Ubingwa hata mwakani hatuchukui.. timu imejaa viongozi wote janja janja , usajili wanaleta wacezaji low quality wanamtegemea a. Ally awanadi.. wanajaza matubo yao pesa
tatizo la waamuzi vibungo mnahongwa kiwaki ndomana hakuna maamuzi hata mmoja kutoka Tanzania anaechezeza michuano ya CAF,..unakataa goli halali linalogharim mchezo mzima,.mfano angelala Kati Simba wasingepata goli la pili sababu mda vijana wa Tabora wanadai haki Yao ndipo walipofungwa goli la pili,.. Bora mshuke daraja tu na kwa dhurma hii Simba haichezi club bingwa mwakani,.twende tuone
Gonga like kama unapenda simba nguvu moja
Naipend Simba yangu atakama nikafungwa mia Simba siami
Timu ya hovyo wewe jitambue
❤❤❤
Niambie kwann refa kalikataa like goli mm sio simba wala yanga ila napenda haki
Wa kwanza like zenu
This is simba❤❤❤
Mie ni simba ila hili Goli Tabora wamenyimwa
Mbn Hiyo Sheria imepitishwa Toka Mda Sana. Kwamba mpira ukivuka msitari Hauko Ndani ya nyavu Siyo golii
Sheria inasema mpira ukivuka mstari wa goli kwa asilimia 100% ni goli halali. Hilo ni goli la wazi
Kabisa yn
💪💪💪🙏🙏 Edwin b
♥️♥️♥️♥️
Yanga bana mishabiki mingine imekuwa na roho mbaya et papatu papatu so kila siku mungu akupe wew atawengine n watu zaidi yako
simba nguvu moja ❤❤
Simba❤❤
Kweli
Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂❤
Tutarudi tukiwa bora zaidi simba nguvu moja
Ubingwa hata mwakani hatuchukui.. timu imejaa viongozi wote janja janja , usajili wanaleta wacezaji low quality wanamtegemea a. Ally awanadi.. wanajaza matubo yao pesa
Gool safi hil kiukweli tim zetu ndogo zinaonewa wanapocheza simb na yanga
Tunamsubr azam tunampiga 2
simba nguvu moja damu damu ❤❤❤❤❤🎉
Itajulikana mechi na Azam
Wanathimba watajitafuta hawa
Daah kweli bwana ni goli kweli
Sema tabora United wanabahati mbya daa Yan ni Kam vle vya ki azizi kule south🤣🤣
That was a robbery
Kukosa uzio kila siku marefa wangetolewa na machela uwanjani maana WAPUMBAVU, WAPUMBAVU, WAPIMBAVU
Justice for tabora united 😅😂
Mimi ni Simba tangu utotoni.. lakini Tabora wamenyimwa goli la wazi.. Simba wajitathmini .. wachezaji wa Simba hawapendi kujituma..!
Simba Toka utoroni ya wapi, hamna simba aliyepo ivo
Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂
Dhuluma
Inonga kanuna kunyimwa kuuza timu leo 😅😅😅😅
Umeonaeee yeye ndo wa kwanza kutoka uwanjani yaani hata kuwapongeza wenzake kashindwa😢
Hahahhaha hatufai duka linalotembea
Yamekuw hayo leo 😂😂
kweri kabisa
Huwezi ruhusu goli ambalo huna uhakika nalo
Refa kenge kweli kweli.. na hana haya hata kidogo mamae
TIMU la MAKOLO yaani ni BOVU hamna kitu ni PAPATU PAPATU
Hahisi wakati goli linaingia refa alikua anaziweka sawa sodo alizovaa ili zisimdondoke na ndio maana hajaona goli
Na kibender alikuw wapi
Hiyo ni marudio ya south
Mechi na azam inabidi safu ya ilinzi ipunguze makosa,laa sivyo tutaadhibiwa na azam
Ila fred huyu dah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Simba Hilo goli mtalipia2 waulizeni mamelodi wapo wapi sasa hv😢😢
Siku chache tu nakuambia watalipia ha inahuzunisha😢
Na hii itaqnza kwa azam, watabutuliwa hawa 4_0
Hiyo kajula ni mnafiki sana kwanza kuonyesha kama timu haipendi havaigi jezi ya simba mo anava yy natumashati aachie ngazi
Tutashinda hata kwamukono
Sawa nape😂😂😂😂😂😂ila sio poa😂😂😂😂
Mgunda mie namwamini San na baraka mpenja Safi san
Huyu fred michael analijua goli
Kwani simba mashabiki wameenda wapi
Tabora wamenyimwa goli halali
Mwanangu irambona kakandwa na mme kisha kaibiwa na mkeee pole djumaaa ila mupo bien
Alichokifanya mwamuzi wa mchezo Ni kututonyesha tulipopona wapenzi wa yanga hili goli la Tabora United ni goli
Marefaree wa Tanzania wengi wao hawajui chochote katka mpira leo ndio nimeamini
Uyu ayubu bonge la kipa yani angekuwa mainline angeanza kuskilizia inakuaje
Mwamuzi ni shabiki wa simba
Lazima aisaidie timu yake.
Hii mechi kwa haki ilikuwa draw ya 1-1
Kwa kuzulumu 😂😂😂😂
Watangazaji wenyewe mazamwamwa umpira ukaenda nn unamumunya sema mpira umevuka gol line
Kolo mungu anawaona
Mm ni simba timu ya hovyo hovyo janja janja . Hakuna kikosi hapo usajili wa kuwashibisha kiongozi matumbo..
Tusajilie timu yako nzuri sisi tuko tayari
Shida iko wapi sasa si ubaki kimya
@@agnesjohn9382 nyamaza wewe yanga hujui kitu
Mechi chapwa japo mtangaza aji anajitahidi kuipamba
Ww lefa ulochezesha imechi una ataaibu wachezaji wasimbabwana kugonga ww nini auulikua kwenye sikuzako
Wamemyimwa.goli.hao
Tabora
Kanyimwa yanga na mamerodi na asec memosa na esperensi sembuse hao Tabora
Kennedy hakuna beki kabisa
Azam watarudisha ilo goli
Kwani wanagombea nafasi ya ngapi hawa au ni nafasi Ile Ile ya 3😂😂😂😂
Wako ile ile wala hawasogei
Ijumaa watalala kabisa hata kutambaa hawataweza 😂😂
Kajula hajajiuzulu?mbona walikuwa wanamwonyesha km anaenda kuwaaga wachezaji?nauliza jmn
Balaka mpenja mtangazajibwangu Bora wa mdawote😡😡
Kidogo mgunda ila simb wafwa
WAMEAMUA KUSHILIKIANA NA TFF ILI MADUNDUKAA WAPATE NAFASI YA PILI😊
Kichwapanzi ww hiyo team haindeshwi kiccm kama utoporo
Mutaimba sana ngonjera
Nafasi ya pili inaisha ljumaa hawataamini
Kwanza tunaitaka nafsi ya tatu tuende shirikixo huko ndio kuzur sasa kombe liko wazi
im
Simba mmebebwa
Kama nyie tu
Bado hamjasema
Ndio hivihivi mtu hujiloga hahaha poleni tabora MUNGU yuko kwenu hizo zambi za refa
Ao ndo waamuzi wetu wao nachoangalia ni lushwashwa2 awajui kama wana alibu kalia yao
tofautishan l na r kwanza ndio uje kubishana
Wajinga hao wanakumbuka shuka kumekucha?
Mmm mmebebwa
Fredi aondoke
mamae zenu mmeitafuta aibu mmeipata Kama mamelod
tatizo la waamuzi vibungo mnahongwa kiwaki ndomana hakuna maamuzi hata mmoja kutoka Tanzania anaechezeza michuano ya CAF,..unakataa goli halali linalogharim mchezo mzima,.mfano angelala Kati Simba wasingepata goli la pili sababu mda vijana wa Tabora wanadai haki Yao ndipo walipofungwa goli la pili,..
Bora mshuke daraja tu na kwa dhurma hii Simba haichezi club bingwa mwakani,.twende tuone
Unateseka ukiwa wapi utopolo😅
Naona uto wanateseka Sana wakati Hilo sio goal
Unawanga ukiwa wap😂😂😂 majini yenu yameishiwa nguvu sasa
Hana jipya huyo utopolooooooo
Magoal kama hayo mbona hata CAF wanakataa mnajitoa ufahamu😂
Ww utopolo tu
Wote wanashuka Daraja😂😂
Simba vs YANGA
ruclips.net/video/ppaAh9cxjoU/видео.htmlsi=4qkNiM0PoJ6AoAUH
Let's trust ours bhna @mgunda
Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂