MWANAMKE KAMA HUNA TABIA HIZI CHAFU | JUA WEWE NI MKE MWEMA | SHEIKH OTHMAN MAALIM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • MWANAMKE KAMA HUNA TABIA HIZI CHAFU | JUA WEWE NI MKE MWEMA | SHEIKH OTHMAN MAALIM
    #MasjidMtoroTv #OthmanMaalim #NdoaNikaah

Комментарии • 558

  • @kellyngogo3319
    @kellyngogo3319 3 года назад +54

    Salaaam! Na ukristo wangu NIMEKUPENDA MAHUBIRI YAKO MAZURI SANA. Mungu Akubariki🙏

  • @harimamodrick926
    @harimamodrick926 3 года назад +21

    DAAAH eeh mung tujaalie waume wema na wenye HOFU ya mung sote tusioolewa, inshallah ameeen, na tukawe wake wema kwa waume zotee

  • @TheLegend-vj5zt
    @TheLegend-vj5zt 3 года назад +8

    Ya Allah subhana wa taala nijalie Mie na wanawake wote wakiislam tuwe Katika wake wema na Mwanamke wa peponi

  • @jumaabdallah5154
    @jumaabdallah5154 3 года назад +4

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh. SHEIKH Othman Maalim hongera sana ALLAH akulipe hapa duniani na kesho akhera. Kwani unatupa mawaidha mazuri yenye kujenga Iman ALHAMDULILLAH

  • @khadijahamza9825
    @khadijahamza9825 3 года назад +156

    Tunakupenda shekhe Othman maalimu kwa ajili ya Allah 🤲! Mungu tujalie kheri wanawake wote duniani tuwe na moyo kama wa Bi khadija mke wa Kipenzi chetu Mohammad S. W. S

  • @ashurasaid5017
    @ashurasaid5017 3 года назад +1

    Wallahi huwa napenda mawaidha yako shekh kwani yanaeleweka sana na unaongeaga kwa msisitizo mungu akupe mwisho mwema

  • @ysgtge8114
    @ysgtge8114 3 года назад +24

    Allah atujaliye tuwe wanawake bora kwenye famillia yetu namuke bora kwamume wangu ❤💓

  • @fatmasuod6439
    @fatmasuod6439 3 года назад +19

    Unaongea kwa Umakini na unaeleweka mashallah. Allah akupe umri.

  • @thimeahmed5985
    @thimeahmed5985 3 года назад +23

    Masha Allah nimejifunza mengi Allah atujaalie waume bora wenye mfano wa mtume Mohammad S.A.W

  • @rahemaissa9867
    @rahemaissa9867 Год назад +1

    Allah atuongoze sisi wanawake ktk tabia njema inshalah Amiin 🤲

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 3 года назад +7

    Shukran Shekhe Athman ALLAH akuhifadhi n Elimu yako n akupe Kher y Dunia n Akhera asante sana kw Elimu nzr tunafaidika n kuelimika ALLHMDULLILLAH

  • @rehemamgunga8854
    @rehemamgunga8854 3 года назад +6

    inshallah Mungu atatuepusha na maaswi haya tuliyo nayo wanawake sheikh othman maalim Mungu akupe kheri uzidi kuishi maisha marefu inshallah

  • @saudaomar7105
    @saudaomar7105 3 года назад +9

    Nilianza kumsikiliza sheikh othman maalim from 2005/2006
    15yrs+i get to see him from my tablets those days i used radio

    • @zenaal-baalawy3262
      @zenaal-baalawy3262 3 года назад

      Sauda Omar@ Even me, nilianza kumsikiliza since 2007

    • @saudaomar7105
      @saudaomar7105 3 года назад +1

      @@zenaal-baalawy3262 walahi sheikh mawaidha yake inapendeza

    • @zenaal-baalawy3262
      @zenaal-baalawy3262 3 года назад

      @@saudaomar7105 Ni kweli

  • @user-kf9uc4us3j
    @user-kf9uc4us3j 8 месяцев назад

    Sheikh maalim napenda mawaidha yako yana mafundisho na allah akuhifadhi na akulipe fridaus inshallah

  • @zuenasadick9433
    @zuenasadick9433 Год назад +1

    Tatzo langu Moja shekhe mm n Islamic lakn nimepata mwanaume wa tofauti na dini yangu na ana Kila sifa ya kua mume Bora manshaallah lakn nafanyaje awe muislam

  • @fat-hiyamachano6557
    @fat-hiyamachano6557 3 года назад +18

    Mashaallah uo wote ni uzuri wa dini ya kiislamu dini ya haki ladhaa isiyoisha kwa tunaoipenda alhamdulillah

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 3 года назад +28

    Duuh!!mcba mkubwa Allah atubadilishe wanawake 😭😭😭

  • @mwanaharusizubeir9746
    @mwanaharusizubeir9746 3 года назад +4

    M.Mungu atujaalie tubadilike tufate nyayo za mama yetu bibi Khadija ili mwisho wa maisha yetu tuingie peponi inshaallah

    • @ammaralhazmi4257
      @ammaralhazmi4257 3 года назад

      Shukran shehe kwa mawaidha mwenyenzi mungu aku jalie kilalaheri nasisi wanawake. Wakislamu atujalie tu we kama bi Khadija

  • @morrisuhuru
    @morrisuhuru Год назад

    Shekhe uthman nakubali nasaa zako za ndowa twaumia vijana majunba yetu ni kama magereza ila twaomba mungu atupatie subra amiin

  • @sharifamohd9559
    @sharifamohd9559 3 года назад +3

    tunajifunza mengi kwa kweli allah akupe umri mrefu wenye manufaa na kheri nyingi inshaallah

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 3 года назад +6

    Sheikh Allah akupe Afya njema na akupe mwisho mwema nakupenda kwa ajili ya ALLAH

  • @user-ww6gt9mh5h
    @user-ww6gt9mh5h Год назад

    MaashaAllah sheikh Othman nmejifunza mengi kupitia hii mawaidha acha nijitahidi nisiwe mwanamke mchafuvkwa mme wangu lnshaAllah

  • @bintyy_sultan3569
    @bintyy_sultan3569 3 года назад +20

    Allah atuwekee Masheikh wetu, tuendelee kuchota ilmu kwao... Amin yaa rabb Alamiin....

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 9 месяцев назад +1

    Mungu akutunze shehe mie nmekuupata na Kuna tabia naziacha kuanzia leo

  • @ZuwenaSalim-dn3qb
    @ZuwenaSalim-dn3qb 11 месяцев назад

    Allah akupe umri mrefu wenye kheri utufunze sisi navizazi vyetu amin amin

  • @zainabndete1608
    @zainabndete1608 2 года назад +3

    Maashallah Sheikh ujumbe mzuri,kwa hakika kulikuwa na Muhammad akapatikana Khadija katika zama zetu hizi hawapatikani wenye sifa za muhammadi ndiyo maana hawapatikani akina Khadija.Baada ya kujua hili ni wajibu wa kila muislam kujitathmini kama mume je una sifa za Muhammad na kama mwanamke je una sifa za Khadija.

  • @nihfadhkassim4934
    @nihfadhkassim4934 3 года назад +65

    Allah atujaalie tuwe wake wema inshaallah tupate jannat firdaus kwa kuwatii waume zetu

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад +42

    Kweli sheikh othman Allah atusameheee wengi tabia ni izo izo... Tuwe niwenyekubadilika wapenzi wanawake

    • @lailakibalu592
      @lailakibalu592 3 года назад

      Maashaallah

    • @kipwezamudy8099
      @kipwezamudy8099 3 года назад +1

      @@lailakibalu592 no

    • @adidjansabimbona5669
      @adidjansabimbona5669 3 года назад +3

      Kweli sheikh Allah atusamehe Ila n'a wanaume wa izi Siku awafati mwenendo wa mtume na kama bi Khadija akumuuzi mtume.Mtume alikuwa na sifa nzuri saaaanaaaa siyo Awa wanaume wa izi zama wametuaciya majukumu yawo yote kama nitakuwa nimesema vibaya naomba samahani.

    • @aishaorito3917
      @aishaorito3917 3 года назад

      Sz@@kipwezamudy8099 sd

    • @aishaorito3917
      @aishaorito3917 3 года назад

      WALLAHI USTHATHI ALLAH AKUZIDISHIE INSHALLAH

  • @aishaaboud4406
    @aishaaboud4406 3 года назад +4

    Subhanallah Mungu atuongoze katika ndoa zetu yarabbi
    Golden speech
    Shukran sana Shheikh wetu

  • @aminaabdul1696
    @aminaabdul1696 3 года назад +4

    Shekh othman maalim wengine hufanya Ivo moja wapo ya deko kwa mume wake anaetamani aambewe pole mke wangu Ila wanaume wengine kauzu ukisema mwanamke nimechoka huwaambia umechoka umefanya kazi gani wanaume wajirekebishe wanawake ni watu wa kudeka na kuliwazwa

    • @immah_deo19
      @immah_deo19 3 года назад

      Sio Kila Mwanamke Wa Kubembelezwa ....Kuna Wanawake Wana kiburi Sana Hata Nguvu Ya Kumbembeleza Huwa Tunakosa

  • @sharifasuleiman9134
    @sharifasuleiman9134 3 года назад +3

    Mashallah shekh Othuman mwenyezi mungu kakupa Elim na azidikukupa zaidi elim

  • @naswidiaabdulkarim5005
    @naswidiaabdulkarim5005 3 года назад +9

    Mashaallah allah akupe umri wa kheri akuripe pepo ya juu firdausi NIMEUPENDA MUQADDIMA WAKO WAKIBABE jazaakallahu kheri

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад +18

    Jazzakallah shekh Othman maalim umma wa Allah wakuelewe hapa duniani na kesho aakhera akulinde na kila shari

  • @ShafShamat
    @ShafShamat 3 года назад +39

    Mashallah, jazaakallahu khaira fil dunia wal akhera in shaa Allah

  • @kabarekemussa9929
    @kabarekemussa9929 3 года назад +2

    Kama mtu wetu angekuwepo hai... Sheikh Othman maalim angekuwa miongon mwa swahaba bora saana.... Allah akuhifadhi sheikh wngu nae kupinda kuzidi maelezo.... Hekima kubwaaa jameni...

  • @rahmahmussa5980
    @rahmahmussa5980 3 года назад +1

    Shukran shekh

  • @maryamkhamis9493
    @maryamkhamis9493 Год назад

    MashaAllah shukran kwa ujumbe wako mzuri na na vip kuhusu wanaume maan na wao wanapenda kukutumia hilo neno la talaka waandalie na wao wajue si kwetu tu

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Год назад +2

    Ma Sha Allah ya Sheik Othman Malim kwa mawaidha nzuri

  • @jdjdjdu8542
    @jdjdjdu8542 3 года назад +3

    Masha Allah tabaraka llah.. Allah azidi kukuongoza.. Nmeambiwa n mchumba wangu nisikize hii ili nijiandae kwake shkrn ya shekh jazakallahu kheir

  • @naimamunishi1241
    @naimamunishi1241 3 года назад +1

    wallah sheikh othman nakupenda wewe kwjl ta ALLAH!mawaidha yako hunitoa machoz sn😥,Allahu main as aluka husnul khatima

  • @hawaramadhan7437
    @hawaramadhan7437 Год назад

    Shukraan jazillah sheikh wetu Allah akujaze majazo memah❤kwa jili ya Allah

  • @yusraame264
    @yusraame264 3 года назад +13

    Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wake wema ishallah

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq Год назад +4

    شكرا ما شاء الله تبارك الله جزاك الله خيرا يا شيخ صدقت❤❤

  • @HabibaSaid-q1m
    @HabibaSaid-q1m 8 месяцев назад

    Upo vzr shekh wang Allah akuongoze akupe daraja LA juu

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 3 года назад

    Shekhe mawaizaa yako nimeyapenda na nimejifunza Sana ............ Ahsante Sana shekhe

  • @nasmajuma4236
    @nasmajuma4236 3 года назад +3

    Allah akujalie umri mref uendeleee kutukumbusha tuliyosahau na tusiyoyajua na mwenyezimung atujalie kuwa wake bora kwa waume zetu dunia na akherah insha Allah

  • @mayedmohammed5554
    @mayedmohammed5554 3 года назад +8

    Sheikh othmani Allah akupe kheer dunian na ahera

  • @fatumaombebi49
    @fatumaombebi49 3 года назад +1

    mwenye mwenyezi mungu akupe maisha malefu uzidi kutuelimisha inshallah

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Год назад

    Namuomba Mola Allah ampe Sheikh Othman afya kamili pamoja na ikhlaas, taqwa na mwisho mema.
    Allah amhifadhi yeye na watoto wake.
    Allah abariki elimu yake.

  • @husseinali9760
    @husseinali9760 3 года назад +3

    Masha Allah allah akupe afya njema, umrii mrefuu kutupa elimu kubwa ya dini yetu ya uislamu insha Allah

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 3 года назад +25

    mashallah sheikh OTHMAN you never let me down mashallah 👍👍

    • @husnajohn212
      @husnajohn212 3 года назад

      Masha allah mawaidha mazur ya ya kuelimisha na kujirekebisha allah akulipe insha allah

  • @mamambonde4549
    @mamambonde4549 Год назад

    Jazakha llahah kheira shekh wallah nimejisikia vizuri Sana na mafundisho yako nimeyaelewa mungu anifanyie wepesi niyaepuke yote mabaya yasiyotupendeza wanawake Kwa waume zetu

  • @fatmashamte4611
    @fatmashamte4611 2 года назад +2

    Maashaallah shekh Othman Maalim,Allah akutulize zaidi nazaidi kama mbingu angani na akuepushe nahusdaa zawafitini,Aamin.

  • @salummindu280
    @salummindu280 3 года назад +1

    Asalaam Alaykum sheikh Othman. Ki ukweli umegusa panapo itesa jamii yetu tunayo ishi nayo duniani kwa sasa. Kwani siku hizi ni kama bahati mbaya vile. Kumpata mke mwema. Sasa ni ajabu kubwa sana sana sana kuwa na mke ambaye ni mwema na mwenye nizamu ya hali ya juu. But Allah atupe wake wema sisi na vizazi vyetu. Amin amin aamin

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад +5

    Shekhe othumani maalimu Allah atukutanishe sote fridauthi inshaa Allah na Allah atuongoze ktk njia ya almustakim Allah akuzidishiye shekhe

  • @SharifaMuhamed-od5dl
    @SharifaMuhamed-od5dl Год назад +1

    Yaa Allah, tujaalie tuwe katika waja wema wanaofuata maarisho yako na Mafundisho ya Mtume (s.a.w)

  • @tawsi-yc3nk
    @tawsi-yc3nk Год назад

    Mashallah mawaidha yamenikosa mungu akufanyie wepesi undelee kutuelimisha

  • @aishakhamis8101
    @aishakhamis8101 3 года назад +14

    Shukran sheikh tunaskur Sana kwa kutuonesha nyia iliosahihi lkn bi khadija alikuwa Sana na pia Mtume alikuwa mbora zaid mbele ya mkewe ndio maana palikuwa hapana makero lkn kwa ss wanaume ndo wanaanza hyo makero

    • @asiyamakame9462
      @asiyamakame9462 3 года назад +1

      Allah atujalie turithi tabia za bbi khadija.

    • @ukhtyhumairah73
      @ukhtyhumairah73 3 года назад

      @@asiyamakame9462 Allahuma amiin ya rabbi

    • @ukhtyhumairah73
      @ukhtyhumairah73 3 года назад

      @@asiyamakame9462 Allahuma amiin ya rabbi

    • @immah_deo19
      @immah_deo19 3 года назад +1

      Kero Tumeumbiwa wote ...Mwanaume Ni Mwanaume Tu na Huwa tu wadhaifu Sana Mbele ya Mwanamke .... #Hakuna Mwanaume Mjeuri Mbele Ya Mwanamke Mwenye Busara

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 3 года назад +5

    Shukran wajazaka llahu heri inshallah

  • @musasalimu4592
    @musasalimu4592 3 года назад +1

    Allah aw ape afyanjema wanawake wote waskifu

  • @aaliyahholden9282
    @aaliyahholden9282 3 года назад +7

    ALLAH atuongoze yarab atusamehe tulipo kosea

  • @user-xh7fz1hv5j
    @user-xh7fz1hv5j Год назад

    Mashaallah tunajifunz mengi kutok kweny mafundish yak Allah akujaalie wepes inshaallah

  • @sheikhasalimhilali3131
    @sheikhasalimhilali3131 3 года назад +1

    Shukran sana sheikh kwa mawaidha mazuri yenye kutufuza sisi wanawake.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 10 месяцев назад

    Mungu mwema atujalie mwisho mwema 🙏🙏🙏🙏🔥🙏

  • @swaibajafari4427
    @swaibajafari4427 3 года назад +2

    Allah atujalie tuwe wake wema Allahuma Amiin

  • @user-id1me9ve1o
    @user-id1me9ve1o 2 года назад +1

    Anllah akupe umli mlefu kipenzi changu nakupenda sana Athumani Maalim jaazakhanllah kheli shukurani shekhe 🙏🏼

  • @abdullahiddykawambwa-lq2in
    @abdullahiddykawambwa-lq2in Год назад

    Namuomba Allah kupe umr mrefu shekh wangu

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw Год назад

    Shukrani shekhe kwa kutuelimisha mungu akujaalie inshaal

  • @muzdatseif3540
    @muzdatseif3540 3 года назад +2

    Mashallah allah atujalie tuwe wanawake wa peponi

  • @bas2823
    @bas2823 3 года назад +2

    Wahidi na wanaume kama hawa ili wajuwi thaman ya wanawake ni mama zao sio vinyago vyao. Amiin

    • @sharifamohammed9955
      @sharifamohammed9955 3 года назад

      Kuna siku nilimuuliza kijana mmoja mm....kwann hamuwezi kutreat kama munavyowatreat MMA zenu au kuonesha heshima kama mama zenu...maana sisi sisi ndio tutakuja kuwa mama na ndio same ni wanawake tu kama wazazi wenu. Basi nilijibiwa mama na mke tofauti...
      Najua Mimi kuwa ni tofauti na sikutaka jambo jengine zaidi ya heshima na upendo kama unaoneshwa kwa mzazi wao wa kike.... But majibu niliopewa ndio hayo hehhehe
      Niliubana kimnyaa maana kuna wanaume hawasikiii ata uwaambie nini wao ndio wako right in everything.
      Mtihani kusema kwa kweli...kuna watu Wana dini na wako vizur maashallah...lakn hawawezi ata siku moja kujishusha chini kwa mwanammke au kukubali kama mke anatry kumuambia kitu au kumfhaamisha kitu not in a bad way....

  • @iyayummy9941
    @iyayummy9941 3 года назад +1

    Mashallah mawaidha yametugusa wengi... tunaomba shekh utuandalie na mawaidha yanayohusu wanaume wanaosumbulia hata ukinywa maji ...wanaolaumu kwa kila kitu...wanaodharau wake zao na kuthamini marafiki au wanawake baki...

  • @hammadyndonga3315
    @hammadyndonga3315 Год назад

    Asalaam aleikum kaka Alhamdulillah Allah Kareem wallaih nko n matatizo ambayo yanaitaji subra ya Allah kuyashinda kwa kweli mm naitwa Hemedy ntokee n mkaazi wa kenya lkini tatizo langu nko n mke ambae najaribu sana kumuelekeza kwa misingi ya dini lkini tabia zinaghalifisha sana ila n subra ..Ambiliki jeuri heshima matusi na n mke mkuu najiribu kumueleza lakini mara una kuwa mzuri mara anarudi vile vile NTAFANYAJE

  • @musasisia9803
    @musasisia9803 3 года назад +2

    Mawaidha masuri inshallah na mwenye ezimungu akujaze hikima

  • @mamoulovecherry5121
    @mamoulovecherry5121 3 года назад +35

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh shukuran sn sheikh.wetu Allah akujalie umri mrefu wenye neema 😍😍😍😍😍

    • @amilirashid7173
      @amilirashid7173 3 года назад

      Qq

    • @amilirashid7173
      @amilirashid7173 3 года назад

      P

    • @amilirashid7173
      @amilirashid7173 3 года назад

      Pp

    • @aliokedi8579
      @aliokedi8579 2 года назад

      Asante Maalim sheikh organic kwa mawaidha yako Mimi ni kutoka Kenya turkana mwenyezi mungu akupe umri afya subra ili sisi tunufaike kwa mawaidha yako pia tutafanya mpango uje kwetu hapa lodwar.nikija Zanzibar inshallah nitakutafuta.

  • @NurrKipsang-yz8oy
    @NurrKipsang-yz8oy Год назад

    Eee mwenyezi mungu NIJALIE mke mwema kama hadhija

  • @abdallajuma8899
    @abdallajuma8899 2 года назад

    Assalam alaikum warahmatu wabarakatu, wasia wangu kwa waislam wenzangu dunia ni mapito tu

  • @abdulmalikhamadi8634
    @abdulmalikhamadi8634 3 года назад +5

    Shukran shekhe wetu Allah akupe umri uzidi kutuelimisha Insha Allah

  • @habibarashid2997
    @habibarashid2997 3 года назад +3

    Mashallaah nimeelimika vyema shekhe wangu,shukran mnoo 🙏

  • @fauziamukhwana5211
    @fauziamukhwana5211 3 года назад +7

    Masha Allah a nice darsa may Allah bless you abundantly

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman 11 месяцев назад +1

    Mawaidha mazuri Sana ila ustadhi naoutaje na sifa za wanaume wanao owa Kisha mwanake ndie muhudumu wandani ujilishe ujivalishe kwaiyo mwenye ndio ndoa zinakuwa wanawake hawaheshimu waume zao wambie wajitahidi majumbani mwao ustadhi

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 3 года назад +5

    Shukrani

  • @mariammariam1812
    @mariammariam1812 Год назад +3

    MASHAALLAH😍

  • @odoshlbrahim5007
    @odoshlbrahim5007 3 года назад +3

    Allah akbari..mungu atuzidishia tupate wke mwema..🤲

  • @siti7265
    @siti7265 Год назад

    Allah akupe kila la kheri ktk kaz yko mashaallah

  • @hadhaminfadhwil-rab287
    @hadhaminfadhwil-rab287 3 года назад +5

    Subhanallah😓 yaa Rab tujaalie tuwe miongoni mwa w/ke wema. Lakin na w/me wenye tabia izo wapo Allah atuhifadh nao (wanasumbulia, wanakulinganisha na wengine nk

  • @esmahnguzo8448
    @esmahnguzo8448 3 года назад +1

    Wallah mola wangu nakuomba nikiolewa nitakua mke mwema inshaallah na hata sasa

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Год назад

    Mola amhifadhi Sheikh Othman pamoja na family na watoto wake na waislamu wote

  • @rossamengo7211
    @rossamengo7211 3 года назад +10

    ALLAH akujalie umri shekh wetu maana napenda sana mawaidha yako

  • @ashadamba7041
    @ashadamba7041 3 года назад +3

    Mashallah mashallah Allah atutilie wepes tuwe wake wemaaa

  • @shinayzashiraaz4588
    @shinayzashiraaz4588 2 года назад +13

    MashaaAllah, Jazakumullah kheir May Allah grant you jannatul Firdousy and guide you through all ur life 🙏

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 3 года назад +6

    Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh popote ulipo

  • @salmahail9641
    @salmahail9641 3 года назад +6

    Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wake wema🤗

  • @shebbygangster9241
    @shebbygangster9241 3 года назад +5

    😂😂😂 Mimi Nataka Kwenda Nyumban MashaAllah Allah Akuzidishie Kila La Heri

  • @aishaabdullah233
    @aishaabdullah233 3 года назад +10

    Masha Allah , darsa zuri sana Allah akulipe kheri sheikh wetu. Lkn sheikh wanaume wengine mtihani unaweza kufanya yote hayo Lkn mwanaume akakuona ww km kigaragosi tu yy ndio anajivisha vizuri akakuacha upo hovyo hovyo

    • @rukayyaissa8010
      @rukayyaissa8010 3 года назад

      Allah atuongolee waume zetuu nasisi wanawake tujitahidini

    • @khalfanally2827
      @khalfanally2827 3 года назад

      Mashallah,, mwenyeezi mungu akuzdishie shekhe wangu

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад +5

    Shukraan Sana sheikh wetu kwa ujumbe mzur Allah akubariki jazaka Allahu khaira

  • @saidi.s.lihondo3767
    @saidi.s.lihondo3767 3 года назад +3

    nashukuru sana shekhe othman maalim

  • @bintmwanyello2350
    @bintmwanyello2350 Год назад

    Mashaa Allah allah azid kukusimamia shekelhe

  • @salimgonda4457
    @salimgonda4457 3 года назад

    Ma Shaa Allah. Hakika sheikh Othman mtu akukusikiliza anabadilika kuendea njia ya sawa. Allah akupe umri mrefu utuongoze wengi.

  • @mahramarswad6041
    @mahramarswad6041 3 года назад +2

    Shekhe wetu Allah akulipe kheri amin yarabil alamin 🤲🤲lakini hayo yote unayo yaongea wanaume wengine ndio wanazo wao maana tunachoka tunastahamil sana na ukiwaona huwafikiri

  • @AshaHassan-fl8tw
    @AshaHassan-fl8tw Год назад

    Mashallahu asante shehe kwa mawaidha mazuri kabisa nimefurahi mno nakufuatilia shekhe vipindi vyako na mungu atujaalie tuwe miongoni mwa.wale wanawake wema inshaal