CHINO APEWA ONYO NA CHID BENZ /KUIMBA AMAPIANO /WASANII WANAOVIMBIANA/KUBANIWA SHOW NA KOLABO
HTML-код
- Опубликовано: 26 апр 2024
- CHINO APEWA ONYO NA CHID BENZI /KUIMBA AMAPIANO /WASANII WANAOVIMBIANA NA MAGARI #CHINO #CHIDBENZI #CHIDBENZICHINO #CHINOCHIDBENZI #carrymastorytv CHINO APEWA ONYO NA CHID BENZ /KUIMBA AMAPIANO /WASANII WANAOVIMBIANA/KUBANIWA SHOW NA KOLABO
- Развлечения
Huyu jamaa genius, bongo bado sana kumsoma
Big brooooo Point Nyingi..........Respect kwa chino pia
Kuna Child na TID na SEBA ao watu kuwaelewa uwe na akili ya ziada
Oya na Seba mmeshamuunganisha!
Wao sasa au yeye
Hao wamepagawa..
Ukiwa huna akili ndio unaona wanaakili...
Wamejawa makasiriko kama utawasikiliza vizuri...
Maisha yamebadirika sikuhizi kazi ni kwenye digital platform sisi wengine ni wafatiliaji mitandaoni...
Kikwete anamfatilia alikiba na diamond huwezi kutaka Kikwete aje kupeperusha bendera hapo...
Vipato vyetu watanzania wengi ni vidogo...
Elfu 5 kwa siku
Hivyo tunaweza kumudu bundle la 500 tukaangalia youtube lakini hatuwezi kumudu elfu 10 ya kuingia kwenye show
Hao wazee uliowqtaja hapo wamejawa makasiriko na mafanikio ya watoto huwezi kuja kusema show ya mwenzio imeingiza watu 20 ukaonekana huna makasiriko
Yeye afanye show aone kama ataingiza hao watu 500 au elfu 1
Zamani enzi zao watu walikuwa wanaenda kwenye shows kwasababu hakukuwa na utandawazi kama sasa,
Hakukuwa na smartphone sasaiv ukiwa na simu yako mkononj unaweza ku enjoy na siku ikaisha poa....
Zamani kuenjoy ni lazima uende kwenye show sasaivi show tunazitazama live kwenye simu na hayo ndio mapinduzi yenyewe,
Zamani pesa kubwa ni show sasaiv wasanii kwenye digital platform wanapata mpaka milioni 10 kwa mwezi na hao ni hawa wadogo wadogo...
Waache makasiriko wamrudie Mungu game ishawakataa muda wao umepita watubu wafanye ibada basiii
Uwe na D 2
Kwahyo SEBA MWANANGULO nae kashaingia humo wabongo 😂😂😂😂
Chid na Tid💥 baba mmoja😂😂😂😂
Dah sio poa kabisa yani chidi beenz chuma 🔥🔥🔥🔥✈️💯
Daaah chidi apewe maua yake
RASHIDI CHIDI BENZI UKO MAKINI.
Ushaur mzur sana dogo chukua fanyia kazi
Chhid anaakili sana huyu jamaa
Chidd nakukubali sana, tangu zamani 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Akili nyingii sanaa chid benzii
Interview kali kichizi 😅😅😅
ushindani muhimu, pongezi wote,
Chid Benz ana hakili sana
Mziki saa hv ni pombe na shisha tu, hilo shisha watu mbaka wajambe😂😂😂
😂 wajambe moshi wa njano
@@user-mf6vv1mf6x 😂
Chidi anakitu kikubwa sana sema wapuuzi wengi hawamuelewi
KAONGEA POINT SANA BROTHER CHID MUCH RESPECT IT ❤,🔥
Nimekuja hapa kushesha
❤❤❤kingkong nomaaaah jamaa namwelewa Sana big up brother #chidbenz
Sio wote watakuja kwenye shoo,
Oy broo chidd nakumbali sana upo true sna..😅😅😅
dah RASHID
Safi endelea hvyo, SAFI, SAFI, SAFI, kama sio safi ningekwambia CHAFU😅😅
Kesho ntaikuta tiktok hii😂😂😂😂
#KWEL TID FT CHID PATANENI NYIE NDUGU HAKIKA BABA MMOJA😂😂
Chid engine Sana ni Noma nimemuelewa
Chino nakuomba mchukue chid napia hapo chid anatak kolabo jiongez pls msaidie ❤
Chino hana chakumsaidia chid
Something big is dropping ❤
Yaani amapiano ya wasauzi ati wameupigania wabongo😁😁😁 acheni ufala
Ndugu hali ya hewa
Chid benz ana akili kuubwa na nzuri
#Unyama chorodo Gen Mbalali 001 Kwisha
Chidi yuko bwiii ....kalewa
Unaongea nasimu af unihoji mimi eeeh
Chid anasema ukeli ila watu wanambeza
Huyu jamaa Genius kweli Chidi benz
Chid amemaanisha watu wakuimba nao sio watuwatakaoingia anamaanisha watu watakaokua na vibe bahada yakuingia
Beenz is too real😂😂😂
Sisi na stage on the same
igongwe remix
Benzino😂😂
😂😂😂
Dogo Chino kula matunda huna vitamin C,Scurvy hiyo mdomoni.
😂Daah
Chaptlips inabidi akamuone mtabibu sio akate viuno na kula shisha tuu
😂😂😂😂😂😂
Sasa chid show inahitaji advertisement tofauti na post na videos huko RUclips zipo tu mda wote ndio maana zinafika izo views huwez kufananisha na show ambayo n event ya siku moja tu
Watanzania wanafiki sana sasa mnamsifia huyo chid anaakili nyingi kwa lipi anaropoka tuu mara kujamba
😂 kwani kujamba nikulopoka
Chiddy ana akili nyingi. Ukweli ni kwamba show ilikuwa na watu wachache sana. Sema ukiwasikiliza waandishi wa habari ni kama vile kulikuwa na nyomi la watu.
Sometimes tuache unafiki, tuwe tunawaambia hawa vijana ukweli kwa ajili ya kuwasaidia kurekebisha mambo badala ya kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Vinny umeongea fact kwa kweli
Absolutely
#kuna mziki wa online kuna mziki wa shoo kwisha unyama
😂😂😂