CHID BENZ AWACHANA WANAOMNYIMA SHOW /WALIOMTOA KWENYE STAGE AKIFANYA SHOW/AKIPATA MAOKOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2024
  • CHID BENZI AWACHANA WALIOMTOA KWENYE STAGE AKIFANYA SHOW/AKIPATA MAOKOTO #CHIDBENZI #chidbenz
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 12

  • @WifiClassic
    @WifiClassic 28 дней назад

    upepo tu kaka chid umekupitia bongo akuna rap km ww wanajuwa sana naomba sana ujikite ktk gemu achana na mambo ya ajabu jipange kwakazi bado upo ktk ubora

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 29 дней назад

    Rosa Ree mwenyewe amejiimbia tuu!!!Ame ji perfomia tuu

    • @paulsanga7591
      @paulsanga7591 29 дней назад +1

      Kwan kamsem vibay Rosa mbon kamsifia n kumshukiru angalia show Alf sikiliz vzr maneno y chid

  • @user-or3gu4qc9v
    @user-or3gu4qc9v 29 дней назад

    Mwambieni akaushe kupanda nakushuka yote maisha

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc 29 дней назад

    Huyu naye ako na mashida mengi!!!!! Alafu wanajabaribwanamjaza tuu!!!! Huyu awache drugs tuu

    • @paulsanga7591
      @paulsanga7591 29 дней назад +1

      Ww show ujaion Alf un comment upuuz angalia show yt then ndy uje comment 🤣🤣🤣

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 29 дней назад

      @@paulsanga7591 unakichaa nini? Hivi wee unakili timamu? Unamsikia huyo unamuita msanii??? Ndio maana unaitwa Hilo jina lako!!!! Huyo Yuko forever top na drugs unadhani ndio unamsapoti!! Jinga wewe!! Mwambieni ukweli mumpeleke rehab hiyo ndio kumpenda

    • @paulsanga7591
      @paulsanga7591 29 дней назад

      Kichaa unacho ww au? Alikua addicted akaenda soba akapona ach mmb y kale kuleta Sasa .. je nikikuambia niambie pointless tatu tu alizo ongea hp ? Utazipata km yes taja ach kukalili maish ... Km Hun D mbili huwez muelewa chid TID hawa watu wan IQ kubwa San saw... "Nitajie pointless tatu hp zinazo onyesh kingkom ni mlaibu wa madawa"achana na Yale nenda na yasasa. 3pointles only ...Alf kachek show sawa ndy uje kujib hoja

    • @paulsanga7591
      @paulsanga7591 29 дней назад

      Nilichogundua umezaliwa na makasiriko na kukurupuka bas hmn shida shangaa ww ndy mlaib wa madaw maan unatkan bila sabab nenda soba🤣🤣🤣

    • @TheAddyjembe
      @TheAddyjembe 29 дней назад

      Akili huna wewe​@@BarbaraPatience-qt9cc