"CCM WANAMUOGOPA NAPE" KAULI YA MWAMBIGIJA BAADA YA KUTENGULIWA NAPE NAUYE NA RAIS SAMIA Ni Mhuni

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 69

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +13

    Nyinyi wapinzani inabidi mumshukuru Nape kwa kuwaibia siri na mumuombe rais samia kuwa akomeshe vitendo hivyo vya wizi wa kura katika chaguzi zijazo.Inawezekana kuropoka kwa Nape ni mpango wa Mungu kutaka kuleta Haki katika chaguzi zijazo.Tanzania kama tuna hofu na Mungu na tunapenda HAKI tubadilike na kuitisha chaguzi za HAKI.

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Месяц назад +8

    Watoto wa viongozi waliopita wanabebwa ndio shida ya nchi zakiafka

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Месяц назад +6

    M naona watoto wa wana siyasa baaz wanahc serikal n yao , wanahc watakufa viongoz kuna vjana mahil sanaa wapo wapewee nafac watafanya kaz kwa woga huku wakionyesha juhud zao

    • @user-eu6ql9zl7n
      @user-eu6ql9zl7n Месяц назад +1

      Ndio igeuzwe tu iwe ya kifalme warithishane wao Kwa wao Kuna watu Wana akili maono na ubunifu kama mim lakinll sichaguliw mtoto wa mmachinga mie

  • @RobertGerard-gf8is
    @RobertGerard-gf8is Месяц назад +1

    Nape apongezwe kasema ukweli mawashangaa wapinzani nape kaiambia dunia maisha halisi ya CCM

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n Месяц назад +1

    Sisi tutapiga kura Slaa akirud Ardhi vinginevyo hata waamasishe vip !!Wsendelee na uchaguz wao tuu😅😅

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora Месяц назад +1

    Sio kiburi, Sema wamelelewa kama nyumbani

  • @YoelMagese
    @YoelMagese Месяц назад +1

    Kumbe kuna kazi kubwa sans, wapinzani wa namna hii! Nape kawasaidia ninyi mkajua siri ya namna hii.
    Nape alitakiwa kulaumiwa na CCM pekee, siyo ninyi wapinzani.
    Sijui hata huo muda wa kupongeza mnaupata wapi.
    Wapinzani wa namna hii siyo makini hata kidogo.

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Месяц назад

      Kasaidia taifa zima siyo wapinzani tu.

  • @AminiMoshi-cn9wi
    @AminiMoshi-cn9wi Месяц назад +3

    Ccm ni ileile hakuna jipya

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Месяц назад +2

    Kupitia waziri mpya wa abari na mawasiliano.
    Serikali iangalie wananchi wake kuhusu Bando za simu Tanzania wanachi wa chini wanaumizwa sana uku tukichangia tuzo ukitoa pesa ukiweka unakatwa lakini jiunge entanet 5000 unaambiwa wiki jioni imeisha jamani mnaumiza wananchi wa chini tunaumia sana

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Месяц назад

      Kiongozi hayo unayasema ujue siyo maono ya waziri bali mwenye mkakati wake ni Mwigulu na President mwenyewe! Tozo nk ni mapato ya serikali anayeainisha wigo wa mapato nchi nzima ni hao nilokutajia. Hivyo kama unapigwa jua anayekubonda pia

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Месяц назад

    Uskivu kwa wanasiasa tu, sio kw raia kwa mfano watu wa pembezon mwa hifadh

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou Месяц назад +3

    Kwani nape amesema uongo? JIBU,,HAKUSEMA UONGO KWA HIYO NI WAKUPONGEZWA KWA ASILIMIA 120,,KWANI CCM MWAKA 2020 UCHAGUZI ULIOPITA YALITOKEZEA NINI? SI NDO HAYO ANAYOYASEMA NAPE,,,KWA HIYO NAPE NI MTU WAKUPONGEZWA NA WATANZANIA WOTE,,,,CCM WANASEMA WEMBE NI ULE ULE USHINDI

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад +1

      Hata Mh mwenyewe aliwahi kusema ntapiga kura lakini tutatangaza ushindi kwa CCM. Nashangaa lawama anatupiwa Nape na wengi tu huongea ukweli huo

    • @thomasmsamikikowe2485
      @thomasmsamikikowe2485 Месяц назад

      Mchochezi were, vilipuzi vya nini?

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 Месяц назад +2

    Nimekuelewa ndugu umesema ukweli

  • @YunusuKantangayo
    @YunusuKantangayo Месяц назад

    MH RAISI TUNAKUSHUKURU SANA KWA UTENGUZI HUU WA NAPE NA MAKAMBA MWENYEZI MUNGU AMEMPA MAONO RAISI WETU KWA NILI

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md Месяц назад

    Chama cha mababa watoto na wajukuu zao hakuna nafasi kwa alie juu mngoje chini wala hakuna nafasi kwa alie chini mngoje juu hiyo haipo Tanzania

  • @JoelMroni
    @JoelMroni Месяц назад

    WATU KAMA NAPE WAMEKAA MADARAKANI MREFU SERIKALINI NA WAMEFA NYA MAMBO YA HOVYO KTK NCHI HII.WANAJIDANGANYA KUWA BILA WAO NCHI HAIENDI.WANAJIDANGANYA.

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278 Месяц назад

    Maoni yangu. Rais Samia ana MATATIZO na Baraza lake la Mawaziri. Sio hao tu Bali pia bado anahofu hata na wakurugenzi makatibu wakuu.
    Rais Samia kwa mtizamo niseme alifanya makosa siku ya Kwanza alipo apishwa kuwa kiongozi wa taifa hili pale alipo itangaza JINSIA yake kuwa aliye mbele yenu ni MWANAMKE ambaye ndiye Rais wenu. Baada ya kiopo angeonyesha na kuthibitisha kuwa yeye ndiye Rais alipaswa kuvunja Baraza alilolikuta kwa mtangulizi wake na kuteua Mawaziri wake na kuwaapisha. Kutokana na upungufu huo Baraza aliloendelea nalo wengi hawakuwa na IMANI nae kwa kusema eti huyu ni Rais wa Katiba hakuna aliyempigia KURA watakula nae sahani moja
    Marais watano wameongoza taifa hili kwa kupigiwa Kura na Wananchi, Kati ya Marais hao hakuna hata mmoja aliye wahi kutumia mtindo wa Uongozi wa kuteua na kutengua Wakurugenzi WA usalama (DG) Mawaziri,majaji, makatibu wakuu, wakuu wa mikoa na wilaya kama Rais Samia anavyo Fanya. Japo Magufuli alifanya lakini sio kwa kiwango anachofanya Samia 24/30 Uteuzi na utenguzi unategemea sifa kadhaa za kiongozi, Uwezo, uadilifu, ubunifu, integrity na nidhamu binafsi.
    Kama vyombo vinavyo kuleta majina ya wanao sitahili kuteuliwa basi anawajibika kukaa na idara hizo kupitia files zao na kuchuja ili kupata sifa anazo zinazohitajika ili kufanya uteuzi sahihi. Kinyume na hapo kutengua tengua kuna leta na kuijenga hofu kwa WAFUASI na inawapa nafasi ya kutumia Ile kauli ya Rais (Kila mtu atakula Urefu wa Kamba yake) ndio maana utaiona kwa sasa hakuna kiongozi anaye ogopa kutenguliwa.
    Pamoja na Hali ya joto la uchaguzi wa serikali za Mitaa na uchaguzi mkuu ujazo, kama nikutayarisha SAFU ya kutayarisha wacheza Rafi basi nadhani Dalili za vurugu na matendo maovu yameanza kuonekana, moja wapo ni utekaji na mauaji ya watoto wadogo. Hii ni tofasiri chafu na mbaya, ingawa serikali inaikemea kwa kucheka na kuacha ishamiri kadri siku zinavyo kwenda italeta madhara hapo baadae.

  • @JoelRichard-hj3bi
    @JoelRichard-hj3bi Месяц назад

    Kweli kabisa, Asikali wetu wamekuwa maadui kwa umma nchini,sasa hii awamu moto mkali utawaka.

  • @user-jc8vt7ct9t
    @user-jc8vt7ct9t Месяц назад

    Duh hii kali hiyo kauli ya bata nimeipenda

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Месяц назад

    Nakubaliana na wewe asipewe nafasi ya ubunge!

  • @user-io7lz5qv3r
    @user-io7lz5qv3r Месяц назад +1

    mbunge wa mtama kapigwa mtama haleluya

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Месяц назад

    Huyu jamaa kesho atajiunga na CCM. Nenda tu CCM ndio kwenye chakula acha maneno.

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Месяц назад

    Hapo umezungumza ndiomana viongozi walioshinda Kwa rushwa wanashindwa kuchukua hatua

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Месяц назад

    Kama ni msikivu kampigie kampeni

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Месяц назад

    Vilipuzi vitakuwepo,mmh kauli hiyo utakuja kuwajibika nayo,japo nakupa asilimia 90 kwa yote uliyo yssema,hapa naww umetoa ya chumbani.

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s Месяц назад

    Tunasema Asante mungu. Acheni mungu aitwe mungu. Pia anamaksudi yake. Akaamua kutuletea mropokaji siku zote mwizi akinogewa haachi kuiba

  • @user-oe3ug8kz2x
    @user-oe3ug8kz2x Месяц назад

    Asante Rais hapo tunakupa 5 sasa Nape atume tena kimbunga

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Месяц назад

    Mnadili na familia zao anaetangaza tofauti na mlengwa

  • @MdalesioWilliam
    @MdalesioWilliam Месяц назад

    Alitoa kauli mbaya mno Rais asante tusingepiga kula

  • @floraashery224
    @floraashery224 Месяц назад

    Wewe kamanda sijakusoma kwa kweli...kuna elements nimesoma kwenye ulimi wako...ni moja uwe umesoma cuba utanielewa..

  • @user-vt9pl1bz6x
    @user-vt9pl1bz6x Месяц назад

    Nape ataludi madalakani muwena akiba ya maneno

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Месяц назад +1

    Nape ni mtaalam wa kuiba kura hivyo ataiba uteuz

    • @user-od2mc4mj4e
      @user-od2mc4mj4e Месяц назад

      Hahahaha we jamaa umetisha ataiba uteuzi😅

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Месяц назад

    Acha uongo huyo Nape akija kwenye mtampokea bwegee wewe

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Месяц назад

    Majungu tu

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад

    Aliye juu atafuatwa hukohuko aliko.

  • @DavidDanken-uf7kp
    @DavidDanken-uf7kp Месяц назад

    Mwambigija unamsifu rais kijanjajanja nyooka tu samia atakuona.

  • @ndemabhwila
    @ndemabhwila Месяц назад

    Aondoke na roboti lake akaliweke jimboni mtama

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 Месяц назад

    Mwambigijaaaa, mbona unaingizwa chaka hilo nipicha nape na makamba wanaandaliwa kwaajiri ya kuwekwa kuanda mifumo ya uchaguzi ilikuipa CCM ushindi hivyo mslale milango wazi na usngizi wa pono eti tu nape na makamba na nyabato wamepigwa chini huo mimi naona ni majaribu makubwa sana kwenu

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 Месяц назад +1

      Uchaguzi ukikaribia wanaingizwa kwenye mifumo wapo wanajinoa. Mnadanfanywa ndugu zangu wana IT hao.

  • @ShamilaIssa-pk5sz
    @ShamilaIssa-pk5sz Месяц назад

    nape kulewa na Maharaja, sasa yeye kamwaga mboga mama kamwaga ugali

    • @ShamilaIssa-pk5sz
      @ShamilaIssa-pk5sz Месяц назад

      nape kalewa na madaraka, sasa yeye kamwaga mboga mama kamwaga ugali

  • @RichardMgweno
    @RichardMgweno Месяц назад

    Sasa na wewe sio ccm b maana unamsifia Nini mama na useme tuingie mtaani mile le

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora Месяц назад

    Mamaalijua magu ni kichaa

  • @maalimwenga452
    @maalimwenga452 Месяц назад +1

    Bado mwigulu😊

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele Месяц назад

    5:21

  • @AdamKaponda
    @AdamKaponda Месяц назад

    Kumbukeni alisema goli la mkono

  • @JuliusMlengeswa
    @JuliusMlengeswa Месяц назад +1

    Hapana, Natumaini Rais hataingilia mchakato wa uchaguzi. Nape bado anahitajika. Na usimzibie riziki yake. Acha jimboni kwao waamue

  • @knight6757
    @knight6757 Месяц назад +2

    Tabia haina DAWA !

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Месяц назад

      Ifike mahali watu wapumzike. It won't be the end of the world

    • @knight6757
      @knight6757 Месяц назад

      @@adelinelyaruu3036 tumbo je?

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Месяц назад +1

    Nadhani bro sio nape peke yake
    Tatizo ni kuwakumbatia watoto wa viongozi wastaafu
    Wapo wengi wanao fanya kazi kwa kubebwa
    Kwani hakuna vijana wenye elimu na uwezo Tanzania?

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Месяц назад

    Ndiyo maana Magu alimpiga kushoto

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Месяц назад

    Nape nimwehu CCM haibi kura ila hakuna chama cha upinzani kwasasa,kinachoweza kuishinda CCM