upepo tu kaka chid umekupitia bongo akuna rap km ww wanajuwa sana naomba sana ujikite ktk gemu achana na mambo ya ajabu jipange kwakazi bado upo ktk ubora
@@paulsanga7591 unakichaa nini? Hivi wee unakili timamu? Unamsikia huyo unamuita msanii??? Ndio maana unaitwa Hilo jina lako!!!! Huyo Yuko forever top na drugs unadhani ndio unamsapoti!! Jinga wewe!! Mwambieni ukweli mumpeleke rehab hiyo ndio kumpenda
Kichaa unacho ww au? Alikua addicted akaenda soba akapona ach mmb y kale kuleta Sasa .. je nikikuambia niambie pointless tatu tu alizo ongea hp ? Utazipata km yes taja ach kukalili maish ... Km Hun D mbili huwez muelewa chid TID hawa watu wan IQ kubwa San saw... "Nitajie pointless tatu hp zinazo onyesh kingkom ni mlaibu wa madawa"achana na Yale nenda na yasasa. 3pointles only ...Alf kachek show sawa ndy uje kujib hoja
upepo tu kaka chid umekupitia bongo akuna rap km ww wanajuwa sana naomba sana ujikite ktk gemu achana na mambo ya ajabu jipange kwakazi bado upo ktk ubora
Rosa Ree mwenyewe amejiimbia tuu!!!Ame ji perfomia tuu
Kwan kamsem vibay Rosa mbon kamsifia n kumshukiru angalia show Alf sikiliz vzr maneno y chid
Mwambieni akaushe kupanda nakushuka yote maisha
Kwani kakos3a wap mbn ukwer mtup anaongea
@@paulsanga7591kweli facts tupu
Huyu naye ako na mashida mengi!!!!! Alafu wanajabaribwanamjaza tuu!!!! Huyu awache drugs tuu
Ww show ujaion Alf un comment upuuz angalia show yt then ndy uje comment 🤣🤣🤣
@@paulsanga7591 unakichaa nini? Hivi wee unakili timamu? Unamsikia huyo unamuita msanii??? Ndio maana unaitwa Hilo jina lako!!!! Huyo Yuko forever top na drugs unadhani ndio unamsapoti!! Jinga wewe!! Mwambieni ukweli mumpeleke rehab hiyo ndio kumpenda
Kichaa unacho ww au? Alikua addicted akaenda soba akapona ach mmb y kale kuleta Sasa .. je nikikuambia niambie pointless tatu tu alizo ongea hp ? Utazipata km yes taja ach kukalili maish ... Km Hun D mbili huwez muelewa chid TID hawa watu wan IQ kubwa San saw... "Nitajie pointless tatu hp zinazo onyesh kingkom ni mlaibu wa madawa"achana na Yale nenda na yasasa. 3pointles only ...Alf kachek show sawa ndy uje kujib hoja
Nilichogundua umezaliwa na makasiriko na kukurupuka bas hmn shida shangaa ww ndy mlaib wa madaw maan unatkan bila sabab nenda soba🤣🤣🤣
Akili huna wewe@@BarbaraPatience-qt9cc