉🎉
😭😭😭😭 usijali jaman Mungu AKO na wewe,😭😭😭😭😭
Usichoke yupo Mungu anayeskiza Sala zetu 💖
Amen 🙏 mtumishi wa mungu akuna kishindikanacho kwa mwenyezi mungu
Mungu akupandishe zaid
Much love from kenya
Love your songs 🙏
Amen napenda nyimbo zako zinanitia nguvu be blessed 🙏🙏🙏
Amen amen god bless you Dady ❤❤❤❤❤❤
True story....
One day... Yes
Mimi nimuimbaji waka waida natamani kuimba kama nyimbo zako
Ameen kwl nimechoka mm nashindwa kuyazuia machozi yesu njoo to 😭😭😭😭
Be blessed. Indeed 🙏🙏🙏🙏🙏🔥
Good work Anoint much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Powerful song
Amen Amen wimbo nzuri sana
One love from Kwale, Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤nakupenda sana❤mtumishi wamungu❤ napenda❤nyimbo zako saana🎉
❤❤❤much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Usiwai tengemea binadamu,tengemeo ni mungu pekee
Yesu usituaje
Quite soul touching... Amen kubwa🙏🙏
Mungu azidi kukuinua nazipenda
Very powerful 🙏God bless you bro much love 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyimbo zako hakika huni toa hofu ninapokua mnyonge
Kazi nzuri Annoint
Dah bro I love your songs sanaa ju ziko na massage nzuri
Thankyou God kweli touching song GOD bless you
Atatujibu kwa wakati
I love the way God is using you to pass great messages to His people 🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana kwa mahubir mazuri
😭unaimba yaliyomo kwenye jamii. Mungu akuinue mwanangu, utasimama hakika. Ukiwa mfuasi wa kweli wa Kristo, mapito ni lazima, ila najua kuvuka kwako kupo karibu. Barikiwa sana Annoint🖐🏾
Ameeeeeeren and ameeeeen from 🇰🇪
Bwana naomba unisamehee
Amen, nice with a sad story. God bless you, bro❤❤❤❤❤❤❤
May God continue to use you my dear ❤❤❤❤❤️❤️❤️
Amen...hakika tutafikia kwenye ushindi mkuu unaokwenda kudhihirisha viwango vyetu...kazi yetu sii bure mbele ...kila mbegu njema tulizopanda tutavuna kwa wingi kwa wakati wa Bwana...OOO haleluya
Mimi nafisi yangu Ina farijika kwa nyimbo zako
Amen be blessed alot man of God ❤❤❤❤ much love from kenya
Nice 👍 song
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa mungu napenda sana nyimbo zako zinanifariji sana
Emen❤❤
Amani nampenda nyimbo zako sana
Amen keep going bro❤❤🎉
Mungu azid kukupeleka mbali🤲
Amen amen kabis Mungu akubariki kaka
May God bless your song bro usikate tamaa🙏🙏🙏🙏
Mungu aangalie huduma zetu na kutuinua
Kazi zuri kakangu pamoja mpaka infinity
❤❤❤❤congratulations God bless you
From rwanda nakupenda sana
Mungu akutunze mtumishi
More Grace Mtumishi
So touching 😢😢😢 may God bless you
Eee mngu tufutemachoz bwana kwasababu wanadam hawanahuruma eemngu tuhurumie 🤲🙏
Your songs bless us in kenya
Amen baba unisamehe
Mungu akujalie nguvu za kumtumikia
Its a nice song bro ,God bless you
Ubarikiwe sana❤❤❤
Wimbo mzuri nimeipenda sana
A very powerful song🎉🎉
❤❤KENYANS IN THE HOUSE TUFIKISHE 200K LIKES
Amen Amen 🙏 🙌 👏
Hakika Mungu azidi kukulinda
Mungu yupo atufutaye machozi ubalikiwe mtumishi
Yoooooooooooh Jamani BABA Yangu😂😂
pole sana
Akika Ni kweli wewe unayo Majukumu Mengi kwasababu Nyumbani kwako watu Ni wengi zaidi piya wote wanakutegemeya
Nimeyaona Live kwa Macho Yangu Ya Mwilini
Nalisha wengi muno but siwezi lalamika maana mungu anatosha kwa neema tuu the 🎉🙏 🙏 🙏
YESU nimetenda dhambi unisamehe usiniache hadui wakalitukana kina lako YESU uniokoe Bwana😢😢
endelea kuimba
Good job keep it up
Bravo keep going kakagu❤❤❤❤❤
Mungu akubariki anot
imehenda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Nafsi yangu inachoka,Mungu nisaidie😢😢😢
Amen and
Wimbo huu ni baraka kubwa
Lakini kweli watumishi wanakapitia lakini mungu yupo nao... barikiwa Annoint
Mungu akubariki San
My mentor 🎉🎉
usikate Tamaa 😢 mungu yupo,,,,,, congratulations 🎈🎉🎉🎈
❤❤❤🙏 🙏 🙏 be blessed 🙌
ubarikiwe sana kaka
Brilliant work dear, touching to the soul. Keep it up broo, may our heavenly Father be with you all the way ❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Songa mbele my friend
Amen