Simba SC 2-0 Tabora United | Highlights | NBC Premier League 06/05/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 117

  • @CheckEngine47tz
    @CheckEngine47tz 4 месяца назад +24

    Gonga like kama unapenda simba nguvu moja

    • @MuuMusa
      @MuuMusa 4 месяца назад +2

      Naipend Simba yangu atakama nikafungwa mia Simba siami

    • @abdallahmdiliko8088
      @abdallahmdiliko8088 4 месяца назад +1

      Timu ya hovyo wewe jitambue

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 месяца назад

      ❤❤❤

    • @KhamisOmar-kt4kz
      @KhamisOmar-kt4kz 4 месяца назад

      Niambie kwann refa kalikataa like goli mm sio simba wala yanga ila napenda haki

  • @gerrardcharlesmonyo1331
    @gerrardcharlesmonyo1331 4 месяца назад +3

    Wa kwanza like zenu

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 4 месяца назад +1

    This is simba❤❤❤

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 4 месяца назад +3

    Mie ni simba ila hili Goli Tabora wamenyimwa

  • @MatiasiBonfas
    @MatiasiBonfas 4 месяца назад +5

    Mbn Hiyo Sheria imepitishwa Toka Mda Sana. Kwamba mpira ukivuka msitari Hauko Ndani ya nyavu Siyo golii

    • @user-yl2jt3ve9o
      @user-yl2jt3ve9o 4 месяца назад

      Sheria inasema mpira ukivuka mstari wa goli kwa asilimia 100% ni goli halali. Hilo ni goli la wazi

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 4 месяца назад

      Kabisa yn

  • @KillastaMwampashe
    @KillastaMwampashe 4 месяца назад +1

    💪💪💪🙏🙏 Edwin b

  • @LightnessSubira
    @LightnessSubira 4 месяца назад +1

    ♥️♥️♥️♥️

  • @user-gb1jq9zz1j
    @user-gb1jq9zz1j 4 месяца назад +1

    Yanga bana mishabiki mingine imekuwa na roho mbaya et papatu papatu so kila siku mungu akupe wew atawengine n watu zaidi yako

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 4 месяца назад

    simba nguvu moja ❤❤

  • @ShaibYussuf
    @ShaibYussuf 4 месяца назад

    Simba❤❤

  • @KASSIMHASSAN-mv4gn
    @KASSIMHASSAN-mv4gn 4 месяца назад +1

    Kweli

  • @CheckEngine47tz
    @CheckEngine47tz 4 месяца назад +1

    Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂❤

  • @ibrahimchiriku2797
    @ibrahimchiriku2797 4 месяца назад

    Tutarudi tukiwa bora zaidi simba nguvu moja

    • @abdallahmdiliko8088
      @abdallahmdiliko8088 4 месяца назад

      Ubingwa hata mwakani hatuchukui.. timu imejaa viongozi wote janja janja , usajili wanaleta wacezaji low quality wanamtegemea a. Ally awanadi.. wanajaza matubo yao pesa

  • @nassallybakar4346
    @nassallybakar4346 4 месяца назад

    Gool safi hil kiukweli tim zetu ndogo zinaonewa wanapocheza simb na yanga

  • @HalfaniAmmda
    @HalfaniAmmda 4 месяца назад +2

    Tunamsubr azam tunampiga 2

  • @ChineZinhoh
    @ChineZinhoh 4 месяца назад +1

    simba nguvu moja damu damu ❤❤❤❤❤🎉

  • @Jefu9947
    @Jefu9947 4 месяца назад +2

    Itajulikana mechi na Azam

  • @user-zr8lq9lo8y
    @user-zr8lq9lo8y 4 месяца назад

    Daah kweli bwana ni goli kweli

  • @JosephPallangyo-fd9kq
    @JosephPallangyo-fd9kq 4 месяца назад +2

    Sema tabora United wanabahati mbya daa Yan ni Kam vle vya ki azizi kule south🤣🤣

  • @Kichacani
    @Kichacani 4 месяца назад +2

    That was a robbery

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w 4 месяца назад +1

    Kukosa uzio kila siku marefa wangetolewa na machela uwanjani maana WAPUMBAVU, WAPUMBAVU, WAPIMBAVU

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 4 месяца назад

    Justice for tabora united 😅😂

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 4 месяца назад +2

    Mimi ni Simba tangu utotoni.. lakini Tabora wamenyimwa goli la wazi.. Simba wajitathmini .. wachezaji wa Simba hawapendi kujituma..!

  • @CheckEngine47tz
    @CheckEngine47tz 4 месяца назад +1

    Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂

  • @jumamangombe6493
    @jumamangombe6493 4 месяца назад +1

    Dhuluma

  • @PatrickMtui
    @PatrickMtui 4 месяца назад +3

    Inonga kanuna kunyimwa kuuza timu leo 😅😅😅😅

    • @sylvesterfrancis6826
      @sylvesterfrancis6826 4 месяца назад

      Umeonaeee yeye ndo wa kwanza kutoka uwanjani yaani hata kuwapongeza wenzake kashindwa😢

    • @user-qw5ft8xc1e
      @user-qw5ft8xc1e 4 месяца назад

      Hahahhaha hatufai duka linalotembea

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад

      Yamekuw hayo leo 😂😂

  • @FranceKachende
    @FranceKachende 4 месяца назад

    kweri kabisa

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 4 месяца назад +1

    Huwezi ruhusu goli ambalo huna uhakika nalo

  • @dennissamora729
    @dennissamora729 4 месяца назад

    Refa kenge kweli kweli.. na hana haya hata kidogo mamae

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 4 месяца назад +1

    TIMU la MAKOLO yaani ni BOVU hamna kitu ni PAPATU PAPATU

  • @user-gb2qr9bp2p
    @user-gb2qr9bp2p 4 месяца назад +1

    Hahisi wakati goli linaingia refa alikua anaziweka sawa sodo alizovaa ili zisimdondoke na ndio maana hajaona goli

  • @raymond5175
    @raymond5175 4 месяца назад

    Hiyo ni marudio ya south

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 4 месяца назад +1

    Mechi na azam inabidi safu ya ilinzi ipunguze makosa,laa sivyo tutaadhibiwa na azam

  • @user-dp9nw4jc4f
    @user-dp9nw4jc4f 4 месяца назад

    Ila fred huyu dah😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-cl1ut6oq1v
    @user-cl1ut6oq1v 4 месяца назад

    Simba Hilo goli mtalipia2 waulizeni mamelodi wapo wapi sasa hv😢😢

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад

      Siku chache tu nakuambia watalipia ha inahuzunisha😢

    • @zuhuranasoro8923
      @zuhuranasoro8923 4 месяца назад

      Na hii itaqnza kwa azam, watabutuliwa hawa 4_0

  • @EzekiaMyila
    @EzekiaMyila 4 месяца назад

    Hiyo kajula ni mnafiki sana kwanza kuonyesha kama timu haipendi havaigi jezi ya simba mo anava yy natumashati aachie ngazi

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g 4 месяца назад +1

    Tutashinda hata kwamukono

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      Sawa nape😂😂😂😂😂😂ila sio poa😂😂😂😂

  • @YulithaYoram
    @YulithaYoram 4 месяца назад +1

    Mgunda mie namwamini San na baraka mpenja Safi san

  • @bakarihatibu4587
    @bakarihatibu4587 4 месяца назад

    Huyu fred michael analijua goli

  • @groovy5357
    @groovy5357 4 месяца назад

    Kwani simba mashabiki wameenda wapi

  • @elishamwakihaba942
    @elishamwakihaba942 4 месяца назад

    Tabora wamenyimwa goli halali

  • @wimranpatrick
    @wimranpatrick 4 месяца назад

    Mwanangu irambona kakandwa na mme kisha kaibiwa na mkeee pole djumaaa ila mupo bien

  • @ramadhaninassoro4624
    @ramadhaninassoro4624 4 месяца назад

    Alichokifanya mwamuzi wa mchezo Ni kututonyesha tulipopona wapenzi wa yanga hili goli la Tabora United ni goli

  • @KhamisOmar-kt4kz
    @KhamisOmar-kt4kz 4 месяца назад

    Marefaree wa Tanzania wengi wao hawajui chochote katka mpira leo ndio nimeamini

  • @MariaSeverine
    @MariaSeverine 4 месяца назад

    Uyu ayubu bonge la kipa yani angekuwa mainline angeanza kuskilizia inakuaje

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 4 месяца назад

    Mwamuzi ni shabiki wa simba
    Lazima aisaidie timu yake.
    Hii mechi kwa haki ilikuwa draw ya 1-1

  • @Buysar_fx
    @Buysar_fx 4 месяца назад

    Kwa kuzulumu 😂😂😂😂

  • @francewilliam1020
    @francewilliam1020 4 месяца назад

    Watangazaji wenyewe mazamwamwa umpira ukaenda nn unamumunya sema mpira umevuka gol line

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 месяца назад

    Kolo mungu anawaona

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 4 месяца назад +2

    Mm ni simba timu ya hovyo hovyo janja janja . Hakuna kikosi hapo usajili wa kuwashibisha kiongozi matumbo..

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 4 месяца назад

      Tusajilie timu yako nzuri sisi tuko tayari

    • @patrickmwanyika9803
      @patrickmwanyika9803 4 месяца назад

      Shida iko wapi sasa si ubaki kimya

    • @user-vz4xj2ci2w
      @user-vz4xj2ci2w 4 месяца назад

      @@agnesjohn9382 nyamaza wewe yanga hujui kitu

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 4 месяца назад

    Mechi chapwa japo mtangaza aji anajitahidi kuipamba

  • @allyabdallah4641
    @allyabdallah4641 4 месяца назад

    Ww lefa ulochezesha imechi una ataaibu wachezaji wasimbabwana kugonga ww nini auulikua kwenye sikuzako

  • @user-jr1te1gu7g
    @user-jr1te1gu7g 4 месяца назад

    Wamemyimwa.goli.hao
    Tabora

  • @HamisMagambo-gw6ti
    @HamisMagambo-gw6ti 4 месяца назад +1

    Kanyimwa yanga na mamerodi na asec memosa na esperensi sembuse hao Tabora

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 4 месяца назад

    Kennedy hakuna beki kabisa

  • @yasintapantaleo295
    @yasintapantaleo295 4 месяца назад

    Azam watarudisha ilo goli

  • @moshielfesty7992
    @moshielfesty7992 4 месяца назад

    Kwani wanagombea nafasi ya ngapi hawa au ni nafasi Ile Ile ya 3😂😂😂😂

    • @user-ir1oi3xz1u
      @user-ir1oi3xz1u 4 месяца назад

      Wako ile ile wala hawasogei

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад

      Ijumaa watalala kabisa hata kutambaa hawataweza 😂😂

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c 4 месяца назад

    Kajula hajajiuzulu?mbona walikuwa wanamwonyesha km anaenda kuwaaga wachezaji?nauliza jmn

  • @ayoubmwamwaja
    @ayoubmwamwaja 4 месяца назад

    Balaka mpenja mtangazajibwangu Bora wa mdawote😡😡

  • @edumagobo4633
    @edumagobo4633 4 месяца назад

    Kidogo mgunda ila simb wafwa

  • @emanuelkazungu7058
    @emanuelkazungu7058 4 месяца назад

    WAMEAMUA KUSHILIKIANA NA TFF ILI MADUNDUKAA WAPATE NAFASI YA PILI😊

    • @chusseboywcb2808
      @chusseboywcb2808 4 месяца назад

      Kichwapanzi ww hiyo team haindeshwi kiccm kama utoporo

    • @TeamKilimanjaro2024
      @TeamKilimanjaro2024 4 месяца назад

      Mutaimba sana ngonjera

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад

      Nafasi ya pili inaisha ljumaa hawataamini

    • @taucdulle7460
      @taucdulle7460 4 месяца назад +2

      Kwanza tunaitaka nafsi ya tatu tuende shirikixo huko ndio kuzur sasa kombe liko wazi

  • @user-qn9ip4bx2y
    @user-qn9ip4bx2y 4 месяца назад

    im

  • @user-fq7hq5cw3i
    @user-fq7hq5cw3i 4 месяца назад +1

    Simba mmebebwa

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 4 месяца назад

    Ndio hivihivi mtu hujiloga hahaha poleni tabora MUNGU yuko kwenu hizo zambi za refa

  • @ZaiZai-hz1gb
    @ZaiZai-hz1gb 4 месяца назад

    Ao ndo waamuzi wetu wao nachoangalia ni lushwashwa2 awajui kama wana alibu kalia yao

    • @salamasaidi6620
      @salamasaidi6620 4 месяца назад

      tofautishan l na r kwanza ndio uje kubishana

  • @user-kp9ig3uz9s
    @user-kp9ig3uz9s 4 месяца назад +1

    Wajinga hao wanakumbuka shuka kumekucha?

  • @NuruSalumu-bv7re
    @NuruSalumu-bv7re 4 месяца назад

    Mmm mmebebwa

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt 4 месяца назад

    Fredi aondoke

  • @vivanyboy9743
    @vivanyboy9743 4 месяца назад +1

    mamae zenu mmeitafuta aibu mmeipata Kama mamelod

  • @godsonjoseph2593
    @godsonjoseph2593 4 месяца назад +1

    tatizo la waamuzi vibungo mnahongwa kiwaki ndomana hakuna maamuzi hata mmoja kutoka Tanzania anaechezeza michuano ya CAF,..unakataa goli halali linalogharim mchezo mzima,.mfano angelala Kati Simba wasingepata goli la pili sababu mda vijana wa Tabora wanadai haki Yao ndipo walipofungwa goli la pili,..
    Bora mshuke daraja tu na kwa dhurma hii Simba haichezi club bingwa mwakani,.twende tuone

    • @CHIIZATV-hl4zu
      @CHIIZATV-hl4zu 4 месяца назад +1

      Unateseka ukiwa wapi utopolo😅

    • @upendokasagala4035
      @upendokasagala4035 4 месяца назад +1

      Naona uto wanateseka Sana wakati Hilo sio goal

    • @salhaayub1338
      @salhaayub1338 4 месяца назад +1

      Unawanga ukiwa wap😂😂😂 majini yenu yameishiwa nguvu sasa

    • @HamisMagambo-gw6ti
      @HamisMagambo-gw6ti 4 месяца назад

      Hana jipya huyo utopolooooooo

    • @godfreyzenda9027
      @godfreyzenda9027 4 месяца назад

      Magoal kama hayo mbona hata CAF wanakataa mnajitoa ufahamu😂

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 4 месяца назад

    Ww utopolo tu

  • @joshuanyonyi3313
    @joshuanyonyi3313 4 месяца назад

    Wote wanashuka Daraja😂😂

  • @Mwamba0606
    @Mwamba0606 4 месяца назад

    Simba vs YANGA
    ruclips.net/video/ppaAh9cxjoU/видео.htmlsi=4qkNiM0PoJ6AoAUH

  • @JosephPallangyo-fd9kq
    @JosephPallangyo-fd9kq 4 месяца назад

    Let's trust ours bhna @mgunda

  • @CheckEngine47tz
    @CheckEngine47tz 4 месяца назад

    Ila mpenja eti walikwenda bila gadi wakapewa bila idadi😂