JUMA LOKOLE ATOA SIRI SHILOLE NDANI YA PENZI JIPYA/KUACHANA NA ROMMY/SHILOLE ANAFURAHA/MASHA LOVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • UMA LOKOLE ATOA SIRI SHILOLE NDANI YA PENZI JIPYA/KUACHANA NA ROMMY/SHILOLE ANAFURAHA KWA SASA/ #jumalokole #JUMALOKOLWSHILOLE #ROMMY #MASHALOVE

Комментарии • 22

  • @msafiribakari5941
    @msafiribakari5941 4 месяца назад +3

    Sababu shilole hamzalii mume wake lazima kuwe na mikwaruzano hapo.

  • @aishambagi7371
    @aishambagi7371 4 месяца назад +1

    Una roho mbaya juma msenge

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 4 месяца назад

    Juma lokole ujue nchi hii inaongozwa namama.Hyo Daimond nimsanii kma wasanii wengine.Hna kubwa Wala jeuri yaww kuona yy nizaidi yaraisi.Mpka mama Samia kaenda ujue anawapenda wasanii nakuwasapoti Ww usijekumwaribia boss kwauchawa wako.Uwe namipaka yamaneno juma.Acha rohoombaya juma.

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 4 месяца назад +1

    Kwani nasibu lazima awepo mbona event imefanyika

  • @Naju645
    @Naju645 4 месяца назад +1

    Masha nae kaanza kuwa mbea

  • @aminamzuzuri5621
    @aminamzuzuri5621 4 месяца назад

    Event's ilikuwepo lkn ilipooza sana

  • @AliNgao-r3j
    @AliNgao-r3j 3 месяца назад

    Wambea sura zimewakauka masabasi

  • @ElizabethSalim-v5o
    @ElizabethSalim-v5o 4 месяца назад

    Masha hizo nywele kama watu wa galf

  • @AliNgao-r3j
    @AliNgao-r3j 3 месяца назад

    Wewe ni mpuuzi kuongea mambo ya wanawake wewe ni bwaraaaa tu lukoleeee

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 4 месяца назад +1

    Kwani masha hakuna msusi mzuri wa mbenjuo 5 kichwa😂😂😂😂😂

    • @Brunn-mh2bq
      @Brunn-mh2bq 4 месяца назад

      Nenda kamsuke weye. 😅

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 4 месяца назад

      Masha anachangamsha baraza stori ya Shilole imekuwa yake na nywele 😂😂

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 4 месяца назад

      ​@@Brunn-mh2bqsijaongea na wewe. Mm nimecheka unaleta makasiriko.

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 4 месяца назад

      ​@@fatmaalnabhani3609Yaaan Masha anasemaga ana baipora😂😂😂

  • @fatmaburton-br4yw
    @fatmaburton-br4yw 3 месяца назад

    Na wewe masha na hao wasenge wenzio wanaolopoka wote mbwaa hamjielewi tazama maziwa kama ziwe Moja kama mto Victoria na zowa lingine kama ziwe nyasa na ufupi kama kimba la Emoro

  • @جونفيرالبروندي
    @جونفيرالبروندي 4 месяца назад

    Jamani Tanzania Kuna umbea mmezidi 😂😂😂

  • @EmmyK-tg8ze
    @EmmyK-tg8ze 4 месяца назад

    Mzigo Utachukua muda gani kutoka China hadi Tanzania

  • @Lulucut
    @Lulucut 4 месяца назад

    Hivi mbengo tv imefungwa au kisa yule dada wa nyoka au mbn wamepotea

    • @ukhutfatumah1154
      @ukhutfatumah1154 4 месяца назад

      Mbona ipo mbengo TV wanapost Sema wanaandika kichwa cha habar kingine kilichopo ndan kikingine basi tafaran Ila wameshajirekebisha now. Wanaandika sahihi na kilichopo ndan

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du 4 месяца назад

    😂😂