CHINO APEWA ONYO NA CHID BENZ /KUIMBA AMAPIANO /WASANII WANAOVIMBIANA/KUBANIWA SHOW NA KOLABO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 апр 2024
  • CHINO APEWA ONYO NA CHID BENZI /KUIMBA AMAPIANO /WASANII WANAOVIMBIANA NA MAGARI #CHINO #CHIDBENZI #CHIDBENZICHINO #CHINOCHIDBENZI #carrymastorytv CHINO APEWA ONYO NA CHID BENZ /KUIMBA AMAPIANO /WASANII WANAOVIMBIANA/KUBANIWA SHOW NA KOLABO
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 65

  • @Kombs-cr2mj
    @Kombs-cr2mj 17 дней назад +4

    Huyu jamaa genius, bongo bado sana kumsoma

  • @ProTitle_
    @ProTitle_ 6 дней назад

    Big brooooo Point Nyingi..........Respect kwa chino pia

  • @ChrisantEmanuely27
    @ChrisantEmanuely27 20 дней назад +18

    Kuna Child na TID na SEBA ao watu kuwaelewa uwe na akili ya ziada

    • @abubakarjabir3132
      @abubakarjabir3132 19 дней назад

      Oya na Seba mmeshamuunganisha!

    • @warakawayohana2896
      @warakawayohana2896 18 дней назад

      Wao sasa au yeye

    • @OchoaHomeDecor_
      @OchoaHomeDecor_ 17 дней назад

      Hao wamepagawa..
      Ukiwa huna akili ndio unaona wanaakili...
      Wamejawa makasiriko kama utawasikiliza vizuri...
      Maisha yamebadirika sikuhizi kazi ni kwenye digital platform sisi wengine ni wafatiliaji mitandaoni...
      Kikwete anamfatilia alikiba na diamond huwezi kutaka Kikwete aje kupeperusha bendera hapo...
      Vipato vyetu watanzania wengi ni vidogo...
      Elfu 5 kwa siku
      Hivyo tunaweza kumudu bundle la 500 tukaangalia youtube lakini hatuwezi kumudu elfu 10 ya kuingia kwenye show
      Hao wazee uliowqtaja hapo wamejawa makasiriko na mafanikio ya watoto huwezi kuja kusema show ya mwenzio imeingiza watu 20 ukaonekana huna makasiriko
      Yeye afanye show aone kama ataingiza hao watu 500 au elfu 1
      Zamani enzi zao watu walikuwa wanaenda kwenye shows kwasababu hakukuwa na utandawazi kama sasa,
      Hakukuwa na smartphone sasaiv ukiwa na simu yako mkononj unaweza ku enjoy na siku ikaisha poa....
      Zamani kuenjoy ni lazima uende kwenye show sasaivi show tunazitazama live kwenye simu na hayo ndio mapinduzi yenyewe,
      Zamani pesa kubwa ni show sasaiv wasanii kwenye digital platform wanapata mpaka milioni 10 kwa mwezi na hao ni hawa wadogo wadogo...
      Waache makasiriko wamrudie Mungu game ishawakataa muda wao umepita watubu wafanye ibada basiii

    • @abdulymaeda2697
      @abdulymaeda2697 12 дней назад

      Uwe na D 2

    • @ramadhanisultani2070
      @ramadhanisultani2070 11 дней назад

      Kwahyo SEBA MWANANGULO nae kashaingia humo wabongo 😂😂😂😂

  • @chuserkibavu
    @chuserkibavu 20 дней назад +5

    Chid na Tid💥 baba mmoja😂😂😂😂

  • @chidi_don
    @chidi_don 20 дней назад +3

    Dah sio poa kabisa yani chidi beenz chuma 🔥🔥🔥🔥✈️💯

  • @meshackkyando5722
    @meshackkyando5722 20 дней назад +3

    Daaah chidi apewe maua yake

  • @DanielLaurent-pl4rg
    @DanielLaurent-pl4rg 18 дней назад +3

    RASHIDI CHIDI BENZI UKO MAKINI.

  • @yusuphmtuga4951
    @yusuphmtuga4951 20 дней назад +3

    Ushaur mzur sana dogo chukua fanyia kazi

  • @azontoboy6943
    @azontoboy6943 20 дней назад +3

    Chhid anaakili sana huyu jamaa

  • @buanaquendaabdalaabdala8260
    @buanaquendaabdalaabdala8260 20 дней назад +2

    Chidd nakukubali sana, tangu zamani 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @johnmagubiko2902
    @johnmagubiko2902 20 дней назад +2

    Akili nyingii sanaa chid benzii

  • @ninjaisma7983
    @ninjaisma7983 18 дней назад +2

    Interview kali kichizi 😅😅😅

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 11 дней назад

    ushindani muhimu, pongezi wote,

  • @ycmrpondis1537
    @ycmrpondis1537 17 часов назад

    Chid Benz ana hakili sana

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 20 дней назад +3

    Mziki saa hv ni pombe na shisha tu, hilo shisha watu mbaka wajambe😂😂😂

  • @mtambojr1815
    @mtambojr1815 5 дней назад

    Chidi anakitu kikubwa sana sema wapuuzi wengi hawamuelewi

  • @khamis_zimbwe
    @khamis_zimbwe 20 дней назад +1

    KAONGEA POINT SANA BROTHER CHID MUCH RESPECT IT ❤,🔥

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 20 дней назад +1

    Nimekuja hapa kushesha

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 17 дней назад

    ❤❤❤kingkong nomaaaah jamaa namwelewa Sana big up brother #chidbenz

  • @user-uy3uk2ul5b
    @user-uy3uk2ul5b 19 дней назад +1

    Sio wote watakuja kwenye shoo,

  • @JamalRamadhani
    @JamalRamadhani 20 дней назад +2

    Oy broo chidd nakumbali sana upo true sna..😅😅😅

  • @abrahamfelix95
    @abrahamfelix95 19 дней назад +1

    dah RASHID

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 20 дней назад +2

    Safi endelea hvyo, SAFI, SAFI, SAFI, kama sio safi ningekwambia CHAFU😅😅

  • @user-qz5to1vn1z
    @user-qz5to1vn1z 20 дней назад +1

    Kesho ntaikuta tiktok hii😂😂😂😂

  • @pascosalvatory5274
    @pascosalvatory5274 17 дней назад +1

    #KWEL TID FT CHID PATANENI NYIE NDUGU HAKIKA BABA MMOJA😂😂

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 18 дней назад +1

    Chid engine Sana ni Noma nimemuelewa

  • @Estherbongo
    @Estherbongo 20 дней назад +2

    Chino nakuomba mchukue chid napia hapo chid anatak kolabo jiongez pls msaidie ❤

  • @iamiankenya
    @iamiankenya 15 дней назад

    Something big is dropping ❤

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 20 дней назад +1

    Yaani amapiano ya wasauzi ati wameupigania wabongo😁😁😁 acheni ufala

  • @stanleyalban5666
    @stanleyalban5666 19 дней назад +1

    Ndugu hali ya hewa

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 20 дней назад +2

    Chid benz ana akili kuubwa na nzuri

  • @DanielLaurent-pl4rg
    @DanielLaurent-pl4rg 18 дней назад +1

    #Unyama chorodo Gen Mbalali 001 Kwisha

  • @meshackkyando5722
    @meshackkyando5722 20 дней назад +1

    Chidi yuko bwiii ....kalewa

  • @jay-bblueband7140
    @jay-bblueband7140 10 дней назад

    Unaongea nasimu af unihoji mimi eeeh

  • @zomasamweli
    @zomasamweli 20 дней назад +1

    Chid anasema ukeli ila watu wanambeza

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 20 дней назад +2

    Huyu jamaa Genius kweli Chidi benz

  • @user-tt1ze2dw4x
    @user-tt1ze2dw4x 18 дней назад +1

    Chid amemaanisha watu wakuimba nao sio watuwatakaoingia anamaanisha watu watakaokua na vibe bahada yakuingia

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 19 дней назад

    Beenz is too real😂😂😂

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 20 дней назад +1

    Sisi na stage on the same

  • @majalysimonzle2312
    @majalysimonzle2312 21 день назад +1

    igongwe remix

  • @ngadumbishi1405
    @ngadumbishi1405 21 день назад

    Benzino😂😂

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 19 дней назад +1

    😂😂😂

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 17 дней назад +1

    Dogo Chino kula matunda huna vitamin C,Scurvy hiyo mdomoni.

    • @andrewmmbaga1665
      @andrewmmbaga1665 17 дней назад

      😂Daah

    • @Allyhujjat
      @Allyhujjat 16 дней назад

      Chaptlips inabidi akamuone mtabibu sio akate viuno na kula shisha tuu

  • @chidi_don
    @chidi_don 20 дней назад +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 18 дней назад

    Sasa chid show inahitaji advertisement tofauti na post na videos huko RUclips zipo tu mda wote ndio maana zinafika izo views huwez kufananisha na show ambayo n event ya siku moja tu

  • @RehemaLutenga
    @RehemaLutenga 19 дней назад +1

    Watanzania wanafiki sana sasa mnamsifia huyo chid anaakili nyingi kwa lipi anaropoka tuu mara kujamba

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 20 дней назад +6

    Chiddy ana akili nyingi. Ukweli ni kwamba show ilikuwa na watu wachache sana. Sema ukiwasikiliza waandishi wa habari ni kama vile kulikuwa na nyomi la watu.
    Sometimes tuache unafiki, tuwe tunawaambia hawa vijana ukweli kwa ajili ya kuwasaidia kurekebisha mambo badala ya kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.

  • @festopaul7549
    @festopaul7549 20 дней назад +1

    😂😂😂